Tunahitaji majasusi na magaidi - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 2nd July 2009, 08:49 PM   #1
Tunahitaji majasusi na magaidi
Zing Zing is offline 2nd July 2009, 08:49 PM

Nawasilisha hoja ya ajira ya magaidi na majasusi.ambazo nadhani ziko wazi

Naposema magaidi na majasusi ninauhakia serikali yetu inaoa majasusi wakulinda utawala. serikali yetu ina majasusi wa kisiasa na majasusi wa aina hii amabao hawana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya taifa

Inabidi wawepo majasusi na magaidi wa kiuchumi na wa kitamaduni. Nadhani nafasi hizi ziko wazi na serikali haina ndo maana watani zetu kenya wanatuzidi kwenye utalii na watanatumua ujasusi na ugaidi wa kiuchumi kupata faida kubwa zaidi yetu

Nasema ugaidi wa kiuchumi sababu mbili kubwa watalii wengi wanataka kutembelea mlima kilimanjaro si tu wanapitia kenye lakini hata makampuni ya kuwatembeza ndani ya tanzania mengi ni ya kenya. Kwa ugaidi wa kiuchmi kenya inaofanya usishangae hata watalii wengine wanatembelea tanzani bila kujua kuwa wako tanzania.sisi tumekalia kwenye ujasusi wa siasa tu.


ugaidi wa kiuchumi unahitajika kufanyika kwa vitu , biashara na watu wanao potosha ukweli na hivyo maslahi ya kiuchumi kwa nchi yetu.Wenzetu wanfanya ndo maana wanafanikiwa sisi tumelala.

Pale ambapo hakuna tatizo basi ifanyike ujasusi wa kiuchumi na kitamaduni ili kulinda image , biashara na maslahi ya tanzania yasiwe compromised.


Ukitoa ujasusi na ugaidi wa kiuchumi kati ya nchi zetu za kiafrika kuna ugaidi mwingine kutoka mataifa ya nje na taasissi zao kama WB,IMF, EU nk. Mfano wa ugaid tuliofanyiwa ni kukatazwa kutoa ruzuku kwa wakulima lakini inashangaza wakulima wa ng'ombe wa matunnda huko ulaya wanapokea ruzuku. sasa kwa kuwa tumekuwa tunafanyiwa ugaidi wa kiuchumi na tumeshindwa kuhimili tunahitaji majasisi wengi zaidi kwenye sekat za uchumi utamaduni na hata michezo.

China imetumia sana magaidi na majasusi wa aina hii kujipatia maendeleo. Kuna jasusi 1ja wa kichina kafungwa mwaka jana nadhani marekani. alikwua jasusi wa kuiba teknolojia. Huu ndo mfano ninaosema.

Dunia ya sasa ni ya ushindani hakuna fair play. kwenye balozi zetu wawekwe econimic,sports and cultural attache na wapewe majukumu yatayoleta mabadiliko nyumbani Tanzania. ukweli ni kuwa duni hii sio huru.

Nadhani tutapata faida zaidi kwa majasusi na magaidi wa aina hii kuliko wale wengine .

Zing
Member
Points: 62,657, Level: 100 Points: 62,657, Level: 100 Points: 62,657, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
Join Date: Wed Jun 2009
Posts: 48
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 207
Reply With Quote
  #2  
Old 2nd July 2009, 11:51 PM
Sanjara Honey's Avatar
Sanjara Honey Sanjara Honey is offline
Sanjara Honey has no status.
Member
Points: 54,724, Level: 100 Points: 54,724, Level: 100 Points: 54,724, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Wed Jul 2009
Posts: 25
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Sanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

Dah! Kweli wengine chongo huita kengeza. Nashangaa mada nzuri kama hii inakosa wachangiaji hapa JF. Tumebobea kwenye pokopoko, mambo muhimu sijuhi tumemwachia nani?

Kwenye orodha yako ya ugaidi na ujasusi wa kiuchumi, Kenya hawaibi utalii tu bali hata mazao. Sisi kwenye sekta ya maua na vyakula (Asali, Mboga mboga, matunda) tumelithibitisha hilo. Ninazo reports za kenya zikionyesha jinsi sekta ya maua ilivyokuwa kutokana na maua yanayotoka Tanzania, ninaoushahidi (ambao serikali pia inao) jinsi Mboga mboga na matunda ya Tanzania yavyopelekwa Ughaibuni kwa jina la Kenya na si Tanzania, nimesoma Strategic Plan ya Kenya Honey Council Ltd inasema wazi, mkakati mkuu wa kuongeza asali inayouzwa kwa jina la Kenya ni kuhakikisha wanapata asali yote nzuri toka Tanzania.

Nitoe wito kwa wale wote wanao ona uzito katika hoja ya thread hii, ebu tufanye kitu kwa ajili ya vizazi vijavyo na taifa letu. Maneno mengi (pokopoko), lawama lukuki havijengi bali kuzidisha uhasama na kubomoa umoja tuliokuwa nao kama taifa.

__________________
Sanjara Honey is Purely Organic Produced in Itigi Thickets

Last edited by Sanjara Honey; 3rd July 2009 at 12:10 AM..
Reply With Quote
  #3  
Old 3rd July 2009, 12:12 AM
Kaniki1974's Avatar
Kaniki1974 Kaniki1974 is offline
Kaniki1974 patriotic
JF Senior Expert Member
Points: 177,842, Level: 100 Points: 177,842, Level: 100 Points: 177,842, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Dec 2008
Posts: 357
Thanks: 25
Thanked 9 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
Kaniki1974 will become famous soon enoughKaniki1974 will become famous soon enoughKaniki1974 will become famous soon enoughKaniki1974 will become famous soon enoughKaniki1974 will become famous soon enoughKaniki1974 will become famous soon enoughKaniki1974 will become famous soon enoughKaniki1974 will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

[QUOTE=Sanjara Honey;508848]Dah! Kweli wengine chongo huita kengeza. Nashangaa mada nzuri kama hii inakosa wachangiaji hapa JF. Tumebobea kwenye pokopoko, mambo muhimu sijuhi tumemwachia nani?


Nashangaa pia. Watanzania tuna desturi ya kuongelea sana na kwa kina mambo mepesi na ya mtaani mtaani tu. Hoja nzito twazikwepa. Inatucost sana hii....

Ningependelea zaidi kutumia ujasusi kuliko ugaidi of whatever form. Ugaidi una negative connotation. Any successful organization needs serious intelligency. Wajapan ujasusi wanauficha kwenye idara za R&D
__________________
'The rich of the future are those who are rich in mind'. Winston Churchill
Reply With Quote
  #4  
Old 3rd July 2009, 12:16 AM
Sanjara Honey's Avatar
Sanjara Honey Sanjara Honey is offline
Sanjara Honey has no status.
Member
Points: 54,724, Level: 100 Points: 54,724, Level: 100 Points: 54,724, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Wed Jul 2009
Posts: 25
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Sanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

[quote=Kaniki1974;508858]
Quote:
View Post
Dah! Kweli wengine chongo huita kengeza. Nashangaa mada nzuri kama hii inakosa wachangiaji hapa JF. Tumebobea kwenye pokopoko, mambo muhimu sijuhi tumemwachia nani?


Nashangaa pia. Watanzania tuna desturi ya kuongelea sana na kwa kina mambo mepesi na ya mtaani mtaani tu. Hoja nzito twazikwepa. Inatucost sana hii....

Ningependelea zaidi kutumia ujasusi kuliko ugaidi of whatever form. Ugaidi una negative connotation. Any successful organization needs serious intelligency. Wajapan ujasusi wanauficha kwenye idara za R&D
Asante kwa kunifahamisha. Nilishindwa kutofautisha ugaidi na ujasusi sasa nimeelewa. Lakini hoja ya msingi ina mashiko. Ebu tuijadili kwa pamoja
__________________
Sanjara Honey is Purely Organic Produced in Itigi Thickets
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd July 2009, 12:20 AM
Junius's Avatar
Junius Junius is offline
Junius Sir Phillip Francis
JF Senior Expert Member
Points: 443,794, Level: 100 Points: 443,794, Level: 100 Points: 443,794, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Wed Mar 2009
Posts: 2,073
Thanks: 141
Thanked 181 Times in 128 Posts
Rep Power: 26
Junius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enoughJunius will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

kumbe hata hizi ziara za nje ya nchi anazofanya Mh. Rais,kwa kisingizio cha kuvutia wawekezaji, zingepunguzwa na bajeti yake ikatengwa kuandaa competent cadres kwa ajili hiyo.
Reply With Quote
  #6  
Old 3rd July 2009, 12:27 AM
Sanjara Honey's Avatar
Sanjara Honey Sanjara Honey is offline
Sanjara Honey has no status.
Member
Points: 54,724, Level: 100 Points: 54,724, Level: 100 Points: 54,724, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Wed Jul 2009
Posts: 25
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Sanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enoughSanjara Honey will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

Quote:
View Post
kumbe hata hizi ziara za nje ya nchi anazofanya Mh. Rais,kwa kisingizio cha kuvutia wawekezaji, zingepunguzwa na bajeti yake ikatengwa kuandaa competent cadres kwa ajili hiyo.
Tanzania ina ukosefu wa Wafanyabishara wa Dalaja la kati na wazawa wa dalaja la juu. Mara zote convoy ya Mh. JK imekuwa inakwenda na wafanyabiashara wa juu na kila mara ni walewale. Ni vema wanaoandaa safari hizi wangeshirikisha na vijana wanaoshipukia. Tatizo letu kubwa sisi (dot.com generation) wa dalaja la kati ni "limited exposure" basi. Ukitupa nafasi hiyo tunakwenda mbali sana na kwa muda mfupi. Rais Kagame analijua hili na hana ajizi katika kuwashirikisha vijana ipasavyo.

__________________
Sanjara Honey is Purely Organic Produced in Itigi Thickets
Reply With Quote
  #7  
Old 3rd July 2009, 03:32 AM
Bongolander Bongolander is offline
Bongolander has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,672, Level: 100 Points: 265,672, Level: 100 Points: 265,672, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Location: Tandale
Posts: 2,277
Thanks: 9
Thanked 192 Times in 103 Posts
Rep Power: 27
Bongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enoughBongolander will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

Wakuu mnaolalamika sijui mmekuwa members kwa muda gani na sijui mnafuatilia post kwa kiasi gani. Hizo habari ambazo mnaona hazijadiliwi au hazichangiwi zimechangiwa sana ana wadau huko nyuma, sio hadithi mpya. Mengine ni mambo ambayo hayana haja ya kujadiliwa kwa kuwa yako wazi. Soma jinsi Umoja Wa Wanawake ulivyojadiliwa toka uongozi wake na utendaji wake mpaka muundo wake, na uozo ulioingia unaweza kuona kuwa hakuna jipya.
Reply With Quote
  #8  
Old 3rd July 2009, 06:10 AM
Magezi Magezi is online now
Magezi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 310,812, Level: 100 Points: 310,812, Level: 100 Points: 310,812, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Sun Oct 2008
Posts: 1,961
Thanks: 204
Thanked 396 Times in 232 Posts
Rep Power: 25
Magezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

Jamani mimi niliwahi kutoa thread kuhusu jinsi kitengo cha ujasusi wa kiuchumi cha CIA kilivyo isambaratisha Nyumbu yetu iliyokuwa imeanza kupata uhai miaka ya 80. Walichofanya, waliirubuni serikali ya TZ chini ya Mzee mwinyi kwamba itawapa technolojia mpya ya magari, na pia waliisha mnunua meneja wa nyumbu wakati ule, serikali kama kawaida ikakubali, lakini lengo la wamarekani ilikuwa tusiweze kutegeneza magari ya kijeshi, na baada tu ya wao kuona tumeingia mkenge wakajitoa na pesa walizo ahidi hawakutoa na ndo ukawa mwisho wa nyumbu.

Economic intelligence ndiyo inasaidia nchi kujua nani anategeneza nini na anachokitegeneza kinaathiri vipi uchumi wa nchi yako na ufanye nini ili either umzidi au muwe sawa. Sisi serikali yetu chini ya CCM wamelala fofofo, wanadhani WB, IMF, n.k. inawapenda, hakuna....inatumaliza.

Kuhusu jirani zetu, wala tusibabaike isipokuwa tujifunze kwa haraka na tutaendanao sambamba, wasi wasi wangu ni kuwa hatuna rais wala waziri mkuu wa kuthubutu, wao ni siasa tu....

Hapo tunamkumbuka Lowasa pamoja na matatizo ya richmond lakini alikomaa mpaka mradi wa maji wa ziwa victoria ukaanza ingawa misri na UK zilikuwa zinapinga vikali. Kitu cha kushangaza, Kwa nini nchi zingine mashirika ya umma yanafanya vizuri lakini TZ mashirika ya umma yanakufa?? Hapa ndo kuna tatizo, na labda niseme tu kwamba hii imechangiwa na tabia ya CCM kuchukua pesa kila wakati wa uchaguzi na hiyo inwapa mwanya viongozi wa mashirika na wao kuchota kiasi wancho taka.......sina muda wa kutosha.....
Reply With Quote
  #9  
Old 3rd July 2009, 10:09 PM
Kahinda Kahinda is offline
Kahinda has no status.
Senior Member
Points: 67,756, Level: 100 Points: 67,756, Level: 100 Points: 67,756, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Posts: 242
Thanks: 12
Thanked 25 Times in 19 Posts
Rep Power: 22
Kahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enoughKahinda will become famous soon enough
Default Re: Tunahitaji majasusi na magaidi

Quote:
View Post
Jamani mimi niliwahi kutoa thread kuhusu jinsi kitengo cha ujasusi wa kiuchumi cha CIA kilivyo isambaratisha Nyumbu yetu iliyokuwa imeanza kupata uhai miaka ya 80. Walichofanya, waliirubuni serikali ya TZ chini ya Mzee mwinyi kwamba itawapa technolojia mpya ya magari, na pia waliisha mnunua meneja wa nyumbu wakati ule, serikali kama kawaida ikakubali, lakini lengo la wamarekani ilikuwa tusiweze kutegeneza magari ya kijeshi, na baada tu ya wao kuona tumeingia mkenge wakajitoa na pesa walizo ahidi hawakutoa na ndo ukawa mwisho wa nyumbu.

Economic intelligence ndiyo inasaidia nchi kujua nani anategeneza nini na anachokitegeneza kinaathiri vipi uchumi wa nchi yako na ufanye nini ili either umzidi au muwe sawa. Sisi serikali yetu chini ya CCM wamelala fofofo, wanadhani WB, IMF, n.k. inawapenda, hakuna....inatumaliza.

Kuhusu jirani zetu, wala tusibabaike isipokuwa tujifunze kwa haraka na tutaendanao sambamba, wasi wasi wangu ni kuwa hatuna rais wala waziri mkuu wa kuthubutu, wao ni siasa tu....

Hapo tunamkumbuka Lowasa pamoja na matatizo ya richmond lakini alikomaa mpaka mradi wa maji wa ziwa victoria ukaanza ingawa misri na UK zilikuwa zinapinga vikali. Kitu cha kushangaza, Kwa nini nchi zingine mashirika ya umma yanafanya vizuri lakini TZ mashirika ya umma yanakufa?? Hapa ndo kuna tatizo, na labda niseme tu kwamba hii imechangiwa na tabia ya CCM kuchukua pesa kila wakati wa uchaguzi na hiyo inwapa mwanya viongozi wa mashirika na wao kuchota kiasi wancho taka.......sina muda wa kutosha.....
Ni kweli kwamba tunachohitaji ni ujasusi wa uchumi,badala wa kisiasa.
nchi nyingi za mashariki ya mbali baada ya vita baridi "cold war" zilibadilisha
mbinu za kijasusi wakaanza ujasusi wa kiuchumi kuiba teknolojian.k
lakini kabla ya hilo walikuwa wamejiandaa vyema waliwekeza vichwani mwa watoto wao "Kielimu" ili waweze kumudu kuiba teknolojia ya nchi za magharibi.lakini sasa sisi watoto wetu tumewapuuza vijana wetu walioko vyuoni tunawapuuza wanapotushauri dawa ni kuwavurumishia virungu vya "FFU". wale wakubwa waliokimbizia watoto wao ulaya wakapate elimu waliowengi wanaishia kulewa na kula madawa ya kulevya.
Haya mambo tunatakiwa tuyaweke sawa kwanza,ujasusi ni kazi nyeti sana ukikurupuka utaenda na maji hata kabla hujanusa kitu.sasa kwa hali ya maandalizi kwa vijana wetu tusipoliona hilo hatutaiba teknolojia yoyote.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
magaidi, majasusi, tunahitaji


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ili Tuendelee Tunahitaji Nini? Saidi Yakubu Jukwaa la Siasa 70 9th March 2010 02:10 PM
Tanzania Tunayoitaka miraclegers Business & Economic Forum 458 10th October 2008 02:42 PM
Mkutano wa Sullivan: Al Bashir afananisha waasi na magaidi Lunyungu Jukwaa la Siasa 6 6th June 2008 07:32 AM
Tunahitaji kuwa makini Tanzania si salama Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 0 15th July 2007 06:41 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 10:25 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com