Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 40
    1. #1
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,908
      Rep Power : 979
      Likes Received
      840
      Likes Given
      564

      Default picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police






      MARA kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi huenda wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama barabarani mjini Moshi ambao majina yao hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) katika kiktuo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace aliyeshikwa na trafiki hao
      Black Bat, bona and CHIJANYE like this.


    2. #2
      sindano butu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2012
      Posts : 315
      Rep Power : 407
      Likes Received
      26
      Likes Given
      5

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      huyo mwanajeshi atakuwa bado yupo kwenye mafunzo! huenda likawa nili mtoto wa brigedia au captain ambaye amezoea kutafuniwa!!

    3. #3
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,908
      Rep Power : 979
      Likes Received
      840
      Likes Given
      564

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      kila siku traffic police ndio wanapigwa naona wameona warevenge

    4. #4
      Mabreka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 468
      Likes Received
      181
      Likes Given
      415

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      mjeda mwenyewe mwili wa sambusa. traffic bausa asingeweza fanya lolote, pole yake
      when opportunity come at right time = Lucky

    5. #5
      Binti.com's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2012
      Posts : 743
      Rep Power : 489
      Likes Received
      615
      Likes Given
      334

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Maskini, mjeda amekunjwa hivyo!!!


    6. #6
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,835
      Rep Power : 788
      Likes Received
      430
      Likes Given
      121

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Anatakiwa kukimbia haraka kwenda kambini kuwaita wenzake.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    7. #7
      betlehem's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Location : Around the World
      Posts : 2,630
      Rep Power : 1551
      Likes Received
      1110
      Likes Given
      1506

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      kumbe traffic nao wanapiga ee!

    8. #8
      Makindi N's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,044
      Rep Power : 787
      Likes Received
      128
      Likes Given
      151

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Wajeda huwa wana visasi sana..... Wasipo-revenge sijui.....
      Leo Tolstoy once said "Everybody thinks of changing the world, no one thinks of changing himself"

    9. #9
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,988
      Rep Power : 17996
      Likes Received
      1746
      Likes Given
      1768

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Quote By sindano butu
      huyo mwanajeshi atakuwa bado yupo kwenye mafunzo! huenda likawa nili mtoto wa brigedia au captain ambaye amezoea kutafuniwa!!
      Ha ha ha ha..Naona huyo ni Mwanajeshi wa watoto..

      All in all hawa jamaa wanapaswa kuheshimiana mipaka ya kazi yao.. Nadhani kuna njia muafaka kabisa za kuchukua pindi kundi moja linapojicikia kunyanyapaliwa na jingine.. Haya mambo ya kukunjana hadharani yanaleta picha mbaya na uoga kwa raia.. Inaonyesha Majeshi yetu hayana nidhamu hata kidogo..

    10. #10
      mgomba101's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 1,657
      Rep Power : 805
      Likes Received
      576
      Likes Given
      259

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Mjeda mguu pande? sheria ichukeu mkondo wake
      You can fool all the people some of the time, and some of the people all the time, but you cannot fool all the people all the time.

    11. #11
      serio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 848
      Rep Power : 583
      Likes Received
      80
      Likes Given
      522

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      that guy wont just swallow this, lazima atarudi na wenzake ku revenge

    12. #12
      malema 1989's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 806
      Rep Power : 745
      Likes Received
      147
      Likes Given
      118

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Quote By sawabho
      Anatakiwa kukimbia haraka kwenda kambini kuwaita wenzake.
      kama kawaida yao wakiudhiwa na raia walipa kodi ambao hawana silaha wala mafunzo ya kijeshi baada ya kuwachokoza wanaenda kambini kujikusanya na kuja kutoa mkong'oto kwa kutumia magari na vifaa vingine vya walipa kodi! wananikera kweli kweli.

    13. #13
      OLESAIDIMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,242
      Rep Power : 736
      Likes Received
      494
      Likes Given
      470

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Dhulma inapozidi wadhulumaji huanza kudhulumiana wenyewe kwa wenyewe.......yetu machoooo!!!!!!!!!!
      Hegemony is unlikely ever to be complete (A. Gramsci)

    14. #14
      piper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 1,633
      Rep Power : 776
      Likes Received
      250
      Likes Given
      39

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Kichapo watakachopokea nawahurumia, maana wajeda bana bora wamtendee mtu but wakitendewa wao kisasi nje nje, so wajiandae

    15. #15
      Salas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2009
      Posts : 236
      Rep Power : 574
      Likes Received
      24
      Likes Given
      17

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      subirini msiba wa traffic Moshi

    16. #16
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,445
      Rep Power : 980
      Likes Received
      373
      Likes Given
      1822

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Mipaka ya kazi ni muhimu iheshimike. Traffic wapo kazini sasa kwa nini huy mjeda aingilie kati???


      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    17. #17
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,845
      Rep Power : 1909
      Likes Received
      1172
      Likes Given
      1006

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      mjeda ni nini?
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    18. #18
      kibananhukhu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2009
      Posts : 234
      Rep Power : 553
      Likes Received
      68
      Likes Given
      72

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Hapana! Ugomvi ili wowote ili uanze unahitaji MAJUHA WA PANDE MBILI

      Quote By malema 1989
      kama kawaida yao wakiudhiwa na raia walipa kodi ambao hawana silaha wala mafunzo ya kijeshi baada ya kuwachokoza wanaenda kambini kujikusanya na kuja kutoa mkong'oto kwa kutumia magari na vifaa vingine vya walipa kodi! wananikera kweli kweli.

    19. #19
      malema 1989's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 806
      Rep Power : 745
      Likes Received
      147
      Likes Given
      118

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Quote By kibananhukhu
      hapana! Ugomvi ili wowote ili uanze unahitaji majuha wa pande mbili
      hueleweki kwani migogoro mingi haisababishwi na majuha tu kama unavyofikiria hata werevu sana wapo pia!!!!!!!!!!!

    20. #20
      Job K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 1,557
      Rep Power : 753
      Likes Received
      267
      Likes Given
      255

      Default Re: picha na habari: mwanajeshi achezea kichapo toka kwa traffic police

      Mlioko Moshi endeleeni kufuatilia!

      Hawa jamaa lazima warudi! Kama siyo gari zima basi hata 20 tu. Nawahurumia traffic wa Moshi maana watapigwa hata wale wasiohusika! Kichapo kitaanzia njiani yaani yeyote atakayekutana na hao jamaa amevaa nguo nyeupe lazima achezee kichapo. Salama yao huyo Mjeshi awe ni wa kambi ya mbali na Moshi, kwamba alikuwa anapita tu hapo Moshi.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...