Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. #1
      MzeeWaHoja's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th July 2009
      Posts : 512
      Rep Power : 0
      Likes Received
      18
      Likes Given
      2

      Default Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Hivi jana nilipanda ndege kuelekea ugahibuni, nilikutana na wahuduumu wtuu wa kike . jee kwanini iwe hivi. jee

    2. Study Abroad

    3. #2
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,049
      Rep Power : 5464
      Likes Received
      3477
      Likes Given
      1898

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Panda EGYPTAIR wote ni wanaume.....kwani kuna shida gani? are you a GAY?

    4. #3
      Ulusungu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 584
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By mzeewahoja
      Hivi jana nilipanda ndege kuelekea ugahibuni, nilikutana na wahuduumu wtuu wa kike . jee kwanini iwe hivi. jee

      Wanawake wanaweza ukarimu hata wakufundishwa, wanaume ni wachache sana wenye ukarimu japo wa kufundishwa uhitajikao katika ndege.usafiri wa ndege ni huduma, kwa hiyo upimaji wa ufanisi wake unategemea sana watoa huduma na ukarimu wao.

    5. #4
      Nasolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Posts : 982
      Rep Power : 841
      Likes Received
      90
      Likes Given
      36

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Mbona mashirika mengi tu ya ndege wahudumu ni mchanganyiko wa jinsia zote. Hebu jaribu kupanda ndege za zaidi ya shirika moja ulilopanda utaona. Hata hivyo ubaya wa wahudumu wote kuwa wa kike au wa kiume nini????????????????

    6. #5
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      490
      Likes Given
      173

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      precision wako mchanganyiko pia

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      bnhai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2009
      Posts : 652
      Rep Power : 631
      Likes Received
      11
      Likes Given
      3

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Kituko
      precision wako mchanganyiko pia
      QATAR mchanganyiko pia

    9. #7
      Malyamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2009
      Posts : 364
      Rep Power : 574
      Likes Received
      11
      Likes Given
      10

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Nasolwa
      Mbona mashirika mengi tu ya ndege wahudumu ni mchanganyiko wa jinsia zote. Hebu jaribu kupanda ndege za zaidi ya shirika moja ulilopanda utaona. Hata hivyo ubaya wa wahudumu wote kuwa wa kike au wa kiume nini????????????????
      Wahudumu wa kiume ni wasikivu kwa watu wote. Kama ni mtu wa kilauri utawapenda. Panda KQ jamaa watakupa Tursker mpaka nyingine usundie kwani uendako tasker hakuna.

      Taskeer baridiiiiiiiiii!

    10. #8
      Malyamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2009
      Posts : 364
      Rep Power : 574
      Likes Received
      11
      Likes Given
      10

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Je AIR India ikojee???

    11. #9
      Grader's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Posts : 57
      Rep Power : 532
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Wewe ni malaya mkubwa na ndiyo maana hata shirika hilo la ndege linajaribu kuwatega kwa kuwaweka wanawake ili mtegeke kwa nyie malaya.
      wewe unachotakiwa ni kupata huduma inayostaili,halafu inaonekana ndiyo mara yako ya kwanza kupanda ndege au unasikia tu,ndiyo maana huna uhakika unapokwenda.
      kwa ujinga wako utakuja kesho na mada nyingine ya kuwa kwa nini masecretari,wahudumu wa baa na hotel,mahousegirl,wafagiaji barabarani n.k kwanini ni wanawake.
      Halafu sehemu hii uliyopost hii mada siyo pake,kama mgeni angalia madokezo unapofungua jf.

    12. #10
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,049
      Rep Power : 5464
      Likes Received
      3477
      Likes Given
      1898

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Kituko
      precision wako mchanganyiko pia


      Mambo ya precision hayo wanakupa beer hadi basi....thank you guyz
      Attached Thumbnails      

    13. #11
      Nanu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Posts : 1,212
      Rep Power : 754
      Likes Received
      38
      Likes Given
      77

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Ilikuwa bahati yako tu ukapanda flight yenye shift ya wahudumu wa kike. Panda mara kwa mara utakutana na shift ya wanaume au mchanganyiko. Kwenye ndege hawachagui wahudumu kwa kubagua jinsia, hasa commercial flights. Uko hapo?
      Peace is meaningless if nothing is right. Do it and Do It Right or Not at All.
      Swallowing His Own Words has never Killed the Politician!

    14. #12
      bnhai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2009
      Posts : 652
      Rep Power : 631
      Likes Received
      11
      Likes Given
      3

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Grader
      Wewe ni malaya mkubwa na ndiyo maana hata shirika hilo la ndege linajaribu kuwatega kwa kuwaweka wanawake ili mtegeke kwa nyie malaya.
      wewe unachotakiwa ni kupata huduma inayostaili,halafu inaonekana ndiyo mara yako ya kwanza kupanda ndege au unasikia tu,ndiyo maana huna uhakika unapokwenda.
      kwa ujinga wako utakuja kesho na mada nyingine ya kuwa kwa nini masecretari,wahudumu wa baa na hotel,mahousegirl,wafagiaji barabarani n.k kwanini ni wanawake.
      Halafu sehemu hii uliyopost hii mada siyo pake,kama mgeni angalia madokezo unapofungua jf.
      Haya ni matusi sasa? Nadhani ameuliza kwa ufaham. Jamani hasira za nini?

    15. #13
      Orche's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Posts : 132
      Rep Power : 528
      Likes Received
      10
      Likes Given
      12

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Kama we si mgeni kupanda ndege hilo si tatizo, tatizo ni mwoono wako. Kumbuka kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume, wanawake kwa nasaba zao ni wazuri zaidi katika matumizi ya lugha yoyote, wanawake ni wepesi kutoa huduma na unadhifu wao. Pia wanaoomba kazi hiyo wanawake na wanaume wako sawa?
      Lakini wanaume wapo tena si haba kwa airline mbalimbali angalia ATC, Kenya airways, ect.

    16. #14
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Grader
      Wewe ni malaya mkubwa..

      Grader,

      That was not necessary! jf community deserves an apology from you
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    17. #15
      Kyachakiche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2009
      Posts : 824
      Rep Power : 690
      Likes Received
      38
      Likes Given
      122

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Grader
      Wewe ni malaya mkubwa na ndiyo maana hata shirika hilo la ndege linajaribu kuwatega kwa kuwaweka wanawake ili mtegeke kwa nyie malaya.
      wewe unachotakiwa ni kupata huduma inayostaili,halafu inaonekana ndiyo mara yako ya kwanza kupanda ndege au unasikia tu,ndiyo maana huna uhakika unapokwenda.
      kwa ujinga wako utakuja kesho na mada nyingine ya kuwa kwa nini masecretari,wahudumu wa baa na hotel,mahousegirl,wafagiaji barabarani n.k kwanini ni wanawake.
      Halafu sehemu hii uliyopost hii mada siyo pake,kama mgeni angalia madokezo unapofungua jf.
      Uwe na stahi ya maneno katika sentensi zako. Huoni kama unatumia lugha ya kuudhi kwa sentensi kama hizo zilizokolezwa hapo juu. Nakushauri umtake radhi mleta mada na wanajf kwa ujumla waliokwazika kwa post yako hii!

    18. #16
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,610
      Rep Power : 4420
      Likes Received
      786
      Likes Given
      750

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Jibu ni kwa sababu wanavutia jinsia zote mbili.kwahio muheshimiwa kama unataka midume sijui airline gani hio na kama hipo utuambie hili tukae nayo mbali.kuna raha yake kuhudumiwa na mwanamke mrembo,inapuguza uchovu wa safari.
      "Nobody has enough talent to live on talent alone. Even when you have talent, a life without work goes nowhere". A. Wenger

    19. #17
      Kyakya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2009
      Location : TMK
      Posts : 382
      Rep Power : 589
      Likes Received
      16
      Likes Given
      5

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Grader
      Wewe ni malaya mkubwa na ndiyo maana hata shirika hilo la ndege linajaribu kuwatega kwa kuwaweka wanawake ili mtegeke kwa nyie malaya.
      wewe unachotakiwa ni kupata huduma inayostaili,halafu inaonekana ndiyo mara yako ya kwanza kupanda ndege au unasikia tu,ndiyo maana huna uhakika unapokwenda.
      kwa ujinga wako utakuja kesho na mada nyingine ya kuwa kwa nini masecretari,wahudumu wa baa na hotel,mahousegirl,wafagiaji barabarani n.k kwanini ni wanawake.
      Halafu sehemu hii uliyopost hii mada siyo pake,kama mgeni angalia madokezo unapofungua jf.

      Lugha kali sana hii Mkuu! Pengine ni mara yake ya kwanza kupanda ndege lakini kutoa lugha kama hii sidhani kama ni vyema! Tupo kuelimishana tu!

    20. #18
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,443
      Rep Power : 9877
      Likes Received
      609
      Likes Given
      444

      Default re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Women are more welcoming and hospitable. Maybe ni kutokana na there "motherly" nature. Lakini pia wahudumu wa kiume wapo. Tatizo ni kama mtu unadhani wale wanao serve tea pekee ndiyo wahudumu. Na ukipanda ndege nyingi haswa kubwa zenye kuhitaji wahudumu wengi utakuta wa kiume na wakike.

      Sometimes inatokea to profession fulani inavutia watu wa jinsia fulani. Hata manurse na masekretari wapo wakiume lakini unakuta wengi wana kuaga wanawake. Na kuna kazi pia unakuta kuna wanaume wengi zaidi ya wanawake.

    21. #19
      Mbogela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2008
      Location : Tanzania
      Posts : 1,151
      Rep Power : 807
      Likes Received
      70
      Likes Given
      37

      Default Re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By Grader
      Wewe ni malaya mkubwa na ndiyo maana hata shirika hilo la ndege linajaribu kuwatega kwa kuwaweka wanawake ili mtegeke kwa nyie malaya.
      wewe unachotakiwa ni kupata huduma inayostaili,halafu inaonekana ndiyo mara yako ya kwanza kupanda ndege au unasikia tu,ndiyo maana huna uhakika unapokwenda.
      kwa ujinga wako utakuja kesho na mada nyingine ya kuwa kwa nini masecretari,wahudumu wa baa na hotel,mahousegirl,wafagiaji barabarani n.k kwanini ni wanawake.
      Halafu sehemu hii uliyopost hii mada siyo pake,kama mgeni angalia madokezo unapofungua jf.
      MzeeWaHoja
      Senior Member
      Join Date: Tue Jul 2009 (Piga hesabu ni wiki ngapi, angekuwa bado hajaanza hata kutambaa)
      Posts: 54
      Thanks: 0
      Thanked 2 Times in 2 Posts
      4 UR Business Solution

    22. #20
      Mbogela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2008
      Location : Tanzania
      Posts : 1,151
      Rep Power : 807
      Likes Received
      70
      Likes Given
      37

      Default Re: Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake

      Quote By kyakya
      Lugha kali sana hii Mkuu! Pengine ni mara yake ya kwanza kupanda ndege lakini kutoa lugha kama hii sidhani kama ni vyema! Tupo kuelimishana tu!
      Angalia thread za huyu mwenzetu hata anavyojiita mzee wa hoja sijui hoja zenyewe ndio zipi, tumemsaida kwa lugha ya kistaarabu ameshindikana, sasa anatakiwa kurudishwa kwenye mstari kwa nguvu. Angalia reply ngapi, bahti mbaya nimeondoa waliosoma hizo hoja zake na kuondoka bila kujibu kitu, Napendekeza watu muwe mnasusia hoja zisizotuletea Tija katika mskabari wa nchi hii.

      Thread / Thread Starter
      Replies
      Forum
      Kwanini wahudumu wa ndege huwa wanawake ( 1 2)
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      Kilichoandikwa na MwanaHalisi dhidi ya Shamsa Mwangunga chatimia Bungeni ( 1 2 3)
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      Wazungu vinara vya utumwa na si waarabu Afrika
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      Mbunge wa Mafia anaishi Dar? ( 1 2 3)
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      kikwete na 90% ya ushindi 2010 ( 1 2)
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      Barua ya wazi kwa wana jf
      MzeeWaHoja
      Complaints, Congrats, Advice
      Symbolism for African-Americans' History
      MzeeWaHoja
      International Forum
      Mh mkuchika usiitumie TFF ZFA kujinasua
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      Nipashe, Kulikoni , Gurdian Kulikoni? ( 1 2 3 4)
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      Spika Sita sheria hizi za uchaguzi zifutwe
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      Najitokeza kugombea Ubunge jimbo la Mafia 2010 ( 1 2)
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      Mwanahalisi lafilisika? ( 1 2 3)
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      Tumpongezeni JK kwa Uhuru huu ( 1 2 3)
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      Jukwaa la wahariri ,Moat vinaelekea wapi?
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      Tido muhando kutoka Bush house kuja Town
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      Ni wakati wa zfa kumtimua bushiri
      MzeeWaHoja
      Michezo (Sports & Games)
      BBC Swahili hamjali wasikilizaji wenu?
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      Ujumbe kwa salim dimani wa cuf ( 1 2)
      MzeeWaHoja
      Jukwaa la Siasa
      magazeti ya Tz na wachezaji wanaojaribiwa Ulaya
      MzeeWaHoja
      Michezo (Sports & Games)
      Ss kuwajibia mawaziri
      MzeeWaHoja
      Habari/Hoja mchanganyiko
      4 UR Business Solution

    23. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Wanawake huwa mna roho za namna gani?
      By Pitz in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 26
      Last Post: 13th November 2011, 17:52
    2. Wanawake huwa wanapenda/kuhitaji nini?
      By Mshiiri in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 92
      Last Post: 3rd October 2011, 00:09
    3. Kwanini huwa hivi???!!!
      By zaratustra in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 2
      Last Post: 25th September 2011, 23:11
    4. Wanawake.....huwa mnajisikiaje?
      By Salimia in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 68
      Last Post: 15th August 2011, 19:17
    5. Kwanini huwa tunaficha ukweli????
      By Eng. Smasher in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 9
      Last Post: 23rd June 2011, 15:02

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...