Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wakati wakijazana kwetu, India hawataki machinga kwao!

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      mpayukaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 950
      Rep Power : 921
      Likes Received
      337
      Likes Given
      1498

      Default Wakati wakijazana kwetu, India hawataki machinga kwao!




      Maandamano makubwa yametawala nchini India baada ya serikali kuruhusu makampuni ya kigeni kama vile Walmalt kufanya biashara nchini mle. Wananchi wamechukizwa na hatua hii kiasi cha kuingia mitaani kuandamana. Wananchi wanadai kuwa kuruhusu makampuni ya kigeni kufanya biashara inayofanywa na wazawa ni kuwahujumu na wanapinga kwa nguvu zao zote. Inashangaza kuona nchi nyingi za kiafrika zikiwa na wafanyabiashara wengi tena wakifanya biashara ndogo ndogo wakati wao hawapendi kitu kama hiki kufanyika nchini mwao. Je huu ni uroho unafiki, upogo au uzalendo? Je hatua hii ya wananchi wa India inatoa funzo gani kwa nchi za Kiafrika hasa hasa Tanzania? Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Joachim Morgan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 53
      Rep Power : 398
      Likes Received
      13
      Likes Given
      2

      Default Re: Wakati wakijazana kwetu, India hawataki machinga kwao!

      Hapa Rais wetu anasema hawa ni wenzetu wanatupa misaada ya maendeleo kumbe ndo wanatumaliza.
      Mimi nilipomaliza chuo niliambiwa sina uzoefu nikatafuta kimtaji nikaanza umachinga leo ninapambana na machinga kutka China. Je, tutafika ili hali wakubwa wanatuambia tujiajiri au ndio tunafanywa mafukara wa kutupwa kwa style hiyo.

    4. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...