| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 3264
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kaenda wapi tena..?
IPPMEDIA kutakuwa na matatizo madogo madogo..mie sioni tatizo hata kama wakiondoka wote. Vijana wapewe nafasi tu!
__________________
As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
kajiuzulu wiki iliyopita mkuu
|
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Binafsi hili la Sakina Datoo linanikwaza kidogo.Sakini ni baba mmoja mama mmoja na Kassim Dewji wa Simba Sports Club.Kassim Dewji Na Mohamed Dewji a.k.a Mo wa Mohamed Enterprise ni mtoto wa shangazi na mjomba(1st cousins). Mo ana uswahiba wa karibu na vibopa wenzake ambao kidini ni wa Ithnashari kama yeye ambao baadhi mzee mzima Mengi aliwataja hadharani akiwaita mapapa.Can you see the connection? In other words hawa binamu zake Sakina watamwacha kweli atumikie 'kaffir'?
|
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
kuna jamaa wanataka kummaliza mengi katika njia zote, inabidi mjomba awe makini sana kwani hawa jamaa ni mafia na wako kwenye system nzima kuanzia serikalini mpaka kwa wananchi wa kawaida hivyo mtu mzima lazima awe makini sana
|
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
kamu Mushi alikuwa boss ITV, Joyce chini yake, sasa Joyce ndio boss, Mushi chini yake, sambamba na Vumi Urassa akiwa boss, Mshana chini yake, sasa Mshana ndio boss, Urassa chini yake, unategemea nini kwa taasisi kama hii?. Mimi nashauri wanahabari wote wa IPP Media, wanaojidhania wamesimama, na waangalie wasianguke.
Wanaojiengua mapema, wanajua kusoma dalili za nyakati kwa kujiweka tayari kabla ya anguko kuu. Mimi sio mtabiri ila kwa kuangalia kwa jicho la mbali, sioni mwanga wa kutosha kwenye hatima ya mmiliki, naona mawingu ambayo ni mvua na jioni dalili ya kuzama kwa jua. Heri wanaojiweka vizuri kabla ya mvua na kujiandaa mchana kweupe kabla ya giza. |
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
MOTO UNAWAKA HUKU!
naona wadau mmeanza kupoteana
__________________
''TRUTH TAKES TIME''
|
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Inasikitisha kuona nguvu za ufisadi zikishika hatamu kuelekea kunako ushindi. Yaani chombo hiki muhimu katika vita dhidi ya mafisadi kimeshindwa kuhimili vishindo vya mafisadi kiasi cha kukubali kufisadiwa!!
Nalia na Freedom of press
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
|
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Nimekupata vyema mkuu... |
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Matatizo ni makubwa, sasa hivi IPP Media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 04:58 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||