| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 638
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Kuna tatizo kubwa sana la 'customer care' hapa nchini. Majibu ya watoa huduma katika mabenki ya kibiashara yanakatisha tamaa kama sio kukera. Labda hii inatokana na mis appropriateness ya watu katika fani zao. Nimeona katuni moja ya Kipanya, jamaa yuko kaunta anajitambulisha kuwa ana digrii ya kilimo toka SUA (plz no offense kwa SUASO) ni teller katika commercial bank. Nikajisemea hapa kaazi kweli kweli.
Kingine hawa jamaa nasikia sijui operations zao (server) ziko SA, na kuna aina ya controls ambazo bila SA hawawezi kufanya kitu. Labda iwe changamoto kwa watawala wetu kuwabana wawekezaji ili kuboresha huduma za kijamii. Pole Kireka, I understand your frustrations |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
NBC one of the worst Banks in the country.Kuanzia tarehe 26 June nimetumiwa fedha kwa mtindo wa money transfer na imewachukua zaidi ya siku sita,(YES! SITA), kukamilisha transaction hiyo.Matawi yote yapo hapa hapa Dar es salaam.
AND THEY CLAIM TO BE IN BUSINESS!!!! |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta!mimi ilishanitokeaga ila ilikua tofauti kidogo na wewe!nilikua natakla hela nying kidogo sasa nikaunga que kwenye ATM nikachukua balance nikaunga que kwenye line ya ku draw!kufika kwa teller anasema siwez kukulipa hela zote hizi so inatakiwa uende kwa bulk tellers!nikawa mpole nikaenda kufika kwa bulk teller anasema hii balance umeichukua wapi?inatakiwa uwe na mfanyakaz wa benk ndio akuchukulie balance na aweke sign yake!du nikachoka kwa vile nilikua na shida nikasema sawa! anaechukua hiyo balance yaan huyo mtu wao wa benk alikua ameenda lunch so ikabd nisubiri ilikua ni majira ya saa saba kasoro mchana!nilikaa hadi majira ya 1.30pm ndio akaja bwana mkubwa tukaenda kuchukua balance.
Sasa mimi nikamuuliza why inakua hivi?akasema kuna wasanii walikua wanatengeneza zile ATM statements na walishapigwa si chini ya milion 100 hivi!sasa nikamuuliza why cashier kabla ya kulipa asiangalie account ili kujua kama kuna hizo hela na pia kwenye account ya mteja kuna picha yake so anaweza kuangalia kama je mteja ni mwenyewe ama la! Akasema jamaa wame disable teller hawez ku view balance wala nini!bas nikachomoa hela zangu zote sasa hv nina safe hm nadumbukiz ataratibu taratibu! Polen wazee mabenk ya bongo hayana tija! |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
wote haya yametukuta na upande wangu siitumii tena hiyo benki kwani nu usmbufu mwanzo mwisho
__________________
Things go by Plan and not by chance |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mimi nahisi hii inaweza ikawa ni danganya toto tu. Hii (NBC) ni mojawapo ya benki ambazo magazeti hasa Mwanahalisi yaliripoti akaunti za mafisadi ikiwemo mzee wa vijisenti, Meremeta n.k. Huenda umefanyika mpango maalum wa kuhakikisha kuwa wafanyakazi wa benki hawapati access kwenye hizi akaunti ili wasitoe taarifa kwa waandisji wa habari na mafisadi waendelee kujificha vizuri huko.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34) |
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Nimetoka saizi NBC tawi la Kichwele hapo kuchukua pesa wanasema hawana pesa duh! nimechukia mpaka basi yaani mida hii hii hawa NBC sijui ndo wanafilisika ngoja nihamishe pesa zangu zote isije ikawa ya DECI.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi. Chuda Raha Email: fidel80@jamiiforums.com |
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Dah! asanteni sana kwa kuniamsha toka usingizini,maana ni juzi tu nimetoka kuchukua fomu zao.ma-bank mengi ni ya kibabaishaji tu na kila kukicha yanaongezeka.Inatupasa kuwa makini sana nazo.
Mkuu unadhani ufumbuzi watatizo hilo ni kuziweka nyumbani? angalia TRA (majambazi)wasije kuzichukua.
__________________
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu. |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mie mwenyewe nina akaunti katika benki hii, kimsingi huduma zao ni mbovu sana. Kuna wakati nilikwenda kuhudumiwa pale katika tawi chuo kikuu, wahudumu niliokutana nao ilikuwa kero tupu, wana majibu ya mkato sana wakati bila sisi hawawezi kujiita benki. Likewise, ATM zao za Mwenge na Sinza Kijiweni muda mwingi haziko kazini (kama sio muda wote).Mbaya zaidi, kadi yao si VISA, hivyo huwezi kuchukua pesa katika ATM za benki nyingine iwapo una kadi ya NBC.
Kama wana masikio na wasikie na warekebishe kasoro hizi, kinachofuata ni kufunga akaunti! |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Nbc kweli huduma zenu mbaya sana sana....wana urasimu usio na faida wala msingi.....jamani hebu acheni utongo tongo wa akili zenu na akili mgando...badilikenii sasa banki iwe ya ushindani sio ya mazoea.....
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 08:25 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||