Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA! - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 3rd July 2009, 04:59 PM   #1
Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA!
Rutunga M Rutunga M is offline 3rd July 2009, 04:59 PM

wakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.

kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.

kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.

USHAURI:Kama wanaona ni muhimu kwa nini wasiaziashe wao wenyewe kwa gharama zao badala ya kugangania kugharamia na serikali

kazi kwenu.

Rutunga M
Member
Points: 85,349, Level: 100 Points: 85,349, Level: 100 Points: 85,349, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Mon Mar 2009
Posts: 36
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 606
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd July 2009, 05:10 PM
MaxShimba MaxShimba is offline
MaxShimba a bondservant of Jesus Christ
JF Premium Member
Points: 1,210,656, Level: 100 Points: 1,210,656, Level: 100 Points: 1,210,656, Level: 100
Activity: 56% Activity: 56% Activity: 56%
 
Join Date: Fri Apr 2008
Posts: 9,529
Thanks: 3,170
Thanked 6,138 Times in 2,984 Posts
Rep Power: 41
MaxShimba will become famous soon enoughMaxShimba will become famous soon enoughMaxShimba will become famous soon enoughMaxShimba will become famous soon enoughMaxShimba will become famous soon enoughMaxShimba will become famous soon enoughMaxShimba will become famous soon enoughMaxShimba will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

It does make a lot of sense.
__________________
For if I preach the gospel, I have nothing to boast of, for I am under compulsion; for woe is me if I do not preach the gospel. -1 Corinthians 9:16 ...
Reply With Quote
  #3  
Old 3rd July 2009, 05:26 PM
Ngongo Ngongo is offline
Ngongo has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 468,374, Level: 100 Points: 468,374, Level: 100 Points: 468,374, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Sep 2008
Posts: 722
Thanks: 157
Thanked 317 Times in 135 Posts
Rep Power: 23
Ngongo will become famous soon enoughNgongo will become famous soon enoughNgongo will become famous soon enoughNgongo will become famous soon enoughNgongo will become famous soon enoughNgongo will become famous soon enoughNgongo will become famous soon enoughNgongo will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Duh hii kali
Reply With Quote
  #4  
Old 3rd July 2009, 05:28 PM
ChiefmTz ChiefmTz is offline
ChiefmTz a Pro Chiefdom in Tz and he wants Uchief to be reinstated in Tanzania
Senior Member
Points: 83,379, Level: 100 Points: 83,379, Level: 100 Points: 83,379, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Apr 2008
Posts: 168
Thanks: 34
Thanked 9 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
ChiefmTz will become famous soon enoughChiefmTz will become famous soon enoughChiefmTz will become famous soon enoughChiefmTz will become famous soon enoughChiefmTz will become famous soon enoughChiefmTz will become famous soon enoughChiefmTz will become famous soon enoughChiefmTz will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Nani kakwambia
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd July 2009, 05:41 PM
Sinkala's Avatar
Sinkala Sinkala is offline
Sinkala edits your source codes from remote host
JF Senior Expert Member
Points: 105,229, Level: 100 Points: 105,229, Level: 100 Points: 105,229, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Mon Dec 2008
Location: Next door
Posts: 536
Thanks: 53
Thanked 112 Times in 75 Posts
Rep Power: 23
Sinkala will become famous soon enoughSinkala will become famous soon enoughSinkala will become famous soon enoughSinkala will become famous soon enoughSinkala will become famous soon enoughSinkala will become famous soon enoughSinkala will become famous soon enoughSinkala will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
Nani kakwambia
Obvious, si jamaa kule ameshasema John hawezi kusikiliza kesi za kiislamu?!!
__________________
He who laughs last thinks slowest!
Reply With Quote
  #6  
Old 3rd July 2009, 05:51 PM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Talking Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

hivi kesi za kiislamu ni zipi na za dini/imani nyingine ni zipi?
Reply With Quote
  #7  
Old 3rd July 2009, 05:59 PM
Babuyao Babuyao is online now
Babuyao has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 84,517, Level: 100 Points: 84,517, Level: 100 Points: 84,517, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Sat Jun 2009
Posts: 526
Thanks: 32
Thanked 50 Times in 35 Posts
Rep Power: 22
Babuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
wakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.

kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.

kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.

USHAURI:Kama wanaona ni muhimu kwa nini wasiaziashe wao wenyewe kwa gharama zao badala ya kugangania kugharamia na serikali

kazi kwenu.
Ulichosema ni kweli! Wanatafuta - jinsi mimi nionavyo - mambo mawili:
a. Ajira kama ulivyosema, tene ajira ya upendeleo maana ni waislamu tu
b. wanataka kuingiza ushawishi wa dini yao katika serikali. Wanatafuta KUTAWALA! Na wakifika hapo kwenye mahakama ya kadhi utawasikia. Watataka wapewe kitu kingine tena ndani ya serikali. Mahakama ya kadhi ni mlango wa kuingilia tu. mengine yatafuata baada ya hapo
Reply With Quote
  #8  
Old 3rd July 2009, 06:12 PM
Buchanan's Avatar
Buchanan Buchanan is offline
Buchanan has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 366,747, Level: 100 Points: 366,747, Level: 100 Points: 366,747, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Tue May 2009
Posts: 3,289
Thanks: 590
Thanked 1,283 Times in 771 Posts
Rep Power: 27
Buchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
Ulichosema ni kweli! Wanatafuta - jinsi mimi nionavyo - mambo mawili:
a. Ajira kama ulivyosema, tene ajira ya upendeleo maana ni waislamu tu
b. wanataka kuingiza ushawishi wa dini yao katika serikali. Wanatafuta KUTAWALA! Na wakifika hapo kwenye mahakama ya kadhi utawasikia. Watataka wapewe kitu kingine tena ndani ya serikali. Mahakama ya kadhi ni mlango wa kuingilia tu. mengine yatafuata baada ya hapo
Kweli tupu! Wanadai tu ianzishwe lakini hii ajenda ya uendeshaji wa mahakama hizo imefichwa kwa muda!
Reply With Quote
  #9  
Old 3rd July 2009, 06:57 PM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,305
Thanks: 10
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
Kweli tupu! Wanadai tu ianzishwe lakini hii ajenda ya uendeshaji wa mahakama hizo imefichwa kwa muda!
Mkuu hawajaificha, kwani jana wamesema wazi John hawezi kufanya ibada ya muislamu, wakimaanisha hawezi kuwa hakimu wa mahakama hiyo!

Mkuu unacho sahau, baada ya hiyo wataomba wtaalamu pia, hapo wataitaka serikali ianzishe chuo cha kutoa mfunzo kwa mahakimu wa mahakama hizo, ama iwapeleke sauidia? maka? irani? wakajifunze jinsi ya uendeshaji wa mahakama hizo na sheria zake.. yote hiyo hela ya mlipa kodi!

Halafu wanakomaa kweli, nadhani kuna shida sehemu, mtu huwezi dai upendeleo, inadaiwa haki!
Reply With Quote
  #10  
Old 3rd July 2009, 07:30 PM
Ng'azagala's Avatar
Ng'azagala Ng'azagala is offline
Ng'azagala has no status.
JF Premium Member
Points: 117,013, Level: 100 Points: 117,013, Level: 100 Points: 117,013, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sat Jun 2008
Location: Dar es Salaam
Posts: 331
Thanks: 193
Thanked 40 Times in 25 Posts
Rep Power: 22
Ng'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
wakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.

kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.

kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.

USHAURI:Kama wanaona ni muhimu kwa nini wasiaziashe wao wenyewe kwa gharama zao badala ya kugangania kugharamia na serikali

kazi kwenu.
hivi kuna mtu ana organisation structure ya mahakama za kadhi ambazo zipo sasa hivi? hivi ni kweli kuwa zinaanzia mwanzo mpaka mahakama kuu? du kazi kwelikweli
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
ajira, kadhi, mahakama, tatizo, waislamu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Hotuba Mbadala TAMISEMI: Slaa ataka Balali ajiuzulu; ambana Lowassa kuhusu Richmond John Mnyika Jukwaa la Siasa 13 16th December 2008 02:21 PM
When the Pressure Group Called ...before the hurricane.... Taasisi Jukwaa la Siasa 11 13th April 2008 10:50 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:13 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com