Habari na Hoja mchanganyikoUna jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.
Nyepesi nilizopenyezewa sekunde chache zilizopita zinadokeza kuwa mmiliki wa ZeUtamu yuko karibu kuwekwa chini ya ulinzi bongo.....stay tuned...more to come
__________________ Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Last edited by Silencer; 21st June 2009 at 12:01 AM..
Kuna mtandao mkubwa sana utakaoshtakiwa, watoa comments, wapiga picha, pamoja na waliokuwa wakii-visit ile blog najua kuna wana JF wengi tu watakao simamishwa kizimbani.
Mmoja wao ukiwa ni wewe mwenyewe mkuu.
__________________ Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.
Yaani huweziamini kama huyo kijana (sijui mbaba maana 39 amekwenda age) mzuri hivyo ameoza kichwani mwake!! Sitaki hata kukumbuka uchafu alikuwa akiuanika kule kwake!! Duh si mzima huyu hivi hana familia? Hajaoa?
Huko UK anafanya nini hasa kimaisha au ndo wale waliokwenda kutalii?
Mwanajamii One, inaelekea umemzimia sana huyu kijana.
Ila ndhani huyu ni mtu ambaye chama chawala kinamtumia katika mbinu zake za kutafuta kula. Always goals are set and missions are done. Check out his profile.
Safi sana, nilisema bwana as long as u re using PC u re wide open 2 de world na uko traceable. Sasa ngoja akae ndani kwanza kwa siku kadhaa wakati upelelezi ukiendelea, atutajie na wenzake waliokua wakimpelekea picha then ndio court itafanya kazi yake. Alipitiliza kituo bwana, huwezi ukamkashifu kivile Our Head of State n get away with it. Iwe fundisho kwa wale wote tunaodhani when we are behind our pc nobody is watching............................Bado Global Publishers..... na Sani...
Mkuu nadhani jibu lipo kwenye post yangu ya mwanzo.nimesema kuna habari nyingi kwenye mitandao zinadai kuwa wewe upo karibu sana na Zeutamu.ni hivyo tu mkuu na kama ujaridhika na majibu yangu nitakupa link ujionee mwenye usije sema na kuchafua buree mkuu wangu Heshima mbele.
Mkuu JOSM ... sorry but i smell something fishy about you
__________________ He who wants to keep his garden tidy doesn't reserve a plot for weeds
kweli anastahili adhabu tena kubwa sana ikiwa ni pamoja na kumuomba mheshimiwa JK samahani na watanzania kwa ujumla ikiwezakana ikiwa ni pamoja na kifungo atobolewe na macho kabisa.hata kama ni mtoto wa kigogo tena hao ndio wanaharibu baadhi ya viongozi waadilifu ktk nchi kwa chuki za wazazi wao na kiongozi husika.nikweli hata mimi nimezisoma ktk chazo cha habari fulani ingawa wahusika wakutupa uhakika wa hapa nchini (manumba) na wa mahusiano ya nchi za nje nchini uk. baadhi ya watuhumiwa wakiwa marekani
zeutamu kaharibu viongozi waadilifu?????
kwa hiyo hao viongozi sio waadilifu tena.....
mfano tafadhali
__________________ You can not keep 40m people quite forever....
one year one month one day they will wake up..........
Jeshi la polisi wanakataa kupokea taarifa.
Balozi wa TZ UK anakataa kupata taarifa kutiwa nguvuni.
Huyo aliye leta habari hizi za upotoshaji itabidi ashughulikiwe nae kwa kuchafua watu wasio kuwa na hatia.
__________________ Ukiuza utumbo usiogope nzi. Chuda Raha
hahhahahhaha sasa wakuuu naona badala ya ze utamu awe roho juuu na agonized imehamia kwenu maaana mnavyoshushuana? mhhhhhh now i too smell smthing fishyy ..... oh no smthing chickenyyyyy