Polisi wamefunga barabara ya hapa Posta Mpya na daladala zinageuza hazitumii tena kituo cha kawaida.
Hali inaonekana si shwari, wanajeshi wametanda! Taharuki inazidi kuongezeka kwa raia
PICHA:
[Kwa picha za matukio maeneo mbalimbali fuatilia: Picha: Yaliyojiri Dar na kwingineko leo mchana ]
Kituo cha daladala cha muda kimehamia mbele ya Hidery Plaza:
Attached Thumbnails

Attached Thumbnails

Reply With Quote

Follow Us Here