Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 49
    1. #1
      SEBM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 339
      Rep Power : 3537
      Likes Received
      258
      Likes Given
      98

      Default TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Ndugu yangu TUNTEMEKE,

      Sijaangalia historia huko nyuma kuangalia kama kuna mtu aliwahi kuanzisha mjadala unaokuhusu, lakini napenda kuchukua fursa hii kuanzisha mada mahsusi dhidi yako.

      Tangu nijiunge na rasmi JF (ingawa nimekuwa msomaji na mfuatiliaji wa forum hii tangu enzi za Jambo), nimekuwa nikisoma maandiko yako mbali mbali.

      Ambacho kimekuwa kikinisikitisha ni aina ya uandishi ambao umekuwa ukiufanya. Kwamba, umekuwa ukiandika kwa hasira, kisasi, chuki na wivu. Ninashawishika kuamini kuwa, kati ya watu hawa, lazima kuna mbaya wako: Dr. Willbrod Slaa, Josephine Mushumbusi, Freeman Mbowe, John Mrema, John Heche na baadhi ya wakurugenzi ndani ya chama.

      Uandishi wako, umejikita katika kuwasemea kwa hasira baadhi ya kundi la watu, ambao aidha wamekuwa wahanga wa kushindwa uchaguzi wa BAVICHA au wale ambao mfumo mpya wa Uhasibu (ambao tumeambiwa ulibuniwa na kuwa installed na Josephine).

      Umevuka mipaka mpaka kwenda kwenye maisha binafsi kabisa na viongozi wa Chama: Slaa na Mbowe na Mrema pia.

      Wakati umefika sasa ukaachana na siasa za chuki, wivu na hasira na kukumbatia siasa za ukweli, upendo na amani.

      Kwa Moderators - forum hii ni credible sana. Nashauri posts za chuki kama hizi, zisiwe zinaachwa zivume mwanzo mwisho kwani zinahataisha amani, umoja na mshikamano.

      Ni bora waandishi kama hawa, wakatupisha huku kwa Great Thinkers na kwenda kule kwenye FB - CHADEMA VS CCM, TANURU LA FIKRA ambako kuna mipasho, utoto, kejeli, udini, ukanda n.k.


      Nabakia,
      Mwanachama Mwaminifu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
      Quote By TUNTEMEKE View Post
      Nipo pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahali,

      Poleni sana kwa majukumu ndugu zangu hasa ya kujenga na kuimarisha utawala. Uongizi na maadili bora katika taifa hili. JF kama jukwaa huru limekuwa mstari wa mbele sana kufichua uovu na ufisadi mkubwa unaofanywa si tu na Serikali bali hata kwenye vyama vyetu.

      Aliyeweka hoja hii hapa, Naomba kumfahamisha yeye na Umma wote wa JF kwamba mimi sina mbaya ndani ya CHADEMA kwa maana ya personal interest au conflict.
      Pia sina ubaya wowote na binadamu yeyote katika taifa hili, kwasababu tumepewa amri mpya pendaneni YOH:13;34

      Kwanini naonekana Mbaya kwa chadema?

      1. Naonekana mbaya ndani ya CHADEMA kwasababu nafichua uovu ambao wanachadema wengi hawataki kuusikia, hawataki kusikia CHADEMA inahusishwa na wizi, ufisadi n,.k (Ili hali ndani ya
      CHADEMA kuna maovu mengi sana ambayo vinara wake tumekuwa tukipambana nao hapa mara kwa mara).

      2. Naonekana mbaya ndani ya
      CHADEMA kwasababu hoja zangu nyingi zinaonekana zipo against na wale watu mnaowaamini kwamba wanaweza kuwa marais/viongozi wasafi katika Taifa hili. Ili hali si wasafi kwa kiwango kile sisi tunachowafikiria, Pia si kwamba wana busara kiasi kile ambacho sisi tulio nje ya CHADEMA tunafikiria juu ya watu hawa.

      3. Pia naonekana mbaya kwasababu nimekuwa natuhumu moja kwa moja ukweli ulio wazi kwamba ndani ya
      CHADEMA kuna watu wa aina mbili wale wanaosapoti upande wa mwenyekiti na katibu, na wale wanaosadikika wapo mbali na kundi la kwanza (kundi la ant-gaza(ukabila)

      KWA MAANA HIYO NITAENDELA KUONEKANA MBAYA SANA KWA SABABU SITOISHIA HAPA WALA PALE KUPIGA KELELE JUU YA MISUGUANIO INAYOENDELA NDANI YA CHADEMA HASA ILE INAYOLENGA KUGAWA RASILIMALI ZA UMMA KWA MANUFAA YA WACHACHE, PIA MISUGUANO YOTE INAYOLENGA KUWAGAWA WATU WA KUSINI+WEST TO EAST WAONEKANE HAWANA MAANA NDANI YA CHAMA,WENYE MAANA NIWALE WAZAWA WA MWASISI WA CHAMA.

      ITS VERY SAD KUONA SASA CHADEMA TUMEJIKITA KUPIGANA SISI KWA SISI/KUHUJUMIANA SISI KWA SISI KULIKO KUJENGA CHAMA NA KUIMARISHA BENDERA ZA CHAMA KUANZIA KWENYE MASHINA HADI MAKAO MAKUU.
      Thanx
      TUNTEMEKE ONCE AGAIN
      holowane likes this.


    2. #2
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 4,038
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      1542
      Likes Given
      1653

      Default re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Well-said bro!! Nadhani the message is being delivered!!
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    3. #3
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,354
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      813
      Likes Given
      622

      Default re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Quote By Sizinga View Post
      Well-said bro!! Nadhani the message is being delivered!!
      Ni kweli lakini ni sawa sawa na kumpigia mbuzi gitaa. Huyu jamaa ni mwaminifu, pandikizi, na ana maslahi binafsi ya kunufaika kutumika kama chambio la CCM
      Ukweli utakuweka huru daima

    4. #4
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 4,038
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      1542
      Likes Given
      1653

      Default re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Quote By Mimibaba View Post
      Ni kweli lakini ni sawa sawa na kumpigia mbuzi gitaa. Huyu jamaa ni mwaminifu, pandikizi, na ana maslahi binafsi ya kunufaika kutumika kama chambio la CCM
      Then inabidi tumpotezee kama vp...
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    5. #5
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,532
      Rep Power : 18655
      Likes Received
      3624
      Likes Given
      2380

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Mbona alishawahi kupigwa ban kwa kuwa na id 19! Usishangae kuona post za kumtetea 18 halafu ya kwake 1 tu ya kukukejeli. Huyo ndio Tuntemeke bana!


    6. #6
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Tuntemeke ni mchumia tumbo anayedhani anaweza kusambaratisha chama.Nilishamwapia kwamba hilo katu hataweza.Aende kwa mabwana zake wanaomtuma awaambie CDM tuna imani na Dr Slaa & Freeman Mbowe.Apende,asipende hawa ndiyo watatuvusha salama 2015.
      MR. ABLE, blueray and JERUSALEMU like this.

    7. #7
      Lugeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2011
      Posts : 305
      Rep Power : 475
      Likes Received
      40
      Likes Given
      43

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Quote By Molemo View Post
      Tuntemeke ni mchumia tumbo anayedhani anaweza kusambaratisha chama.Nilishamwapia kwamba hilo katu hataweza.Aende kwa mabwana zake wanaomtuma awaambie CDM tuna imani na Dr Slaa & Freeman Mbowe.Apende,asipende hawa ndiyo watatuvusha salama 2015.
      hilo ni pandikizi la magamba kwani hujui

    8. #8
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,683
      Rep Power : 1277
      Likes Received
      1318
      Likes Given
      1711

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Naona kama unapendekeza Tuntemeke apigwe Ban, Sikubaliani na wewe, kama mnataka mpigeni Ban huko huko chadema, kama mnaona anakivuruga chama kwa nini mnamdekeza.

      Kwa muda sasa CHADEMA imeendelea kujipambanua kama chama ambacho kina intelligence systems imara kuliko hata ile ya Kitaifa, CHADEMA mnaweza kujua juu ya mikakati ya kuwatoa uhai viongozi wenu, mnaweza kujua juu ya mitambo ya siri ya kuingilia mawasiliano ya simu iliyoingia nchini, mliweza kujua namna wizi wa kura ulivyokuwa ukiratibiwa wakati wa uchaguzi mkuu wa Mwaka 2010. Na katibu wenu mkuu, My dear President elect, DR W.P. Slaa amekuwa akiweka wazi mambo mbali mbali nyeti kabisa juu ya namna mambo yanavyokwenda hovyo katika uendeshaji wa nchi yetu chini ya CCM.

      Inakuwaje mmeshindwa kumtambua Tuntemeke na kumsimamisha uanachama. Kama kweli imefikia hatua ya kuona Tuntemeke ni tatizo kwa mustakabali wa chama chenu, ambacho sisi wengine tunakichukulia kama mkombozi inakuwaje intelligence system yenu imeshindwa kumlocate kiasi cha kukimbilia hapa JF kutaka waanze kudhibiti maandiko yake.

      Au wewe mwenyewe ndio Tuntemeke??
      Last edited by Sangarara; 6th August 2012 at 18:10.

    9. #9
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,608
      Rep Power : 2547
      Likes Received
      614
      Likes Given
      769

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      mliweza kujua namna wizi wa kura ulivyokuwa ukiratibiwa wakati wa uchaguzi mkuu wa Mwaka 201.


      Mkuu umakini ni muhimu
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    10. #10
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,532
      Rep Power : 18655
      Likes Received
      3624
      Likes Given
      2380

      Default

      Quote By Sangarara View Post
      Inakuwaje mmeshindwa kumtambua TUNTEMEKE na kumsimamisha uanachama. Kama kweli imefikia hatua ya kuona Tuntemeke ni tatizo kwa mustakabali wa chama chenu, ambacho sisi wengine tunakichukulia kama mkombozi inakuwaje intelligence system yenu imeshindwa kumlocate kiasi cha kukimbilia hapa JF kutaka waanze kudhibiti maandiko yake.

      Au wewe mwenyewe ndio Tuntemeke??
      Nina wasiwasi wewe ndiye mwenyewe!

    11. #11
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,683
      Rep Power : 1277
      Likes Received
      1318
      Likes Given
      1711

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Quote By kunta kinte View Post
      mliweza kujua namna wizi wa kura ulivyokuwa ukiratibiwa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 201.



      mkuu umakini ni muhimu
      sawa mwalimu

    12. #12
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 4,063
      Rep Power : 1239
      Likes Received
      257
      Likes Given
      41

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Mwanzisha thread Nina Wasi Wasi wewe ndo tuntemeke umeamua ujikoshe
      TUNTEMEKE likes this.

    13. #13
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,354
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      813
      Likes Given
      622

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      R.I.P TUNTEMEKE asipate tabu, alishakufa siku nyingi hata akitokea kama mzuka
      Ukweli utakuweka huru daima

    14. #14
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,683
      Rep Power : 1277
      Likes Received
      1318
      Likes Given
      1711

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Quote By Mimibaba View Post
      R.I.P TUNTEMEKE asipate tabu, alishakufa siku nyingi hata akitokea kama mzuka
      TUNTEMEKE ni PASUA KICHWA, yupo kaanzisha thread nyingine huko ya malalamiko ya wabunge wa CHADEMA, Kuna watu huwa wanabehave kama mintunge vile.
      Jasusi likes this.

    15. #15
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,354
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      813
      Likes Given
      622

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Quote By Sangarara View Post
      TUNTEMEKE ni PASUA KICHWA, yupo kaanzisha thread nyingine huko ya malalamiko ya wabunge wa CHADEMA, Kuna watu huwa wanabehave kama mintunge vile.
      Majibu atayapata
      Ukweli utakuweka huru daima

    16. #16
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,261
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      527
      Likes Given
      202

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      TUNTEMEKE karudi tena, huyu jamaa ni mtu hatari sana kwa CDM, anabadilika badilika kama kinyonga

    17. #17
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4232

      Default

      Quote By Sangarara View Post
      TUNTEMEKE ni PASUA KICHWA, yupo kaanzisha thread nyingine huko ya malalamiko ya wabunge wa CHADEMA, Kuna watu huwa wanabehave kama mintunge vile.
      Wakati mwingine huwa nashindwa kuelewa kama unavuta yale makitu ya malawi au akili yako ndo ilivyo.....

      Yani unafikiri chama kinaendeshwa kwa maneno ya jf... Kwamba akitokea nzi mmoka wa chooni akatua jf, basi chama kitetereke?? Tena mtu mmoja anayeandika kama anamsuta mama Tau jirani yake kwa kuwa jirani anakula nyama na yeye anaumizwa kwa harufu ya minofu ya nyama??

      Mwacheni bi Shose aendelee kupata kitumbua chake, asitegemee ukuu wa wilaya, labda apewe kabla ya 2015.

    18. #18
      Kiranja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2007
      Posts : 758
      Rep Power : 854
      Likes Received
      332
      Likes Given
      16

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Mbaya wa Tuntemeke at al ......ni kiongozi yeyote na mwanachama yeyote wa CDM mwenye mapenzi mema na chama , ila kama huna mapenzi mema na chama wewe sio adui .......(swali kwa Tuntemeke na aka zake zote ) NGO wameshakukabizi ama bado mazee?

    19. #19
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,254
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      56

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      SEBM

      Vipi kuhusu wale wanaoendekeza politics of character assassination dhidi ya Nape badala ya kufanya politics of issue humu ndani,naona unawasemea nini labda ili tuone kweli uko fair,au hao unawataka waendeleze kazi "nzuri" wanayoifanya

    20. #20
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default Re: TUNTEMEKE, Mbaya wako CHADEMA ni nani?

      Ndo uzuri wa siasa, unakuja huku kupoteza mawazo. Maana kuanzia uraiani hadi mtandaoni ni fulu kukashifiana tu.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...