Kutokana na sensa kufunikwa na maswala ya udini, maswala ya siasa na maswala ya maslahi ni bora hekima ikatumika sensa ihairishwe mpaka mambo yakae sawa. Tukiendelea kwa maswala ya liwalo na liwe kuna mdau mmoja ametahadharisha watu watalala misikitini na kama kumbukumbu zinazohitajika ni za aliye lala basi hawajalala nyumbani
Serikali ni kodi za wananchi mnazotumia busara itumike

Reply With Quote

Follow Us Here