Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA! - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 3rd July 2009, 04:59 PM  
Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA!
Rutunga M Rutunga M is offline 3rd July 2009, 04:59 PM

wakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.

kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.

kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.

USHAURI:Kama wanaona ni muhimu kwa nini wasiaziashe wao wenyewe kwa gharama zao badala ya kugangania kugharamia na serikali

kazi kwenu.

Rutunga M
Member
Points: 85,349, Level: 100 Points: 85,349, Level: 100 Points: 85,349, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Mon Mar 2009
Posts: 36
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 604
Reply With Quote
  #11  
Old 3rd July 2009, 07:31 PM
Waberoya Waberoya is offline
Waberoya ni mchunguzaji
JF Premium Member
Points: 189,619, Level: 100 Points: 189,619, Level: 100 Points: 189,619, Level: 100
Activity: 67% Activity: 67% Activity: 67%
 
Join Date: Sun Aug 2008
Location: On Earth
Posts: 2,577
Thanks: 2,370
Thanked 1,438 Times in 722 Posts
Rep Power: 27
Waberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enoughWaberoya will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Mbona naona title anazungumzia waasia wa lamu? kenya? wengine mbona mmeanza kujadili kuhusu waislamu?

mkuu ipeleke kule kwenye international! sasa hap hatuna matatizo ya kazi, wala makahakama ya kadhi
__________________
‘’I have come to the conclusion that politics are too serious a matter to be left to the politicians’’. Charles De Gaulle (1890 - 1970)
Reply With Quote
  #12  
Old 3rd July 2009, 07:38 PM
Tumain's Avatar
Tumain Tumain is offline
Tumain has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 266,004, Level: 100 Points: 266,004, Level: 100 Points: 266,004, Level: 100
Activity: 48% Activity: 48% Activity: 48%
 
Join Date: Sun Jun 2009
Posts: 3,149
Thanks: 1,154
Thanked 1,065 Times in 683 Posts
Rep Power: 27
Tumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enoughTumain will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
wakuu,
kikubwa ambacho wasialam wanagangania kuhusu uanzishwaji wa mahjakama ya kadhi ni upanuzi wa ajira kwao kwa sababu ikianzishwa ni kama mfumo wa mahakama ya sasa ulivyo kwa maana ya mbali na kushugulikia masuala ya kiroho kama wanavyodai lakini hawasemi ni jinsi gani zinavyoendeshwa.

kama baadhi hamjui ngoja niwajulishe.
Kadhi mkuu atakuwa na wasaidizi kwa nchi nzima,watalipwa mishahara na serikali,watakuwa na ofisi,magari na kuingizwa katika ajira rasmi a serikali na taarifa nilizonazo kutoka kwa baadhi ya nchi ambazo utataribu huu upo ni kuwa hakuna mtu nje ya dini hiyo atakayeruhusiwa kuajira katika makakama za kadhi kuanzia kadhi mkuu hadi wa wilaya,Mwanzo.

kwa ufupi ni kuwa ikianzishwa kwa kodi ya waumini wa dini zote itakuwa bonge la ulaji kiajira kwa waislamu ndiyo maana wanakomaa nayo.

USHAURI:Kama wanaona ni muhimu kwa nini wasiaziashe wao wenyewe kwa gharama zao badala ya kugangania kugharamia na serikali

kazi kwenu.
a) Leta data na research inayoonyesha kwamba waislamu wanahitaji ajira zaidi kuliko wakristo?
b) Wewe ambaye si muislamu unajuaje umuhimu wa mahakama kama siyo ubinafsi na chuki zako..
c) Gharama ngapi serikali ime-finance miradi ambayo inahudumia dini moja (wakristo) waislamu hawakuja na hoja za kipuuzi kama hizi
d) You can postpnent the issue lakini lazima itakuwepo wakati huo itakuwa too late kujadili kwa busara kama sasa
Reply With Quote
  #13  
Old 3rd July 2009, 07:44 PM
Buchanan's Avatar
Buchanan Buchanan is online now
Buchanan has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 366,311, Level: 100 Points: 366,311, Level: 100 Points: 366,311, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Tue May 2009
Posts: 3,288
Thanks: 590
Thanked 1,278 Times in 770 Posts
Rep Power: 27
Buchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
Mkuu hawajaificha, kwani jana wamesema wazi John hawezi kufanya ibada ya muislamu, wakimaanisha hawezi kuwa hakimu wa mahakama hiyo!

Mkuu unacho sahau, baada ya hiyo wataomba wtaalamu pia, hapo wataitaka serikali ianzishe chuo cha kutoa mfunzo kwa mahakimu wa mahakama hizo, ama iwapeleke sauidia? maka? irani? wakajifunze jinsi ya uendeshaji wa mahakama hizo na sheria zake.. yote hiyo hela ya mlipa kodi!

Halafu wanakomaa kweli, nadhani kuna shida sehemu, mtu huwezi dai upendeleo, inadaiwa haki!
Kule Zanzibar Kadhi Mkuu huteuliwa na Rais wa Zanzibar kwa mujibu wa Kadhis Courts Act, 1985. Huo mfano hautoshi tu kuwaambia kuwa inayotakiwa ni ajira? Hiyo ibada ni geresha tu. Kwani kuna mtu kawazuia kuamua talaka, mirathi na ndoa kivyao bila kuhitaji kuingizwa kwenye mfumo wa sheria za nchi?
Reply With Quote
  #14  
Old 3rd July 2009, 07:53 PM
Buchanan's Avatar
Buchanan Buchanan is online now
Buchanan has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 366,311, Level: 100 Points: 366,311, Level: 100 Points: 366,311, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Tue May 2009
Posts: 3,288
Thanks: 590
Thanked 1,278 Times in 770 Posts
Rep Power: 27
Buchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
a) Leta data na research inayoonyesha kwamba waislamu wanahitaji ajira zaidi kuliko wakristo?
b) Wewe ambaye si muislamu unajuaje umuhimu wa mahakama kama siyo ubinafsi na chuki zako..
c) Gharama ngapi serikali ime-finance miradi ambayo inahudumia dini moja (wakristo) waislamu hawakuja na hoja za kipuuzi kama hizi
d) You can postpnent the issue lakini lazima itakuwepo wakati huo itakuwa too late kujadili kwa busara kama sasa
Wewe mwenyewe umeingia kichwakichwa bila data za hiyo miradi halafu unataka upewe data. Lete za kwako kwanza!
Reply With Quote
  #15  
Old 3rd July 2009, 08:03 PM
share share is offline
share committed/patriotic
Senior Member
Points: 169,101, Level: 100 Points: 169,101, Level: 100 Points: 169,101, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Nov 2008
Posts: 192
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 62
share is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the roughshare is a jewel in the rough
Default Re: Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Waislamu kwa kuikomalia mahakama ya kadhi wanadhani ni werevu kumbe wanajiaibisha wenyewe. Wanajiaibisha kuwa hawana central organization inayoweza kuratibu mambo yao wanayoyaita ya "ibada" badala yake wanaomba msaada wa serikali. Yaani sasa mambo yao ya "ibada" yaamuliwe na Bunge Dodoma kisha yagharimiwe na kodi za watanzania wote ambao si wote ni waislamu. Wanajiaibisha pia kwa sababu mambo ya ndoa kila dini nchini ina mahakama zake, mfano wakatoliki wana "Marriage tribunals" kuanzia vigangoni mpaka Taifani na wala hawajaomba msaada wa serikali hata siku moja kuzianzisha au kuziendesha, na mambo yanaendelea vizuri kabisa. Waislamu kudai mahakama ya kadhi inayogharimiwa na serikali wanajiaibisha kuwa hawakuwa na akili ya kufikiria namna ya kuzianzisha wenyewe na akili ya kuzihudumia kwa gharama zao. Sasa kama kila dini na dhehebu nchini itadai mahakama yake ianzishwe na serikali tutakuwa na mahakama ngapi? Gharama hizo zitatoka wapi wakati hizi zilizokuwepo ZA SERIKALI zina upungufu wa bajeti. UJINGA mtupu. HATUTAKI kodi zetu zitumike kwaajili ya mahakama za kiislamu. Kama hawawezi kuzianzisha wenyewe kutimiza "ibada" zao basi wasitusumbue sisi. NI UPUMBAVU.
Reply With Quote
  #16  
Old 3rd July 2009, 08:13 PM
Ng'azagala's Avatar
Ng'azagala Ng'azagala is offline
Ng'azagala has no status.
JF Premium Member
Points: 116,946, Level: 100 Points: 116,946, Level: 100 Points: 116,946, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sat Jun 2008
Location: Dar es Salaam
Posts: 331
Thanks: 193
Thanked 40 Times in 25 Posts
Rep Power: 22
Ng'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enoughNg'azagala will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Kuna baadhi ya tips kuhusu kadhi’s court kwenye hii discussion ya wenzetu hapo kenya nimezisoma hapa http://www.constitutionnet.org/files/KERE02-535.pdf.
Nimekatakata ili kuweka issues za kadhi’s court tu. mjaribu kuogelea hapo mnaweza kupata chochote

Let us then move to Article 192, the High Court; Mahakama kuu na inasema hivi: “Mahakama Kuu inajumuhisha
(a) Jaji kiongozi wa Mahakama
(b) Idadi ya Majaji wasiopungua hamsini kama itakavyoelezwa na sheria ya Bunge.
2. Jaji Kiongozi anaweza, kwa kushauriana na Jaji Mkuu, kuunda vitengo vya Mahakama kuu na kufafanua mamlaka ya kisheria ya vitengo hivyo.” Hapo chini kuna mamlaka ya kisheria ya mahakama kuu na mnaweza kusoma. ………………………………………………..
I want now to take you to the Kadhi’s Court and that is in Article 199 na inasema hivi; Mahakama za Kadhi “Kuna mahakama za Kadhi, ofisi ya Kadhi Mkuu, ofisi ya Kadhi mwandamizi na ofisi ya Kadhi.
Kutakuwa na idadi isiyopungua thelathini ya Makadhi wengine kama itakavyofafanuliwa na sheria za Bunge.
Kadhi amewezeshwa kushikilia Mahakama ya Kadhi inayojulikana kama Mahakama ya Kadhi ya wilaya akiwa na uwezo wa kisheria katika wilaya moja au wilaya nyingi kama inavyofafanuliwa chini ya au na sheria ya Bunge.
Then we have qualifications but before I go to qualifications of Kadhis, I want to take you to qualifications for appointment of Judges, Article 195 page 24. If you read the qualification for the appointment of Judges, just go to article 195 b and c and you will find some conditions, which the new Constitution is recommending for the
………………………………………….
………………………..
2. On attaining the retirement age, a Judge of the Superior Courts of record may continue in office for a period not exceeding six order to enable the Judge to deliver judgement or perform any other functions related to proceedings that were commenced before the judge prior to attaining the age of retirement. So that is about the age of retirement na ukiwa una maoni fulani, you are free to give it.
The kadhi’s courts that I have read to you, our brothers of the Muslim community felt that their interests also need to be catered for in terms of Islamic or Muslim interpretation and therefore we have decided to level the courts up to the level of the high court but I would like to read qualification for appointment of Kadhis in Article 202, for the interest of the Muslim community. We are recommending the following
1. A person is qualified to be appointed as Chief Kadhi if that person
(a) is a Muslim of not less than thirty-five years of age
(b) is an advocate of the high court of Kenya of at least ten years experience as a legal practitioner and has attended and obtained a recognized qualification in Muslim Personal Law application to any sect or sects of Islam from a recognized University.
(c) has obtained a degree in Islamic Law from a recognized University and has not less than 10 years in the practice of Islamic law or has held the office of a Kadhi for a similar period.
………………………………………………….
……………………………………………………..
The High Court Kadhi: The Muslims have been given the power to have a High Court. Now, you know the rules of Muslims are able to sentence somebody got in illegal sex, someone gets buried while standing to the head and the Constitution is saying there is no difference. How are we going to do it if the High Court and Chief Kadhi are able to profer their laws?
They will actually seal the sentence. Thank you very much, that is my contribution.

unaweza fungua link hapo juu upate zaidi
Reply With Quote
  #17  
Old 3rd July 2009, 08:23 PM
Bw.Ukoko Bw.Ukoko is offline
Bw.Ukoko has no status.
Member
Points: 70,551, Level: 100 Points: 70,551, Level: 100 Points: 70,551, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 26
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Bw.Ukoko will become famous soon enoughBw.Ukoko will become famous soon enoughBw.Ukoko will become famous soon enoughBw.Ukoko will become famous soon enoughBw.Ukoko will become famous soon enoughBw.Ukoko will become famous soon enoughBw.Ukoko will become famous soon enoughBw.Ukoko will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
hivi kuna mtu ana organisation structure ya mahakama za kadhi ambazo zipo sasa hivi? hivi ni kweli kuwa zinaanzia mwanzo mpaka mahakama kuu? du kazi kwelikweli


Tena,kuna kitu akijaandikwa
Ni kuwa katika uendeshaji wa mahakama ya kadhi yale masuala ya ugomvi kati ya wenye dini hiyo na waumini tofauti na wao yatakuwa yakipelekwa kwenye mahakama hizo badala ya kufikishwa katika mahakama za kiaserikali.

mfano.
(1)Musa akivunja ndoa ya james kwa kumuoa mkewe,kesi hiyo itapelekwa kwa kadhi badala ya ustawi wa jamii au mahakama za serikali
(2)Rashid akimfumania Josep akiwa na mkewe,kisha kumcharanga mapanga kesi hiyo itatua kwa kadhi badala ya mahakama za kiserikali

LAKINI:Mahakama hizo pia zina umuhimu kwa baadhi ya masuala ya kiroho kwa dini moja ya kiisalam hivyo nadhani ni bora wajigharamie wao wenyewe.

Nafanya kila linalowezekana kuweka humu muundo wa mahakama hiyo,
Reply With Quote
  #18  
Old 3rd July 2009, 08:26 PM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is offline
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 125,915, Level: 100 Points: 125,915, Level: 100 Points: 125,915, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,355
Thanks: 949
Thanked 1,285 Times in 787 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa wasialamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
a) Leta data na research inayoonyesha kwamba waislamu wanahitaji ajira zaidi kuliko wakristo?
b) Wewe ambaye si muislamu unajuaje umuhimu wa mahakama kama siyo ubinafsi na chuki zako..
c) Gharama ngapi serikali ime-finance miradi ambayo inahudumia dini moja (wakristo) waislamu hawakuja na hoja za kipuuzi kama hizi
d) You can postpnent the issue lakini lazima itakuwepo wakati huo itakuwa too late kujadili kwa busara kama sasa
Mkuu Tumain,
Hiyo kwenye nyekundu hebu tupe mifano halisi rafiki yangu ili tujiridhishe.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to rmashauri For This Useful Post:
Mazingira (27th October 2009)
  #19  
Old 3rd July 2009, 08:47 PM
Buchanan's Avatar
Buchanan Buchanan is online now
Buchanan has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 366,311, Level: 100 Points: 366,311, Level: 100 Points: 366,311, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Tue May 2009
Posts: 3,288
Thanks: 590
Thanked 1,278 Times in 770 Posts
Rep Power: 27
Buchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enoughBuchanan will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

Quote:
View Post
Waislamu kwa kuikomalia mahakama ya kadhi wanadhani ni werevu kumbe wanajiaibisha wenyewe. Wanajiaibisha kuwa hawana central organization inayoweza kuratibu mambo yao wanayoyaita ya "ibada" badala yake wanaomba msaada wa serikali. Yaani sasa mambo yao ya "ibada" yaamuliwe na Bunge Dodoma kisha yagharimiwe na kodi za watanzania wote ambao si wote ni waislamu. Wanajiaibisha pia kwa sababu mambo ya ndoa kila dini nchini ina mahakama zake, mfano wakatoliki wana "Marriage tribunals" kuanzia vigangoni mpaka Taifani na wala hawajaomba msaada wa serikali hata siku moja kuzianzisha au kuziendesha, na mambo yanaendelea vizuri kabisa. Waislamu kudai mahakama ya kadhi inayogharimiwa na serikali wanajiaibisha kuwa hawakuwa na akili ya kufikiria namna ya kuzianzisha wenyewe na akili ya kuzihudumia kwa gharama zao. Sasa kama kila dini na dhehebu nchini itadai mahakama yake ianzishwe na serikali tutakuwa na mahakama ngapi? Gharama hizo zitatoka wapi wakati hizi zilizokuwepo ZA SERIKALI zina upungufu wa bajeti. UJINGA mtupu. HATUTAKI kodi zetu zitumike kwaajili ya mahakama za kiislamu. Kama hawawezi kuzianzisha wenyewe kutimiza "ibada" zao basi wasitusumbue sisi. NI UPUMBAVU.
Hawa jamaa wanataka mambo yao yapitie Dodoma kwa sababu yameambatana na kupiga watu mawe, kuchapa viboko hadharani, kukata mikono ya watu, nk. Kwa hiyo wanataka kuyatafutia uhalali wa kisheria ili baadaye ije kuwa ngumu kuyaondoa kama tukiona mabaya. Nigeria kuna mama mmoja, Amina kama sikosei, ameponea chupuchupu kupigwa mawe kwa hizo mahakama za Kadhi.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Buchanan For This Useful Post:
Mazingira (27th October 2009)
  #20  
Old 3rd July 2009, 08:50 PM
Lukundo Lukundo is offline
Lukundo has no status.
Senior Member
Points: 63,527, Level: 100 Points: 63,527, Level: 100 Points: 63,527, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Posts: 61
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Lukundo will become famous soon enoughLukundo will become famous soon enoughLukundo will become famous soon enoughLukundo will become famous soon enoughLukundo will become famous soon enoughLukundo will become famous soon enoughLukundo will become famous soon enoughLukundo will become famous soon enough
Default Re: Tatizo kwa Waislamu si mahakama ya kadhi,ni AJIRA !

alichosema na kuandika Lutunga ni sahihi hasa, lakini ndo imeshatoka hivyo. naamini serikali japo ya wasanii haitakula matapishi yake. Lakini pia najiuliza, mbona wakristu wanaaina zao za kusolve matatizo yao bila kuingiliwa na serikali, kwani wenzangu waislamu tusifuate mfumo huo?
TUSIPOENDA SHULE, TUTAENDESHWA KWA HISIA KAMA WENZETU WA SOMALIA, AFGHAN, PAKISTANI. NASHAURI TUSOME SANA. TUSIMTISHIE MTU MZIMA NYAU KWA KUSEMA HATUTAICHAGUA CCM.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
ajira, kadhi, mahakama, tatizo, waislamu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Hotuba Mbadala TAMISEMI: Slaa ataka Balali ajiuzulu; ambana Lowassa kuhusu Richmond John Mnyika Jukwaa la Siasa 13 16th December 2008 02:21 PM
When the Pressure Group Called ...before the hurricane.... Taasisi Jukwaa la Siasa 11 13th April 2008 10:50 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:56 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com