Re: Ajali ya moto

By
Mapujds
Ndugu wana jf kuna nyumba inaungua moto huku temeke,yombo vituka karibu na karakana ya tazara.nyumba iko mtaa wa kiembe samaki.muda wa nusu saa sasa fire bado hawajafika.naomba msaada kama wahusika wanasoma.moto unazidi na kuna uwezekano wa nyumba nyingine kushika.namba 0655222214
poeni bandugu,
inawezekana magari yao hayana maji, wapigieni kikosi cha zimamoto uwanja wa ndege kwani wao wapo karibu zaidi ya wale wa makao makuu.
Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda
Follow Us Here