Katibu wa BAKWATA mkoani Arusha bwana AbdulKarim Jonjo usiku wa kuamkia leo amelipuliwa kwa bomu nyumbani kwake eneo la Esso jijini Arusha hivi sasa yuko hoi katika hospitali ya Mount Meru.
Chanzo: Wapo Radio
Katibu wa BAKWATA mkoani Arusha bwana AbdulKarim Jonjo usiku wa kuamkia leo amelipuliwa kwa bomu nyumbani kwake eneo la Esso jijini Arusha hivi sasa yuko hoi katika hospitali ya Mount Meru.
Chanzo: Wapo Radio
Watakuwa wanalipiza kisasi yalio tokea mbagala...
Maaskofu waliwaambia msilipizie tunahitaji amani...
Kesi ipo mahakamani msijichukulie Sheria mikononi
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Nimeona comments za kwenye uzi huu.. Wengi wana-comment bila ya kuelewa au wengine kwa jazba za kidini.. Huu Mkuu hauna mahuciano na Ponda hata kidogo.. Umeshatangazwa sana kwenye vyombo vya habari huu mgogoro na ndio maana ninashangaa Viongozi wa usalama wa Mkoa wa Arusha kuuacha huu mgogoro ufikie hapa ulipofika..
Do you know who is behind the incidence, how far are you sure that those guys who did that are Muslims. Avoid stereotype and generalization which make yourself look non-sense and imbecile. Wise people speak with evidence and can not speak foolishly unless you tell us that Jamii Forum is full of ******.
What is the role of Kikwete here???? You people you are always blaming president, but you can not see the problems with executives who let Kikwete down. You do not play your part properly then you say Kikwete? By the way, nobody is talking about killings that happened when Mkapa was in power. Just to take you back...........
- Mkapa killed two people at Mwembechai and refused to investigate the incidence because they were Muslims
- Mkapa killed more than 76 people in Pemba, Pengo and others praised the government for killing.
I tell you 'the people's patience is not endless'. let's speak the truth and be free
Kikwete atatoa salamu za rambirambi kama alivyompelekea Kamanda wa Polisi Zanzibar.
Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer
Hao Bakwata watajua kuwa kujifanya poa na kujipendekeza kwa maaskofu wala hakuwasaidii kujiepusha na fitna zao.Haja yao ni muislamu na ugomvi baina ya waislamu.
Habari yenyewe imetolewa na WAPO inaonekana waliitwa wawe karibu kushuhudia tukio.Bakwata si wana redio yao,ingeanza hiyo kutoa habari ya kulipuliwa mtu wao na bomu.
Niliandika kuwa kuanzia sasa ni Uamsho mpaka kiama lakini akina Black na Father of All ambaye ndiye Mgomba wakaifuta.
Tuhuma za uchochezi na ugaidi kwa waislamu ni mbinu na ujanja kupinga ukweli wa uislamu
very bad!
Dhambi ya Ubaguzi inawatafuna na huo ni mwanzo tu, kwani MAJIVU YA MAKANISA waliyoyachoma hayata potea bure na MACHOZI ya wakristo waombaji hayata mwagika bure.
Ninasikitika sana kwa matukio ya aina hii. Wale wanaoshabikia vitu hivyi tunawafuatilia maana amani si kitu cha kuchezea hata kidogo. Haijalishi wewe ni wa dini gani au itikadi gani ya vyama vya siasa, tukiendekeza mambo kama haya tutaingia vitani sisi kwa sisi. Ni ujunga sana kushabikia yeyote aliyefanya haya.
All generalizations are false, including this one
Tuhuma za uchochezi na ugaidi kwa waislamu ni mbinu na ujanja kupinga ukweli wa uislamu
let them feel the pinch japo kidogo
“Talk slowly but think quickly”
Hawa wenzetu mawazo yao yako kwenye ubwabwa! Hawafikirii maendeleo kama kujenga mashule,hospitali,Varsities,ku peleka watoto shule.Ukiwa na akili ubwabwa kazi kweli kweli!
You can fool all the people some of the time, and some of the people all the time, but you cannot fool all the people all the time.
Follow Us Here