Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 8th June 2009, 04:32 PM  
Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi
Soulbrother Soulbrother is online now 8th June 2009, 04:32 PM

Baada ya Sakina Datoo kuondolewa katika uongozi wa IPP media na Msaki kujiuzulu, mhariri wa makala Loy Nabeta naye ameandika barua ya kujiuzulu wiki iliyopita.

Je kulikoni IPP media

 
Soulbrother's Avatar
Soulbrother
JF Senior Expert Member
Points: 142,973, Level: 100 Points: 142,973, Level: 100 Points: 142,973, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
Join Date: Tue Apr 2009
Location: ndani ya nyumba
Posts: 345
Thanks: 47
Thanked 48 Times in 35 Posts
Views: 3254
Reply With Quote
  #21  
Old 8th June 2009, 07:22 PM
Magezi Magezi is online now
Magezi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 311,614, Level: 100 Points: 311,614, Level: 100 Points: 311,614, Level: 100
Activity: 12% Activity: 12% Activity: 12%
 
Join Date: Sun Oct 2008
Posts: 1,971
Thanks: 204
Thanked 397 Times in 233 Posts
Rep Power: 25
Magezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
kazi kweli,
kuropoka kwa mengi kunamponza
acha wakimbie wote
mzee mnafiki sana yule

Acha waondoke wakati mzee mengi anaanzisha ippmedia hakuwa na datoo wala msaki, vijana wapo watachapa kazi tu.
Reply With Quote
  #22  
Old 8th June 2009, 08:34 PM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 743,352, Level: 100 Points: 743,352, Level: 100 Points: 743,352, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,159
Thanks: 82
Thanked 97 Times in 65 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Ku-resign kwa waandishi hao wawili...kulitarajiwa baada ya dada yao SAKINA kupigwa chini kutokana na fitna alizoanza kuziingiza IPP Media. Hawa wote walishikwa mkono na Sakina kupelekwa The Guardian wakitokea Mwananchi kwa ahadi ya mishahara minono.
Mkuu hivi unamfahamu vilivyo Loy... si mtu wa kushikwa mkono na sakina, hata kidogo
Reply With Quote
  #23  
Old 8th June 2009, 08:55 PM
Bulesi Bulesi is online now
Bulesi not satisfied until justice is done
JF Premium Member
Points: 110,247, Level: 100 Points: 110,247, Level: 100 Points: 110,247, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 1,390
Thanks: 122
Thanked 280 Times in 187 Posts
Rep Power: 24
Bulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
kuna jamaa wanataka kummaliza mengi katika njia zote, inabidi mjomba awe makini sana kwani hawa jamaa ni mafia na wako kwenye system nzima kuanzia serikalini mpaka kwa wananchi wa kawaida hivyo mtu mzima lazima awe makini sana
Vijana wa clouds FM wana msemo "VITA NI VITA MURAA; UNAKUJA NA JEMBE MJINI UNATAKA KULIMA RAMI " Kwa kweli mtu mzima ni lazima awe makini sana kwani he is dealing with the DON CORLEONES[ MAFIA KINGPINS}
Reply With Quote
  #24  
Old 8th June 2009, 09:02 PM
Bulesi Bulesi is online now
Bulesi not satisfied until justice is done
JF Premium Member
Points: 110,247, Level: 100 Points: 110,247, Level: 100 Points: 110,247, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 1,390
Thanks: 122
Thanked 280 Times in 187 Posts
Rep Power: 24
Bulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enoughBulesi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Matatizo ni makubwa, sasa hivi IPP Media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.
Siamini haya yanayoandikwa kuwa wafanyakazi wa IPP media wanapata tabu kupata mishahara yao; naona hizi kama ni negative propaganda against Mengi. Juzi juzi tu Mengi ametoa mchango kwa kanisa huko Moshi kiasi cha shilingi millioni 400 atashindwaje kuwalipa mishahara wafanyakazi wake? Haingii akilini.
Reply With Quote
  #25  
Old 9th June 2009, 08:47 AM
Bishanga Bishanga is offline
Bishanga is Bishanga Abashaija
JF Senior Expert Member
Points: 114,264, Level: 100 Points: 114,264, Level: 100 Points: 114,264, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Jun 2008
Posts: 449
Thanks: 56
Thanked 13 Times in 9 Posts
Rep Power: 22
Bishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enoughBishanga will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Ku-resign kwa waandishi hao wawili na mwingine anayeitwa Joyce Kisaka kulitarajiwa baada ya dada yao SAKINA kupigwa chini kutokana na fitna alizoanza kuziingiza IPP Media. Hawa wote walishikwa mkono na Sakina kupelekwa The Guardian wakitokea Mwananchi kwa ahadi ya mishahara minono. Nadhani ni kutokana na ushawishi wa Sakina huyo huyo ndio maana wame-resign. Bila shaka kuna kitu wanataka kufanya kwani katika siku za hivi karibuni wamekuwa karibu sana na RA na wapambe wake akina Zitto Kabwe na Omari.
Huyo Sakina Dewji 'Datoo' aliichanganya The Guardian kwa fitna kama kaka yake Kassim Dewji alivyoichanganya Simba SC wakati fulani. Ni watu hatari sana na bila shaka fitna ipo kwenye damu.
Mkuu MzeePunch,are you sure na Joyce Kissaka ameacha kazi IPPMEDIA? please check and confirm.
Reply With Quote
  #26  
Old 9th June 2009, 08:52 AM
Soulbrother's Avatar
Soulbrother Soulbrother is online now
Soulbrother I came, I am still here
JF Senior Expert Member
Points: 142,973, Level: 100 Points: 142,973, Level: 100 Points: 142,973, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Tue Apr 2009
Location: ndani ya nyumba
Posts: 345
Thanks: 47
Thanked 48 Times in 35 Posts
Rep Power: 21
Soulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enoughSoulbrother will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Mkuu hivi unamfahamu vilivyo Loy... si mtu wa kushikwa mkono na sakina, hata kidogo
usema bonge la point, huyo dada mchapa kazi balaaa
Reply With Quote
  #27  
Old 1st July 2009, 12:16 PM
TreasureFred TreasureFred is offline
TreasureFred has no status.
Senior Member
Points: 100,464, Level: 100 Points: 100,464, Level: 100 Points: 100,464, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Feb 2008
Location: Dar es Salaam
Posts: 66
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
TreasureFred will become famous soon enoughTreasureFred will become famous soon enoughTreasureFred will become famous soon enoughTreasureFred will become famous soon enoughTreasureFred will become famous soon enoughTreasureFred will become famous soon enoughTreasureFred will become famous soon enoughTreasureFred will become famous soon enough
Send a message via MSN to TreasureFred Send a message via Yahoo to TreasureFred
Default Sakina datoo is no longer ipp employee

wana JF taarifa nilizopata leo toka ofisi ya MSHANA ni kuwa SAKINA DATOO jana jioni amekabidhi barua ya kuacha kazi Rasmi toka IPP ninafanya jitihada kupata kivuli cha barua hiyo ili niiweke hapa,kwani naambiwa ni barua ya page tatu inayoeleza matukio mengi yaliyopelekea yeye kufanya uamuzi huo.

naomba kuwasilisha
Reply With Quote
  #28  
Old 1st July 2009, 12:22 PM
De Novo's Avatar
De Novo De Novo is offline
De Novo !
JF Premium Member
Points: 273,379, Level: 100 Points: 273,379, Level: 100 Points: 273,379, Level: 100
Activity: 57% Activity: 57% Activity: 57%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Dar - Tz
Posts: 4,201
Thanks: 1,360
Thanked 1,373 Times in 835 Posts
Rep Power: 30
De Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enoughDe Novo will become famous soon enough
Default Re: Sakina datoo is no longer ipp employee

Quote:
View Post
wana JF taarifa nilizopata leo toka ofisi ya MSHANA ni kuwa SAKINA DATOO jana jioni amekabidhi barua ya kuacha kazi Rasmi toka IPP ninafanya jitihada kupata kivuli cha barua hiyo ili niiweke hapa,kwani naambiwa ni barua ya page tatu inayoeleza matukio mengi yaliyopelekea yeye kufanya uamuzi huo.

naomba kuwasilisha
Like any other employee, she has just exercised her right (if this is true); moreover, Sakina being such a professional and holging such senior and sensitive posts at IPP Media, it is a good decision ---rather than wait for a sack or another transfer to lesser depts

Only concern hapa ni kama atabaki professionalist au ndio atahama kambi kama wanasiasa.... Naomba mungu asiwe journalist mandazi kama baadhi yao. Atakuwa amejiaibisha, kaaibisha familia yake especially na watanzania kwa ujumla

THERE IS NOTHING BETTER THAN EXERCISING YOUR CAREER AND PROFESSIONAL RIGHTS...
__________________
I am on the move...
Reply With Quote
  #29  
Old 1st July 2009, 12:27 PM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 424 Times in 178 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default Re: Sakina datoo is no longer ipp employee

Quote:
View Post
wana JF taarifa nilizopata leo toka ofisi ya MSHANA ni kuwa SAKINA DATOO jana jioni amekabidhi barua ya kuacha kazi Rasmi toka IPP ninafanya jitihada kupata kivuli cha barua hiyo ili niiweke hapa,kwani naambiwa ni barua ya page tatu inayoeleza matukio mengi yaliyopelekea yeye kufanya uamuzi huo.

naomba kuwasilisha



This is old news nashangaa imechelewa kufika hapa pa sikuzote

Kikosi cha CSI cha JF mmekuwa slow sana kupata data
Reply With Quote
  #30  
Old 1st July 2009, 12:30 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 805,285, Level: 100 Points: 805,285, Level: 100 Points: 805,285, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,381
Thanks: 511
Thanked 976 Times in 679 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Sakina datoo is no longer ipp employee

Lakini kuna siku kuna jamaa alikuja na mada hii mlimponda sana leo hii imekuwa breaking news.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
ipp, je, kazi, kuacha, kulikoni, malalamiko, wafanyakazi


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
When the Pressure Group Called ...before the hurricane.... Taasisi Jukwaa la Siasa 11 13th April 2008 10:50 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 10:22 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com