Habari na Hoja mchanganyikoUna jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.
Kwa vijana wa zamani watakumbuka jinsi huduma ya kunyoa nywele ilivyokuwa ikitolewa.
Kama siyo chini ya mti mkubwa wenye kivuli basi ilikuwa ni kwenye vibanda vidogo vidogo ambavyo kulikuwepo na kinyozi mmoja mwanaume.
Taratibu kwa kadri muda ulivyoendelea na utandawazi kushika hatamu, sasa tunashuhudia naweza kusema nyumba za kisasa kabisa zimejengwa ama kugeuzwa kuwa maeneo ya kunyolea nywele huku huduma nyingine za kuosha nywele,uso, kucha na nyingine kama hizo zikifanywa na akina dada tena warembo kweli kweli.
Baadhi ya hawa akina dada wamekuwa wanavaa nguo ambazo wakati mwingine zinaacha maswali mengi kwamba je ni huduma hii ya kufanya usafi wa nywele na uso ama ni zaidi ya hapo. Na zaidi ya hapo wakati wa hizi huduma wana minjonjo mingi tu kama kufungua vifungo vya shati ili waweke taulo/kitambaa, wasugue masikio, shingo,..nk.
Nawaulizeni wana-JF wenzangu, je kama uko na mai waifu wako akaona unayofanyiwa na hawa akina dada atakuruhusu uwe unakwenda peke yako? Au kama maiwaifu wako angekuwa anafanya kazi huko, ungemruhusu awafanyie wanaume wengine vile hawa akina dada wanafanya?
Nimesoma reply zote za hii thread,na sijaona hata mmoja aliyejibu kwa ufasaha maswali yaiyoulizwa na mwenye thread. Kwanini watu mnapenda sana kukimbilia kujibu vitu bila ya kujitayarisha vizuri, kwa maana ya kuelewa swali kwanza na kujibu kwa ufasaha. Au mnajibu ili mjiongezee credit tu. Maana wengine wamejibu kwa maswali zaidi. Tafadhalini, chonde chonde wanajf,kama mnataka kuendelea kuifanya JF iwe sehemu ambayo itakuwa endelevu, basi tujitahidi sana kutoa majibu mazuri kwa maswali yanayoulizwa. Kama unaona jibu huna basi kaa kimya si lazima uandike,for the sake of just writting.
Wakati tunawalalamikia wanasiasa na watendaji wengine wa serikali kwa kulipualipua kazi zao,sasa naona hata hapa hapa JF kuna watu tena wengi tu wanalipualipua kwenye majibu yao kwa thread mbalimbali. Je! Hili ni tatizo la kitaifa?
Nimesoma reply zote za hii thread,na sijaona hata mmoja aliyejibu kwa ufasaha maswali yaiyoulizwa na mwenye thread. Kwanini watu mnapenda sana kukimbilia kujibu vitu bila ya kujitayarisha vizuri, kwa maana ya kuelewa swali kwanza na kujibu kwa ufasaha. Au mnajibu ili mjiongezee credit tu. Maana wengine wamejibu kwa maswali zaidi. Tafadhalini, chonde chonde wanajf,kama mnataka kuendelea kuifanya JF iwe sehemu ambayo itakuwa endelevu, basi tujitahidi sana kutoa majibu mazuri kwa maswali yanayoulizwa. Kama unaona jibu huna basi kaa kimya si lazima uandike,for the sake of just writting.
Wakati tunawalalamikia wanasiasa na watendaji wengine wa serikali kwa kulipualipua kazi zao,sasa naona hata hapa hapa JF kuna watu tena wengi tu wanalipualipua kwenye majibu yao kwa thread mbalimbali. Je! Hili ni tatizo la kitaifa?
wewe mbona hujajibu ila unawalaumu wengine?hii ndo tabia ya watanzania kulaumlaumu tu bila hata kufikiria haya umeona mwenzio amekosea si umuelimishe na siyo kumlaumu kama ulivyowalumu tena umesema wote waliochangia hii maada hakuna aliyejibu.
wewe wakati unaandika ulikuwa unachangia au ulikuwa unalaumu?
Nimesoma reply zote za hii thread,na sijaona hata mmoja aliyejibu kwa ufasaha maswali yaiyoulizwa na mwenye thread. Kwanini watu mnapenda sana kukimbilia kujibu vitu bila ya kujitayarisha vizuri, kwa maana ya kuelewa swali kwanza na kujibu kwa ufasaha. Au mnajibu ili mjiongezee credit tu. Maana wengine wamejibu kwa maswali zaidi. Tafadhalini, chonde chonde wanajf,kama mnataka kuendelea kuifanya JF iwe sehemu ambayo itakuwa endelevu, basi tujitahidi sana kutoa majibu mazuri kwa maswali yanayoulizwa. Kama unaona jibu huna basi kaa kimya si lazima uandike,for the sake of just writting.
Wakati tunawalalamikia wanasiasa na watendaji wengine wa serikali kwa kulipualipua kazi zao,sasa naona hata hapa hapa JF kuna watu tena wengi tu wanalipualipua kwenye majibu yao kwa thread mbalimbali. Je! Hili ni tatizo la kitaifa?
Mkuu nashukuru kwa kukumbushia maswali nilyoyauliza kwenye hii mada. Hata hivyo ni vema pia kusika maoni ama mitazamo tofauti kuhusiana na mada husika kama vile unaionaje hii biashara, ni kwanini kwa siku za hivi karibuni imeshamiri sana.. nk.
Nimesoma reply zote za hii thread,na sijaona hata mmoja aliyejibu kwa ufasaha maswali yaiyoulizwa na mwenye thread. Kwanini watu mnapenda sana kukimbilia kujibu vitu bila ya kujitayarisha vizuri, kwa maana ya kuelewa swali kwanza na kujibu kwa ufasaha. Au mnajibu ili mjiongezee credit tu. Maana wengine wamejibu kwa maswali zaidi. Tafadhalini, chonde chonde wanajf,kama mnataka kuendelea kuifanya JF iwe sehemu ambayo itakuwa endelevu, basi tujitahidi sana kutoa majibu mazuri kwa maswali yanayoulizwa. Kama unaona jibu huna basi kaa kimya si lazima uandike,for the sake of just writting.
Wakati tunawalalamikia wanasiasa na watendaji wengine wa serikali kwa kulipualipua kazi zao,sasa naona hata hapa hapa JF kuna watu tena wengi tu wanalipualipua kwenye majibu yao kwa thread mbalimbali. Je! Hili ni tatizo la kitaifa?
umesema vema, nilitegemea kuona na wewe ukijaribu kujibu accordingly ili kuonyesha mfano...lakini wapi....angalau ungesema kuhus hili swali lililoulizwa............ wewe huna majibu
pili, nimependa jinsi ulivyoepuka kutumia neno "ovyo ovyo" au "Hovyo Hovyo"....na umetumia neno "wanalipualipua"......well habari za huko Mheshimiwa..........
Back to the mada
Kusema ukweli kwenye biashara ni muhimu kuwa na strategies kuvutia wateja, otherwise ukiwa na business as usual unaweza kujikuta you don't make it.........kwa hiyo mwenye biashara "akili mu kichwa"
pili wateja (kiume/kike) tunapenda kuhudumiwa vizuri, sasa uteja huo uko wapi...thats debatable.....wengine wanasema wake zao ni mafundi wengine wanasema salon zinafanya kazi nzuri....inabaki kuwa very subjective issue.........na ili huduma zisiwe percieved subjective.....inabidi wenye biashara wawe na standard.......sasa kwenye hili sijui kama zipo
Culture nayo inachangia sana.......Our African Culture (Im sorry ndivyo tulivyo)........si vema kuruhusu jinsia tofauti kushika shika mwili wa jinsia mwingine.......ndio maana tumekuw ana majibu kama ulivyoyaona hapo juu mkuu.......ulimwengu wa wengine....trust me it is strictly business.....
kwenye American Top Model kuna jamaa anaitwa "Miss Alexander"....yaani siku zote perception yangu ilikuwa jamaa si riziki.....kumbe jamaa normal....thats what i mean when saying "Strictly business"
Kama unaona wewe inakukwaza usiende. Au ukishanyolewa usisafishwe na hao wadada kama unaona itakuharibia......
,,,,,,Ha ha haaaaa!!,kuna jamaa mmoja huku zenji alikua anakoshwa uso na nywele baada ya kunyolewa,sasa saluni za siku hizi zenji wanaleta wadada walio jaaliwa toka bara,na kama unavyojua tena wadada wa kizenji wengi vi basmati(portable),lijamaa limeshamaliza kuoshwa linaambiwa MAKAME haya amka aje mwingine,,halitaki,,kumbe mambo yalikua yesha kua mabaya kwenye suruali,MNYAMA alikua kesha kamata network,kwa kweli ilikua kali kwelikweli.Hi kitu ni balaa lakini si ndo maendeleo bana,tutazoea tu.