Akina dada na salon za kiume!! - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 26th June 2009, 11:49 AM  
Akina dada na salon za kiume!!
Kyachakiche Kyachakiche is offline 26th June 2009, 11:49 AM

Kwa vijana wa zamani watakumbuka jinsi huduma ya kunyoa nywele ilivyokuwa ikitolewa.

Kama siyo chini ya mti mkubwa wenye kivuli basi ilikuwa ni kwenye vibanda vidogo vidogo ambavyo kulikuwepo na kinyozi mmoja mwanaume.

Taratibu kwa kadri muda ulivyoendelea na utandawazi kushika hatamu, sasa tunashuhudia naweza kusema nyumba za kisasa kabisa zimejengwa ama kugeuzwa kuwa maeneo ya kunyolea nywele huku huduma nyingine za kuosha nywele,uso, kucha na nyingine kama hizo zikifanywa na akina dada tena warembo kweli kweli.

Baadhi ya hawa akina dada wamekuwa wanavaa nguo ambazo wakati mwingine zinaacha maswali mengi kwamba je ni huduma hii ya kufanya usafi wa nywele na uso ama ni zaidi ya hapo. Na zaidi ya hapo wakati wa hizi huduma wana minjonjo mingi tu kama kufungua vifungo vya shati ili waweke taulo/kitambaa, wasugue masikio, shingo,..nk.

Nawaulizeni wana-JF wenzangu, je kama uko na mai waifu wako akaona unayofanyiwa na hawa akina dada atakuruhusu uwe unakwenda peke yako? Au kama maiwaifu wako angekuwa anafanya kazi huko, ungemruhusu awafanyie wanaume wengine vile hawa akina dada wanafanya?

Na tujadili!

Kyachakiche
JF Senior Expert Member
Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
Join Date: Mon Feb 2009
Posts: 474
Thanks: 109
Thanked 38 Times in 24 Posts
Views: 2750
Reply With Quote
  #21  
Old 26th June 2009, 01:55 PM
Magezi Magezi is offline
Magezi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 311,867, Level: 100 Points: 311,867, Level: 100 Points: 311,867, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Sun Oct 2008
Posts: 1,972
Thanks: 204
Thanked 398 Times in 234 Posts
Rep Power: 25
Magezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Inategemea na mkeo/mmeo anaelewa namna gani mimi siwezi kuacha kwenda hizi saloon kwa sababu wanasafisha vizuri kweli hata zile sehemu ambazo mimi na haraka zangu siwezi kumbuka kusafisha.....

Na hawa wanafanya kama nchi nyingine mfano nilienda lusaka, tena kule unanyolewa chumba hiki na unaenda safishwa chumba kingine sasa kama wewe ni mtu wa zipu wazi "ufwa wilola"
Reply With Quote
  #22  
Old 26th June 2009, 02:02 PM
SILENT WHISPER SILENT WHISPER is offline
SILENT WHISPER Emergency poison
Senior Member
Points: 85,911, Level: 100 Points: 85,911, Level: 100 Points: 85,911, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 75
Thanks: 1
Thanked 7 Times in 6 Posts
Rep Power: 21
SILENT WHISPER will become famous soon enoughSILENT WHISPER will become famous soon enoughSILENT WHISPER will become famous soon enoughSILENT WHISPER will become famous soon enoughSILENT WHISPER will become famous soon enoughSILENT WHISPER will become famous soon enoughSILENT WHISPER will become famous soon enoughSILENT WHISPER will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

mie nikienda kwa salon, those ladies make the best part of all the processes...!
Reply With Quote
  #23  
Old 26th June 2009, 02:03 PM
TONY_BLUE TONY_BLUE is offline
TONY_BLUE has no status.
Junior Member
Points: 59,462, Level: 100 Points: 59,462, Level: 100 Points: 59,462, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Jun 2009
Posts: 4
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
TONY_BLUE will become famous soon enoughTONY_BLUE will become famous soon enoughTONY_BLUE will become famous soon enoughTONY_BLUE will become famous soon enoughTONY_BLUE will become famous soon enoughTONY_BLUE will become famous soon enoughTONY_BLUE will become famous soon enoughTONY_BLUE will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Kwani akina waume na wake hamujui kunyoana wenyewe kwa wenyewe kuliko kupelekana masaloon..
Reply With Quote
  #24  
Old 26th June 2009, 02:16 PM
Kunta Kinte Kunta Kinte is offline
Kunta Kinte has no status.
Senior Member
Points: 63,228, Level: 100 Points: 63,228, Level: 100 Points: 63,228, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2009
Posts: 168
Thanks: 8
Thanked 21 Times in 13 Posts
Rep Power: 21
Kunta Kinte will become famous soon enoughKunta Kinte will become famous soon enoughKunta Kinte will become famous soon enoughKunta Kinte will become famous soon enoughKunta Kinte will become famous soon enoughKunta Kinte will become famous soon enoughKunta Kinte will become famous soon enoughKunta Kinte will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Mazee mi kwenda ni poa tuu, lakini waifu hafanyi hiyo kazi ng'o!
Reply With Quote
  #25  
Old 26th June 2009, 02:16 PM
Tiba Tiba is online now
Tiba has no status.
JF Premium Member
Points: 89,587, Level: 100 Points: 89,587, Level: 100 Points: 89,587, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 363
Thanks: 1
Thanked 64 Times in 42 Posts
Rep Power: 22
Tiba will become famous soon enoughTiba will become famous soon enoughTiba will become famous soon enoughTiba will become famous soon enoughTiba will become famous soon enoughTiba will become famous soon enoughTiba will become famous soon enoughTiba will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Kuna jamaa yangu alienda saloon baada ya kunyolewa akaanza kufanyiwa scrub kwa jinsi alivyokuwa anaguswa mpaka kwenye masikio anapitishwa vidole kwa ufundi na binti wa saloon, mwamvuli uko chini ukaanza kukunjuka, kidogo angepiga bao.
Mkuu Sipo,

Si useme tu wazi kwamba hayo yalikukuta wewe mwenyewe? Kwani wewe ulikuwa umekaa wapi wakati huyo jamaa anakaribia kupiga bao!!!!

Tiba
Reply With Quote
  #26  
Old 26th June 2009, 02:17 PM
Akili Unazo!'s Avatar
Akili Unazo! Akili Unazo! is offline
Akili Unazo! Kichwangum
JF Premium Member
Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Location: Tanzania
Posts: 522
Thanks: 295
Thanked 69 Times in 45 Posts
Rep Power: 23
Akili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Inategemea na mkeo/mmeo anaelewa namna gani mimi siwezi kuacha kwenda hizi saloon kwa sababu wanasafisha vizuri kweli hata zile sehemu ambazo mimi na haraka zangu siwezi kumbuka kusafisha.....

Na hawa wanafanya kama nchi nyingine mfano nilienda lusaka, tena kule unanyolewa chumba hiki na unaenda safishwa chumba kingine sasa kama wewe ni mtu wa zipu wazi "ufwa wilola"
Kwa nini usimunulie mkeo hivyo vitu ili akufanyie yeye nyumbani au unamaanisha mkeo ana mapungufu ya kukuandalia hata mambo mengine.

I think hizi huduma tuzifuatazo Saloon za kike au hata za kiume lakini tunapewa huduma hizo na wanawake zinaweza fanywa na wake zetu vizuri tu tena kwa style yoyote uitakao.

Mimi mke wangu ananifanyia mwenye na na enjoy sana kwa kuwa mkizidiwa mnaendeleza libeneke.
Reply With Quote
  #27  
Old 26th June 2009, 03:41 PM
Pretty's Avatar
Pretty Pretty is offline
Pretty ''I'm really blessed."
JF Senior Expert Member
Points: 234,067, Level: 100 Points: 234,067, Level: 100 Points: 234,067, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,626
Thanks: 306
Thanked 421 Times in 277 Posts
Rep Power: 25
Pretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

hata salon za wanawake kuna wanaume pia wanatoa huduma kwa wanawake.
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Reply With Quote
  #28  
Old 26th June 2009, 04:01 PM
Rwabugiri Rwabugiri is offline
Rwabugiri has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100 Points: 166,840, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 2,305
Thanks: 10
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 27
Rwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enoughRwabugiri will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
hata salon za wanawake kuna wanaume pia wanatoa huduma kwa wanawake.
Waombeni star TV warudishe kipindi chao cha FUTUHI, walisha wahi ionyesha hii, baba alimkuta mkewe saluni, kijana yuko bize anamsugua kucha.. na kumwambia miguu yako laini, huku mama akijibu mikono yako laini na vicheko vingiiii.. baba kiroho kikauma, mkewe kawa mbogo kwamba hiyo huduma ya saluni tu,

Basi baba kaondoka kaenda saluni ya kufanyiwa 'masaji' na kadada, basi kadada kakawa kako bize kumshika shika yule baba akawa anacheka cheka na kufurahii na kuahidi kuongeza malipo, mkewe alipo fika akakuta huduma kwa mumewe akataka leta zari.. kwamba hako kadada kwanini kana mshika mumewe, yule baba akasema hee, na hii ni huduma ya saluni tu!

It was so funny,

Kwahiyo hizo huduma za jinsia tofauti ni mtego mzuri wa kibiashara, na unafanyakazi vyema tu.
Reply With Quote
  #29  
Old 26th June 2009, 04:13 PM
Van Walter Van Walter is offline
Van Walter has no status.
Senior Member
Points: 61,368, Level: 100 Points: 61,368, Level: 100 Points: 61,368, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jun 2009
Posts: 126
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 21
Van Walter will become famous soon enoughVan Walter will become famous soon enoughVan Walter will become famous soon enoughVan Walter will become famous soon enoughVan Walter will become famous soon enoughVan Walter will become famous soon enoughVan Walter will become famous soon enoughVan Walter will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

jamani waacheni wadada wa watu wamejitafutia ajira hapo kwa kuosha osha watu sura..unaetaka wakuosha sura tusiotaka kama sie twanyoa tu na kutoka nduki..maana sie wengine bwana tukishashikwa shikwa na wamama basi misisimuko inaanza na tunaogopa kufika mbali zaidi...kwahiyo ni wife tu ndo afanyakazi ya kunishika mwili
Reply With Quote
  #30  
Old 26th June 2009, 04:36 PM
AmaniGK AmaniGK is offline
AmaniGK just watching
JF Premium Member
Points: 110,272, Level: 100 Points: 110,272, Level: 100 Points: 110,272, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Jan 2008
Location: MAHALI FLANI
Posts: 628
Thanks: 165
Thanked 102 Times in 64 Posts
Rep Power: 24
AmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Raha ya kunyoa kuoshwa
__________________
He who wants to keep his garden tidy doesn't reserve a plot for weeds
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
akina, dada, kiume, salon


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Afumaniwa na dada yake akijivinjari na shemeji yake MziziMkavu Jokes/Utani + Udaku/Gossips 24 10th July 2009 06:34 PM
Homa ya akina dada katika mapenzi!!! Bikra Mahusiano, mapenzi, urafiki 5 18th May 2009 05:12 AM
Akina mama play your part,it can be done Njowepo Habari na Hoja mchanganyiko 0 13th March 2008 04:07 PM
Akina Dada Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 55 18th August 2007 04:00 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:11 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com