Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 3rd July 2009, 12:39 PM   #1
Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?
KipimaPembe KipimaPembe is offline 3rd July 2009, 12:39 PM

Jamani kuna trend imeanza kujitokeza hivi karibuni kwa mambo ya kidini kuingia Bungeni. Sheria ya nchi inazuia kuanzishwa kwa vyama vya siasa vyenye mrengo wa kidini. Pamoja na kuwa wanasiasa wana dini, lakini kuifanya dini agenda ya kisiasa, ni sawa na kuanzisha chama chenye mrengo wa kidini.
  1. Je, iko haja ya spika kuzuia mijadara yenye mwelekeo wa kidini Bungeni au mijadara ya dini iwekewe muda wake kama ilivyo bajeti?
  2. Ikiwa wabunge wanaweza kujadili mambo yenye mrengo wa kidini bungeni, iko haja viruhusiwe vyama vya kisiasa vyenye mrengo wa kidini ili wakati wa uchaguzi tuwe tunajua kuwa huyu tukimchagua ataenda kutetea dini yetu?
  3. Iko haja ya kutoa nafasi za ubunge kwa dini zetu ili wenye utaalam wa masuala ya dini waende kuzisemea dini zao bungeni?
  4. Je bungeni ni mahali muafaka pa kutetea maslahi ya dini? Wabunge huo uwezo wamepewa na nani?
  5. Je iko haja wabunge wawe wanaleta na hoja za kidini wakati wa uchaguzi ili tujue kuwa bungeni wataenda kutetea maslahi ya dini zetu vile vile?
Nimeamua kuanzisha thread hii ili tujadiri hili tatizo la wabunge waliochaguliwa kwa hoja za kimaendeleo wanapoingia bungeni kuanza kudandia mambo ya dini ili tu kujipatia umaarufu.

KipimaPembe
JF Premium Member
Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Sun Aug 2007
Posts: 251
Thanks: 20
Thanked 38 Times in 22 Posts
Views: 259
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd July 2009, 12:44 PM
Josh Michael's Avatar
Josh Michael Josh Michael is offline
Josh Michael has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 529,142, Level: 100 Points: 529,142, Level: 100 Points: 529,142, Level: 100
Activity: 40% Activity: 40% Activity: 40%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Location: Kibandani
Posts: 2,007
Thanks: 1,189
Thanked 197 Times in 152 Posts
Rep Power: 25
Josh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Majibu ya Maswali haya yapo kwa CCM na kama ndio Amani wao ndio wanaweza kufanya taifa letu lianze machafuko?? Kuna haja ya kumtafuta Philip Mangula na aje aseme kama ni kweli aliweka suala la Mahakama ya kadhi kwenye Ilani ya CCM. Hakuna haja kila mtu ana dini zake na imani yake!! Hakuna haja mzee wangu. tukianza kufanya hivyo tunakwenda wapi?? Kuna watu wasio na Dini, Je wakisema hivyo na bwana Kakobe naye akapendekeza misimamo yake Mikali ndio ya kufuata itakuaje?? Hakuna haja ya kufanya hivyo. kama watu wanataka kufanya Dini waanze kuhubiri mitaani na kusema kuwa Dini ya nani ni nzuri au watu wafuate dini ya nani?
Reply With Quote
  #3  
Old 3rd July 2009, 12:51 PM
Cynic Cynic is offline
Cynic is not necessarily a cynical contributor
JF Senior Expert Member
Points: 128,123, Level: 100 Points: 128,123, Level: 100 Points: 128,123, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Mon Jan 2009
Location: Around
Posts: 641
Thanks: 59
Thanked 108 Times in 70 Posts
Rep Power: 23
Cynic will become famous soon enoughCynic will become famous soon enoughCynic will become famous soon enoughCynic will become famous soon enoughCynic will become famous soon enoughCynic will become famous soon enoughCynic will become famous soon enoughCynic will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Spika aonyeshe leadership. Mimi naona kinachoendelea ni bunge kujalidi Ilani ya CCM. Mijadala kama hii ilitakiwa iwe within CCM. Bunge ingehushwa tu iwapo kungekuwa na mswaada unaohusiana na jambo hili.
__________________
"Colonialists over the past 100 years have gone to Africa and taken all the best things, and now they are taking all the best footballers" Sepp Blatter
Reply With Quote
  #4  
Old 3rd July 2009, 12:54 PM
Junius's Avatar
Junius Junius is online now
Junius Sir Phillip Francis
JF Senior Expert Member
Points: 444,821, Level: 100 Points: 444,821, Level: 100 Points: 444,821, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Wed Mar 2009
Posts: 2,074
Thanks: 141
Thanked 181 Times in 128 Posts
Rep Power: 26
Junius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Tulijuwa tu
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd July 2009, 12:55 PM
KipimaPembe KipimaPembe is offline
KipimaPembe is always right
JF Premium Member
Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Aug 2007
Posts: 251
Thanks: 20
Thanked 38 Times in 22 Posts
Rep Power: 23
KipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Ikiwa CCM waliweka kwenye Ilani yao ya uchaguzi agenda ambayo ni ya kidini, hili si suala la kikatiba? Kwa nini CCM waje na ajenda ya kidini wakati wao si chama cha kidini? Je kwa kuweka suala hilo kwenye ilani ya uchaguzi CCM hawakuvunja katiba?
Reply With Quote
  #6  
Old 3rd July 2009, 01:05 PM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 166,430, Level: 100 Points: 166,430, Level: 100 Points: 166,430, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,304
Thanks: 10
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Quote:
View Post
Majibu ya Maswali haya yapo kwa CCM na kama ndio Amani wao ndio wanaweza kufanya taifa letu lianze machafuko?? Kuna haja ya kumtafuta Philip Mangula na aje aseme kama ni kweli aliweka suala la Mahakama ya kadhi kwenye Ilani ya CCM. Hakuna haja kila mtu ana dini zake na imani yake!! Hakuna haja mzee wangu. tukianza kufanya hivyo tunakwenda wapi?? Kuna watu wasio na Dini, Je wakisema hivyo na bwana Kakobe naye akapendekeza misimamo yake Mikali ndio ya kufuata itakuaje?? Hakuna haja ya kufanya hivyo. kama watu wanataka kufanya Dini waanze kuhubiri mitaani na kusema kuwa Dini ya nani ni nzuri au watu wafuate dini ya nani?
Hapa Mangula unamuonea mkuu!
Reply With Quote
  #7  
Old 3rd July 2009, 01:50 PM
KipimaPembe KipimaPembe is offline
KipimaPembe is always right
JF Premium Member
Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Aug 2007
Posts: 251
Thanks: 20
Thanked 38 Times in 22 Posts
Rep Power: 23
KipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Ikiwa basi Bungeni kuna mabench ya wataalam kwa ajili ya kutoa ufafanuzi wa kitaalam inapotokea ufafanuzi unahitajika, mf mwanasheria mkuu wa serikali, mkemia mkuu, n.k. Basi serikali iweke na wataalam wa dini mbali mbali ambao watakuwa wakitoa ufafanuzi authoritative kuhusu dini mbali mbali bungeni. Vinginevyo Bunge halizitendei haki dini.
Reply With Quote
  #8  
Old 3rd July 2009, 01:55 PM
KipimaPembe KipimaPembe is offline
KipimaPembe is always right
JF Premium Member
Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Aug 2007
Posts: 251
Thanks: 20
Thanked 38 Times in 22 Posts
Rep Power: 23
KipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Lakini vile vile wabunge wanapola haki ya kuzizungumzia dini wakati hawana authority na hatuna ushahidi kuwa dini wanazozizungumzia zimewatuma kweli wazitetee bungeni.

Vinginevyo vyama vyenye ajenda za kidini basi vitamke kuwa pamoja na malengo yake mengine, dini vile vile ni sehemu ya sera zao. Vyama viruhusiwe kusema ni dini gani wanajiainisha nayo. Manake tunachagua vyama na wabunge, wakiisha ingia bungeni, dini zinaanza.
Reply With Quote
  #9  
Old 3rd July 2009, 02:01 PM
Josh Michael's Avatar
Josh Michael Josh Michael is offline
Josh Michael has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 529,142, Level: 100 Points: 529,142, Level: 100 Points: 529,142, Level: 100
Activity: 40% Activity: 40% Activity: 40%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Location: Kibandani
Posts: 2,007
Thanks: 1,189
Thanked 197 Times in 152 Posts
Rep Power: 25
Josh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enoughJosh Michael will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

Quote:
View Post
Hapa Mangula unamuonea mkuu!
Hapana JK aliwahi kusema kuwa yeye alikuwa hajui kama kuna suala la mahakama ya kadhi kwenye Ilani ya CCM mimi nasema hivyo kwasababu Ilani ilitayarishwa na CCM na pia MANGULA alikuwa Katibu mkuu wa CCM na yeye Jk alisema kuwa hicho waliweka Wakristo na sio yeye. Sasa Mimi nasema kuna haja ya kutafutwa MAngula aje aseme kama kweli yeye ndio aliyetoa shinikizo la Mahakama ya Kadhi liwe kwenye Ilani ya CCM. Hivyo wao nao Bila ya kujua hata wale wenzangu na mimi walichagua mtu ambaye anataka Mahakama ya kadhi. Waislamu wana haki ya kudai Mahakama ya kadhi. Kuna tetesi kuwa waliwahi hata kukaa vikao vya siri kule Dodoma kujua ni lini wataanzisha mahakama ya kadhi. CCM ndio wameyataka haya. Mimi nadiliki kusema kuwa CCM ndio cha cha Kidini cha sasa
Reply With Quote
  #10  
Old 3rd July 2009, 07:15 PM
KipimaPembe KipimaPembe is offline
KipimaPembe is always right
JF Premium Member
Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100 Points: 87,575, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Aug 2007
Posts: 251
Thanks: 20
Thanked 38 Times in 22 Posts
Rep Power: 23
KipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enoughKipimaPembe will become famous soon enough
Default Re: Agenda za kidini Bungeni ..... Iko haja ya kuzizuia au zitengewe muda?

CCM kwa hiyo wanaexploit dini kwa kuweka agenda ya kidini kwenye irani yao ya uchaguzi. Ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa wamekaa kimya. Je vyama vingine ni haki vile vile kuleta agenda za kidini?

Nadhani hapa CCM waseme waliteleza au wakubali kuwa dini ni sera yao!!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
agenda, au, bungeni, haja, iko, kidini, kuzizuia, muda, zitengewe


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ripoti ya Richmond Bungeni na yatokanayo Halisi Jukwaa la Siasa 803 Yesterday 12:11 PM
A vote of confidence for Mama Anne-Kilango Malecela Mwafrika wa Kike Jukwaa la Siasa 121 16th December 2009 09:43 AM
Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts tibwilitibwili Jamii Intelligence 1928 4th May 2009 09:16 AM
Anna Abdallah naye ni fisadi? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 37 24th June 2008 08:42 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:51 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com