Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 34
    1. #1
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Kumekua na tetesi kuwa walimu wengi wamekosa kushirikishwa zoezi la sensa kama ilivyozoeleka kisa ni kujihusisha na mgomo.
      Ukweli niliopata kutoka kwa afisa mipango wa wilaya moja ni kwamba kuna ongezeko kubwa la graduates kutoka vyuo mbalimbali na form six leavers kutoka shule mbalimbali ambao wamechukua nafasi za walimu. Wengi wa haya makundi niliyotaja hawana ajira hivyo serikali imeamua kuwapa dili ili wajikimu kimaisha japo kwa muda mfupi.
      Abunwasi and masalu mhalagani like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      wijei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 378
      Rep Power : 477
      Likes Received
      55
      Likes Given
      16

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      kama kuna ukweli ni sawa ingawa inaonekana kwamba kulikuwa na beef flani kwa siri-kali dhidi ya walimu baada ya mgomo ikabidi wawatemeshe hilo dili

    4. #3
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,741
      Rep Power : 30189
      Likes Received
      4620
      Likes Given
      3477

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Hilo linafahamika, lakini sio sababu tosha, hiyo ni sababu ya kiofisi, tulioko huku twajua zaidi ya hizo story za mtaani

    5. #4
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default

      Quote By wijei
      kama kuna ukweli ni sawa ingawa inaonekana kwamba kulikuwa na beef flani kwa siri-kali dhidi ya walimu baada ya mgomo ikabidi wawatemeshe hilo dili
      hakuna beef lolote.it was planned!

    6. #5
      KIGENE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 264
      Rep Power : 474
      Likes Received
      72
      Likes Given
      109

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Serikali hiyo hiyo ilijua kwamba kuna wimbi la graduates na waliomaliza kidato cha sita ambao hawana kazi lakini ikaamua kufunga shule mapema kuwawezesha walimu kushiriki katika zoezi zima la sensa.
      Kweli walimu waliorozeshwa na majina ya waliokubaliwa yakawekwa kwenye mbao za matangazo,sehemu nyingine wakawa wameanza semina kuhusiana na swala la sensa.
      Ajabu walimu walioenguliwa ni wale walioshiriki mgomo hicho ni kitu kilichopangwa kwa minajiri ya kukomoana kuonyeshana ubabe na kulipiza visasi na kushikishana adabu kwa serikali 'sikivu' dhidi ya walimu.

    7. Study Abroad

    8. #6
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,047
      Rep Power : 24548
      Likes Received
      3123
      Likes Given
      354

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Walimu hawakuenguliwa kwa bahati mbaya ilikuwa ni mpango hasa mara baada ya mgomo kutokea. Mpango wa kufunga shule ni kwa sababu ilikuwa planned kwamba walimu ndio watahusika kwenye zoezi hivyo wanafunzi wasingepata muda wa kukaa mashuleni na walimu wao kwa ajili ya masomo.

      Naamini kama ungekuwa ndio mpango wa serikali tangu awali kutokuwashirikisha walimu wasinge thubutu kupanga kuwanyima watoto haki yao ya kufundishwa. Wangetangaza mapema kuwa walimu hawata husika kwa kuwa kuna graduates na form six leavers mtaani ambao ndio watahusika kwa 100%.

      Naamini kwa utaratibu huu mpya wa kuanza kuwa ignore walimu utaendelea mpaka kwenye kusahihisha na kutunga mitihani. Serikali ifanye kama ilovyofanya kwenye mitihani ya kidato cha pili, nne, sita na darasa la saba.
      snowhite likes this.

    9. #7
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,447
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      457
      Likes Given
      923

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      huo ni uhuni wa serikali wala hakuna kusema kunawimbi la form VI au graduate wengi mitaani. serikali dhaifu huzaa maamuzi dhaifu wasubiri 2015 kama watawaweka hao graduate waone nini kitatokea maana hawa hawanunuliki au hawahongeki

    10. #8
      Njangula's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 179
      Rep Power : 418
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Sisi tupo walimu 35 hakuna aliyechaguliwa sensa, sasa je kulikuwa na lazima gani kufunga shule? Kweli nchi hii ni ya mfalme juha.

    11. #9
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Unalosema inaweza kuwa moja ya sababu. Ila mbona serikali imebadili muda wa kufungua mashule sababu ya sensa? Pia si kweli kuwa Magraduate wapo accessible na wametawanyika vizuri nchi nzima kama walimu. Hapo sababu kubwa itabaki kuonekana ni KISASI tu, tusubiri 2015 utashangaa mengine.
      Ndumbayeye likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    12. #10
      mdau kbt's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Posts : 19
      Rep Power : 343
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      WAACHE MASIKHARA KUNA STD 7 UMEWAACHA KWENYE HILO KUNDI NA ZAIDI UNDUGU NA UBINAFSI NDIO ULIO JAA KWENYE UTEUZI WA MAKARANI
      Ndumbayeye likes this.

    13. #11
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2,993
      Rep Power : 8375
      Likes Received
      826
      Likes Given
      689

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Hili hata huitaji kujiuliza maswali mengi,zaidi ya kisasi kwa walimu sababu ya mgomo

    14. #12
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 657
      Rep Power : 543
      Likes Received
      77
      Likes Given
      8

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Binafsi siungi mkono hiyo hoja,lkn nawashauri walimu kuachana na mambo yanayorudisha nyuma mshikamano. Huu ulikuwa wakati mzuri wa kuanza kuachana na shughuli ambazo zitafanywa na hao wengine km uchaguzi, kampeni mbalimbali nk.

      Naamini km malipo ya sensa yangekuwa elfu kumi kwa siku walimu wangetumika lkn kwa kuwa malipo ni tofauti ndio maana wapo maafisa wamesafirisha ndugu zao mikoa mbalimbali kwenye hili zoezi. Pia inasemekana wapo baadhi ya washiriki wanasubiri walipwe pesa waishie zao kwani zoezi ni gumu.

      All in all tunawatakia mafanikio mema ili zoezi likamilikel
      snowhite likes this.

    15. #13
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Quote By tusichoke
      Binafsi siungi mkono hiyo hoja,lkn nawashauri walimu kuachana na mambo yanayorudisha nyuma mshikamano. Huu ulikuwa wakati mzuri wa kuanza kuachana na shughuli ambazo zitafanywa na hao wengine km uchaguzi,kampeni mbalimbali nk. Naamini km malipo ya sensa yangekuwa elfu kumi kwa siku walimu wangetumika lkn kwa kuwa malipo ni tofauti ndio maana wapo maafisa wamesafirisha ndugu zao mikoa mbalimbali kwenye hili zoezi. Pia inasemekana wapo baadhi ya washiriki wanasubiri walipwe pesa waishie zao kwani zoezi ni gumu. All in all tunawatakia mafanikio mema ili zoezi likamilikel
      hili ni somo muhimu sana kwa walimu.hasa ukizingatia kwa miaka kadhaa wamekuwa wakikwamisha juhudi za watanzania kujikomboa.naona uswahiba wa walimu na ccm umeanza kufikia kikomo
      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    16. #14
      kiwatengu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Likolombe, Mtwara
      Posts : 2,041
      Rep Power : 0
      Likes Received
      523
      Likes Given
      404

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      na wategemee matokeo mabovu ya sensa..hii kazi ya kushed c mchezo..na kundi pekee ambalo lingeweza kuifanya kwa ufanisi ni walimu..tuliopo huku tunajionea vituko juu ya vituko..watu vichwani hamna kitu mnawapa kazi ya kwenda kuhoji idadi ya watu. I do believe zoezi hili bila ya watu makini litakuwa na madoa mengi
      snowhite likes this.

    17. #15
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      hamna ukweli wowote hapo! kwanza kwa sasa wle tuliotoka vyuo wengi tumekimbia zoezi zima la sensa baada ya watu mbalimbali kupata tempo na ajira sehemu mbalimbali.
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    18. #16
      Autorun's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2008
      Location : Point of Marginal Utility
      Posts : 489
      Rep Power : 948
      Likes Received
      85
      Likes Given
      35

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Hatuwaamini tutawapaje hyo kazi?

    19. #17
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Quote By markj
      hamna ukweli wowote hapo! kwanza kwa sasa wle tuliotoka vyuo wengi tumekimbia zoezi zima la sensa baada ya watu mbalimbali kupata tempo na ajira sehemu mbalimbali.
      sensa ni mojawapo ya tempo ndugu yangu.
      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    20. #18
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Re: Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Quote By Kiwatengu.
      na wategemee matokeo mabovu ya sensa..hii kazi ya kushed c mchezo..na kundi pekee ambalo lingeweza kuifanya kwa ufanisi ni walimu..tuliopo huku tunajionea vituko juu ya vituko..watu vichwani hamna kitu mnawapa kazi ya kwenda kuhoji idadi ya watu. I do believe zoezi hili bila ya watu makini litakuwa na madoa mengi
      karibu sana JF.najua walimu wengi mmeumizwa na uamuzi huu lakini ni lazima mkubali matokeo kuwa ccm imeshawatupa na muache kujipendekeza
      Kiwatengu. likes this.
      "Three may keep a secret if two of them are dead"

    21. #19
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

      Quote By Mohamedi Mtoi
      Walimu hawakuenguliwa kwa bahati mbaya ilikuwa ni mpango hasa mara baada ya mgomo kutokea. Mpango wa kufunga shule ni kwa sababu ilikuwa planned kwamba walimu ndio watahusika kwenye zoezi hivyo wanafunzi wasingepata muda wa kukaa mashuleni na walimu wao kwa ajili ya masomo.

      Naamini kama ungekuwa ndio mpango wa serikali tangu awali kutokuwashirikisha walimu wasinge thubutu kupanga kuwanyima watoto haki yao ya kufundishwa. Wangetangaza mapema kuwa walimu hawata husika kwa kuwa kuna graduates na form six leavers mtaani ambao ndio watahusika kwa 100%.

      Naamini kwa utaratibu huu mpya wa kuanza kuwa ignore walimu utaendelea mpaka kwenye kusahihisha na kutunga mitihani. Serikali ifanye kama ilovyofanya kwenye mitihani ya kidato cha pili, nne, sita na darasa la saba.
      waalimu wameuwa ignored kvipi? na ni wangapi ambao wamepigwa chini kama walioomba? jamani sensa wanalipwa sh 30 kwa siku za semina ambayo ni sawa na 360000/= kwa 12 . siku ya sensa yenyewe wanalipwa kama sh 200000/= na kitu so ukisum up ni kama 600000/= hazizid hapa. sasa nauliza kweli hizi laki 6 ndo zitutoe nyongo waalim hadi tuonekane kama tumekuwa ignored?

      istoshe waalim wengi walioomba wamechukuliwa ila tu kumewekwa uwiano kati ya shule na shule manake kuna shule wamechukua waalim kama 20 hivi hawajazidi hapo sasa sijui kwanini ionekane kama ni ishu ya kujadiliwa hadi tusemwe tumedharauliwa ama mitihan watatunga wao nk. nijuavyo mmi mtihani anayetunga ni qualified person na sisi waali huwa tunatuma maaswali tu wataalam wa mitihani kutoka kila somo ndio huwa wanacompile na kuyafanyia moderation na kutengeneza table of specification sasa sjui haya ni yepi ambayo yametokea kwa mitihan. marking lazima waende waalim wa masomo ambao wako competent.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    22. #20
      MWAKOLO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th August 2012
      Posts : 143
      Rep Power : 368
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Mwanaweja
      huo ni uhuni wa serikali wala hakuna kusema kunawimbi la form VI au graduate wengi mitaani. serikali dhaifu huzaa maamuzi dhaifu wasubiri 2015 kama watawaweka hao graduate waone nini kitatokea maana hawa hawanunuliki au hawahongeki
      Ni kweli mkuu dawa yao nikuongeza idadi ya zero tu kwenye kila matokeo vii f4 f6

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...