Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kashfa ya ajira TANAPA

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      magessa78's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2009
      Posts : 251
      Rep Power : 539
      Likes Received
      26
      Likes Given
      3

      Default Kashfa ya ajira TANAPA

      Je, ni rahisi kwa taasisi kubwa kama Tanapa kusahihisha written interview (yenye maswali 25) ya zaidi ya watu 800 kwa masaa ma 5 tu na kutoa matokeo kuwa watu 30 pekee ndo wamefaulu kuendelea na oral interview?!

      ninasema hivyo kwa kuwa naona kama kuna rushwa na kujuana maana haingii akilini zaidi ya watu 800 pepa yao kusahihishwa kwa masaa ma 5 halafu eti matokeo yanawaruhusu 30 tu na wanaarifiwa the same day kuwa keshoye warudi for oral interview.

      ni hivi:
      tarehe 13 august kulikuwa a interview ya nafasi mbali mbali za kazi katika Tanapa.interview ilifanyikia msimbazi center saa 3 asubui mpaka saa 5 asubui.maswali 25 yalipitishwa kwa watahiniwa ili wayafanye.ilipofika saa 11 jioni majina ya watu 30 waliofaulu kuingia oral interview yakabandikwa.sio matokeo ya watahiniwa wote waliofaulu,bali ni majina tu na wala haionyeshi maksi zao.
      nina wasi wasi matokeo na majina yalishapangwa kitambo na ile interview ilikuwa ni kutimiza wajibu tu..naomba vyombo vinavyohusika vilifuatilie suala hili ili kuondoa kujuana ndani ya taasisi hizi kubwa za serikali
      Pasco and Kennedy like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      maria pia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 304
      Rep Power : 404
      Likes Received
      31
      Likes Given
      65

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      ndo kawaida hyo mkuu,tena c o tanapa tu,ni kila sehem hasa kwny taasisi kubwa za serikali...yale matangazo ya kazi ni danganya toto 2,huwa na majina yao tayari

    4. #3
      kupe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2012
      Posts : 629
      Rep Power : 0
      Likes Received
      103
      Likes Given
      5

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      ulitaka majibu hadi week au mwezi wakati matokeo wanayo hata kabla ya hiyo interview. kawashtaki takukuru

    5. #4
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,851
      Rep Power : 814
      Likes Received
      526
      Likes Given
      8

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Ukitaka kuumia zaidi pata cv za waliopata hizo nafasi itabidi upumzishwe kwa muda pale mount meru hospitali, maana pressure itakuwa juu sana

    6. #5
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 755
      Rep Power : 553
      Likes Received
      82
      Likes Given
      216

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Quote By magessa78
      Je, ni rahisi kwa taasisi kubwa kama Tanapa kusahihisha written interview (yenye maswali 25) ya zaidi ya watu 800 kwa masaa ma 5 tu na kutoa matokeo kuwa watu 30 pekee ndo wamefaulu kuendelea na oral interview?!

      ninasema hivyo kwa kuwa naona kama kuna rushwa na kujuana maana haingii akilini zaidi ya watu 800 pepa yao kusahihishwa kwa masaa ma 5 halafu eti matokeo yanawaruhusu 30 tu na wanaarifiwa the same day kuwa keshoye warudi for oral interview.

      ni hivi:
      tarehe 13 august kulikuwa a interview ya nafasi mbali mbali za kazi katika Tanapa.interview ilifanyikia msimbazi center saa 3 asubui mpaka saa 5 asubui.maswali 25 yalipitishwa kwa watahiniwa ili wayafanye.ilipofika saa 11 jioni majina ya watu 30 waliofaulu kuingia oral interview yakabandikwa.sio matokeo ya watahiniwa wote waliofaulu,bali ni majina tu na wala haionyeshi maksi zao.
      nina wasi wasi matokeo na majina yalishapangwa kitambo na ile interview ilikuwa ni kutimiza wajibu tu..naomba vyombo vinavyohusika vilifuatilie suala hili ili kuondoa kujuana ndani ya taasisi hizi kubwa za serikali
      Sasa Mkuu hapo kashfa ni ipi, kutumia muda mfupi kusahihisha, au kuwa wepesi na kutoa majina haraka iwezekanavyo? Waulize lecturers kwenye most of our public universities kuwa mtu mmoja anasahihisha karatasi ngapi kwa muda gani ndo utuaminishe kama kuna kashfa au la. Ungetuhakikishia wasiwasi wako kwa kutueleza pia wasahihishaji wa interview yenu walikuwa wangapi na aina ya maswali ilikuwaje. Mie binafsi multiple choice questions za mashwali 25 naweza kumaliza kusahihisha karatai 1000 kwa saa moja na nusu kwa kuchelewa.
      Kennedy likes this.
      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    7. Miaka 50

    8. #6
      kbosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Location : dar es saalam
      Posts : 1,570
      Rep Power : 665
      Likes Received
      199
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By maria pia
      ndo kawaida hyo mkuu,tena c o tanapa tu,ni kila sehem hasa kwny taasisi kubwa za serikali...yale matangazo ya kazi ni danganya toto 2,huwa na majina yao tayari
      hasa mashkra ya mifuko ya kjamii

    9. #7
      manushiboy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 401
      Likes Received
      9
      Likes Given
      2

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      ndugu JamboJema uko sahihi,wake mambo hayo wazi,si rahisi kila mtu anaye sahiliwa kufaulu usahili tukubali waliopata wamepata alafu tuendelee kusaka ajira kwingineko.

    10. #8
      sister's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Location : MBEZI YA KIMARA, DSM
      Posts : 1,443
      Rep Power : 959
      Likes Received
      450
      Likes Given
      470

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      mbona kawaida tena mpaka vituo vya kazi wameshapangiwa na kazi wameanza na kwenye hiyo interview hawakuwepo.
      Kennedy likes this.

    11. #9
      CAZINERICA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th August 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      he sasa wewe una aply kazi TANAPA na huna refer?/ hahahhaahhaaaaa, mi nilikuwa nipeleke aplicatn zangu nikaghairi,,,,coz nilijua ni kupoteza barua tu na hamna lolote

    12. #10
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,260
      Rep Power : 31326
      Likes Received
      7551
      Likes Given
      7615

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Hii ndio Tanzania, kuonewa ni sehemu ya maisha and nobody give the F...K
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    13. #11
      Ndamalishaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th December 2011
      Posts : 37
      Rep Power : 457
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Hahaha unaongelea tanapa alaa huko c swala la kuuliza atii kujuanaa lazimaa watu tusha apply kazi huko mara kibao na qualifications tunazo hawatuchukuii ukiona watu wanaochukuliwa utabaki na mshangaooo ,,!!

    14. #12
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 548
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Quote By magessa78
      je, ni rahisi kwa taasisi kubwa kama tanapa kusahihisha written interview (yenye maswali 25) ya zaidi ya watu 800 kwa masaa ma 5 tu na kutoa matokeo kuwa watu 30 pekee ndo wamefaulu kuendelea na oral interview?!

      Ninasema hivyo kwa kuwa naona kama kuna rushwa na kujuana maana haingii akilini zaidi ya watu 800 pepa yao kusahihishwa kwa masaa ma 5 halafu eti matokeo yanawaruhusu 30 tu na wanaarifiwa the same day kuwa keshoye warudi for oral interview.

      Ni hivi:
      Tarehe 13 august kulikuwa a interview ya nafasi mbali mbali za kazi katika tanapa.interview ilifanyikia msimbazi center saa 3 asubui mpaka saa 5 asubui.maswali 25 yalipitishwa kwa watahiniwa ili wayafanye.ilipofika saa 11 jioni majina ya watu 30 waliofaulu kuingia oral interview yakabandikwa.sio matokeo ya watahiniwa wote waliofaulu,bali ni majina tu na wala haionyeshi maksi zao.
      Nina wasi wasi matokeo na majina yalishapangwa kitambo na ile interview ilikuwa ni kutimiza wajibu tu..naomba vyombo vinavyohusika vilifuatilie suala hili ili kuondoa kujuana ndani ya taasisi hizi kubwa za serikali
      duh! Kazi kweli kweli, hayo maswali 25 yenyewe ni ya aina gani?
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    15. #13
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 548
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Duuh! Sasa sipapatii picha nhif huko mana kama mamo ndo haya
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    16. #14
      MILLIONS MOVEMENT's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 365
      Likes Received
      31
      Likes Given
      13

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Quote By JamboJema
      Sasa Mkuu hapo kashfa ni ipi, kutumia muda mfupi kusahihisha, au kuwa wepesi na kutoa majina haraka iwezekanavyo? Waulize lecturers kwenye most of our public universities kuwa mtu mmoja anasahihisha karatasi ngapi kwa muda gani ndo utuaminishe kama kuna kashfa au la. Ungetuhakikishia wasiwasi wako kwa kutueleza pia wasahihishaji wa interview yenu walikuwa wangapi na aina ya maswali ilikuwaje. Mie binafsi multiple choice questions za mashwali 25 naweza kumaliza kusahihisha karatai 1000 kwa saa moja na nusu kwa kuchelewa.
      Mkuu,
      Hii hoja ukiiangalia kwa wepesi jibu lako linaweza kuwa sawa,lakini kwa undani utagundua kuna tatizo naanza na hili,

      Kuna interview ilifanyika Dodoma chuo cha Hombolo tarehe 7/8/12 kwa maswali ya kujieleza ya professional yalikuwa 5 kwa watu zaidi ya 200 na yalisahihishwa na watu wengi wao hawakuwa professional kwa kutumia marking scheme.Nafikiri unajua tatizo la marking scheme kwa professional level kwani mara nyingi inatumika professional judgement kwa kitu husika.
      Tarehe 10/8/12 mtihani ule ule ulienda kufanyika Arusha kwa watu tofauti na wengine walikuwa kwenye mtihani wa awali pale Hombolo.Kwa maana hii kuvuja kwa interview hizi ni kukubwa na hata paper inapoletwa inakuwa wazi(not sealed).

      MY TAKE;
      Umefika wakati sasa hizi interview kwa maana ya mitihani itungwe na kusimamiwa na Bodi za kitaaluma km Bodi za engineering,uhasibu,udaktari na n.k.Tume ya utumishi ibakize kushortlist majina yapelekwe bodi husika na mtihani wa mchujo then kwa ajili ya oral ifanywe na tume ya utumishi kushirikiana na mwajiri mtarajiwa.

    17. #15
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 755
      Rep Power : 553
      Likes Received
      82
      Likes Given
      216

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Quote By MILLIONS MOVEMENT
      Mkuu,
      Hii hoja ukiiangalia kwa wepesi jibu lako linaweza kuwa sawa,lakini kwa undani utagundua kuna tatizo naanza na hili,

      Kuna interview ilifanyika Dodoma chuo cha Hombolo tarehe 7/8/12 kwa maswali ya kujieleza ya professional yalikuwa 5 kwa watu zaidi ya 200 na yalisahihishwa na watu wengi wao hawakuwa professional kwa kutumia marking scheme.Nafikiri unajua tatizo la marking scheme kwa professional level kwani mara nyingi inatumika professional judgement kwa kitu husika.
      Tarehe 10/8/12 mtihani ule ule ulienda kufanyika Arusha kwa watu tofauti na wengine walikuwa kwenye mtihani wa awali pale Hombolo.Kwa maana hii kuvuja kwa interview hizi ni kukubwa na hata paper inapoletwa inakuwa wazi(not sealed).

      MY TAKE;
      Umefika wakati sasa hizi interview kwa maana ya mitihani itungwe na kusimamiwa na Bodi za kitaaluma km Bodi za engineering,uhasibu,udaktari na n.k.Tume ya utumishi ibakize kushortlist majina yapelekwe bodi husika na mtihani wa mchujo then kwa ajili ya oral ifanywe na tume ya utumishi kushirikiana na mwajiri mtarajiwa.
      HAPA KWENYE BLUE nakubaliana na wewe, ila mleta mada anatulazimisha tuamini kuna kashfa bila kutupa clues zilizoshiba za tuhuma zenyewe. hili ndo tatizo langu. Muda wa kusahihisha na kutoa majibu nilitegemea lilikuwa la kupongezwa na si kuwa kigezo cha kukosa uadilifu!
      MILLIONS MOVEMENT likes this.
      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    18. #16
      MKATA KIU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 1,379
      Rep Power : 768
      Likes Received
      909
      Likes Given
      27

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Wakati nipo chuo mzumbe kuna classmates alikuwa anatutania

      "Mkinipita kwenye gpa mimi nitawapita kwenye soko la ajira"

      Alikuwa anasoma kivivu kweli tukajua atapata shida sana kwenye soko na gpa yake ndogo, uliza alichotufanya baada ya kumaliza chuo alianzia kazi tanesco hata majibu hayajatoka and then akaamia zake tra wakati wenye gpa kubwa mpaka leo tunasua sua, yaan dogo anachagua kazi kama zake alipata bot mwanza akasema hawez kuondoka dar akaamua kubaki tra... Watoto wa kishua wana raha sana mjini hapa, kila kitu kinaenda kwa mteremko wakati watabe wanasota

    19. #17
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,136
      Rep Power : 31825
      Likes Received
      6018
      Likes Given
      19619

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      hayo matangazo ya nafasi za kazi ni kupotezeana muda tu kumbe, hii nchi hii haifai kabisa.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    20. #18
      Easymutant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2010
      Posts : 1,073
      Rep Power : 670
      Likes Received
      152
      Likes Given
      68

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      kwa vyovyote vile bado sijaona sababu ya kuita watu zaidi ya 305 kwa ajili ya kushindania nafasi 2....wameshidwa kujuja hata wabakishe 20 hivi? ..............TANAPA IT-Analysis nafasi 2 wanaita watu 305
      KISS-Keep It Simple Stupid.........[email protected]



    21. #19
      MILLIONS MOVEMENT's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 365
      Likes Received
      31
      Likes Given
      13

      Default Re: Kashfa ya ajira TANAPA

      Quote By JamboJema
      HAPA KWENYE BLUE nakubaliana na wewe, ila mleta mada anatulazimisha tuamini kuna kashfa bila kutupa clues zilizoshiba za tuhuma zenyewe. hili ndo tatizo langu. Muda wa kusahihisha na kutoa majibu nilitegemea lilikuwa la kupongezwa na si kuwa kigezo cha kukosa uadilifu!
      Ni kweli suala la muda wa usahihishaji sio tatizo,labda alitakiwa aeleze kama mtihani huo ulisahishwa na watu wasio na taaluma huska na aina ya mtihani kama multiple choice au true or false.

    22. #20
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 848
      Rep Power : 548
      Likes Received
      157
      Likes Given
      32

      Default

      Quote By Mamndenyi
      hayo matangazo ya nafasi za kazi ni kupotezeana muda tu kumbe, hii nchi hii haifai kabisa.
      Yaani kaka ndo unagundua leo kua nchi híi haifai?...mi toka 1995

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...