Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Kisendi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 244
      Rep Power : 574
      Likes Received
      16
      Likes Given
      4

      Default Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      Me maoni yangu nadhani watz sisi wenyewe ndo tunao uwezo wa kuamua kama jirani zetu RWANDA WALIVYOBAILIKA ingawa kwa nchi kama Tz, wanajamii wengi upeo na uelewa ni mdogo sana. Mfano wanafunzi kukaa kwenye ndoo hizi shule za kata?? Ni kweli pesa ya kutengeneza dawati hamna kweli?/Pia sasa tumekopeshwa Dola billion 400 na IMF jana TBC wamenena?? je hizi pesa kwa haraka haraka zikitumika ipasavyo si Tz tuaenda mbele au ndo maandaliza ya UCHAGUZI 2010.

      Pia Wapinzani wenzangu tuungane ili iwe dawa kwa nchi yetu otherwise itakuwa ngumu maana watz wetu wengi hawana upeo kama nchi za Uganda, Kenya na Nyingine nyingi.

      Nani anasoma vyombo vya habari?? Nadhani hakuna?? Nani anajua kama chadema walipata kula nyingi mjini huko BUSANDA je tatizo ni vijijin?? Pia TV zetu mbona Kituo kimoja tu ndo kinakemea haya ya wizi wa pesa za UMMA??
      Wengine wanahofia ajira zao au wanaogopa kufungiwa???
      Mfana ITV wanajitahd kwa kweli, TBC hoi, Ch10 ndo ovyo??, Star tv hawana jipya?? wengine hawapo ni bongo fleva tu?? TV zetu zikielemisha na kutumia muda mwingi kusema watu wanaokinzana na uroho wa pesa za UMMA??

      FISADI ni nani?? wewe sio fisadi?? Wangapi wamefanikiwa bila ufisadi?? Wangapi wanataka utajiri wa muda mfupi??


      TUISHUKURU ITV na MAGAZETI YA WADAU WANAOUNGA MKONO??
      Serikali ilianzisha website ya kutoa maoni Wtz, Je inatumika??
      Iligharimu kiasi gani?? Na wangapi wanaijua??


      Ukilipwa milion 7 kwa mwezi na ukaanzisha biashara yako ya kwaida tu na ukaweza kuendelee kimaisha na jamaa zako?? Kuna haja ya kuiba tena au kupata rushwa??

      JIULIZE???
      TOA MAONI YAKO???

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nyauba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 984
      Rep Power : 751
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      suala si tuu kupinga ufisadi kwa majabizao kwenye magazeti na television!!! suala ni uwajibikaji wa mtuu mmoja mmojaa...hili linawezekana tukianza mimi na wewe..

      kwa nn watoto wakalie ndoo wakati nachangia harusi tshs 50,000 na kuendelea??? kwa nn kijiji changu zahanati haina kifaa cha kuhifadhia maiti wakati nachangia tshs 50,000 kwa harusi ya siku mojaaaaa....TAFAKARIIIIIIIIIII IIIII...

      Pili mimi kama mtumishi wa umma/binafsi nawajibika kiasi gani katika kutoa huduma inayoleta mabadilikoo katika jamii yanguuu?? mathalani maafisa mikopo benki kuwaeleimisha wakopaji matumizi ya mkopo badala ya kudai asante ya hela, watumishi wa umma katika halmashauri, wizara na taasisi katika kuhudumia kwa wakati na haki???? viongozi katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleoo badala ya kuhamasisha posho za vikao na kupewa rushwa kutoa tenda zisizokamilikaaa....???

      viongozi kula michango ya wananchi ya maendeleo kama vile ujenzi wa shule, maji, barabara, hospitali, soko, umeme, kanisa, msikiti, gari la ushirika, kudidimiza na hatimaye kuua vyama vya ushirika, wizi wa mbole ya ruzuku, madawa ya mifugo kuuzwa kwa ajili ya ulanguzi, ..........KUTOKUPENDA KUFANYA KAZI NA KUWA MLALAMIKAJI

    4. #3
      Limbukeni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th February 2009
      Posts : 119
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      imetulia hii safi sana

    5. #4
      Kikojozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2009
      Posts : 338
      Rep Power : 585
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      Tatizo sie ni jamii ya "rent seekers" (rushwa, hongo, msaada, mchango, takrima, nk). Ni wachache mno wanaofikiria kuzalisha na kuongeza thamani.

      Tukianza kufikiria uzalishaji na kuongeza thamani kwa rasilimali, tutajikuta tunalazimika kuwashinikiza watawala wetu watuwekee mazingira ya kutuwezesha kuzalisha "competitively" ili tuweze kushindana kwenye soko la dunia. Tukifikia hapo, watu wataanza kuwajibika na rushwa itapungua sana.

      Hakuna neema itapatikana kwa watu wasiozalisha, kuongeza thamani na kuuza nje. Tutaendelea kubomoana tu kwa rushwa, hongo na ujinga mwingine kama huo (mara nyingi bila kujijua).
      "A failure is a man who has blundered, but is not able to cash in on the experience." - Elbert Hubbard

    6. #5
      Juma Contena's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2009
      Posts : 1,137
      Rep Power : 741
      Likes Received
      49
      Likes Given
      7

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      Quote By nyauba
      kwa nn watoto wakalie ndoo wakati nachangia harusi tshs 50,000 na kuendelea??? kwa nn kijiji changu zahanati haina kifaa cha kuhifadhia maiti wakati nachangia tshs 50,000 kwa harusi ya siku mojaaaaa....TAFAKARIIIIIIIIIII IIIII...
      na kwanini nisichangie harusi iwapo kama nilichangiwa katika siku yangu na kwanini nisimchangie mtu wangu akaikumbuka siku yake ya harusi milele we vipi. unazungumza kuhusu hela yangu nilioitolea jasho niitumie vipi wakati kuna serakali ambayo inapata kodi, misaada, na ina miradi mingi mikubwa na kwanini wasitimize huo ndio wajibu. sio warithi wa nchi yetu ni viongozi wetu tulio wachagua kwa kura lakini hawafanyi maadili ya kazi zao na wala hawaya piganii majimbo yao wengi uonekana kwenye kuitajika kura tu na hawajali mwanao anakalia nini.

      hivi unadhani jukumu la kujenga taifa ni la nani mbona usiseme unaenda kununua rada wakati watoto wanakalia ndoo, unaenda kununua ndege sijui hela copter wakati atuna adui kwa sasa zinapaki wakati zahanati azina vifaa vya kuifadhia maiti. embu elewa kwenza ni viongozi tuliowachagua waoneshe mifano ndio na sisi tufuatie inapobidi.

      Mungu Ibariki Tanzania

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Nyauba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 984
      Rep Power : 751
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      Quote By Juma Contena
      na kwanini nisichangie harusi iwapo kama nilichangiwa katika siku yangu na kwanini nisimchangie mtu wangu akaikumbuka siku yake ya harusi milele we vipi. unazungumza kuhusu hela yangu nilioitolea jasho niitumie vipi wakati kuna serakali ambayo inapata kodi, misaada, na ina miradi mingi mikubwa na kwanini wasitimize huo ndio wajibu. sio warithi wa nchi yetu ni viongozi wetu tulio wachagua kwa kura lakini hawafanyi maadili ya kazi zao na wala hawaya piganii majimbo yao wengi uonekana kwenye kuitajika kura tu na hawajali mwanao anakalia nini.

      hivi unadhani jukumu la kujenga taifa ni la nani mbona usiseme unaenda kununua rada wakati watoto wanakalia ndoo, unaenda kununua ndege sijui hela copter wakati atuna adui kwa sasa zinapaki wakati zahanati azina vifaa vya kuifadhia maiti. embu elewa kwenza ni viongozi tuliowachagua waoneshe mifano ndio na sisi tufuatie inapobidi.

      Mungu Ibariki Tanzania
      Juma,

      natumai hukunielewa naamanisha zaidi ulivyoelewaa..na hapo ndipo tunapokosa njia sahihi ya kuwawajibisha viongozi wetu..

      nimetumi mifano hai inayonihusu mimi na wewe ili kujenga hamasa ya uwajibikaji miongozi mwetu na kwa jinsi gani tuisimamie serikali..kasema nani wajibu wa serikali ni kuleta maendeleo.. wajibu ni kusimamia maendeleo..

      mimi na wewe ndi waleta maendeleo ila twahitaji tuu mipango..kwa kuwa serikali inakosea kwenye kupanga na kusimamia mipango hiyo sisi tuiwajibishe vipi kwa vitendo?? ni kutenda kwa kuleta maendeleo ili tudai usimamizii..huwezi kuchangia zahanati leo halafu viongozi wakaiba vifaa vya ujenzi ukakaa kimya!!! utashi utakusukuma kufanya jambo wewe na wale wote mtakaoguswaa...

      WALIPA KODI WAJAPANI WANAGUSWA NA MATATIZO YETU NA KUSAIDIA UJENZI WA BARABARA ZETU AMABAZO HAWAZITUMIIII....TAFAKARIII

    9. #7
      Nyauba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 984
      Rep Power : 751
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      Juma,

      natumai hukunielewa naamanisha zaidi ulivyoelewaa..na hapo ndipo tunapokosa njia sahihi ya kuwawajibisha viongozi wetu..

      nimetumi mifano hai inayonihusu mimi na wewe ili kujenga hamasa ya uwajibikaji miongozi mwetu na kwa jinsi gani tuisimamie serikali..kasema nani wajibu wa serikali ni kuleta maendeleo.. wajibu ni kusimamia maendeleo..

      mimi na wewe ndi waleta maendeleo ila twahitaji tuu mipango..kwa kuwa serikali inakosea kwenye kupanga na kusimamia mipango hiyo sisi tuiwajibishe vipi kwa vitendo?? ni kutenda kwa kuleta maendeleo ili tudai usimamizii..huwezi kuchangia zahanati leo halafu viongozi wakaiba vifaa vya ujenzi ukakaa kimya!!! utashi utakusukuma kufanya jambo wewe na wale wote mtakaoguswaa...

      WALIPA KODI WAJAPANI WANAGUSWA NA MATATIZO YETU NA KUSAIDIA UJENZI WA BARABARA ZETU AMABAZO HAWAZITUMIIII....TAFAKARIII

    10. #8
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,616
      Rep Power : 4422
      Likes Received
      789
      Likes Given
      750

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      wakalaumiwa fisadi wenyewe waliojaa serikalini.haiwezekani hela ya kununua madawati kwa wanafunzi haipo lakini hela ya kuibiwa na mafisadi hiwepo.hili swala la ufisadi lilikuwepo na linaendelea kwa kasi kubwa tofauti na wakati wa nyerere kwa vile nyerere alikuwa mkali sana.sema sasa hivi sasa wauni wote wamejikusanya pamoja wamekuwa kundi moja na kuishambulia mali mpaka misaada ya tanzania kwa kasi kubwa sana.swala la ufisadi halitoisha kwa vile serikali inatumia nguvu yake kuwatisha watu amabao wanapinga hili swala.
      "Nobody has enough talent to live on talent alone. Even when you have talent, a life without work goes nowhere". A. Wenger

    11. #9
      Juma Contena's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2009
      Posts : 1,137
      Rep Power : 741
      Likes Received
      49
      Likes Given
      7

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      Quote By nyauba
      nimetumi mifano hai inayonihusu mimi na wewe ili kujenga hamasa ya uwajibikaji miongozi mwetu na kwa jinsi gani tuisimamie serikali..kasema nani wajibu wa serikali ni kuleta maendeleo.. wajibu ni kusimamia maendeleo..
      mkuu mbona unataka kuniacha njia panda basi hou mkopo unaokuja ugawanye mapema, kodi waliokusanya waigawe mapema na faida zote walizonazo wapeleke kwenye majimbo na Taasisi za wilaya watu tuanze kazi kama ni wajibu wetu kwa sababu tuna itaji hela ya taifa na sio mfuko wangu wa jasho langu kupeleka madawati ama nikifanya hivyo ntaumia. wao wakae pembeni wasimamie maendeleo kwani si wajibu wao. au unadhani Bajeti ya bunge ni mchezo kuigiza jamani.

      hili ndio tatizo wengi hatujui who is responsible for what but it rarely happens in JF.

      Mungu Ibariki Tanzania

    12. #10
      Kikojozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2009
      Posts : 338
      Rep Power : 585
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania nani wakulaumiwa kuhusu ufisadi

      Quote By nyauba
      Juma,

      WALIPA KODI WAJAPANI WANAGUSWA NA MATATIZO YETU NA KUSAIDIA UJENZI WA BARABARA ZETU AMABAZO HAWAZITUMIIII....TAFAKARIII
      Gharama kwa Wajapani za kutujengea barabara za msaada ni kiduchu tu ya pato lao la KUTUUZIA magari mtumba.

      There's no such thing as a free lunch (msaada).
      "A failure is a man who has blundered, but is not able to cash in on the experience." - Elbert Hubbard

    Similar Topics

    1. Nadharia 30 kuhusu ufisadi
      By PMNBuko in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 3
      Last Post: 19th April 2012, 22:56
    2. Wakulaumiwa ni nani?
      By mfundishi in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 20th September 2011, 09:35
    3. Nadharia 30 kuhusu ufisadi
      By PMNBuko in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 12th January 2011, 09:22
    4. Nadharia 30 kuhusu ufisadi
      By Rutashubanyuma in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 12th January 2011, 07:03
    5. Replies: 25
      Last Post: 29th September 2007, 10:24

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...