Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 29
    1. #1
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,702
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6359
      Likes Given
      2841

      Default Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Huyu Pasco wa JF leo ameniweka njiapanda pale alipokuwa anahitimisha sherehe za 8'8, akiwa na kundi kubwa la wafanyakazi wa Ikulu.
      Amesema huku akijiamini, kuwa "Zamani Ikulu ilikuwa ni Mahali Patakatifu, lakini sasa hivi JK amepafanya pamekuwa Down To Earth na pako Reachable"!
      Kwa kauli hiyo Pasco anaweza kutafsiriwa kwa namna 2.
      -Aidha anaponda Ikulu ya enzi za Mwalimu kuwa iliibana mno Ikulu,
      -Au anaponda Ikulu ya JK kuwa imekuwa too linient kwa raia na wageni.
      Wadau wenzangu mnaisomaje kauli hiyo?
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,732
      Rep Power : 5462
      Likes Received
      1961
      Likes Given
      2652

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Vyote sawa
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    4. #3
      Johnsecond's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Posts : 932
      Rep Power : 650
      Likes Received
      152
      Likes Given
      65

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Huyu Pasco siku hizi anataka kuwa kama clouds nilivyoipiga ban kusikilizwa na mimi. Anapenda kupendwa kote ila zaidi apendwe na system bila sisi kujua, utamsikia akisema constructive opinions kuhusu JK. Unataka kufanya renovations kwenye jengo ambalo limeanguka miaka mingi, sisi tunataka kujenga jipya. Pasco muhuni tu
      Pascal Mayalla likes this.

    5. #4
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,514
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5443
      Likes Given
      3640

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Pasco anajiandaa kushika kurugenzi ya mawasiliano ikulu kwenye ufalme wa Lowasa.
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    6. #5
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By No fear
      Pasco anajiandaa kushika kurugenzi ya mawasiliano ikulu kwenye ufalme wa Lowasa.
      mmmmmmmh,mdau sio kuwa mkuu wa wilaya ya MBAGARA RANGI 4?????
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Blood Hurricane's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 243
      Rep Power : 397
      Likes Received
      77
      Likes Given
      2

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Quote By PakaJimmy
      Huyu Pasco wa JF leo ameniweka njiapanda pale alipokuwa anahitimisha sherehe za 8'8, akiwa na kundi kubwa la wafanyakazi wa Ikulu.
      Amesema huku akijiamini, kuwa "Zamani Ikulu ilikuwa ni Mahali Patakatifu, lakini sasa hivi JK amepafanya pamekuwa Down To Earth na pako Reachable"!
      Kwa kauli hiyo Pasco anaweza kutafsiriwa kwa namna 2.
      -Aidha anaponda Ikulu ya enzi za Mwalimu kuwa iliibana mno Ikulu,
      -Au anaponda Ikulu ya JK kuwa imekuwa too linient kwa raia na wageni.
      Wadau wenzangu mnaisomaje kauli hiyo?
      PPR anayoitegemea tutaiua soon we mwache tu maneno yaliponza kichwa hivi hajui hilo?
      Pascal Mayalla likes this.

    9. #7
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,514
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5443
      Likes Given
      3640

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Quote By Bajabiri
      mmmmmmmh,mdau sio kuwa mkuu wa wilaya ya MBAGARA RANGI 4?????
      Hapana cheo cha Udc ni kidogo sana kwa Pasco, Salva aanze kufungasha virago vyake maana ni lazima aondoke na Mkwele wake.
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    10. #8
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,702
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6359
      Likes Given
      2841

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Binafsi sijaona sababu ya kufurahia Ikulu inapokuwa "Down to Earth au reachable" kama ambavyo Pasco alionyesha kufurahia kauli hiyo akiwa na waandamizi wa Ikulu!
      Watanzania tunapata nn kutokana na hilo? Mwanahabari mwenzako Saeed anafungiwa chombo chake, lakin mtu anasema Ikulu iko down to earth!
      Labda niungane na mdau mmoja hapo juu kuwa ishu hapa ni kitengo cha Mawasiliano IKulu.

    11. #9
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,064
      Rep Power : 5468
      Likes Received
      3491
      Likes Given
      1913

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Anasaka UDC
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    12. #10
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1829
      Likes Given
      3343

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Ikulu yetu impondwa na kuchafuliwa na Mwinyi Mkapa na Kiwete kutokana na uhovyo wao. Hivyo hakuna anayeweza kuiponda wakati ilipondeka siku alipoondoka Mwalimu Nyerere.
      Pascal Mayalla and Uliza_Bei like this.

    13. #11
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,702
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6359
      Likes Given
      2841

      Default

      Quote By Miganiko
      Anasaka UDC
      U-DC ni nafasi ndogo mno kwa Pasco.
      Ktk hali ya kawaida usingetegemea Pasco apewe au awanie nafasi moja na Mrisho Gambo au Ernest Makunga. I think he aims a bit higher ndiyo maana anapata guts hizo za kuchekacheka mbele ya akina Mama Kaganda, akijua one way another watatia joto wishes zake.
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    14. #12
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3199
      Likes Given
      2653

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Go on Paschal
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    15. #13
      kussy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2010
      Posts : 271
      Rep Power : 508
      Likes Received
      29
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By PakaJimmy
      Huyu Pasco wa JF leo ameniweka njiapanda pale alipokuwa anahitimisha sherehe za 8'8, akiwa na kundi kubwa la wafanyakazi wa Ikulu.
      Amesema huku akijiamini, kuwa "Zamani Ikulu ilikuwa ni Mahali Patakatifu, lakini sasa hivi JK amepafanya pamekuwa Down To Earth na pako Reachable"!
      Kwa kauli hiyo Pasco anaweza kutafsiriwa kwa namna 2.
      -Aidha anaponda Ikulu ya enzi za Mwalimu kuwa iliibana mno Ikulu,
      -Au anaponda Ikulu ya JK kuwa imekuwa too linient kwa raia na wageni.
      Wadau wenzangu mnaisomaje kauli hiyo?
      Jamani mbona ilishakanushwa kwamba Pasco wa JF si wa 8'8 au mimi sikuelewa?
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    16. #14
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,518
      Rep Power : 1795
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Nasubiri sana mwishoni mwa 2014...tuanze sinema mpya za uchaguzi na fitna zake!!!!
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    17. #15
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,702
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6359
      Likes Given
      2841

      Default

      Quote By kussy
      Jamani mbona ilishakanushwa kwamba Pasco wa JF si wa 8'8 au mimi sikuelewa?
      Hizo mbwembwe tu broda...!
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    18. #16
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,705
      Rep Power : 10173
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Quote By No fear
      Pasco anajiandaa kushika kurugenzi ya mawasiliano ikulu kwenye ufalme wa Lowasa.
      si bora ashike yeye jf ijivunie kuliko hao wasioshau
      Pasco and Pascal Mayalla like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    19. #17
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,702
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6359
      Likes Given
      2841

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Quote By No fear
      Pasco anajiandaa kushika kurugenzi ya mawasiliano ikulu kwenye ufalme wa Lowasa.
      Lowassa yupi?...huyu aliyeshabikia vita juzi?
      Pasco and Pascal Mayalla like this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    20. #18
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,947
      Rep Power : 1531
      Likes Received
      745
      Likes Given
      237

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      Pasco is a MOLE!!!! Nyie vilaza hilo sio tusi angalieni maana yake kwenye kamusi.
      Pasco and Pascal Mayalla like this.

    21. #19
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,786
      Rep Power : 22905
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2576

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      aiseeeee Pasco ni msomi mwenye akili mno na muandishi wa habari mtukuka mwenye weledi aliewahi kutokea tanzania na mwenye kipaji cha ajabu .......nchi za magharibi zinamgombea afanye nao kazi na mara nyingi wamem approach ahamie nchi zao na kupewa full presidential packages......tatizo watanzania vipaji kama vya pasco hamvithamini mnaviponda na kuvinanga bila sababu......

      Pasco naweza kumuweka level moja na nguli kama Anderson cooper wa CNN,the late Shepard Smith WA fox news,Don Lemon,Thomas Roberts wa MSNBC,Dan Kloeffler wa ABC....ni moja ya vipaji adimu africa....
      Pasco and Pascal Mayalla like this.
      ...kuwa na baba maskini ni mipango ya Mungu ila kuwa na baba mkwe maskini ni ujinga wako mwenyewe.....

    22. #20
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,092
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1024
      Likes Given
      2876

      Default Re: Pasco Na Comment Zake Kuhusu Ikulu.

      mnamzungumzia pasco yupi hapa jf wapo wawili pasco mayala na pasco.
      na pasco alikataa kuwa yeye sio mayala alikubali ni mgawa bahasha na kuna pasco mayala
      wote wajitokeze hapa watuambie mitizamo yao.

      mayala namkubali tangu enzi za dtv itv tbc. ana sauti nzuri na weledi uliotukuka ila hathaminiwi na media owners
      Pasco and Pascal Mayalla like this.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...