NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 30th June 2009, 04:36 PM   #1
NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?
Kireka1980 Kireka1980 is offline 30th June 2009, 04:36 PM

Hawa NBC ni kweli wana matawi nchi nzima na mashine zao zinaccept visa card japo atm card zao sio visa!
Nilienda kwenye branch yao ya mlimani city siku ya jumapili (inakuwa wazi) nilitaka kudraw 1.5m nilichukua tahadhari zote kama vile kwenda na balance niliyoipata baada ya kukaa kwenye folen ya ATM. kufika dirishani baada ya foleni ndefu sana yule teller (mmama) akaniambia 'samahani branch uliyofungulia account ni ubungo na leo hawafungui so hatuwezi kukuhudumia' nikamuuliza kwa nn? akajibu kudraw nje ya branch yako lazima watutumie fax kwanza, SIJUI HATA FAX YA NINI MUNGU WANGU WAKATI SIKUMTUMA MTU, BALANCE YA THAT TIME NINAYO CAD NINAYO NILIKUWA FULL!
Nikaondoka nikarudi nyumbani mpoole, na jamaa niliyekuwa nimeenda kumchukulia hiyo cash akaniona mwongo. NISIANDIKE SAANA

Kireka1980
JF Premium Member
Points: 108,618, Level: 100 Points: 108,618, Level: 100 Points: 108,618, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Mar 2008
Posts: 104
Thanks: 6
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 638
Reply With Quote
  #2  
Old 30th June 2009, 06:12 PM
Gashle Gashle is offline
Gashle has no status.
Senior Member
Points: 84,994, Level: 100 Points: 84,994, Level: 100 Points: 84,994, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Mar 2007
Posts: 92
Thanks: 68
Thanked 24 Times in 19 Posts
Rep Power: 23
Gashle will become famous soon enoughGashle will become famous soon enoughGashle will become famous soon enoughGashle will become famous soon enoughGashle will become famous soon enoughGashle will become famous soon enoughGashle will become famous soon enoughGashle will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Kuna tatizo kubwa sana la 'customer care' hapa nchini. Majibu ya watoa huduma katika mabenki ya kibiashara yanakatisha tamaa kama sio kukera. Labda hii inatokana na mis appropriateness ya watu katika fani zao. Nimeona katuni moja ya Kipanya, jamaa yuko kaunta anajitambulisha kuwa ana digrii ya kilimo toka SUA (plz no offense kwa SUASO) ni teller katika commercial bank. Nikajisemea hapa kaazi kweli kweli.

Kingine hawa jamaa nasikia sijui operations zao (server) ziko SA, na kuna aina ya controls ambazo bila SA hawawezi kufanya kitu. Labda iwe changamoto kwa watawala wetu kuwabana wawekezaji ili kuboresha huduma za kijamii. Pole Kireka, I understand your frustrations
Reply With Quote
  #3  
Old 1st July 2009, 11:14 PM
Lole Gwakisa's Avatar
Lole Gwakisa Lole Gwakisa is offline
Lole Gwakisa has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 225,228, Level: 100 Points: 225,228, Level: 100 Points: 225,228, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Nov 2008
Posts: 1,180
Thanks: 289
Thanked 281 Times in 139 Posts
Rep Power: 24
Lole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

NBC one of the worst Banks in the country.Kuanzia tarehe 26 June nimetumiwa fedha kwa mtindo wa money transfer na imewachukua zaidi ya siku sita,(YES! SITA), kukamilisha transaction hiyo.Matawi yote yapo hapa hapa Dar es salaam.
AND THEY CLAIM TO BE IN BUSINESS!!!!
Reply With Quote
  #4  
Old 2nd July 2009, 07:57 AM
mande mande is offline
mande is a sailor
Junior Member
Points: 72,200, Level: 100 Points: 72,200, Level: 100 Points: 72,200, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Mar 2008
Posts: 7
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
mande will become famous soon enoughmande will become famous soon enoughmande will become famous soon enoughmande will become famous soon enoughmande will become famous soon enoughmande will become famous soon enoughmande will become famous soon enoughmande will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta!mimi ilishanitokeaga ila ilikua tofauti kidogo na wewe!nilikua natakla hela nying kidogo sasa nikaunga que kwenye ATM nikachukua balance nikaunga que kwenye line ya ku draw!kufika kwa teller anasema siwez kukulipa hela zote hizi so inatakiwa uende kwa bulk tellers!nikawa mpole nikaenda kufika kwa bulk teller anasema hii balance umeichukua wapi?inatakiwa uwe na mfanyakaz wa benk ndio akuchukulie balance na aweke sign yake!du nikachoka kwa vile nilikua na shida nikasema sawa! anaechukua hiyo balance yaan huyo mtu wao wa benk alikua ameenda lunch so ikabd nisubiri ilikua ni majira ya saa saba kasoro mchana!nilikaa hadi majira ya 1.30pm ndio akaja bwana mkubwa tukaenda kuchukua balance.

Sasa mimi nikamuuliza why inakua hivi?akasema kuna wasanii walikua wanatengeneza zile ATM statements na walishapigwa si chini ya milion 100 hivi!sasa nikamuuliza why cashier kabla ya kulipa asiangalie account ili kujua kama kuna hizo hela na pia kwenye account ya mteja kuna picha yake so anaweza kuangalia kama je mteja ni mwenyewe ama la!

Akasema jamaa wame disable teller hawez ku view balance wala nini!bas nikachomoa hela zangu zote sasa hv nina safe hm nadumbukiz ataratibu taratibu!

Polen wazee mabenk ya bongo hayana tija!
Reply With Quote
  #5  
Old 2nd July 2009, 10:30 AM
PgSoft2008 PgSoft2008 is offline
PgSoft2008 has no status.
Senior Member
Points: 88,482, Level: 100 Points: 88,482, Level: 100 Points: 88,482, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu May 2008
Location: Tanzania,Kenya and Uganda
Posts: 86
Thanks: 6
Thanked 7 Times in 4 Posts
Rep Power: 22
PgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to PgSoft2008
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Quote:
View Post
why cashier kabla ya kulipa asiangalie account ili kujua kama kuna hizo hela na pia kwenye account ya mteja kuna picha yake so anaweza kuangalia kama je mteja ni mwenyewe ama la!

Akasema jamaa wame disable teller hawez ku view balance wala nini!bas nikachomoa hela zangu zote sasa hv nina safe hm nadumbukiz ataratibu taratibu!

Polen wazee mabenk ya bongo hayana tija!
ukweli ni kwamba katika server zao hakuna data zaidi ya transactions (D/C) tu. Hakuna picha wala signature ya customer wanadai wanaogopa bandwidth costs.

wote haya yametukuta na upande wangu siitumii tena hiyo benki kwani nu usmbufu mwanzo mwisho
__________________
Things go by Plan and not by chance
Reply With Quote
  #6  
Old 2nd July 2009, 10:59 AM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is offline
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 126,096, Level: 100 Points: 126,096, Level: 100 Points: 126,096, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,360
Thanks: 952
Thanked 1,290 Times in 789 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Quote:
View Post
ukweli ni kwamba katika server zao hakuna data zaidi ya transactions (D/C) tu. Hakuna picha wala signature ya customer wanadai wanaogopa bandwidth costs.

wote haya yametukuta na upande wangu siitumii tena hiyo benki kwani nu usmbufu mwanzo mwisho
Mimi nahisi hii inaweza ikawa ni danganya toto tu. Hii (NBC) ni mojawapo ya benki ambazo magazeti hasa Mwanahalisi yaliripoti akaunti za mafisadi ikiwemo mzee wa vijisenti, Meremeta n.k. Huenda umefanyika mpango maalum wa kuhakikisha kuwa wafanyakazi wa benki hawapati access kwenye hizi akaunti ili wasitoe taarifa kwa waandisji wa habari na mafisadi waendelee kujificha vizuri huko.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
  #7  
Old 2nd July 2009, 11:05 AM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 806,424, Level: 100 Points: 806,424, Level: 100 Points: 806,424, Level: 100
Activity: 79% Activity: 79% Activity: 79%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,391
Thanks: 513
Thanked 982 Times in 682 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Nimetoka saizi NBC tawi la Kichwele hapo kuchukua pesa wanasema hawana pesa duh! nimechukia mpaka basi yaani mida hii hii hawa NBC sijui ndo wanafilisika ngoja nihamishe pesa zangu zote isije ikawa ya DECI.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #8  
Old 2nd July 2009, 11:06 AM
JosM's Avatar
JosM JosM is offline
JosM where do we go? what do we know?
JF Senior Expert Member
Points: 152,694, Level: 100 Points: 152,694, Level: 100 Points: 152,694, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Dar es salaam/Kampala/lam
Posts: 638
Thanks: 8
Thanked 6 Times in 6 Posts
Rep Power: 23
JosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Quote:
View Post
bas nikachomoa hela zangu zote sasa hv nina safe hm nadumbukiz ataratibu taratibu!
Dah! asanteni sana kwa kuniamsha toka usingizini,maana ni juzi tu nimetoka kuchukua fomu zao.ma-bank mengi ni ya kibabaishaji tu na kila kukicha yanaongezeka.Inatupasa kuwa makini sana nazo.

Mkuu unadhani ufumbuzi watatizo hilo ni kuziweka nyumbani? angalia TRA (majambazi)wasije kuzichukua.
__________________
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.
Reply With Quote
  #9  
Old 2nd July 2009, 11:07 AM
Idimi Idimi is offline
Idimi a hydropower specialist
JF Senior Expert Member
Points: 580,982, Level: 100 Points: 580,982, Level: 100 Points: 580,982, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sun Mar 2007
Location: Bremen
Posts: 1,715
Thanks: 118
Thanked 141 Times in 92 Posts
Rep Power: 27
Idimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Mie mwenyewe nina akaunti katika benki hii, kimsingi huduma zao ni mbovu sana. Kuna wakati nilikwenda kuhudumiwa pale katika tawi chuo kikuu, wahudumu niliokutana nao ilikuwa kero tupu, wana majibu ya mkato sana wakati bila sisi hawawezi kujiita benki. Likewise, ATM zao za Mwenge na Sinza Kijiweni muda mwingi haziko kazini (kama sio muda wote).Mbaya zaidi, kadi yao si VISA, hivyo huwezi kuchukua pesa katika ATM za benki nyingine iwapo una kadi ya NBC.

Kama wana masikio na wasikie na warekebishe kasoro hizi, kinachofuata ni kufunga akaunti!
__________________
Help make the world a better place.
Idimi@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #10  
Old 2nd July 2009, 01:04 PM
Skills4Ever's Avatar
Skills4Ever Skills4Ever is online now
Skills4Ever Die Trying Guru
JF Senior Expert Member
Points: 117,611, Level: 100 Points: 117,611, Level: 100 Points: 117,611, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Thu Feb 2008
Posts: 1,417
Thanks: 0
Thanked 79 Times in 51 Posts
Rep Power: 25
Skills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enough
Default Re: NBC bank ni kero, hivi wenzangu mnawaelewa elewa?

Nbc kweli huduma zenu mbaya sana sana....wana urasimu usio na faida wala msingi.....jamani hebu acheni utongo tongo wa akili zenu na akili mgando...badilikenii sasa banki iwe ya ushindani sio ya mazoea.....
__________________
"No matter how far down the wrong road you've gone,TURN BACK"
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
bank, elewa, kero, mnawaelewa, nbc, wenzangu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
A vote of confidence for Mama Anne-Kilango Malecela Mwafrika wa Kike Jukwaa la Siasa 121 16th December 2009 09:43 AM
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 01:07 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 08:25 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com