Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 8th June 2009, 04:32 PM   #1
Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi
Soulbrother Soulbrother is offline 8th June 2009, 04:32 PM

Baada ya Sakina Datoo kuondolewa katika uongozi wa IPP media na Msaki kujiuzulu, mhariri wa makala Loy Nabeta naye ameandika barua ya kujiuzulu wiki iliyopita.

Je kulikoni IPP media

 
Soulbrother's Avatar
Soulbrother
JF Senior Expert Member
Points: 143,583, Level: 100 Points: 143,583, Level: 100 Points: 143,583, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
Join Date: Tue Apr 2009
Location: ndani ya nyumba
Posts: 349
Thanks: 49
Thanked 50 Times in 37 Posts
Views: 3264
Reply With Quote
  #2  
Old 8th June 2009, 04:36 PM
Gembe's Avatar
Gembe Gembe is offline
Gembe ni mshauri
JF Senior Expert Member
Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Sep 2007
Location: kamnyonge
Posts: 2,386
Thanks: 40
Thanked 55 Times in 30 Posts
Rep Power: 67
Gembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the rough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Kaenda wapi tena..?

IPPMEDIA kutakuwa na matatizo madogo madogo..mie sioni tatizo hata kama wakiondoka wote.

Vijana wapewe nafasi tu!
__________________
As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn
Reply With Quote
  #3  
Old 8th June 2009, 04:43 PM
Soulbrother's Avatar
Soulbrother Soulbrother is offline
Soulbrother I came, I am still here
JF Senior Expert Member
Points: 143,583, Level: 100 Points: 143,583, Level: 100 Points: 143,583, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Tue Apr 2009
Location: ndani ya nyumba
Posts: 349
Thanks: 49
Thanked 50 Times in 37 Posts
Rep Power: 21
Soulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

kajiuzulu wiki iliyopita mkuu
Reply With Quote
  #4  
Old 8th June 2009, 04:48 PM
Bishanga Bishanga is offline
Bishanga is Bishanga Abashaija
JF Senior Expert Member
Points: 114,264, Level: 100 Points: 114,264, Level: 100 Points: 114,264, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Jun 2008
Posts: 449
Thanks: 56
Thanked 13 Times in 9 Posts
Rep Power: 22
Bishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Binafsi hili la Sakina Datoo linanikwaza kidogo.Sakini ni baba mmoja mama mmoja na Kassim Dewji wa Simba Sports Club.Kassim Dewji Na Mohamed Dewji a.k.a Mo wa Mohamed Enterprise ni mtoto wa shangazi na mjomba(1st cousins). Mo ana uswahiba wa karibu na vibopa wenzake ambao kidini ni wa Ithnashari kama yeye ambao baadhi mzee mzima Mengi aliwataja hadharani akiwaita mapapa.Can you see the connection? In other words hawa binamu zake Sakina watamwacha kweli atumikie 'kaffir'?
Reply With Quote
  #5  
Old 8th June 2009, 05:23 PM
Kituko Kituko is online now
Kituko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 90,017, Level: 100 Points: 90,017, Level: 100 Points: 90,017, Level: 100
Activity: 24% Activity: 24% Activity: 24%
 
Join Date: Mon Jan 2009
Posts: 1,060
Thanks: 54
Thanked 174 Times in 129 Posts
Rep Power: 24
Kituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

kuna jamaa wanataka kummaliza mengi katika njia zote, inabidi mjomba awe makini sana kwani hawa jamaa ni mafia na wako kwenye system nzima kuanzia serikalini mpaka kwa wananchi wa kawaida hivyo mtu mzima lazima awe makini sana
Reply With Quote
  #6  
Old 8th June 2009, 05:25 PM
Pasco Pasco is offline
Pasco has no status.
JF Premium Member
Points: 800,358, Level: 100 Points: 800,358, Level: 100 Points: 800,358, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Mon Sep 2008
Posts: 2,107
Thanks: 1,725
Thanked 1,217 Times in 468 Posts
Rep Power: 66
Pasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the rough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

kamu Mushi alikuwa boss ITV, Joyce chini yake, sasa Joyce ndio boss, Mushi chini yake, sambamba na Vumi Urassa akiwa boss, Mshana chini yake, sasa Mshana ndio boss, Urassa chini yake, unategemea nini kwa taasisi kama hii?. Mimi nashauri wanahabari wote wa IPP Media, wanaojidhania wamesimama, na waangalie wasianguke.
Wanaojiengua mapema, wanajua kusoma dalili za nyakati kwa kujiweka tayari kabla ya anguko kuu. Mimi sio mtabiri ila kwa kuangalia kwa jicho la mbali, sioni mwanga wa kutosha kwenye hatima ya mmiliki, naona mawingu ambayo ni mvua na jioni dalili ya kuzama kwa jua. Heri wanaojiweka vizuri kabla ya mvua na kujiandaa mchana kweupe kabla ya giza.
Reply With Quote
  #7  
Old 8th June 2009, 05:26 PM
Geoff's Avatar
Geoff Geoff is offline
Geoff geoff@jamiiforums.com
JF Premium Member
Points: 667,247, Level: 100 Points: 667,247, Level: 100 Points: 667,247, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Fri Jan 2009
Location: CHAWOTE BAR!
Posts: 7,000
Thanks: 1,896
Thanked 2,047 Times in 1,382 Posts
Rep Power: 36
Geoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enough
Send a message via MSN to Geoff Send a message via Yahoo to Geoff
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

MOTO UNAWAKA HUKU!
naona wadau mmeanza kupoteana
__________________
''TRUTH TAKES TIME''
Reply With Quote
  #8  
Old 8th June 2009, 05:28 PM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 505,734, Level: 100 Points: 505,734, Level: 100 Points: 505,734, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,674
Thanks: 1,777
Thanked 841 Times in 496 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Inasikitisha kuona nguvu za ufisadi zikishika hatamu kuelekea kunako ushindi. Yaani chombo hiki muhimu katika vita dhidi ya mafisadi kimeshindwa kuhimili vishindo vya mafisadi kiasi cha kukubali kufisadiwa!!

Nalia na Freedom of press
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
  #9  
Old 8th June 2009, 05:30 PM
Mwenda_Pole Mwenda_Pole is offline
Mwenda_Pole ..ni sawa na msolopagazi
Senior Member
Points: 154,073, Level: 100 Points: 154,073, Level: 100 Points: 154,073, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sat Jul 2008
Posts: 156
Thanks: 5
Thanked 19 Times in 13 Posts
Rep Power: 22
Mwenda_Pole will become famous soon enoughMwenda_Pole will become famous soon enoughMwenda_Pole will become famous soon enoughMwenda_Pole will become famous soon enoughMwenda_Pole will become famous soon enoughMwenda_Pole will become famous soon enoughMwenda_Pole will become famous soon enoughMwenda_Pole will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Binafsi hili la Sakina Datoo linanikwaza kidogo.Sakini ni baba mmoja mama mmoja na Kassim Dewji wa Simba Sports Club.Kassim Dewji Na Mohamed Dewji a.k.a Mo wa Mohamed Enterprise ni mtoto wa shangazi na mjomba(1st cousins). Mo ana uswahiba wa karibu na vibopa wenzake ambao kidini ni wa Ithnashari kama yeye ambao baadhi mzee mzima Mengi aliwataja hadharani akiwaita mapapa.Can you see the connection? In other words hawa binamu zake Sakina watamwacha kweli atumikie 'kaffir'?

Nimekupata vyema mkuu...
Reply With Quote
  #10  
Old 8th June 2009, 05:34 PM
Mzawa Halisi Mzawa Halisi is offline
Mzawa Halisi campaigning for 2010
Senior Member
Points: 67,002, Level: 100 Points: 67,002, Level: 100 Points: 67,002, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Posts: 76
Thanks: 21
Thanked 26 Times in 18 Posts
Rep Power: 22
Mzawa Halisi will become famous soon enoughMzawa Halisi will become famous soon enoughMzawa Halisi will become famous soon enoughMzawa Halisi will become famous soon enoughMzawa Halisi will become famous soon enoughMzawa Halisi will become famous soon enoughMzawa Halisi will become famous soon enoughMzawa Halisi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Kaenda wapi tena..?

IPPMEDIA kutakuwa na matatizo madogo madogo..mie sioni tatizo hata kama wakiondoka wote.
Matatizo ni makubwa, sasa hivi IPP Media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
ipp, je, kazi, kuacha, kulikoni, malalamiko, wafanyakazi


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
When the Pressure Group Called ...before the hurricane.... Taasisi Jukwaa la Siasa 11 13th April 2008 10:50 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:58 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com