Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      Kakende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2012
      Posts : 585
      Rep Power : 457
      Likes Received
      221
      Likes Given
      26

      Post Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Katika siku chache zilizopita TANAPA (Tanzania National Parks) wameibuka kwenye vyombo vya habari na kusema kuwa wao si wala rushwa, wala kuajiri kwa kujuana. Kama kuna secta chafu Tz zinazonuka rushwa na kujuana basi TANAPA ni namba moja. Kuna idadi kubwa ya wafanyakazi ndani ya TANAPA ambao ni wa ukoo mmoja, pia kuna wafanyakazi wengi ambao ni ndugu wa vigogo walioko makao makuu ya TANAPA Arusha. Kama huna kigogo ndugu yako pale TANAPA makao makuu Arusha uwezi pata kazi hata kama ungekuwa umefaulu kwa kiwango gani. Hawa jamaa uwaingiza gharama za kujiandaa kwa usaili watoto wa Watanzania wenzao huku wakijua kuwa kuna walioandaliwa kupata nafasi hizo. Kuna wafanyakazi wengine ambao hata hawakusoma maswala ya uhifadhi lakini wameajiriwa TANAPA

      Napenda kutumia nafasi hii kuwatahadharisha TANAPA kuwa waache mara moja propaganda zao za kujisafisha mbele ya Watanzania kuwa eti wao wako open katika kuajili. IWAPO HAWATAACHA HIZO PROPAGANDA TUTAANZA KUWATAJA VIGOGO WA TANAPA AMBAO WAMEINGIZA NDUGU ZAO NDANI YA TANAPA, MMOJA WA KIGOGO NI YULE ALIESTAAFU UHIFADHI MKUU KWENYE HIFADHI FULANI HUKO ARUSHA KISHA AKAPEWA MKATABA MAKAO MAKUU YA TANAPA NA AKAFANIKISHA KUAJILIWA KWA MWANAE MWAKA JANA

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mujumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Location : Soweto
      Posts : 847
      Rep Power : 592
      Likes Received
      266
      Likes Given
      118

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Du kweli noma
      Kakende likes this.

    4. #3
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,178
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2297

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Tatizo halipo kwa wanaofanya recruitment, tatizo la tanapa lipo kwa wakubwa wa nchi hii! recruiters wanafuata maelekezo!
      kutangazwa kwa nafasi za kazi tanapa ni kiini macho tu!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    5. #4
      Prishaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Location : Jerusalem
      Posts : 621
      Rep Power : 503
      Likes Received
      332
      Likes Given
      315

      Default

      Quote By Mungi
      Tatizo halipo kwa wanaofanya recruitment, tatizo la tanapa lipo kwa wakubwa wa nchi hii! recruiters wanafuata maelekezo!
      kutangazwa kwa nafasi za kazi tanapa ni kiini macho tu!
      Very true Mungi,kwenye mashirika kama Tanapa memo ni nyingi!
      Mungi likes this.

    6. #5
      Ng`wanakidiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2009
      Posts : 1,128
      Rep Power : 739
      Likes Received
      216
      Likes Given
      395

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Quote By Kakende
      Katika siku chache zilizopita TANAPA (Tanzania National Parks) wameibuka kwenye vyombo vya habari na kusema kuwa wao si wala rushwa, wala kuajiri kwa kujuana. Kama kuna secta chafu Tz zinazonuka rushwa na kujuana basi TANAPA ni namba moja. Kuna idadi kubwa ya wafanyakazi ndani ya TANAPA ambao ni wa ukoo mmoja, pia kuna wafanyakazi wengi ambao ni ndugu wa vigogo walioko makao makuu ya TANAPA Arusha. Kama huna kigogo ndugu yako pale TANAPA makao makuu Arusha uwezi pata kazi hata kama ungekuwa umefaulu kwa kiwango gani. Hawa jamaa uwaingiza gharama za kujiandaa kwa usaili watoto wa Watanzania wenzao huku wakijua kuwa kuna walioandaliwa kupata nafasi hizo. Kuna wafanyakazi wengine ambao hata hawakusoma maswala ya uhifadhi lakini wameajiriwa TANAPA

      Napenda kutumia nafasi hii kuwatahadharisha TANAPA kuwa waache mara moja propaganda zao za kujisafisha mbele ya Watanzania kuwa eti wao wako open katika kuajili. IWAPO HAWATAACHA HIZO PROPAGANDA TUTAANZA KUWATAJA VIGOGO WA TANAPA AMBAO WAMEINGIZA NDUGU ZAO NDANI YA TANAPA, MMOJA WA KIGOGO NI YULE ALIESTAAFU UHIFADHI MKUU KWENYE HIFADHI FULANI HUKO ARUSHA KISHA AKAPEWA MKATABA MAKAO MAKUU YA TANAPA NA AKAFANIKISHA KUAJILIWA KWA MWANAE MWAKA JANA
      Taja majina kwani imeshatokea wao ni wala rushwa.
      Mimi siyo mwana siasa!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Mnasubiri nini kuwataja?. Sisi tumesomea Uhifadhi tunasota mtaani ajira hakuna kumbe wengine wanapeana kindugu tu?.

    9. #7
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Mnasubiri nini kuwataja?. Sisi tumesomea Uhifadhi tunasota mtaani ajira hakuna kumbe wengine wanapeana kindugu tu?.

    10. #8
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Mnasubiri nini kuwataja?. Sisi tumesomea Uhifadhi tunasota mtaani ajira hakuna kumbe wengine wanapeana kindugu tu?.

    11. #9
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,135
      Rep Power : 6365
      Likes Received
      1486
      Likes Given
      417

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Pole sana mleta uzi kwa kero yako kuhusiana na ajira!

      Sema kwaupande wangu mimi sijapata kero kama yako, bali yangu mimi ni kuhusiana na hili zoezi walililolianzisha la ujazaji wa malipo kupitia TANAPA PREPAID CARD ya viingilio kuingia kwenye hifadhi za Tanazania National Park kupitia kwenye Bank ya CRDB!

      Kero yangu mimi sio CRDB Bank la hasha! kero yangu mimi kuu ni kuhusiana na hifandhi ya Arusha National Park! Unapokwenda kuweka malipo kulingana na wageni wangapi unaowapeleka kwenye hifadhi hii kupitia CRDB Bank na baadaya hapo unampatia dereva wako Card hiyo yenye kiasi cha dola za kimarekani sio kiasi cha shilingi hapana! nasisitiza tena sio shilingi za Kitanzania hapana! nazungumzia Dola za Kimarekani! baada ya hapo dereva anapofika kwenye geti la kuingilia kwenye hifadhi ya Arusha Natioanal Park na kufanya malipo hayo kupitia kwenye Card hiyo, wahusika baada ya kupitisha Card hiyo kwenye vyombo vyao kuhakiki kua Card ile ina hela wanadai kuwa Card hiyo haina hela na tena Card hiyo inadaiwa kiasi fulani, sio mara moja na sio mimi tu, kuna wakala wengi wa utalii kama mimi ambao wameshapatwa na kero hiyo mara nyingi na tumeshaandika barua kwenye vyombo husika bila kupata mafanikio yoyote hadi sasa.

      Ninachojiuliza mimi na wenzangu ni kua, kwanini isiwe kwenye mageti mengine kwenye hifadhi kama Serengeti,Lake Manyara,Tarangire??? halafu ndugu wadau wenzangu kwenye sekta hii matatizo kwenye hifadhi hii ya Arusha National Park hayakuanzia hapa kwenye zoezi hili, baada ya serikali na mamlaka husika kuanzisha zoezi hili kulipia kupitia TANAPA PREPAID CARD!

      Hapo nyuma tulikua tunalipa Cash Dola kabla zoezi hili la Card kuanza, lakini cha kushangaza hata hapo nyuma tulipokua tunalipa Cash Dolla unapofika hapo kwenye geti la malipo wahusika pale walikua na mashine za kuhakiki kua Dolla zile ni fresh au ni Fake! Lakini kulikua na usumbu mkubwa ambao unapolipa hizo Dolla Cash halafu wanapitisha kwenye mashine zile za kuhakiki wanadai kua hela zile ni Fake! Ilishawahi kunitokea mara nyingi enzi hizo, ninaporejea mjini na kwenda kwenye maduka ya kubadilishiwa pesa nakuta hela zile sio Fake kulikoni hifadhi ya Arusha Natioanal Park????

      Card ambazo nilishawahi weka pesa halafu nikaambiwa ninadaiwa na papo hapo nikawauliza nadaiwa nini mkakata hela zangu na hawakunipa ushirikiano, nimeshakwenda mpaka CRDB Bank waangalie shida nini kwenye Card hizo wao nao wakaniambia mbona sisi kwenye Card hizi tunacheki kwenye Sisteem na hatuoni tatizo lolote! Kweli sina ugonvi na hifandhi ya TANAPA lakini kwanini iwe ni geti la ARUSHA NATIONAL PARK PEKEE KWENYE USUMBUFU HUU NA SIO KWENYE MAGETI YA HIFANDHI NYINGINE?????
      Kakende likes this.
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    12. #10
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Mbona tunakatishana tamaa maana si wengine tumeitwa Arusha kwenye interview tarehe 29 mwezi huu

    13. #11
      Kakende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2012
      Posts : 585
      Rep Power : 457
      Likes Received
      221
      Likes Given
      26

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Wewe nenda ukafanye interview kama kweli wameona uzi huu labda watakuwa wamejirekebisha

    14. #12
      Kakende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2012
      Posts : 585
      Rep Power : 457
      Likes Received
      221
      Likes Given
      26

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      We subiri nitawataja siku nikiamka vibaya

    15. #13
      Kakende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2012
      Posts : 585
      Rep Power : 457
      Likes Received
      221
      Likes Given
      26

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Pole sana

    16. #14
      zamlock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2012
      Posts : 665
      Rep Power : 476
      Likes Received
      131
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      alafu vigogo wa tanapa ni mabilionea na nguo zao wanazo vaa ni spesho oda zimeandikwa majina yao na baadhi hao vigogo nawajua wanao vaa nguo zi,eandikwa majina yao, ilo siku nitawataja hapa jf, ni watu wachache lakini wanafaidi lasilmali za taifa hili utafikiri zipo kwa ajili yao tu. Lakini inau,a sana na iko siku haya yatapita

    17. #15
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      hii ndio tanzania bwana...yapo mengi sana yaliyojificha nyuma ya pazia......
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    18. #16
      Mrdash1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,379
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      305
      Likes Given
      201

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      mtoa mada umeshindwa kuelewa kuwa wanaajiri watu ambao watafanya nao kazi vizuri na kwa ufanisi. wote walioitwa kwenye interview wana sifa zinazokakiwa kwa kazi hiyo, huwezi tena kulalamika eti uliye enda nae interview kapata na wewe umekosa. Unaweza kulalamika kama kuna mtu aliitwa interview bila qualifications, lakini kamwe huwezi kulalamikia watu waliopata kazi baada ya interview. Kwenye interview mwajiri baada ya kuangalia academic qualification anajikita kudadisi ni mtu gani ambaye atafanya naye kazi bila matatizo na kwa ufanishi, wapo wale wenye ma Phd na ma Dr, Dr lakini inapokuja kwenye kazi ni balaa tupu! sasa wale ambao waajiri tayari wanawajua kupitia recommendations za walikowahi kufanya kazi au kupitia ndugu na marafiki wana nafasi kubwa ya kupata kazi na mara nyingi waajiri wanapomwajiri mtu ambaye hawana habari zake za kikazi wanachukua risk, je atafaa mazingira yao ya kazi au la!! Hii ndo hali halisi ya kuajiriwa duniani kote!! Hapa suala ni kuwa serkali itoe ajira kwa wingi ili kama hukufaa TANAPA basi upate pengine panapokufaa badala ya kukaa na kulalama kwa mambo yasiyo na msingi

    19. #17
      kazikubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 600
      Rep Power : 557
      Likes Received
      137
      Likes Given
      7

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Aha, aha, ngoja nimalizie msosi nitarudi punde

    20. #18
      BAGAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 4,363
      Rep Power : 8786
      Likes Received
      954
      Likes Given
      1418

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      slowly...ROAD WORK AHEAD!

    21. #19
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 443
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: Ni rahisi kupita kwenye tundu la sindano kuliko kuajiriwa tanapa

      Quote By Mrdash1
      mtoa mada umeshindwa kuelewa kuwa wanaajiri watu ambao watafanya nao kazi vizuri na kwa ufanisi. wote walioitwa kwenye interview wana sifa zinazokakiwa kwa kazi hiyo, huwezi tena kulalamika eti uliye enda nae interview kapata na wewe umekosa. Unaweza kulalamika kama kuna mtu aliitwa interview bila qualifications, lakini kamwe huwezi kulalamikia watu waliopata kazi baada ya interview. Kwenye interview mwajiri baada ya kuangalia academic qualification anajikita kudadisi ni mtu gani ambaye atafanya naye kazi bila matatizo na kwa ufanishi, wapo wale wenye ma Phd na ma Dr, Dr lakini inapokuja kwenye kazi ni balaa tupu! sasa wale ambao waajiri tayari wanawajua kupitia recommendations za walikowahi kufanya kazi au kupitia ndugu na marafiki wana nafasi kubwa ya kupata kazi na mara nyingi waajiri wanapomwajiri mtu ambaye hawana habari zake za kikazi wanachukua risk, je atafaa mazingira yao ya kazi au la!! Hii ndo hali halisi ya kuajiriwa duniani kote!! Hapa suala ni kuwa serkali itoe ajira kwa wingi ili kama hukufaa TANAPA basi upate pengine panapokufaa badala ya kukaa na kulalama kwa mambo yasiyo na msingi
      Mkuu, its like you are trying to make sense somewhere, but yet i can not get you exactly, however you appear defending those TANAPA guys. ila pamoja na maneno yako bado suala ajira kwa vigezo fulanifulani lipo kwenye taasisi za serikali. ni SARATANI ya muda mrefu. hata TANAPA sidhani kama wamesalimika na hili. CHA MSINGI HAPA, TUPIGENI CHINI HILI LI SERIKALI LA CCM, TUPATE WASAA MZURI WA KUREKEBISHA HILI LI-MFUMO. kwa li-mfumo watanzania tutalalamika kila siku na haya majamaa yataendelea kutanua tu, DUDE LENYE SHIBE BHANA MWENYE NJAA HALIMTAMBUI KABISA. Halafu mengi yao hata imani za dini hayana, hayana hata hofu ya Mwenyezi Mungu.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...