
Originally Posted by
Mzee Mzima
Dr. Haji Mugishagwe ni engineer aliekaa finland muda mrefu, alikuja Tanzania wakati ule alipata some sponsors wakamuahidi kumpa ndege, akataka kuanzisha shirika lake la ndege na aligombana na mwalimu wakati ule kwani haikuwa inaruhusiwa kuwa na private air company, akarudi na style mpya, mnakumbuka OKO? ile ya kuziba matairi in the 90's, yeye ndo alileta ile na baada ya mradi ule kufa ndo akaanzisha TEDET, ana views nyingi za kutaka kuondoa umasikini, his views in 2002 was "removing poverty by year 2010" baada ya kukosa misaada ya kutosha amebadilisha to i think 2015,
hizo rudidea and the likes zote alizianzisha yeye (mugishagwe) na ndio anazotumia kuandika papers kwa kuomba funds toka kwa donors kama Finish Embassy, (wameshampa funds mara kadhaa) dutch embassy na wengine.
there is only one problem with this guy, TEDET ni like his personal property, and he is everything, from finance to administration, ni mtu wa kujigamba sana, na matumizi mabaya ya funds, wasi wasi wangu ni kuwa kwa kuwa yeye ndio anahandle all the funds za organisation and the final decision maker, basi pesa za watu kweli zitaishia zote kwenye zipu yake kwani kwa ukweli iko loose sana especially akiwa na funds bank.
huwa anafika ofisini saa tano asubuhi so kama kuna any official decision inatakiwa kufanywa basi inabidi kumsubiri muda huo ndo kazi zianze.
any way ni kidogo tu kuhusu mugishagwe, na by the way nilianza kufahamu TEDET muda mrefu, ilianza nahisi 98 if not 99, walianza na shughuli za uvuvi, na ndo alikuwa anapata funds toka finish embassy on those na baadae kuamua kuingia into kilimo in 2002. wapo masasi house ghorofa ya nne.
Bookmarks