Wakati Tanzania ikiwa tayari kutaka kuingia vitani dhidi ya Malawi, Ile rada kuu inayotegemewa kwa mambo ya anga, mawasiliano, kijeshi na kutua kwa ndege iliyopoko Dar kwenye uwanja wa zamani wa ndege imeharibika kwa karibu mwezi mzima sasa.
Hii ndio rada iliyonunuliwa kutoka uingereza na kuzaa kashfa ya ufisadi.
Sababu kuu ya kuharibika kwake ni matatizo ya kukatikakatika umeme nchini.
Matengenezo yake yatahitaji vifaa na wataalam kutoka kwenye kampuni ileile ya uingereza uliyotuuzia rada hiyo.
GT na siasa zake za udini. Kwanini usimwambie ustaadh mwenzako JK awawajibishe wahusika waliotufikisha hapa? as far as I know he is the most powerful person in nutsland..
na nadhani mnajua kama BAE SYSTEMS wanataka ma bilioni kuja kuifanyia marekebisho
uzuri rada tuliuziwa na wawekezaji ambao tunawapenda na tunawaona sio matapeli (wazungu)
Ingekuwa tumeuziwa na Waarabu naona kungekuwa kunawaka moto sasa
Kazi kwenu na nchi yenu ya kufikirika
Najua uwanja wa ndege umebadilishwa jina lakini silipendi kulitumia hiyo jina kipya linantia kichefu chefu na naomba uamuzi wangu uheshimiwe[/QUOTE]
kama hutaki kuutambua kuwa unaitwa mwalimu J. K Nyerere international airport sasa hilo tatizo lako mm siwezi kuheshimu uamuzi usio na mantiki!
GT na siasa zake za udini. Kwanini usimwambie ustaadh mwenzako JK awawajibishe wahusika waliotufikisha hapa? as far as I know he is the most powerful person in nutsland..
Asante kunistua. Sikujua nabishana na GT. Huyu jamaa kabadilisha majina kibao humu JF. But we know his true colours. Hebu mwangalie kule kwenye thread ya Muhongo kumkatalia Mwarabu "mwekezaji." Udini mtupu.
Hivi kuagiza hiyo power supply ( kama kweli ndio iliyoharibika) toka UK kuja hapa Dar inachukua muda gani? na kwa nini hawakununua power supply ambayo ingekaa stand by?
nadhani mnajua kama BAE SYSTEMS wanataka ma bilioni kuja kuifanyia marekebisho
uzuri rada tuliuziwa na wawekezaji ambao tunawapenda na tunawaona sio matapeli (wazungu)
Ingekuwa tumeuziwa na Waarabu naona kungekuwa kunawaka moto sasa
Kazi kwenu na nchi yenu ya kufikirika
Najua uwanja wa ndege umebadilishwa jina lakini silipendi kulitumia hiyo jina kipya linantia kichefu chefu na naomba uamuzi wangu uheshimiwe
Unasumbuliwa na ugonjwa maarufu uitwao Uislamuism mbumbumbuliasis..Ulitaka uitwe Osama bin Laden and Al-shabaab Airport?Kama unajiskia kichefuchefu utakua na ujauzito wakawaida tu sio bure watu wa aina yako tumeshawazoea na ndo akili mbovu za hivo tunazozipenda maana hubaki duni na bila amani maisha yao yote,mtaongozwa mpaka vichaa wakikristo maana wataonekana wanaafadhali kuliko watu wenye laana kutoka kwa mungu na wanadamu kama ninyi!Ngoja tukuone mwisho ila mawazo yako hakuna wakuyaheshimu...Unless is mad kama wewe
The issue is irrelevant what has to be a subject matter is whether strategic spares have been adequately sourced and if at all Preventive Maintenance is done according to the manufacturer. The Radar has been in use for over 10 years. So if TCAA doesn't do it's work properly then to blame the manufacturer BAE Systems it is not fair. You don't simply procure systems and assume that they will operate without proper maintenance. Watanzania acheni uvivu wa kufikiri. You got what you didn't expect because of corruption but Dhaifu said it was only an arithmetic error what a he'll . Now a question to JK why did you fail to collect the change for ten years hivi vipi hakuna RIBA?
Na kunatishio la mashirika ya ndege ya kimataifa kuacha kutumia uwanja wetu kwa sababu za kiusalama kama hatua za haraka za kurekebisha tatizo hilo hazitachukuliwa
Follow Us Here