Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Zyamchani's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Kwanza naanza kwa masikitiko kwani hadi sasa hajujapata kwa uhakika majina ya watu wenye fedha Uswisi. Hii inanikumbusha ushuja na ushupavu wa gazeti letu pendwa Mwanahalisi kabla halijahujumiwa na serikali, mambo haya ya mafisadi yangekuwa si kificho.

      Wananchi tushikamane kuondoa serikali isiyopenda uhuru wa vyombo vya habari na badala yake inapenda mafisadi wasiumbuliwe. Wasiwasi wangu ni kuwa si muda mrefu kuanzia sasa utasikia kuna mtu mdogo kuhusiana fedha za Uswisi kapelekwa mahakamani ili kuzuia mjadala huo, kumbukeni janga la Ulimboka na chizi anayeshikiliwa na afande Kova.

      Ombi kwa wana JF kama kuna mtu ana tetesi ya majina ayaweke hewani.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3139
      Likes Given
      4053

      Default Re: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      ni kweli kabisaaaa

    4. #3
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Zyamchani
      Kwanza naanza kwa masikitiko kwani hadi sasa hajujapata kwa uhakika majina ya watu wenye fedha Uswisi. Hii inanikumbusha ushuja na ushupavu wa gazeti letu pendwa Mwanahalisi kabla halijahujumiwa na serikali, mambo haya ya mafisadi yangekuwa si kificho.

      Wananchi tushikamane kuondoa serikali isiyopenda uhuru wa vyombo vya habari na badala yake inapenda mafisadi wasiumbuliwe. Wasiwasi wangu ni kuwa si muda mrefu kuanzia sasa utasikia kuna mtu mdogo kuhusiana fedha za Uswisi kapelekwa mahakamani ili kuzuia mjadala huo, kumbukeni janga la Ulimboka na chizi anayeshikiliwa na afande Kova.

      Ombi kwa wana JF kama kuna mtu ana tetesi ya majina ayaweke hewani.
      una uhakika kama anashikiliwa???umewah kumuona????

    5. #4
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default Re: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Serikali dharimu yenye viongozi walafi,wasiopenda kuambiwa ukweli.

    6. #5
      kisimani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Posts : 415
      Rep Power : 474
      Likes Received
      119
      Likes Given
      97

      Default Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Hapa ndipo ninapomwitaji Dr W Slaa arudi bungeni, ishu kama hii fasta ashataja na mkimzuia mwembe yanga kuwataja
      vipik2 likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,754
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      210
      Likes Given
      8

      Default Re: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Hili la kufungia mwanahalisi linaniuma km nini. Yaani moyo wangu unapata mateso hali ya juu na linaniongezea hasira juu ya ccm na magamba yote yanayounda hili liccm.natamani 2015 ingekuwa kesho asubuhi

    9. #7
      chuwaalbert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 295
      Rep Power : 499
      Likes Received
      52
      Likes Given
      129

      Default Re: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Najua Kabwe yumo humu jamvini, amwage majina!

    10. #8
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,539
      Rep Power : 805
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default Re: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Very true, Kubenea hakuwa na "msipowataja tutawataja", yeye alikuwa anatiririka tu
      Determine likes this.

    11. #9
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,077
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default

      Quote By MtamaMchungu
      Very true, Kubenea hakuwa na "msipowataja tutawataja", yeye alikuwa anatiririka tu
      kubenea ni level nyingine kabisa

    12. #10
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 4,885
      Rep Power : 3594
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      2108

      Default Re: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Nalimiss sana, najua online lipo (ingawa sioni update.) ila haitawasaidia kuingiza mapato.Ningeshauri wawe na soft version katika PDF na watu wawe wakipokea kupitia emails.Usajili uwe Nchi nyingie.malipo yanaweza kuwa madogo km subcriptions, na kwa edition tofauti ili kuweza kama kundi kubwa la watu na matangazo.
      Last edited by Nicholas; 18th August 2012 at 18:47.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    13. #11
      Elungata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 3,659
      Rep Power : 1238
      Likes Received
      411
      Likes Given
      0

      Default Re: Gazeti letu pendwa Mwanahalisi lingeweka hewani majina ya wenye fedha Uswisi

      Mbembelezeni zito awataje...

    14. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...