| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 757
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mkuu
Sina habari za undani kuliko za kwako ila......mimi pia nililisikia kwa marafiki zangu 2 wa karibu ambao wanafanya kazi wazoefu kwenye mabenki 2 tofauti hapo Dar. Sikuwa na muda wa kuifuatilia sana ila walikuwa na wasiwasi kuwa huenda ni DECI ...hitimisho lilikuwa watajiandikisha na kwamba iwapo itatokea wakaliwa hela hiyo laki 5 kwao sio kitu.
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007. |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
![]() |
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mazoa yasipopatikana inakuwaje? Tuseme wadaudu wamevamia shamba na kuharibu mazao. Market ya mazao isipokuwepo mwaka huo inakuaje?
Kwa mahesabu yangu hiyo laki tano inatakiwa izalishe 1.5 x 4 = 6 mil - 800,000= 5.2 mil + magunia 20 ya mahindi. Ukubwa wa faidia ukifananisha na mtaji unanitia wasiwasi, lakini ni bora uongee na mtu ambaye amewahi kulima akueleze kama hizo faida zinawezekana kweli.
__________________
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.” |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ukisikiliza maelezo (story behind) yanashawishi ila kwa vile wajanja wengi siku hizi ndo maana ni vyema kama kuna mtu anadata za uhakika wa hii kitu akazimwaga, ili kama ni kweli watu wachangamkie hizi nafasi. Alisema wana na tangazo lao redioni linasema ''kwanini unahangaika kulima kwa jembe la mkono, nenda TOPPETA? watakulimia kwa trekta'', binafsi sijawai lisikia kwani huwa sifungulii sana hiyo Redio TUMAINI alo sema lipo! |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mapato ya jumla ya 1.7 au Milioni 1.5 net kwa mteja/mkulima kwa hekari ni faida kubwa mno. Sababu; wakati wa msimu wa mavuno wa Mahindi (kama mfano, sijui wao wanapanga kulima nini) kwa Dar kila gunia huuzwa kati ya Shs 5000 - 8000 vijijini/mashambani ni chini zaidi. Sijui bei ya mpunga wakati wa msimu wa mavuno kwa Dar au Mashambani (mwenye info tafadhali) atusaidie. Kwa hesabu ya gunia 1 shs 8000 ili upate Shs 1.7 Milioni unahitani maguni 212 kwa hekari..!!! Au kama ni kuvuna mara 2 kwa mwaka basi kila mavuno upate Magunia 106 kwa hekari..!!! Huo utakuwa muujiza. Najilaumu kwa nini sikuwafuata ofisini kwao niwasikilize kwa makini.
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007. |
|
#7
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Hela inawekezwa na kuzaa na sio kuwekwa kwenye chungu ili izae kwa miujiza.
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007. |
|||||||||||||||
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
hii inatia matumaini kidogo kuliko deci kwa sababu angalau wanachotaka kukifanya kipo wazi na kina ingia akili ....japo kuwa faida inaonekana kubwa mno kwa mtaji mdogo.
|
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Naona kila mmoja anaongea kwa hisia na labda nyingi sana. mimi pia ninazo habari za huu mradi na nilienda ofisini kwao kueleweshwa vizuri.
Kwa kuwa kuna maswali mengi na majibu yake mengine ni more technical kwetu sisi sote na kwa kuwa mtoa mada anatoa pia ushauri kwa wanajamii kuchangamkia hii oppotunity, nashauri yafuatayo\; 1. badala ya kuendelea na hisia, wenye nia njema waende ofisini kwao karibu na mnazi mmoja jengo ambalo kwa chini kuna duka la top shop nafikiri ni ghoropha ya tano au ya sita. 2. Kuna darasa la kuelimisha watu wote wanaotaka kujiunga, maelezo ni bure na yatahusisha juhudi ambazo zimefanyika ikiwa ni pamoja na kulipima eneo lenyewe na namna ya umwagiliaji pamoja na namna mradi utakavyendeshwa kwa muda wa miaka kumi. Kuna issue pia ya masoko yaliyopo ya ndani na nje ikiwemo serikali kununua kwa ajili ya akiba ya chakula nchini. Mimi sijapata hiyo laki tano lakini ikitimia tu nawahi mapema kwa kuwa nilielimika na nikapewa pia makabrasha yanayousiana na huo mradi. Naamini mradi huu usipoingizwa siasa unaweza kabisha kuliondoa taifa hili kwenye njaa inayojirudia mara kwa mara. |
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Kwa hiyo hiyo 1.5 inawezekana mkuu ukichukulia mpunga. Lakini bado sina hakika mkuu, siku hizi Bongo ni mwendo wa Nigeria, watu wanajua jinsi ya kukusanya pesa toka kwa walala hoi chap chap! Jamani leteni data mnao jua hii TEDTI, RUDIDEA, Topea? KIMUDEA? et al.. kwani ndo majina yanayo tajwa huko!
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 08:36 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||