Akina dada na salon za kiume!! - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 26th June 2009, 11:49 AM  
Akina dada na salon za kiume!!
Kyachakiche Kyachakiche is offline 26th June 2009, 11:49 AM

Kwa vijana wa zamani watakumbuka jinsi huduma ya kunyoa nywele ilivyokuwa ikitolewa.

Kama siyo chini ya mti mkubwa wenye kivuli basi ilikuwa ni kwenye vibanda vidogo vidogo ambavyo kulikuwepo na kinyozi mmoja mwanaume.

Taratibu kwa kadri muda ulivyoendelea na utandawazi kushika hatamu, sasa tunashuhudia naweza kusema nyumba za kisasa kabisa zimejengwa ama kugeuzwa kuwa maeneo ya kunyolea nywele huku huduma nyingine za kuosha nywele,uso, kucha na nyingine kama hizo zikifanywa na akina dada tena warembo kweli kweli.

Baadhi ya hawa akina dada wamekuwa wanavaa nguo ambazo wakati mwingine zinaacha maswali mengi kwamba je ni huduma hii ya kufanya usafi wa nywele na uso ama ni zaidi ya hapo. Na zaidi ya hapo wakati wa hizi huduma wana minjonjo mingi tu kama kufungua vifungo vya shati ili waweke taulo/kitambaa, wasugue masikio, shingo,..nk.

Nawaulizeni wana-JF wenzangu, je kama uko na mai waifu wako akaona unayofanyiwa na hawa akina dada atakuruhusu uwe unakwenda peke yako? Au kama maiwaifu wako angekuwa anafanya kazi huko, ungemruhusu awafanyie wanaume wengine vile hawa akina dada wanafanya?

Na tujadili!

Kyachakiche
JF Senior Expert Member
Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
Join Date: Mon Feb 2009
Posts: 474
Thanks: 109
Thanked 38 Times in 24 Posts
Views: 2751
Reply With Quote
  #11  
Old 26th June 2009, 12:21 PM
Abdulhalim's Avatar
Abdulhalim Abdulhalim is offline
Abdulhalim is enjoying his sabbatical leave
JF Senior Expert Member
Points: 360,879, Level: 100 Points: 360,879, Level: 100 Points: 360,879, Level: 100
Activity: 80% Activity: 80% Activity: 80%
 
Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 7,250
Thanks: 299
Thanked 861 Times in 562 Posts
Rep Power: 37
Abdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Pamoja na haya ya kulipa malipo makubwa, je mkeo akiona yanayoambatana na hayo malipo kutoka kwa hawa akina dada ingekuwaje?
teh teh teh..mazee mboni unakaba kiivo..ntakujibu 'when it is over'..lol
__________________
Avatar's Msg: Hiyo ni trailer ya wapenda kula vya watu. Ha ha ha..
Reply With Quote
  #12  
Old 26th June 2009, 12:24 PM
Akili Unazo!'s Avatar
Akili Unazo! Akili Unazo! is offline
Akili Unazo! Kichwangum
JF Premium Member
Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Location: Tanzania
Posts: 522
Thanks: 295
Thanked 69 Times in 45 Posts
Rep Power: 23
Akili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Pamoja na haya ya kulipa malipo makubwa, je mkeo akiona yanayoambatana na hayo malipo kutoka kwa hawa akina dada ingekuwaje?

Kwanza wanaweza wasiamni kama malipo ni ya facial tu halafu wanavyokuwa nashikashika kasikioni utadhani mkeo wezi watu hao akina dada na waliowengi utakuta hawajaolewa kabisa.wezi watu
Reply With Quote
  #13  
Old 26th June 2009, 12:24 PM
Kyachakiche Kyachakiche is offline
Kyachakiche has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Feb 2009
Posts: 474
Thanks: 109
Thanked 38 Times in 24 Posts
Rep Power: 22
Kyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Kama unaona wewe inakukwaza usiende. Au ukishanyolewa usisafishwe na hao wadada kama unaona itakuharibia......
Swala linalojadiliwa hapa ni je, huduma hii inapofanywa na hawa akina dada, akija mkeo akashuhudia atakuruhusu uwe unaendelea kuipata? Au je, kama ni kazi nzuri kama nyingine, utakuwa radhi kumruhusu mkeo akaifanye? Sizungumzii kukwazika ama kutokwazika.
Reply With Quote
  #14  
Old 26th June 2009, 12:54 PM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Talking Re: Akina dada na salon za kiume!!

Mke wangu hawezi kuniruhusu,pia siwezi kukubali mke wangu afanye hiyo kazi. Omba usifanyiwe hiyo kitu. Wanatekenya vibaya madada hawa,acha kabisa.
Reply With Quote
  #15  
Old 26th June 2009, 01:02 PM
Kyachakiche Kyachakiche is offline
Kyachakiche has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Feb 2009
Posts: 474
Thanks: 109
Thanked 38 Times in 24 Posts
Rep Power: 22
Kyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Mke wangu hawezi kuniruhusu,pia siwezi kukubali mke wangu afanye hiyo kazi. Omba usifanyiwe hiyo kitu. Wanatekenya vibaya madada hawa,acha kabisa.

Hapo mkuu umeniacha hoi!!!
Reply With Quote
  #16  
Old 26th June 2009, 01:14 PM
Sipo's Avatar
Sipo Sipo is offline
Sipo is self-assured
JF Senior Expert Member
Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Location: SIPAJUI
Posts: 2,167
Thanks: 382
Thanked 431 Times in 293 Posts
Rep Power: 26
Sipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Kuna jamaa yangu alienda saloon baada ya kunyolewa akaanza kufanyiwa scrub kwa jinsi alivyokuwa anaguswa mpaka kwenye masikio anapitishwa vidole kwa ufundi na binti wa saloon, mwamvuli uko chini ukaanza kukunjuka, kidogo angepiga bao.
__________________
"Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible
Reply With Quote
  #17  
Old 26th June 2009, 01:35 PM
Kyachakiche Kyachakiche is offline
Kyachakiche has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Feb 2009
Posts: 474
Thanks: 109
Thanked 38 Times in 24 Posts
Rep Power: 22
Kyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Kuna jamaa yangu alienda saloon baada ya kunyolewa akaanza kufanyiwa scrub kwa jinsi alivyokuwa anaguswa mpaka kwenye masikio anapitishwa vidole kwa ufundi na binti wa saloon, mwamvuli uko chini ukaanza kukunjuka, kidogo angepiga bao.
Duh! Hapo SIPO!!!
Reply With Quote
  #18  
Old 26th June 2009, 01:40 PM
Exaud J. Makyao's Avatar
Exaud J. Makyao Exaud J. Makyao is offline
Exaud J. Makyao is an ECONOMIST
JF Premium Member
Points: 469,406, Level: 100 Points: 469,406, Level: 100 Points: 469,406, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sun Nov 2008
Location: MOSHI TANZANIA
Posts: 1,535
Thanks: 263
Thanked 1,421 Times in 675 Posts
Rep Power: 25
Exaud J. Makyao will become famous soon enoughExaud J. Makyao will become famous soon enoughExaud J. Makyao will become famous soon enoughExaud J. Makyao will become famous soon enoughExaud J. Makyao will become famous soon enoughExaud J. Makyao will become famous soon enoughExaud J. Makyao will become famous soon enoughExaud J. Makyao will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Haya bwana,
mapya hayo
Reply With Quote
  #19  
Old 26th June 2009, 01:42 PM
Mwanjelwa Mwanjelwa is offline
Mwanjelwa Msema kweli kulingana na muda uliopo.
JF Senior Expert Member
Points: 136,339, Level: 100 Points: 136,339, Level: 100 Points: 136,339, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Location: Chenorbly
Posts: 520
Thanks: 17
Thanked 25 Times in 17 Posts
Rep Power: 24
Mwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Kuna jamaa yangu alienda saloon baada ya kunyolewa akaanza kufanyiwa scrub kwa jinsi alivyokuwa anaguswa mpaka kwenye masikio anapitishwa vidole kwa ufundi na binti wa saloon, mwamvuli uko chini ukaanza kukunjuka, kidogo angepiga bao.
Lazima ni wewe mwenyewe. Ulijua hili?
Reply With Quote
  #20  
Old 26th June 2009, 01:50 PM
Kyachakiche Kyachakiche is offline
Kyachakiche has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100 Points: 149,498, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Mon Feb 2009
Posts: 474
Thanks: 109
Thanked 38 Times in 24 Posts
Rep Power: 22
Kyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enoughKyachakiche will become famous soon enough
Default Re: Akina dada na salon za kiume!!

Quote:
View Post
Haya bwana,
mapya hayo
Yapi mkuu, kwani Moshi hayapo?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
akina, dada, kiume, salon


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Afumaniwa na dada yake akijivinjari na shemeji yake MziziMkavu Jokes/Utani + Udaku/Gossips 24 10th July 2009 06:34 PM
Homa ya akina dada katika mapenzi!!! Bikra Mahusiano, mapenzi, urafiki 5 18th May 2009 05:12 AM
Akina mama play your part,it can be done Njowepo Habari na Hoja mchanganyiko 0 13th March 2008 04:07 PM
Akina Dada Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 55 18th August 2007 04:00 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:46 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com