Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rada kuu ya Tanzania ni mbovu.

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 48
    1. #1
      Concrete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 984
      Likes Received
      461
      Likes Given
      0

      Default Rada kuu ya Tanzania ni mbovu.

      Wakati Tanzania ikiwa tayari kutaka kuingia vitani dhidi ya Malawi, Ile rada kuu inayotegemewa kwa mambo ya anga, mawasiliano, kijeshi na kutua kwa ndege iliyopoko Dar kwenye uwanja wa zamani wa ndege imeharibika kwa karibu mwezi mzima sasa.

      Hii ndio rada iliyonunuliwa kutoka uingereza na kuzaa kashfa ya ufisadi.

      Sababu kuu ya kuharibika kwake ni matatizo ya kukatikakatika umeme nchini.

      Matengenezo yake yatahitaji vifaa na wataalam kutoka kwenye kampuni ileile ya uingereza uliyotuuzia rada hiyo.

      SOURCE: BBC

    2. Miaka 50

    3. #21
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,954
      Rep Power : 754
      Likes Received
      281
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By J4MAYOKA
      Hii wiki ya pili

      na nadhani mnajua kama BAE SYSTEMS wanataka ma bilioni kuja kuifanyia
      marekebisho

      uzuri rada tuliuziwa na wawekezaji ambao tunawapenda na tunawaona sio
      matapeli (wazungu)

      Ingekuwa tumeuziwa na Waarabu naona kungekuwa kunawaka moto sasa

      Kazi kwenu na nchi yenu ya kufikirika

      Najua uwanja wa ndege umebadilishwa jina lakini silipendi kulitumia hiyo
      jina kipya linantia kichefu chefu na naomba uamuzi wangu
      uheshimiwe
      jina la baba wa taifa linakuchefua?????

    4. #22
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,425
      Rep Power : 5041
      Likes Received
      786
      Likes Given
      1804

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      Mkapa anajua rada yenyewe iko wapi na siyo hiyo iliyoletwa!!
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    5. #23
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,938
      Rep Power : 11213
      Likes Received
      7074
      Likes Given
      5296

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      CCM oyeeeeee......
      Mkapa oyeeee.........
      Kikwete oyeee.......
      Chenge oyyeeeee.......
      Mna bahati hampitagi mtaani kwetu. Ningewamwagia maji niliyosafishia samaki..... Mngekomaje?
      Tunajua mahakama mmezizidi nguvu, lakini kaeni mkijua kuwa, haya mateso mnayompa maskini yanawakosesheni baraka

    6. #24
      MATESLAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : KINONDONI STUDIO
      Posts : 1,252
      Rep Power : 644
      Likes Received
      62
      Likes Given
      32

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      Aiseee baba yangu hiyo rada inatusaidia nini sisi wakulima wa huku rombo??????

      Sasa nasikia airport kuitwa jk international airport

      kisa cha kubadili ni kupata watali wengi nchini

    7. #25
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      Ikiwa wewe unaujuwa huu wenzako wanaujuwa huu!

      Hapo ndipo nnaposema, hatuna ujanja wa kuwakwepa hawa wenye teknolojia, ukitaka usitake watakuja tu. Kama si kwa hiyari kwa nguvu.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe


    8. #26
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,749
      Rep Power : 3772
      Likes Received
      1202
      Likes Given
      562

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      GT na siasa zake za udini. Kwanini usimwambie ustaadh mwenzako JK awawajibishe wahusika waliotufikisha hapa? as far as I know he is the most powerful person in nutsland..
      Jasusi likes this.
      Moola's the motive

    9. #27
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,652
      Rep Power : 1114
      Likes Received
      1005
      Likes Given
      762

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      [QUOTE=J4MAYOKA;4451741]Hii wiki ya pili

      na nadhani mnajua kama BAE SYSTEMS wanataka ma bilioni kuja kuifanyia marekebisho

      uzuri rada tuliuziwa na wawekezaji ambao tunawapenda na tunawaona sio matapeli (wazungu)

      Ingekuwa tumeuziwa na Waarabu naona kungekuwa kunawaka moto sasa

      Kazi kwenu na nchi yenu ya kufikirika

      Najua uwanja wa ndege umebadilishwa jina lakini silipendi kulitumia hiyo jina kipya linantia kichefu chefu na naomba uamuzi wangu uheshimiwe[/QUOTE]
      kama hutaki kuutambua kuwa unaitwa mwalimu J. K Nyerere international airport sasa hilo tatizo lako mm siwezi kuheshimu uamuzi usio na mantiki!
      Jasusi likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    10. #28
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,631
      Rep Power : 2895
      Likes Received
      3847
      Likes Given
      12273

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      Quote By Abdulhalim
      GT na siasa zake za udini. Kwanini usimwambie ustaadh mwenzako JK awawajibishe wahusika waliotufikisha hapa? as far as I know he is the most powerful person in nutsland..
      Asante kunistua. Sikujua nabishana na GT. Huyu jamaa kabadilisha majina kibao humu JF. But we know his true colours. Hebu mwangalie kule kwenye thread ya Muhongo kumkatalia Mwarabu "mwekezaji." Udini mtupu.
      Abdulhalim likes this.

    11. #29
      J4MAYOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th July 2011
      Posts : 139
      Rep Power : 425
      Likes Received
      73
      Likes Given
      32

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      Eti kampuni ya BAE SYSTEMS ''imeanza mchakato''

      Hivi kuagiza hiyo power supply ( kama kweli ndio iliyoharibika) toka UK kuja hapa Dar inachukua muda gani? na kwa nini hawakununua power supply ambayo ingekaa stand by?

      waziri husika naye kimya.

    12. #30
      Gwakisa Mwandule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 421
      Rep Power : 433
      Likes Received
      151
      Likes Given
      1

      Default Re: Rada ya BAE Systems DIA imekufa wiki ya 3 hii

      Quote By J4MAYOKA




      Hii wiki ya pili

      nadhani mnajua kama BAE SYSTEMS wanataka ma bilioni kuja kuifanyia marekebisho

      uzuri rada tuliuziwa na wawekezaji ambao tunawapenda na tunawaona sio matapeli (wazungu)

      Ingekuwa tumeuziwa na Waarabu naona kungekuwa kunawaka moto sasa

      Kazi kwenu na nchi yenu ya kufikirika

      Najua uwanja wa ndege umebadilishwa jina lakini silipendi kulitumia hiyo jina kipya linantia kichefu chefu na naomba uamuzi wangu uheshimiwe
      Unasumbuliwa na ugonjwa maarufu uitwao Uislamuism mbumbumbuliasis..Ulitaka uitwe Osama bin Laden and Al-shabaab Airport?Kama unajiskia kichefuchefu utakua na ujauzito wakawaida tu sio bure watu wa aina yako tumeshawazoea na ndo akili mbovu za hivo tunazozipenda maana hubaki duni na bila amani maisha yao yote,mtaongozwa mpaka vichaa wakikristo maana wataonekana wanaafadhali kuliko watu wenye laana kutoka kwa mungu na wanadamu kama ninyi!Ngoja tukuone mwisho ila mawazo yako hakuna wakuyaheshimu...Unless is mad kama wewe

    13. #31
      Mokerema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 427
      Likes Received
      117
      Likes Given
      84

      Default Re: Rada yetu ni kimeo toka mwanzo wa mwezi

      The issue is irrelevant what has to be a subject matter is whether strategic spares have been adequately sourced and if at all Preventive Maintenance is done according to the manufacturer. The Radar has been in use for over 10 years. So if TCAA doesn't do it's work properly then to blame the manufacturer BAE Systems it is not fair. You don't simply procure systems and assume that they will operate without proper maintenance. Watanzania acheni uvivu wa kufikiri. You got what you didn't expect because of corruption but Dhaifu said it was only an arithmetic error what a he'll . Now a question to JK why did you fail to collect the change for ten years hivi vipi hakuna RIBA?
      Jasusi likes this.

    14. #32
      roy allan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 358
      Likes Received
      11
      Likes Given
      6

      Default Re: Rada yetu ni kimeo toka mwanzo wa mwezi

      Quote By jogi
      mkuu kwani rada mnayoiongelea ni ile tuliyoshawishiwa na Toni blea aah sore alishawishiwa ANBEN
      alyz sisi mambo yetu huwa yanaenda kisomjosomjo hvihvi usanii mwingiii ndyo tayari hvyo

    15. #33
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default Rada ya Chenge yaaribika!

      Inahitajika mil40 kwa ajili ya matengenezo!

      Source:Magazeti ya leo

    16. #34
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,172
      Rep Power : 622
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default Re: Rada ya Chenge yaaribika!

      Wanazo?

    17. #35
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default

      Quote By SALOK
      Wanazo?
      Kwenye mianya ya rushwa fedha hizo zipo,usije ukashangaa invoice inakuja na bil2,we subiri tu!

    18. #36
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default Re: Rada ya Chenge yaaribika!

      Kwa sababu ilikua feki!!

    19. #37
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,532
      Rep Power : 1799
      Likes Received
      657
      Likes Given
      0

      Default Re: Rada ya Chenge yaaribika!

      Na lile deni la zamani bado hawajalipa...kwa hiyo ni zaidi ya hizo mkuu!!

    20. #38
      UBoNGo HaRaGe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 398
      Likes Received
      30
      Likes Given
      0

      Default Re: Rada ya Chenge yaaribika!

      Na kunatishio la mashirika ya ndege ya kimataifa kuacha kutumia uwanja wetu kwa sababu za kiusalama kama hatua za haraka za kurekebisha tatizo hilo hazitachukuliwa

    21. #39
      Same ORG's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th June 2012
      Location : Dubai
      Posts : 323
      Rep Power : 0
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: Rada ya Chenge yaaribika!

      Wamalawi wameiharibu hatuwawezi wameshaanza
      jogi likes this.

    22. #40
      jogi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,046
      Rep Power : 0
      Likes Received
      982
      Likes Given
      247

      Default Re: Rada yetu ni kimeo toka mwanzo wa mwezi

      Quote By roy allan
      alyz sisi mambo yetu huwa yanaenda kisomjosomjo hvihvi usanii mwingiii ndyo tayari hvyo
      ndo tushapigwa za mbavu au!!!!!!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...