TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 2 of 2 FirstFirst 1 2
Results 21 to 28 of 28
  1. #1
    JF Senior Expert Member Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    2,391
    Thanks : 72
    Thanked 65 Times in 34 Posts
    Rep Power
    28

    Default TEDET nayo ni kama DECI?

    Kuna jamaa yangu kaniambia kwamba kuna hiyo association inaitwa TEDET (Tanzania Eco-Development Trust), kwamba inakusanya hela za wanachama kiingilio sh. laki 5 (500.000) ambayo inajumuisha kiingilio ada ya uanachama na shamba la ukubwa wa hekari 5 huko bonde la mto RUFIJI. Kasema makubaliano ni kwamba mwanachama anapewa hilo shamba heka 5, ila anakuwa analimiwa hilo shamba heka 4 mazao ya biashara na heka moja mazao ya chakula.

    Mazao ya chakula atakuwa akipewa magunia 20 ya mahindi /mpunga kwa msimu yaani misimu miwili kwa mwaka, wakati mazao ya biashara yatakuwa yakiuzwa kwa pamoja masoko ya nje na kila heka ikikadiliwa kutoa mazao ya wastani wa thamani ya milioni 1.5, lakini mkulima atakuwa akikatwa laki 2 kila heka kama garama ya uendeshaji.

    Kasema hiyo Tedeti inashirikiana na KIMUDEA umoja wa wakulima wilaya ya Kinondoni, na wakazi wa Rufiji chini ya umoja wao wa RUDIDEA na kwamba wanachama wanapelekwa kuonyeshwa mashamba huko Rufiji.

    Nilipo search goggle nikakuta kweli hiyo kitu ilikuwepo toka mwaka 2006, na mwenyekiti wake ni Dr. Mugishagwe. Na kuna pesa mamilioni mengi, toka kwa wafadhili zimekuwa zikiingia huko TEDET, taarifa zipo ukigoogle za upokeaji wa pesa hizo. Hakuna taarifa zaidi kuhusu huu umoja, kilimo hata hizo ada za uanachama.. Kasema ofisi zao zipo MASASI HOUSE KARIAKOO?

    Kweli nikaona maelezo yake ni mazuri, lakini nikapata hofu kwamba je hii haiwezi kuwa DECI ama PUFDEA nyingine? Manake hii kusanya ya kiingilio cha laki 5 kila mwanachama, na kasema wanatakiwa wanachama elfu 10,000. Na kasema wengi sana wamejiunga. Na ahadi ni kwamba wanaanza kilimo mwaka huu.

    Ndipo nikaona pengine niimwage hapa kwenye Jamvi nene labda kuna wenye datas za uhakika nisije ingia mkenge wa DECI no.2

    Na kama kweli si DECI, basi wanajamvi tuchangamkie uanachama kwani maelezo yake ni mazuri.

    Asante wakuu.

    Mod. tafadhali iacheni kwa muda hapa tupate datas

  2. #21
    JF Senior Expert Member Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    2,391
    Thanks : 72
    Thanked 65 Times in 34 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    Quote Originally Posted by Ncha View Post
    Mimi hii kitu nimeisikia kwa ndugu zangu walioingia huko. Nilikwenda Rufiji kwa shughuli binafsi nikaambiwa hiyo TEDET haimiliki hayo mashamba ambayo watu wanaonyeshwa. Wakazi wa Wilaya si wanajua wamililki wote wa ardhi an miradi ya maendeleo iliyopo kwenye eneo lao lakini huu hata wakazi wa Rufiji wenyewe hawajui.

    Nadhani hawa jamaa wanatumia style ya Deci ya kutoa matumaini ya faida nono. Wizara ya ardhi na kilimo zitoe tamko, uongozi wa wilaya nao utoe tamko.
    Waandishi wa habari mpo? fatilieni hii kitu na muiweke hadharani jamani, Unjua watanzania mafisadi wametudhurumu sana, kila mtu anatamani maisha mazuri, ndo maana akitokea mtu mwenye kutoa matumaini hata kama ni badnia wengi hukimbilia huko, lakini kama mtasaidia kuweka wazi hili, mtaokoa fedha za watu wengi wanao endelea jiunga huko, ila kama ni kweli basi pia mtasaidia wengi kufaidika na hilo. Fatilieni na mtusaidie

    Asanteni sana kwa mlio toa maoni yetu, hata hivo mwenye data zaidi tuna zisubili kwa hamu.

  3. #22
    JF Premium Member Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light Malila is a glorious beacon of light
    Join Date
    Sat Dec 2007
    Posts
    962
    Thanks : 47
    Thanked 235 Times in 133 Posts
    Rep Power
    105

    Talking Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    mimi niko na wanaotaka kulima,kuna ardhi yenye maji kibao hapo Kiparang`anda au Isele au shungubweni,au malela yote ndani ya mkuranga,ina maji na rutuba,usafiri toka Mbagala ni daladala kwenda na kurudi,wenyeji hawana noma kabisa, ardhi ya kujikatia tani yako. Shida ni kwamba wengi tunapenda kilichoanzishwa na mwenzio.

    Ardhi ya Rufiji italeta machozi kwa walalahoi muda sio mrefu. Hawa jamaa tusubiri wakati tu,tuone.

  4. #23
    JF Senior Expert Member Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    2,391
    Thanks : 72
    Thanked 65 Times in 34 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    Quote Originally Posted by Malila View Post
    mimi niko na wanaotaka kulima,kuna ardhi yenye maji kibao hapo Kiparang`anda au Isele au shungubweni,au malela yote ndani ya mkuranga,ina maji na rutuba,usafiri toka Mbagala ni daladala kwenda na kurudi,wenyeji hawana noma kabisa, ardhi ya kujikatia tani yako. Shida ni kwamba wengi tunapenda kilichoanzishwa na mwenzio.

    Ardhi ya Rufiji italeta machozi kwa walalahoi muda sio mrefu. Hawa jamaa tusubiri wakati tu,tuone.
    Mkuu asante kwa maoni, bado nawaalika wakuu wenye data zaidi, lakini pia ombi kwa waandishi jamani ibueni mambo kama haya kwenye vyombo vya habari nyumbani, ili kama ni ulaghai ushughulikiwe mapema

  5. #24
    Junior Member shirowise will become famous soon enough shirowise will become famous soon enough shirowise will become famous soon enough shirowise will become famous soon enough shirowise will become famous soon enough shirowise will become famous soon enough shirowise will become famous soon enough shirowise will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    3
    Thanks : 0
    Thanked 1 Time in 1 Post
    Rep Power
    0

    Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    Kweli hii ni DECI nyingine! Niliwahi kwenda ofisini kwao nikapata maelezo lakini baada ya kufikiria sana nikaona haiwezekani. Fikiria kama watu elfu kumi wakijiandikisha itakuwaje? Kwa maana kila mtu atakuwa alocated hiyo eka 5 jumla itakuwa eka 50,000. sasa huko rufiji kuna eka 50,000 elfu kweli???

  6. #25
    JF Senior Expert Member Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    2,391
    Thanks : 72
    Thanked 65 Times in 34 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    Quote Originally Posted by shirowise View Post
    Kweli hii ni DECI nyingine! Niliwahi kwenda ofisini kwao nikapata maelezo lakini baada ya kufikiria sana nikaona haiwezekani. Fikiria kama watu elfu kumi wakijiandikisha itakuwaje? Kwa maana kila mtu atakuwa alocated hiyo eka 5 jumla itakuwa eka 50,000. sasa huko rufiji kuna eka 50,000 elfu kweli???
    Mkuu eti maelezo yao yanasema wameisha pewa heka 150,000 huko rufiji!. Ila kilicho nistua jmaa kanambia kwamba kujiunga sasa hivi dau limepanda ni 750,000 na wabongo wanazidi kumiminika kama kawa! Jamani wahusika saidieni kuliweka wazi hili, hasa waandishi wa habari tuna wategemea sana, hili mkifanyia kazi kidogo tu ukweli wake utajulikana.

  7. #26
    Member Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Mar 2008
    Posts
    29
    Thanks : 1
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    Dr. Haji Mugishagwe ni engineer aliekaa finland muda mrefu, alikuja Tanzania wakati ule alipata some sponsors wakamuahidi kumpa ndege, akataka kuanzisha shirika lake la ndege na aligombana na mwalimu wakati ule kwani haikuwa inaruhusiwa kuwa na private air company, akarudi na style mpya, mnakumbuka OKO? ile ya kuziba matairi in the 90's, yeye ndo alileta ile na baada ya mradi ule kufa ndo akaanzisha TEDET, ana views nyingi za kutaka kuondoa umasikini, his views in 2002 was "removing poverty by year 2010" baada ya kukosa misaada ya kutosha amebadilisha to i think 2015,

    hizo rudidea and the likes zote alizianzisha yeye (mugishagwe) na ndio anazotumia kuandika papers kwa kuomba funds toka kwa donors kama Finish Embassy, (wameshampa funds mara kadhaa) dutch embassy na wengine.

    there is only one problem with this guy, TEDET ni like his personal property, and he is everything, from finance to administration, ni mtu wa kujigamba sana, na matumizi mabaya ya funds, wasi wasi wangu ni kuwa kwa kuwa yeye ndio anahandle all the funds za organisation and the final decision maker, basi pesa za watu kweli zitaishia zote kwenye zipu yake kwani kwa ukweli iko loose sana especially akiwa na funds bank.

    huwa anafika ofisini saa tano asubuhi so kama kuna any official decision inatakiwa kufanywa basi inabidi kumsubiri muda huo ndo kazi zianze.

    any way ni kidogo tu kuhusu mugishagwe, na by the way nilianza kufahamu TEDET muda mrefu, ilianza nahisi 98 if not 99, walianza na shughuli za uvuvi, na ndo alikuwa anapata funds toka finish embassy on those na baadae kuamua kuingia into kilimo in 2002. wapo masasi house ghorofa ya nne.

  8. #27
    JF Senior Expert Member Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough Rwabugiri will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    2,391
    Thanks : 72
    Thanked 65 Times in 34 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    Quote Originally Posted by Mzee Mzima View Post
    Dr. Haji Mugishagwe ni engineer aliekaa finland muda mrefu, alikuja Tanzania wakati ule alipata some sponsors wakamuahidi kumpa ndege, akataka kuanzisha shirika lake la ndege na aligombana na mwalimu wakati ule kwani haikuwa inaruhusiwa kuwa na private air company, akarudi na style mpya, mnakumbuka OKO? ile ya kuziba matairi in the 90's, yeye ndo alileta ile na baada ya mradi ule kufa ndo akaanzisha TEDET, ana views nyingi za kutaka kuondoa umasikini, his views in 2002 was "removing poverty by year 2010" baada ya kukosa misaada ya kutosha amebadilisha to i think 2015,

    hizo rudidea and the likes zote alizianzisha yeye (mugishagwe) na ndio anazotumia kuandika papers kwa kuomba funds toka kwa donors kama Finish Embassy, (wameshampa funds mara kadhaa) dutch embassy na wengine.

    there is only one problem with this guy, TEDET ni like his personal property, and he is everything, from finance to administration, ni mtu wa kujigamba sana, na matumizi mabaya ya funds, wasi wasi wangu ni kuwa kwa kuwa yeye ndio anahandle all the funds za organisation and the final decision maker, basi pesa za watu kweli zitaishia zote kwenye zipu yake kwani kwa ukweli iko loose sana especially akiwa na funds bank.

    huwa anafika ofisini saa tano asubuhi so kama kuna any official decision inatakiwa kufanywa basi inabidi kumsubiri muda huo ndo kazi zianze.

    any way ni kidogo tu kuhusu mugishagwe, na by the way nilianza kufahamu TEDET muda mrefu, ilianza nahisi 98 if not 99, walianza na shughuli za uvuvi, na ndo alikuwa anapata funds toka finish embassy on those na baadae kuamua kuingia into kilimo in 2002. wapo masasi house ghorofa ya nne.
    Mzee mzima, asante kwa data, ila duu? mbona zinatisha na kuchanganya? Kwamba ipo toka 98? ina maana kama ina u "DECI" ndani yake mamlaka husika zinafanya nini myaka yote hiyo?

    Kama walivo amua kushugulika na watu wa DECI ama wale wa PUF... wale wa manzese kwanini wasichunguze vitu kama hivi? Kwasababu inastua sana kwamba kadri muda unavozidi songa kiingilio kina zidi kupaa hadi sasa kina karibia milioni! na wabongo tulio choka mbaya tunazidi kimbilia huko kwa tumaini la kujikwamua kutoka katika lindi la umaskini!

    Naamini ni wajibu wa serikali kulinda raia wake na mali zao na kufanya chunguzi za vikundi vyovyote vile ambavyo vina nia ya kudhurumu wananchi wake! Na je hayo makusanyo ya mamilioni anayalipia kodi?

  9. #28
    Member Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough Mzee Mzima will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Mar 2008
    Posts
    29
    Thanks : 1
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

    kuhusu kiinglio na mimi nimekuwa shocked kidogo, kwani alianza hii habari ya kilimo 2006, na kiingilio by then was 200,000, sasa kama imefika 500,000 inaonyesha kuwa amepata watu wa kutosha na ameamua kuongeza ili apate fedha zaidi, kweli inatisha.....


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts