Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 8th June 2009, 04:32 PM  
Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi
Soulbrother Soulbrother is online now 8th June 2009, 04:32 PM

Baada ya Sakina Datoo kuondolewa katika uongozi wa IPP media na Msaki kujiuzulu, mhariri wa makala Loy Nabeta naye ameandika barua ya kujiuzulu wiki iliyopita.

Je kulikoni IPP media

 
Soulbrother's Avatar
Soulbrother
JF Senior Expert Member
Points: 142,101, Level: 100 Points: 142,101, Level: 100 Points: 142,101, Level: 100
Activity: 17% Activity: 17% Activity: 17%
Join Date: Tue Apr 2009
Location: ndani ya nyumba
Posts: 337
Thanks: 45
Thanked 47 Times in 34 Posts
Views: 3251
Reply With Quote
  #11  
Old 8th June 2009, 05:37 PM
Geoff's Avatar
Geoff Geoff is offline
Geoff geoff@jamiiforums.com
JF Premium Member
Points: 665,206, Level: 100 Points: 665,206, Level: 100 Points: 665,206, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Fri Jan 2009
Location: CHAWOTE BAR!
Posts: 6,959
Thanks: 1,885
Thanked 2,035 Times in 1,371 Posts
Rep Power: 35
Geoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enough
Send a message via MSN to Geoff Send a message via Yahoo to Geoff
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

panafuka moshi hapa!
pasco jaribu kuelezea,inaonekana unakitu unajua
__________________
''... MORE COMMERCIAL..''
Reply With Quote
  #12  
Old 8th June 2009, 05:43 PM
Kituko Kituko is offline
Kituko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 89,555, Level: 100 Points: 89,555, Level: 100 Points: 89,555, Level: 100
Activity: 28% Activity: 28% Activity: 28%
 
Join Date: Mon Jan 2009
Posts: 1,046
Thanks: 52
Thanked 162 Times in 121 Posts
Rep Power: 24
Kituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enoughKituko will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

hii habari ya mishahara kwa makampuni mengi ni tatizo, nenda kiwira, tanzania relwe, habari copr.
sio kama RA anawalipa vizuri sana hao waandishi wake na hapo panafuka moto, isipokuwa kwa wale big name ndio wako swali
cha muhimu mengi inabidi aangalie kachemsha wapi
Reply With Quote
  #13  
Old 8th June 2009, 05:50 PM
Pasco Pasco is offline
Pasco has no status.
JF Premium Member
Points: 799,251, Level: 100 Points: 799,251, Level: 100 Points: 799,251, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Mon Sep 2008
Posts: 2,107
Thanks: 1,725
Thanked 1,217 Times in 468 Posts
Rep Power: 66
Pasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the roughPasco is a jewel in the rough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
panafuka moshi hapa!
pasco jaribu kuelezea,inaonekana unakitu unajua
Sina lolote nijualo Geoff ni msomaji tuu wa dalili za nyakati,
Mwanakijiji alishawahi kuandika sana juu ya anguko kuu la mmiliki
Reply With Quote
  #14  
Old 8th June 2009, 05:57 PM
MzeePunch MzeePunch is offline
MzeePunch is Omnipotent
JF Senior Expert Member
Points: 127,010, Level: 100 Points: 127,010, Level: 100 Points: 127,010, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Jun 2009
Posts: 422
Thanks: 125
Thanked 91 Times in 58 Posts
Rep Power: 21
MzeePunch will become famous soon enoughMzeePunch will become famous soon enoughMzeePunch will become famous soon enoughMzeePunch will become famous soon enoughMzeePunch will become famous soon enoughMzeePunch will become famous soon enoughMzeePunch will become famous soon enoughMzeePunch will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Ku-resign kwa waandishi hao wawili na mwingine anayeitwa Joyce Kisaka kulitarajiwa baada ya dada yao SAKINA kupigwa chini kutokana na fitna alizoanza kuziingiza IPP Media. Hawa wote walishikwa mkono na Sakina kupelekwa The Guardian wakitokea Mwananchi kwa ahadi ya mishahara minono. Nadhani ni kutokana na ushawishi wa Sakina huyo huyo ndio maana wame-resign. Bila shaka kuna kitu wanataka kufanya kwani katika siku za hivi karibuni wamekuwa karibu sana na RA na wapambe wake akina Zitto Kabwe na Omari.
Huyo Sakina Dewji 'Datoo' aliichanganya The Guardian kwa fitna kama kaka yake Kassim Dewji alivyoichanganya Simba SC wakati fulani. Ni watu hatari sana na bila shaka fitna ipo kwenye damu.
Reply With Quote
  #15  
Old 8th June 2009, 06:12 PM
Edson Edson is offline
Edson has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 103,390, Level: 100 Points: 103,390, Level: 100 Points: 103,390, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Sat Mar 2009
Posts: 600
Thanks: 78
Thanked 131 Times in 83 Posts
Rep Power: 23
Edson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

kazi kweli,
kuropoka kwa mengi kunamponza
acha wakimbie wote
mzee mnafiki sana yule
Reply With Quote
  #16  
Old 8th June 2009, 06:19 PM
mmaroroi mmaroroi is offline
mmaroroi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu May 2008
Posts: 769
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
mmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Kila Mtu ana haki ya kutafuta maslahi mazuri,ila za mafisadi noma.
Reply With Quote
  #17  
Old 8th June 2009, 06:42 PM
mmaroroi mmaroroi is offline
mmaroroi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu May 2008
Posts: 769
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
mmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Ufisadi noma,hata hapa JF wapo shame on you.
Reply With Quote
  #18  
Old 8th June 2009, 06:48 PM
mmaroroi mmaroroi is offline
mmaroroi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu May 2008
Posts: 769
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
mmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Ku-resign kwa waandishi hao wawili na mwingine anayeitwa Joyce Kisaka kulitarajiwa baada ya dada yao SAKINA kupigwa chini kutokana na fitna alizoanza kuziingiza IPP Media. Hawa wote walishikwa mkono na Sakina kupelekwa The Guardian wakitokea Mwananchi kwa ahadi ya mishahara minono. Nadhani ni kutokana na ushawishi wa Sakina huyo huyo ndio maana wame-resign. Bila shaka kuna kitu wanataka kufanya kwani katika siku za hivi karibuni wamekuwa karibu sana na RA na wapambe wake akina Zitto Kabwe na Omari.
Huyo Sakina Dewji 'Datoo' aliichanganya The Guardian kwa fitna kama kaka yake Kassim Dewji alivyoichanganya Simba SC wakati fulani. Ni watu hatari sana na bila shaka fitna ipo kwenye damu.
Mzee Mengi uwe makini na waandishi makuwadi watakuharibia vita yako dhidi ya mafisadi,kama wameanzisha vita huko meru basi tuwaanzishie nao upande wa pili kusaka Kagoda,Richmond/Dowans na Kiwira.
Reply With Quote
  #19  
Old 8th June 2009, 06:56 PM
mmaroroi mmaroroi is offline
mmaroroi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100 Points: 265,044, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu May 2008
Posts: 769
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
mmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enoughmmaroroi will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Matatizo ni makubwa, sasa hivi IPP Media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.
Wewe ndio Mhasibu wao au Mkurugenzi,acha uongo,au umetumwa.
Reply With Quote
  #20  
Old 8th June 2009, 07:10 PM
Phillemon Mikael Phillemon Mikael is offline
Phillemon Mikael has no status.
JF Premium Member
Points: 643,864, Level: 100 Points: 643,864, Level: 100 Points: 643,864, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Nov 2006
Location: mwanza,/uk/santa clara
Posts: 3,011
Thanks: 22
Thanked 330 Times in 151 Posts
Rep Power: 30
Phillemon Mikael will become famous soon enoughPhillemon Mikael will become famous soon enoughPhillemon Mikael will become famous soon enoughPhillemon Mikael will become famous soon enoughPhillemon Mikael will become famous soon enoughPhillemon Mikael will become famous soon enoughPhillemon Mikael will become famous soon enoughPhillemon Mikael will become famous soon enough
Default Re: Je kulikoni IPP? Mhariri wa makala ajiuzulu Guardian

Quote:
View Post
Matatizo ni makubwa, sasa hivi IPP Media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.

he mbona mengi anachanga hadi milioni 400 kwenye harambee moja..
__________________
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
ipp, je, kazi, kuacha, kulikoni, malalamiko, wafanyakazi


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
When the Pressure Group Called ...before the hurricane.... Taasisi Jukwaa la Siasa 11 13th April 2008 10:50 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:23 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com