Tetesi: TEDET nayo ni kama DECI? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 3rd July 2009, 03:19 PM   #1
TEDET nayo ni kama DECI?
Rwabugiri Rwabugiri is offline 3rd July 2009, 03:19 PM

Kuna jamaa yangu kaniambia kwamba kuna hiyo association inaitwa TEDET (Tanzania Eco-Development Trust), kwamba inakusanya hela za wanachama kiingilio sh. laki 5 (500.000) ambayo inajumuisha kiingilio ada ya uanachama na shamba la ukubwa wa hekari 5 huko bonde la mto RUFIJI. Kasema makubaliano ni kwamba mwanachama anapewa hilo shamba heka 5, ila anakuwa analimiwa hilo shamba heka 4 mazao ya biashara na heka moja mazao ya chakula.

Mazao ya chakula atakuwa akipewa magunia 20 ya mahindi /mpunga kwa msimu yaani misimu miwili kwa mwaka, wakati mazao ya biashara yatakuwa yakiuzwa kwa pamoja masoko ya nje na kila heka ikikadiliwa kutoa mazao ya wastani wa thamani ya milioni 1.5, lakini mkulima atakuwa akikatwa laki 2 kila heka kama garama ya uendeshaji.

Kasema hiyo Tedeti inashirikiana na KIMUDEA umoja wa wakulima wilaya ya Kinondoni, na wakazi wa Rufiji chini ya umoja wao wa RUDIDEA na kwamba wanachama wanapelekwa kuonyeshwa mashamba huko Rufiji.

Nilipo search goggle nikakuta kweli hiyo kitu ilikuwepo toka mwaka 2006, na mwenyekiti wake ni Dr. Mugishagwe. Na kuna pesa mamilioni mengi, toka kwa wafadhili zimekuwa zikiingia huko TEDET, taarifa zipo ukigoogle za upokeaji wa pesa hizo. Hakuna taarifa zaidi kuhusu huu umoja, kilimo hata hizo ada za uanachama.. Kasema ofisi zao zipo MASASI HOUSE KARIAKOO?

Kweli nikaona maelezo yake ni mazuri, lakini nikapata hofu kwamba je hii haiwezi kuwa DECI ama PUFDEA nyingine? Manake hii kusanya ya kiingilio cha laki 5 kila mwanachama, na kasema wanatakiwa wanachama elfu 10,000. Na kasema wengi sana wamejiunga. Na ahadi ni kwamba wanaanza kilimo mwaka huu.

Ndipo nikaona pengine niimwage hapa kwenye Jamvi nene labda kuna wenye datas za uhakika nisije ingia mkenge wa DECI no.2

Na kama kweli si DECI, basi wanajamvi tuchangamkie uanachama kwani maelezo yake ni mazuri.

Asante wakuu.

Mod. tafadhali iacheni kwa muda hapa tupate datas

Rwabugiri
JF Senior Expert Member
Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,305
Thanks: 10
Thanked 8 Times in 8 Posts
Views: 757
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd July 2009, 03:53 PM
Yebo Yebo Yebo Yebo is offline
Yebo Yebo has no status.
JF Premium Member
Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 2,771
Thanks: 853
Thanked 240 Times in 116 Posts
Rep Power: 29
Yebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Mkuu

Sina habari za undani kuliko za kwako ila......mimi pia nililisikia kwa marafiki zangu 2 wa karibu ambao wanafanya kazi wazoefu kwenye mabenki 2 tofauti hapo Dar. Sikuwa na muda wa kuifuatilia sana ila walikuwa na wasiwasi kuwa huenda ni DECI ...hitimisho lilikuwa watajiandikisha na kwamba iwapo itatokea wakaliwa hela hiyo laki 5 kwao sio kitu.
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007.
Reply With Quote
  #3  
Old 3rd July 2009, 04:24 PM
msabato masalia msabato masalia is offline
msabato masalia has no status.
Senior Member
Points: 90,437, Level: 100 Points: 90,437, Level: 100 Points: 90,437, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2008
Posts: 97
Thanks: 9
Thanked 14 Times in 5 Posts
Rep Power: 22
msabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enoughmsabato masalia will become famous soon enough
Talking Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Mkuu

Sina habari za undani kuliko za kwako ila......mimi pia nililisikia kwa marafiki zangu 2 wa karibu ambao wanafanya kazi wazoefu kwenye mabenki 2 tofauti hapo Dar. Sikuwa na muda wa kuifuatilia sana ila walikuwa na wasiwasi kuwa huenda ni DECI ...hitimisho lilikuwa watajiandikisha na kwamba iwapo itatokea wakaliwa hela hiyo laki 5 kwao sio kitu.
Shotikati jamani!!!!!!!!!Dk.Remmy alisema ukinywa bia usipite vichochoroni....utakabwa...........!!!!!!MKULO,Ndu lu vibaka wengine hao,wafakamie kama mwewe au kama helkopta ya Mbowe.
Reply With Quote
  #4  
Old 3rd July 2009, 04:54 PM
Kang's Avatar
Kang Kang is online now
Kang has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 269,767, Level: 100 Points: 269,767, Level: 100 Points: 269,767, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 1,357
Thanks: 0
Thanked 114 Times in 78 Posts
Rep Power: 24
Kang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Mazoa yasipopatikana inakuwaje? Tuseme wadaudu wamevamia shamba na kuharibu mazao. Market ya mazao isipokuwepo mwaka huo inakuaje?

Kwa mahesabu yangu hiyo laki tano inatakiwa izalishe 1.5 x 4 = 6 mil - 800,000= 5.2 mil + magunia 20 ya mahindi.
Ukubwa wa faidia ukifananisha na mtaji unanitia wasiwasi, lakini ni bora uongee na mtu ambaye amewahi kulima akueleze kama hizo faida zinawezekana kweli.
__________________
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd July 2009, 05:02 PM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,305
Thanks: 10
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Mazoa yasipopatikana inakuwaje? Tuseme wadaudu wamevamia shamba na kuharibu mazao. Market ya mazao isipokuwepo mwaka huo inakuaje?

Kwa mahesabu yangu hiyo laki tano inatakiwa izalishe 1.5 x 4 = 6 mil - 800,000= 5.2 mil + magunia 20 ya mahindi.
Ukubwa wa faidia ukifananisha na mtaji unanitia wasiwasi, lakini ni bora uongee na mtu ambaye amewahi kulima akueleze kama hizo faida zinawezekana kweli.
Kwa maelezo ya yule jamaa make nasema ilibidi waingie darasani wafundishwe na kuelekezwa itakavo kuwa, anasema hayo mashamba yatakuwa yanakatiwa bima, ya majanga kama hayo hata ya mabadiliko ya bei kuhakikisha kwamba mkulima hakosi hiyo 1.5 kwa heka moja!

Ukisikiliza maelezo (story behind) yanashawishi ila kwa vile wajanja wengi siku hizi ndo maana ni vyema kama kuna mtu anadata za uhakika wa hii kitu akazimwaga, ili kama ni kweli watu wachangamkie hizi nafasi.

Alisema wana na tangazo lao redioni linasema ''kwanini unahangaika kulima kwa jembe la mkono, nenda TOPPETA? watakulimia kwa trekta'', binafsi sijawai lisikia kwani huwa sifungulii sana hiyo Redio TUMAINI alo sema lipo!
Reply With Quote
  #6  
Old 3rd July 2009, 05:20 PM
Yebo Yebo Yebo Yebo is offline
Yebo Yebo has no status.
JF Premium Member
Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 2,771
Thanks: 853
Thanked 240 Times in 116 Posts
Rep Power: 29
Yebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Kwa maelezo ya yule jamaa make nasema ilibidi waingie darasani wafundishwe na kuelekezwa itakavo kuwa, anasema hayo mashamba yatakuwa yanakatiwa bima, ya majanga kama hayo hata ya mabadiliko ya bei kuhakikisha kwamba mkulima hakosi hiyo 1.5 kwa heka moja!

Ukisikiliza maelezo (story behind) yanashawishi ila kwa vile wajanja wengi siku hizi ndo maana ni vyema kama kuna mtu anadata za uhakika wa hii kitu akazimwaga, ili kama ni kweli watu wachangamkie hizi nafasi.

Alisema wana na tangazo lao redioni linasema ''kwanini unahangaika kulima kwa jembe la mkono, nenda TOPPETA? watakulimia kwa trekta'', binafsi sijawai lisikia kwani huwa sifungulii sana hiyo Redio TUMAINI alo sema lipo!

Mapato ya jumla ya 1.7 au Milioni 1.5 net kwa mteja/mkulima kwa hekari ni faida kubwa mno. Sababu; wakati wa msimu wa mavuno wa Mahindi (kama mfano, sijui wao wanapanga kulima nini) kwa Dar kila gunia huuzwa kati ya Shs 5000 - 8000 vijijini/mashambani ni chini zaidi. Sijui bei ya mpunga wakati wa msimu wa mavuno kwa Dar au Mashambani (mwenye info tafadhali) atusaidie.

Kwa hesabu ya gunia 1 shs 8000 ili upate Shs 1.7 Milioni unahitani maguni 212 kwa hekari..!!! Au kama ni kuvuna mara 2 kwa mwaka basi kila mavuno upate Magunia 106 kwa hekari..!!! Huo utakuwa muujiza.

Najilaumu kwa nini sikuwafuata ofisini kwao niwasikilize kwa makini.
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007.
Reply With Quote
  #7  
Old 3rd July 2009, 05:24 PM
Yebo Yebo Yebo Yebo is offline
Yebo Yebo has no status.
JF Premium Member
Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 2,771
Thanks: 853
Thanked 240 Times in 116 Posts
Rep Power: 29
Yebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Shotikati jamani!!!!!!!!!Dk.Remmy alisema ukinywa bia usipite vichochoroni....utakabwa...........!!!!!!MKULO,Ndu lu vibaka wengine hao,wafakamie kama mwewe au kama helkopta ya Mbowe.
Mkuu...hii sio shotikati ni sawa na umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu...au??

Hela inawekezwa na kuzaa na sio kuwekwa kwenye chungu ili izae kwa miujiza.
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007.
Reply With Quote
  #8  
Old 3rd July 2009, 05:52 PM
Gaijin Gaijin is offline
Gaijin has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 113,904, Level: 100 Points: 113,904, Level: 100 Points: 113,904, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Tue Aug 2007
Posts: 1,321
Thanks: 23
Thanked 105 Times in 67 Posts
Rep Power: 25
Gaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

hii inatia matumaini kidogo kuliko deci kwa sababu angalau wanachotaka kukifanya kipo wazi na kina ingia akili ....japo kuwa faida inaonekana kubwa mno kwa mtaji mdogo.
Reply With Quote
  #9  
Old 3rd July 2009, 05:59 PM
Hekima Ufunuo Hekima Ufunuo is offline
Hekima Ufunuo has no status.
Senior Member
Points: 64,149, Level: 100 Points: 64,149, Level: 100 Points: 64,149, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu May 2009
Posts: 65
Thanks: 8
Thanked 12 Times in 10 Posts
Rep Power: 21
Hekima Ufunuo will become famous soon enoughHekima Ufunuo will become famous soon enoughHekima Ufunuo will become famous soon enoughHekima Ufunuo will become famous soon enoughHekima Ufunuo will become famous soon enoughHekima Ufunuo will become famous soon enoughHekima Ufunuo will become famous soon enoughHekima Ufunuo will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Naona kila mmoja anaongea kwa hisia na labda nyingi sana. mimi pia ninazo habari za huu mradi na nilienda ofisini kwao kueleweshwa vizuri.

Kwa kuwa kuna maswali mengi na majibu yake mengine ni more technical kwetu sisi sote na kwa kuwa mtoa mada anatoa pia ushauri kwa wanajamii kuchangamkia hii oppotunity, nashauri yafuatayo\;

1. badala ya kuendelea na hisia, wenye nia njema waende ofisini kwao karibu na mnazi mmoja jengo ambalo kwa chini kuna duka la top shop nafikiri ni ghoropha ya tano au ya sita.

2. Kuna darasa la kuelimisha watu wote wanaotaka kujiunga, maelezo ni bure na yatahusisha juhudi ambazo zimefanyika ikiwa ni pamoja na kulipima eneo lenyewe na namna ya umwagiliaji pamoja na namna mradi utakavyendeshwa kwa muda wa miaka kumi. Kuna issue pia ya masoko yaliyopo ya ndani na nje ikiwemo serikali kununua kwa ajili ya akiba ya chakula nchini.

Mimi sijapata hiyo laki tano lakini ikitimia tu nawahi mapema kwa kuwa nilielimika na nikapewa pia makabrasha yanayousiana na huo mradi. Naamini mradi huu usipoingizwa siasa unaweza kabisha kuliondoa taifa hili kwenye njaa inayojirudia mara kwa mara.
Reply With Quote
  #10  
Old 3rd July 2009, 06:02 PM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,305
Thanks: 10
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Mapato ya jumla ya 1.7 au Milioni 1.5 net kwa mteja/mkulima kwa hekari ni faida kubwa mno. Sababu; wakati wa msimu wa mavuno wa Mahindi (kama mfano, sijui wao wanapanga kulima nini) kwa Dar kila gunia huuzwa kati ya Shs 5000 - 8000 vijijini/mashambani ni chini zaidi. Sijui bei ya mpunga wakati wa msimu wa mavuno kwa Dar au Mashambani (mwenye info tafadhali) atusaidie.

Kwa hesabu ya gunia 1 shs 8000 ili upate Shs 1.7 Milioni unahitani maguni 212 kwa hekari..!!! Au kama ni kuvuna mara 2 kwa mwaka basi kila mavuno upate Magunia 106 kwa hekari..!!! Huo utakuwa muujiza.

Najilaumu kwa nini sikuwafuata ofisini kwao niwasikilize kwa makini.
Mkuu angalia hesabu yako, kwa kawaida kama umelima mpunga kama mavuno si mazuri walau unaambulia gunia 15. lakini huwa unaweza pata hadi gunia 20-25. na bei ya mpunga mkuu ukipanda huwa ni kwenye elfu 70, wakati wa mavuno huwa iko chini kwenye elfu 30-45. Kama nakosea nisahihishwe wakuu, ila niliwahi ongea na mkulima wa Mpunga Moro ndo alinipa data hizo!.
Kwa hiyo hiyo 1.5 inawezekana mkuu ukichukulia mpunga.

Lakini bado sina hakika mkuu, siku hizi Bongo ni mwendo wa Nigeria, watu wanajua jinsi ya kukusanya pesa toka kwa walala hoi chap chap!

Jamani leteni data mnao jua hii TEDTI, RUDIDEA, Topea? KIMUDEA? et al.. kwani ndo majina yanayo tajwa huko!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Budget Mbadala 2008/09 Kahangwa Jukwaa la Siasa 1 18th June 2009 03:09 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 08:36 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com