Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wito: Tujiondoe CHADEMA

    Report Post
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast
    Results 81 to 100 of 109
    1. #1
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,496
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      607
      Likes Given
      446

      Default Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno CHADEMA.Hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
      Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo CHADEMA itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.

      Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana CHADEMA.

      Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.Nawasihi mashabiki wa CHADEMA ni bora wakajiondoa CHADEMA na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
      Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo CHADEMA itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.

      TANZANIA:Nakupenda sana.

    2. Miaka 50

    3. #81
      peri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,193
      Rep Power : 652
      Likes Received
      372
      Likes Given
      40

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      mkuu umenena vyema, tukiacha ushabik wa vyama na kuweka maslahi ya taifa mbele ndo suluhisho.
      Tukiwa hivyo mtu anaweza kumpigia kura ya urais mgombea wa cdm, then ubunge ccm na udiwani udp kulingana na sifa na uwezo wa wagombea husika.
      Lakini kwa huu ushabik tunao uendekeza tunajikuta tunasifiana hata pale tunapo kosea.
      Mwishowe tunarudia makosa yaleyale yaliyofanyika wakati wa tanu ya kuamini viongozi wetu ni watakatifu na hawawezi kukose.
      Hilo ndio lilotufikisha hapa tulipo.

    4. #82
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,819
      Rep Power : 10811
      Likes Received
      3737
      Likes Given
      2718

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Quote By mtu wenu
      Imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno CHADEMA.Hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
      Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo CHADEMA itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.

      Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana CHADEMA.

      Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.Nawasihi mashabiki wa CHADEMA ni bora wakajiondoa CHADEMA na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
      Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo CHADEMA itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.

      TANZANIA:Nakupenda sana.
      Mimi nadhani he has a good point, tatizo pengine ni jinsi alivyo craft his argument, especially the title;
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    5. #83
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Dry as dust! Toa solution baada ya kujitoa CHADEMA tuhamie wapi?

    6. #84
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 358
      Rep Power : 430
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Tuta iunga mkono CDM mpaka wakoloni weusi watakapo achia nchi yetu, mambo mengine tuta rekebisha huko mbeleni.

    7. #85
      Madikizela's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2009
      Posts : 205
      Rep Power : 544
      Likes Received
      30
      Likes Given
      142

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Quote By Ally Kanah
      Mkuu mtu wenu si nimekwambia angalia sasa matusi hii ndio sera yao Matusi Kashfa ndio walivyofundishwa na Slaa
      Sote tunapaswa kutambua kwamba JF ni jukwaa la GREAT THINKERS Nakerwa sana na wote wanaotukana badala ya kutoa hoja. wanadhani matusi ndo busara. Wote wanaotukana kwenye jukwaa hill ni dalili kuwa hawana elimu

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Quote By mtu wenu
      Imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno CHADEMA.Hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
      Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo CHADEMA itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.

      Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana CHADEMA.

      Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.Nawasihi mashabiki wa CHADEMA ni bora wakajiondoa CHADEMA na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
      Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo CHADEMA itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.

      TANZANIA:Nakupenda sana.
      nasikia unatumia kichwa chako si kufikiri bali kufugia nywele

    10. #87
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,410
      Rep Power : 993
      Likes Received
      774
      Likes Given
      259

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Quote By Ally Kanah
      Mkuu mtu wenu si nimekwambia angalia sasa matusi hii ndio sera yao Matusi Kashfa ndio walivyofundishwa na Slaa
      Mimi nadhani kama ni matusi watakuwa wamefundishwa na Lusinde, Mwigulu, Nape na Wasira na siyo Dr.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    11. #88
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,496
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      607
      Likes Given
      446

      Default

      Quote By jogi
      Tumekosoa kwa kusema bayana, yako wapi maisha bora kwa kila mtanzania? viko wapi viwanda vya tanzania, rites walitupatia faida kiasi gani tulipowabinafsishia reli yetu ambayo wengi tuliukataa mpango huo!!!! Ni nini ANBEN, kiwira kilirudishwa serikalini baada ya kupewa nani!!! twiga walipandaje ndege pale kia, imekwenda wapi NMC yetu, tunalia machozi kiwanda chetu cha kusafishia mafuta (tipper) hatunacho tena, general tire kwishney, Nembo ya twiga mnyoge kwenye ndege zetu za ATC imebaki simulizi, wapi sukita, vijiji vya ujamaa vilivyotugharimu sana kuvianzisha vinagawiwa wazi eti wawekezaji, nchini kwetu kuna machimbo ya dhahabu mengi sana lakini benki kuu hatuna hata gramu moja ya dhahabu, tanzanite si yetu ingawa inapatikana tanzania pekee, tumewamaliza faru, jk ananunua faru nje ya nchi kisha anamuwinda kijangili, epa, richmond, iptl, simbion,

      msszzhzs, muone kichwa kama mkukuta, mimacho imekutoka kama mkurabita!!!
      Kukosoa kuhusu hayo yote ni vema,lakini kumbuka kwa mfano Zitto Kabwe alipoingia katika orodha ya watoa rushwa bungeni,wana CHADEMA wangapi walikuwa tayari kuhoji kupewa ukweli kuhusu hili?
      Kuna kipindi zilizuka tuhuma humu kuwa Dr Slaa anatumia posho kubwa sana kwa ajili ya mchumba wake na mtoto wake{Junior};tuhuma ambazo Dr Slaa mwenyewe alikiri kuwa ni kweli.
      Wana CHADEMA wengi waliishia kutukana tu waleta hoja bila kumbana seriously Dr ku validate matumizi mabaya ya pesa za chama!
      Hapa ndipo nashawishika kuhimiza ushabiki makini kwa vyama vyetu kwa ajili ya manufaa ya vyama vyenyewe na taifa.

    12. #89
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 979
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      jiondoe kwanza wewe na familia yako,mimi binafsi naona kuna sehemu kinakosea lakini pamoja na ubovu huo bado ni nafuu kulinganisha na ccm.ila ninachoamini mimi ni kwamba ikiwa cdm itafanikiwa siku moja kuingia madarakani halafu ikavurunda tutakuwa tunaweza kuiondosha.kwa sababu tayari watz tutakuwa na uwezo wa kufanya mabadiliko kitu ambacho kwa miaka mingi tumeshindwa.iacheni chadema itambe siku yake ya kufa ikifika itajifia tu lakini kwa sasa hameni kwanza nyinyi japo hamjajiunga bado.
      LIMPETA

    13. #90
      kaangwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 121
      Rep Power : 445
      Likes Received
      39
      Likes Given
      37

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      kama ungekuwa na hoja ungesema ''Tujitoe kwenye vyama visivyojihusisha na maslahi ya taifa'' hapo kidogo ningekuelewa lakini kwa kuwa umetaja jina la chama kimoja tu,inaonekana wewe ni fisadi au una undugu na wale wenye mabilioni Uswis.
      Kuhusu madhaifu ni kweli kila mtu anayo madhaifu halikadhalika vyama vyote vina mapungufu lakini imaandikwa wapi kwamba miaka yote tuvumilie mapungufu ya ccm? Tumeichoka ccm tunataka mabadiliko,kuna hoja dhaifu zinatolewa kuwa uongozi wa nchi sio wa kufanyia majaribio,ccm kupitia kiongozi wake yaani rais wa nchi amefanya majaribio ya mawaziri mara kibao mpaka waziri mkuu,hiyo ni njia tosha kwamba kumbe tunaweza kufanya majaribio kwa kuchangua chama kingine ,nacho kikishindwa kazi tunaweka kingine ndo maana tuna uchaguzi kila baada ya miaka 5.

    14. #91
      Bolibo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd September 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 390
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Quote By mtu wenu
      Imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno CHADEMA.Hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
      Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo CHADEMA itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.

      Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana CHADEMA.

      Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.Nawasihi mashabiki wa CHADEMA ni bora wakajiondoa CHADEMA na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
      Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo CHADEMA itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.

      TANZANIA:Nakupenda sana.
      ukosawa mimi nakuunga mkono, waache ushabiki wakuishabikia tu chadema badalayake wa angalie vitu vyamsigi ambavyo chadema wanavifanya kwa maslahi ya taifa letu na kuangalia wapi ambapo chadema wanakwenda kinyume nasela ya katiba ya nchi... pia kuwashauri pale wanapokosea nasi kushabikia tu.... hiyo ndiyo itakayoleta heshima kubwa kwa chadema katika kupambana na changamoto za uchaguzi huo ujao wa mwaka 2015... kila laheli chadema epkeni kushabikia migogolo isiyokuwa na msingi bali muwe chombo cha usuruhishi wa migogolo katika nchi yetu Tanzania.


    15. #92
      KIGOMA KWETU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 77
      Rep Power : 372
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Quote By mtu wenu
      imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno chadema.hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
      Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo chadema itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.

      Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana chadema.

      Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.nawasihi mashabiki wa chadema ni bora wakajiondoa chadema na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
      Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo chadema itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.

      Tanzania:nakupenda sana.
      ...safi mkuu vijana hawajui wanakalia kupiga kelele tu, watafute details za kenya ilivyokuwa wakati wa moi na sasa ndo watapata jibu

    16. #93
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,496
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      607
      Likes Given
      446

      Default

      Quote By Bolibo
      ukosawa mimi nakuunga mkono, waache ushabiki wakuishabikia tu chadema badalayake wa angalie vitu vyamsigi ambavyo chadema wanavifanya kwa maslahi ya taifa letu na kuangalia wapi ambapo chadema wanakwenda kinyume nasela ya katiba ya nchi... pia kuwashauri pale wanapokosea nasi kushabikia tu.... hiyo ndiyo itakayoleta heshima kubwa kwa chadema katika kupambana na changamoto za uchaguzi huo ujao wa mwaka 2015... kila laheli chadema epkeni kushabikia migogolo isiyokuwa na msingi bali muwe chombo cha usuruhishi wa migogolo katika nchi yetu Tanzania.

      Mtu wenu says thanks for this very useful post

    17. #94
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5535
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Quote By mtu wenu
      Imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno CHADEMA.Hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
      Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo CHADEMA itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.

      Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana CHADEMA.

      Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.Nawasihi mashabiki wa CHADEMA ni bora wakajiondoa CHADEMA na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
      Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo CHADEMA itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.

      TANZANIA:Nakupenda sana.
      kwani lazima mtu kuwa na kadi ya chama husika ndio kujiita wa chama hicho? ikiwa itikadi ya chama hicho inaendana na itikadi yake anaweza tu kujiita wa chama hicho.
      ni kama wale wajiitao sisi arsenal tumeshinda kwani wao ndio wachezaji au wanaubia nao

    18. #95
      mama visa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd August 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 341
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      hii inaonyesha ni kwa jinsi gani ccm imechoka kuhamasisha wanachama wake wanapigwa bao na cdm.msijidanganye heti ni ushabiki! majibu mtayapata 2015.

    19. #96
      Billie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 802
      Likes Received
      444
      Likes Given
      186

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      umeongea point nzuri sana imefikia point mtu anashindwa kutofautisha uzalendo na uchama.

    20. #97
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 1,001
      Rep Power : 614
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      Tulikwisha chelewa kuwashauri vijana. sasa hivi, is too late. Vijana hawaambiliki, wala hawashauriki juu ya chama chao. Nakushauri, usioweza kuukata, ulambe. Hakuna jinsi, jiunge nao. hata kama hupendi, jilazimishe upende, ili usiumize roho yako,
      "MUNGU IBARIKI TANGANYIKA, MUNGU IBARIKI ZANZIBARI, RIP TANZANIA"

    21. #98
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,496
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      607
      Likes Given
      446

      Default

      Quote By Mangaline
      Tulikwisha chelewa kuwashauri vijana. sasa hivi, is too late. Vijana hawaambiliki, wala hawashauriki juu ya chama chao. Nakushauri, usioweza kuukata, ulambe. Hakuna jinsi, jiunge nao. hata kama hupendi, jilazimishe upende, ili usiumize roho yako,
      Ni pamoja nao mkuu...though sifanyi ushabiki usio na macho wala masikio!
      Penye pongezi nawapa,na penye haja ya kukosoa sisiti kufanya hivyo.

    22. #99
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,871
      Rep Power : 30216
      Likes Received
      4696
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By mtu wenu
      Imekuwa kawaida sasa kwa vijana wengi kushabikia mno CHADEMA.Hii inapelekea hata kusahau pale chama hiki kinapo boronga,wao hufumba macho na kutanguliza ushabiki mbele.
      Jambo hili ni baya kwa mustakabali wa taifa letu,kwani pale ambapo CHADEMA itafanikiwa kuchukua dola,itakumbana na wakati mgumu kwani imezoea kujiona sahihi wakati wote.

      Mbaya zaidi wengi wa mashabiki ni wale wasio hata na kadi ya chama,nao wanajiita wana CHADEMA.

      Jambo la msingi kukumbushana ni kuwa sisi ni watanzania.Nawasihi mashabiki wa CHADEMA ni bora wakajiondoa CHADEMA na kujiona kama watanzania neutral ambao watashabikia maslahi ya taifa,na chama kinacho yatekeleza ndicho kiungwe mkono.
      Hii itawawezesha kuikosoa chadema pale inapo kosea,na hivyo CHADEMA itakuwa imara na kupata nguvu zaidi.

      TANZANIA:Nakupenda sana.
      Mbona CHADEMA!????

    23. #100
      BEDO NYALUTOGO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 362
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default Re: Wito: Tujiondoe CHADEMA

      ha2na haja kuendelea kubisha na huyu shabik wa mafisad! maan 2mechoshwa na propaganda zen nw we take over the power!

    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...