Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 428
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      Habari wana jf na siku tatu nilikuwa kilombero kwa shughuli mbalimbali sasa leo nimemaliza shughuli zangu nimeamua kuanza safari mapema asubuhi nilitaka gari ya asubuhi sana ili niweze fika mjini mapema sasa nikakosa gari ya kwanza ambayo ni MORO BEST ikawa imejaa nika bahatika kupata nafasi gari ya Alsaedy T322 DDP

      sasa hii gari wameandika inatoka saa 12:10 asubuhi tukawa tumewahi kama kawa sasa nimefika kituoni 2mekaa sana kituoni baadae ilibidi abiria 2mind nakuanza kuhoji kinacho endelea pale baadae tetesi zikasambaa kuwa hakuna dereva dereva anapigiwa cm hapokei baada ya lisaa dereva akaja na bodaboda amelewa mbaya full kupepesuka eti anataka kuendesha basi yaani inaonekana ni mtu aliye kesha anakunywa pombe. Baada kuona vile ikabidi abiria tugome kupanda kwenye gari na apigiwe simu tajiri na SUMATRA na polisi baadae baada ya masaa3 akaja dereva mwingine tukafanikiwa kuondoka na tulivyo fika mikumi tukamuacha dereva chapombe polisi mikumi halafu tulivyo fika morogoro ikaonekana dereva anae endesha ni KISHOKA hana uzeofu wowote na Bosi wa gari alikuwa amewaset polisi ili gari iweze fika morogoro. sasa ilivyo fika morogoro ikabidi watubadilishie gari la BM COACH T618 BQX nawakasingizia kuwa gari mbovu

      kwanza hizi gari zimeandikwa high class lakini hazina ubora wowote cozi zinajaza kama mabasi ya mbagara vile halafu zinapita kwenye mizani na wala sijui hawa watu wa mizani wanapima nini haswa wakati watu walio simama ni nusu ya walio kaa.

      Hoja yangu hapa kuna kipimo cha urevi kwenye udereva cozi inavyo onesha kwenye mabasi ya ALSAEDY na wengine ni kawaida kukesha na pombe then kuendesha magari ndo maana ajari hazipungui bongo kwa uzembe wa watu fulani ni hayo2
      gfsonwin likes this.
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      mayenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2009
      Posts : 1,564
      Rep Power : 805
      Likes Received
      305
      Likes Given
      437

      Default re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      Too sad!

    4. #3
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 442
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      Kama watanzania tumefikia ngazi hii ya kujitetea ni faraja sana. Hakuna kuburuzwa tena.

    5. #4
      flora msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : under a coconut tree
      Posts : 4,120
      Rep Power : 1258
      Likes Received
      499
      Likes Given
      371

      Default Re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      kuna dereva wa saibaba aliwahi kurudi nyuma pale kwenye mataa ya ubungo wakati taa zimeruhusu kwenda mbele alivyofika kibaha abiria wakamshtaki kwa trafiki alionyeshwa kwenye tv yuko chakari kwa ulevi eti akajitetea kapiga kiroba kimoja tu,wakati alikuwa hajiwezi hata kutaja jina lake
      SYENDEKE and gfsonwin like this.

      Never hate people who are jealous of you,
      Instead love them because they're the ones,
      who think you are better than them…

    6. #5
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      jamani naskia siku hizi hata Asprin kafungua klabu yake ya walevi wakisha kunywa wanatestiwwa kama wanaweza kupitisha gari kwenye daraja dogo huko maeneo fulan ukpita salam wewe na pombe zako hadi mwanza unafika.
      Asprin likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    7. Study Abroad

    8. #6
      New Nytemare's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Location : Njombe Tanzania
      Posts : 172
      Rep Power : 409
      Likes Received
      30
      Likes Given
      2

      Default Re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      ebana kumbe namba za gari zimefika DDP

    9. #7
      Yaya Toure's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 1,190
      Rep Power : 647
      Likes Received
      262
      Likes Given
      117

      Default Re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      Quote By SYENDEKE
      Habari wana jf na siku tatu nilikuwa kilombero kwa shughuli mbalimbali sasa leo nimemaliza shughuli zangu nimeamua kuanza safari mapema asubuhi nilitaka gari ya asubuhi sana ili niweze fika mjini mapema sasa nikakosa gari ya kwanza ambayo ni MORO BEST ikawa imejaa nika bahatika kupata nafasi gari ya Alsaedy T322 DDP

      sasa hii gari wameandika inatoka saa 12:10 asubuhi tukawa tumewahi kama kawa sasa nimefika kituoni 2mekaa sana kituoni baadae ilibidi abiria 2mind nakuanza kuhoji kinacho endelea pale baadae tetesi zikasambaa kuwa hakuna dereva dereva anapigiwa cm hapokei baada ya lisaa dereva akaja na bodaboda amelewa mbaya full kupepesuka eti anataka kuendesha basi yaani inaonekana ni mtu aliye kesha anakunywa pombe. Baada kuona vile ikabidi abiria tugome kupanda kwenye gari na apigiwe simu tajiri na SUMATRA na polisi baadae baada ya masaa3 akaja dereva mwingine tukafanikiwa kuondoka na tulivyo fika mikumi tukamuacha dereva chapombe polisi mikumi halafu tulivyo fika morogoro ikaonekana dereva anae endesha ni KISHOKA hana uzeofu wowote na Bosi wa gari alikuwa amewaset polisi ili gari iweze fika morogoro. sasa ilivyo fika morogoro ikabidi watubadilishie gari la BM COACH T618 BQX nawakasingizia kuwa gari mbovu

      kwanza hizi gari zimeandikwa high class lakini hazina ubora wowote cozi zinajaza kama mabasi ya mbagara vile halafu zinapita kwenye mizani na wala sijui hawa watu wa mizani wanapima nini haswa wakati watu walio simama ni nusu ya walio kaa.

      Hoja yangu hapa kuna kipimo cha urevi kwenye udereva cozi inavyo onesha kwenye mabasi ya ALSAEDY na wengine ni kawaida kukesha na pombe then kuendesha magari ndo maana ajari hazipungui bongo kwa uzembe wa watu fulani ni hayo2
      ajari? au Ajali...
      Ni hatari sana kwa afya yako kushabikia siasa za Tanzania....

    10. #8
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 428
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      Quote By flora msoffe
      kuna dereva wa saibaba aliwahi kurudi nyuma pale kwenye mataa ya ubungo wakati taa zimeruhusu kwenda mbele alivyofika kibaha abiria wakamshtaki kwa trafiki alionyeshwa kwenye tv yuko chakari kwa ulevi eti akajitetea kapiga kiroba kimoja tu,wakati alikuwa hajiwezi hata kutaja jina lake
      yaani hawa madereva kukesha kwa kunywa imekuwa kawaida sana ndo maana ajali wala hata haziishe na mara nyingi zinatokea wakati wa sikukuu kwa kuwa ndo muda mwingi ambao madereva nao wanakesha wakinywa halafu wanaendesha magari
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    11. #9
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 428
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      Quote By Yaya Toure
      ajari? au Ajali...
      vyovyote ila msg send ujuaji mwingi wabongo
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    12. #10
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,419
      Rep Power : 32071
      Likes Received
      14527
      Likes Given
      22033

      Default Re: Abiria wamgomea dereva wa Al-saedy high class t322 ddp kisa mlevi kutoka Kilombero-Dar

      Quote By gfsonwin
      jamani naskia siku hizi hata Asprin kafungua klabu yake ya walevi wakisha kunywa wanatestiwwa kama wanaweza kupitisha gari kwenye daraja dogo huko maeneo fulan ukpita salam wewe na pombe zako hadi mwanza unafika.
      Khaaaaa!
      gfsonwin likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    13. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...