Tetesi: TEDET nayo ni kama DECI? - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 3rd July 2009, 04:19 PM  
TEDET nayo ni kama DECI?
Rwabugiri Rwabugiri is offline 3rd July 2009, 04:19 PM

Kuna jamaa yangu kaniambia kwamba kuna hiyo association inaitwa TEDET (Tanzania Eco-Development Trust), kwamba inakusanya hela za wanachama kiingilio sh. laki 5 (500.000) ambayo inajumuisha kiingilio ada ya uanachama na shamba la ukubwa wa hekari 5 huko bonde la mto RUFIJI. Kasema makubaliano ni kwamba mwanachama anapewa hilo shamba heka 5, ila anakuwa analimiwa hilo shamba heka 4 mazao ya biashara na heka moja mazao ya chakula.

Mazao ya chakula atakuwa akipewa magunia 20 ya mahindi /mpunga kwa msimu yaani misimu miwili kwa mwaka, wakati mazao ya biashara yatakuwa yakiuzwa kwa pamoja masoko ya nje na kila heka ikikadiliwa kutoa mazao ya wastani wa thamani ya milioni 1.5, lakini mkulima atakuwa akikatwa laki 2 kila heka kama garama ya uendeshaji.

Kasema hiyo Tedeti inashirikiana na KIMUDEA umoja wa wakulima wilaya ya Kinondoni, na wakazi wa Rufiji chini ya umoja wao wa RUDIDEA na kwamba wanachama wanapelekwa kuonyeshwa mashamba huko Rufiji.

Nilipo search goggle nikakuta kweli hiyo kitu ilikuwepo toka mwaka 2006, na mwenyekiti wake ni Dr. Mugishagwe. Na kuna pesa mamilioni mengi, toka kwa wafadhili zimekuwa zikiingia huko TEDET, taarifa zipo ukigoogle za upokeaji wa pesa hizo. Hakuna taarifa zaidi kuhusu huu umoja, kilimo hata hizo ada za uanachama.. Kasema ofisi zao zipo MASASI HOUSE KARIAKOO?

Kweli nikaona maelezo yake ni mazuri, lakini nikapata hofu kwamba je hii haiwezi kuwa DECI ama PUFDEA nyingine? Manake hii kusanya ya kiingilio cha laki 5 kila mwanachama, na kasema wanatakiwa wanachama elfu 10,000. Na kasema wengi sana wamejiunga. Na ahadi ni kwamba wanaanza kilimo mwaka huu.

Ndipo nikaona pengine niimwage hapa kwenye Jamvi nene labda kuna wenye datas za uhakika nisije ingia mkenge wa DECI no.2

Na kama kweli si DECI, basi wanajamvi tuchangamkie uanachama kwani maelezo yake ni mazuri.

Asante wakuu.

Mod. tafadhali iacheni kwa muda hapa tupate datas

Rwabugiri
JF Senior Expert Member
Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,300
Thanks: 9
Thanked 8 Times in 8 Posts
Views: 745
Reply With Quote
  #11  
Old 3rd July 2009, 07:08 PM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,300
Thanks: 9
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Naona kila mmoja anaongea kwa hisia na labda nyingi sana. mimi pia ninazo habari za huu mradi na nilienda ofisini kwao kueleweshwa vizuri.

Kwa kuwa kuna maswali mengi na majibu yake mengine ni more technical kwetu sisi sote na kwa kuwa mtoa mada anatoa pia ushauri kwa wanajamii kuchangamkia hii oppotunity, nashauri yafuatayo\;

1. badala ya kuendelea na hisia, wenye nia njema waende ofisini kwao karibu na mnazi mmoja jengo ambalo kwa chini kuna duka la top shop nafikiri ni ghoropha ya tano au ya sita.

2. Kuna darasa la kuelimisha watu wote wanaotaka kujiunga, maelezo ni bure na yatahusisha juhudi ambazo zimefanyika ikiwa ni pamoja na kulipima eneo lenyewe na namna ya umwagiliaji pamoja na namna mradi utakavyendeshwa kwa muda wa miaka kumi. Kuna issue pia ya masoko yaliyopo ya ndani na nje ikiwemo serikali kununua kwa ajili ya akiba ya chakula nchini.

Mimi sijapata hiyo laki tano lakini ikitimia tu nawahi mapema kwa kuwa nilielimika na nikapewa pia makabrasha yanayousiana na huo mradi. Naamini mradi huu usipoingizwa siasa unaweza kabisha kuliondoa taifa hili kwenye njaa inayojirudia mara kwa mara.
Asante sana mkuu, hizi ndo data tunazitaka ili tujue ni kweli ama deci?

Sasa labda mkuu ulifanikiwa kujua kama mradi umeanza tayari? je uhai wa wanachama, wana vikao wanavyofanya kujua mwenendo mzima wa project? samahani mkuu in case unajua zaidi, lakini hata hivo naamini JF jamvi nene data zaidi zitakuja!
Na kwa kusaidiana hivi tukijuvyana wasio jua wanachangamkia, lakini kama ni kanyaboya, basi inapunguza wengine wasiuingie mkenge!

Asante mkuu
Reply With Quote
  #12  
Old 3rd July 2009, 07:58 PM
Yebo Yebo Yebo Yebo is offline
Yebo Yebo has no status.
JF Premium Member
Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100 Points: 254,800, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 2,771
Thanks: 850
Thanked 240 Times in 116 Posts
Rep Power: 29
Yebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enoughYebo Yebo will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Naona kila mmoja anaongea kwa hisia na labda nyingi sana. mimi pia ninazo habari za huu mradi na nilienda ofisini kwao kueleweshwa vizuri.

Kwa kuwa kuna maswali mengi na majibu yake mengine ni more technical kwetu sisi sote na kwa kuwa mtoa mada anatoa pia ushauri kwa wanajamii kuchangamkia hii oppotunity, nashauri yafuatayo\;

1. badala ya kuendelea na hisia, wenye nia njema waende ofisini kwao karibu na mnazi mmoja jengo ambalo kwa chini kuna duka la top shop nafikiri ni ghoropha ya tano au ya sita.

2. Kuna darasa la kuelimisha watu wote wanaotaka kujiunga, maelezo ni bure na yatahusisha juhudi ambazo zimefanyika ikiwa ni pamoja na kulipima eneo lenyewe na namna ya umwagiliaji pamoja na namna mradi utakavyendeshwa kwa muda wa miaka kumi. Kuna issue pia ya masoko yaliyopo ya ndani na nje ikiwemo serikali kununua kwa ajili ya akiba ya chakula nchini.

Mimi sijapata hiyo laki tano lakini ikitimia tu nawahi mapema kwa kuwa nilielimika na nikapewa pia makabrasha yanayousiana na huo mradi. Naamini mradi huu usipoingizwa siasa unaweza kabisha kuliondoa taifa hili kwenye njaa inayojirudia mara kwa mara.

Mkuu,

Heshima kwako. Kwa sababu ulihudhuria darasa...naomba utupatie yale yaliyojiri huko japo kwa juu.

1. Mradi umeshaanza au unatazamiwa kuanza lini?

2. Mpaka sasa wana wanachama wangapi?

3. Nikilipa laki 5 na kuwa mwanachama, namilikishwa hiyo hekari 5 au nakuwa nimeikodi kwa kipindi cha mradi tu?

4. Ni gharama gani nyingine nitalazimika kuingia zaidi ya hiyo laki 5?

5. Uongozi mzima wa mradi ni wakina nani?

Ni hayo tu kutoka kwangu, tafadhali tuelimishe kwa jinsi ulivyuelewa wewe.

Ahsante
__________________
"Our cherished rights of liberty and equality depend on the active participation of an awakened electorate.", Barack H. Obama. Presidential Announcement Speech, Springfield, Ill, Feb 10, 2007.
Reply With Quote
  #13  
Old 6th July 2009, 03:08 PM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,300
Thanks: 9
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Mkuu,

Heshima kwako. Kwa sababu ulihudhuria darasa...naomba utupatie yale yaliyojiri huko japo kwa juu.

1. Mradi umeshaanza au unatazamiwa kuanza lini?

2. Mpaka sasa wana wanachama wangapi?

3. Nikilipa laki 5 na kuwa mwanachama, namilikishwa hiyo hekari 5 au nakuwa nimeikodi kwa kipindi cha mradi tu?

4. Ni gharama gani nyingine nitalazimika kuingia zaidi ya hiyo laki 5?

5. Uongozi mzima wa mradi ni wakina nani?

Ni hayo tu kutoka kwangu, tafadhali tuelimishe kwa jinsi ulivyuelewa wewe.

Ahsante
Wakuu nakumbushia data wakuu.. mwenye kujua tujuvyane
Reply With Quote
  #14  
Old 6th July 2009, 05:21 PM
mmaroroi mmaroroi is offline
mmaroroi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu May 2008
Posts: 769
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
mmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Lakini shamba usilolilima wewe na unasuburi mazao=Deci ni kupanda mbegu na kusubiri kuvuna bila kupalilia.Tutafakari!!!!!!!!!!!!!!!!
Reply With Quote
  #15  
Old 6th July 2009, 07:43 PM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Talking Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Kama una nguvu za kuwekeza ktk kilimo,basi bora ujitafutie shamba mwenyewe,haya mashamba ya kutafutiana/kupeana/kuitana yanaweza kuja leta shida huko mbele. Ardhi nzuri ipo kama unataka kulima tafuta au kama wewe ni mshirika mzuri jiunge na mwenzio muingie shambani.

Hiyo title deed ya shamba hilo ina jina la nani? Mnaweza mkawa mnaitwa ili mkalisafishe shamba,liksha kuwa safi basi hamna chenu.
Reply With Quote
  #16  
Old 6th July 2009, 11:23 PM
Bob K Bob K is offline
Bob K has no status.
Member
Points: 66,788, Level: 100 Points: 66,788, Level: 100 Points: 66,788, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Wed May 2009
Posts: 47
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Bob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enoughBob K will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

mimi hawa jammaa nishawahi kuwasililiza good idea tatizo huyu msimamiz mkuu au mwenyekiti wazere wa mjini nilipowatajia hapo hapoa wakaniambia nymaza na ishia huyu mzee ni soo sasa kivipi kuniambia huyu mzee mwenzani ni soo sijui mwenyekiti wa teted ni haji muji shangwe sasa sjui wadau faili lake la uko nyuma likoje fukueni?
Reply With Quote
  #17  
Old 6th July 2009, 11:55 PM
Ipole Ipole is offline
Ipole has no status.
Senior Member
Points: 102,311, Level: 100 Points: 102,311, Level: 100 Points: 102,311, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Apr 2008
Location: Kisarawe11
Posts: 236
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 22
Ipole will become famous soon enoughIpole will become famous soon enoughIpole will become famous soon enoughIpole will become famous soon enoughIpole will become famous soon enoughIpole will become famous soon enoughIpole will become famous soon enoughIpole will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Kuna jamaa yangu kaniambia kwamba kuna hiyo association inaitwa TEDET (Tanzania Eco-Development Trust), kwamba inakusanya hela za wanachama kiingilio sh. laki 5 (500.000) ambayo inajumuisha kiingilio ada ya uanachama na shamba la ukubwa wa hekari 5 huko bonde la mto RUFIJI. Kasema makubaliano ni kwamba mwanachama anapewa hilo shamba heka 5, ila anakuwa analimiwa hilo shamba heka 4 mazao ya biashara na heka moja mazao ya chakula.

Mazao ya chakula atakuwa akipewa magunia 20 ya mahindi /mpunga kwa msimu yaani misimu miwili kwa mwaka, wakati mazao ya biashara yatakuwa yakiuzwa kwa pamoja masoko ya nje na kila heka ikikadiliwa kutoa mazao ya wastani wa thamani ya milioni 1.5, lakini mkulima atakuwa akikatwa laki 2 kila heka kama garama ya uendeshaji.

Kasema hiyo Tedeti inashirikiana na KIMUDEA umoja wa wakulima wilaya ya Kinondoni, na wakazi wa Rufiji chini ya umoja wao wa RUDIDEA na kwamba wanachama wanapelekwa kuonyeshwa mashamba huko Rufiji.

Nilipo search goggle nikakuta kweli hiyo kitu ilikuwepo toka mwaka 2006, na mwenyekiti wake ni Dr. Mugishagwe. Na kuna pesa mamilioni mengi, toka kwa wafadhili zimekuwa zikiingia huko TEDET, taarifa zipo ukigoogle za upokeaji wa pesa hizo. Hakuna taarifa zaidi kuhusu huu umoja, kilimo hata hizo ada za uanachama.. Kasema ofisi zao zipo MASASI HOUSE KARIAKOO?

Kweli nikaona maelezo yake ni mazuri, lakini nikapata hofu kwamba je hii haiwezi kuwa DECI ama PUFDEA nyingine? Manake hii kusanya ya kiingilio cha laki 5 kila mwanachama, na kasema wanatakiwa wanachama elfu 10,000. Na kasema wengi sana wamejiunga. Na ahadi ni kwamba wanaanza kilimo mwaka huu.

Ndipo nikaona pengine niimwage hapa kwenye Jamvi nene labda kuna wenye datas za uhakika nisije ingia mkenge wa DECI no.2

Na kama kweli si DECI, basi wanajamvi tuchangamkie uanachama kwani maelezo yake ni mazuri.

Asante wakuu.

Mod. tafadhali iacheni kwa muda hapa tupate datas
Mimi mashaka yangu ni hilo jina la mwenyekiti Dr. MUGISHAGWE linatia shaka

__________________
KAMA KESI YA MBUZI HAKIMU ATAKUWA FISI................
Reply With Quote
  #18  
Old 7th July 2009, 12:30 AM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100 Points: 165,935, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,300
Thanks: 9
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Quote:
View Post
Mimi mashaka yangu ni hilo jina la mwenyekiti Dr. MUGISHAGWE linatia shaka
Mkuu linatia shaka gani? unadata zozote utumwagie zaidi mkuu? ndo maana tunauliza mkuu ili kma si mkenge tuchangamkie
Reply With Quote
  #19  
Old 7th July 2009, 08:04 AM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Talking Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Kuna kibao kimoja kimeandikwa hivi: Park on your own risk.
Reply With Quote
  #20  
Old 7th July 2009, 09:35 AM
Ncha Ncha is offline
Ncha has no status.
Senior Member
Points: 70,951, Level: 100 Points: 70,951, Level: 100 Points: 70,951, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 109
Thanks: 11
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power: 22
Ncha will become famous soon enoughNcha will become famous soon enoughNcha will become famous soon enoughNcha will become famous soon enoughNcha will become famous soon enoughNcha will become famous soon enoughNcha will become famous soon enoughNcha will become famous soon enough
Default Re: TEDET nayo ni kama DECI?

Mimi hii kitu nimeisikia kwa ndugu zangu walioingia huko. Nilikwenda Rufiji kwa shughuli binafsi nikaambiwa hiyo TEDET haimiliki hayo mashamba ambayo watu wanaonyeshwa. Wakazi wa Wilaya si wanajua wamililki wote wa ardhi an miradi ya maendeleo iliyopo kwenye eneo lao lakini huu hata wakazi wa Rufiji wenyewe hawajui.

Nadhani hawa jamaa wanatumia style ya Deci ya kutoa matumaini ya faida nono. Wizara ya ardhi na kilimo zitoe tamko, uongozi wa wilaya nao utoe tamko.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 04:53 PM
Budget Mbadala 2008/09 Kahangwa Jukwaa la Siasa 1 18th June 2009 04:09 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:33 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com