Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Serikali ya CCM unajiua na kuua chama bila kujitambua. Naonmba nianze na swali hili: Hivi washauri wa serikali na chama cha CCM mko wapi? Nani kawaloga hata mkaamua kujichimbia kaburi wenyewe ?

      Ushauri wangu wa bure:
      Kama hamjui mmevunja kioo chenu cha kujitazamia,matokeo yake mnatoka nje mkiwa hamjachana nywele, matongotongo usoni, lip-stick hadi puani, sura na nguo vinafanana kwa jinsi vilivyokunjamana. Hamuwezi kujua haya mpaka mrudishe kioo cha kujitazamia kabla hamjatoka nje, ndipo mtaweza kujisafisha mungali ndani kabla ya kuja kupata aibu huku nje.

      Matusi
      Najua utahisi nimekutukana, ila ni kweli nimekutukana. Wewe unamatongotongo machoni, tena nilishau kukwambia kinywa na kwapa vimejaa harufu mbaya na rangi za ajabuajabu. Nywele vururu-vururu. Fanya hima rudi ndani karekebishe haya yote maana ni matusi haya yanayotaja uhalisia wa jinsi ulivyo. Leo nakwambia kwa mara ya mwisho, nenda karudishe kioo chako ili uyaone mauchafu kama haya kabla ya kuja uraiani.

      Safari
      Mimi ninasafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka miwili, ntarudi mwaka 2015. Usiporudisha kile kioo chako utakosa hata wa kukusalimia sababu ya uchafu. Maana ni mimi na kioo tu tunaoweza kukwambia ukweli ili urekebishe na kuondoa uozo mwilini mwako, wenzangu na marafiki zako wote hawakwambii badala yake wanakuchekea kinafiki, eti wanakuogopa wakikwambia ukweli utawachukia na kuwaadhibu kama ulivyofanya kwa kioo. Hivi kumbe kioo umekiondoa ukidhani unakiadhibu ee? Ha ha haaaaa!!!(nacheka kidogo), kama ni hivyo umejiadhibu mwenyewe.

      Cha kuanya
      Rudisha kile kioo ili kikuonyeshe uchafu wote ulonao. Utaumia sana kwa kuonyeshwa huo uchafu lakini kwa kadiri utavyokuwa ukiumia ndivyo utakavyokuwa ukijipanga kupambana na matongotongo ili kesho kioo asikuonyeshe tena.
      Kumbuka mimi sirudi hapa mpaka 2015, kama na kioo hutamrudisha nadhani hata mimi nikirudi safarini, ntakukataa maana utakuwa mchafu wakupindukia

      Anayekukamua jipu hadi damu nyekundu , ndiye akutibuye kwelikweli pamoja na kwamba utaumia sana. Mwogope sana yule anayepulizapuliza jibu lako na kukupa pole nyingi bila kukukamua.

      Dedication
      Huu ni ujumbe wako wewe rafiki yangu (SERIKALI) na nashukuru kwa kunisikiliza (MPIGA KURA) ila kama ukiona vema Mshirikishe Baba yako(CCM) maana naambiwa ndiye mshauri wako wa karibu ambaye UKIJAMBA anacheka na UKIJINYEA anacheka na kupiga makofi. Kioo(MWANAHALISI) hakunituma niyaseme haya, ila imenibidi nimshukuru kwa jinsi alivyokutunza bila kumuomba kmbe wewe hujapenda. Nikirudi (MPIGA KURA) toka nje mwaka 2015(UCHAGUZI) tafadhali nikukute safi vinginevyo urafiki wetu basi(SICHAGUI WATOTO WA BABA YAKO WALA BABA MWENYEWE). Kioo, tafadhali nakusihi kama rafiki yangu akikuhitaji tena usiache kukubali kufanya ile kazi ya mwanzo. Nadhani ni ujinga wake unamsumbua.
      Last edited by salosalo; 7th September 2012 at 22:32.
      Gwamahala and Singo like this.

    2. Study Abroad

    3. #2
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Duh!!!!!!!!!!!!

    4. #3
      Singo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 296
      Rep Power : 602
      Likes Received
      42
      Likes Given
      213

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      nimependa hiyo fani na maudhui, ujumbe umefika.

    5. #4
      dizo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 365
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Wataisoma kimyakimya.

    6. #5
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By dizo
      Wataisoma kimyakimya.
      Na kama wanabishana na ukweli huu, naomba wanipe ukweli wao

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By singo
      nimependa hiyo fani na maudhui, ujumbe umefika.
      Dah, Basi hii ni zamani zile nikiwa nasoma fasihi nikiwa o'level ndo nilifundishwa Fasihi simulizi na andishi huko Lute camp-Tukuyu zote zikiwa na fani na maudhui ila baadaye nili-opt PCM.

    9. #7
      Gwamahala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 501
      Rep Power : 599
      Likes Received
      102
      Likes Given
      124

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By salosalo
      Dah, Basi hii ni zamani zile nikiwa nasoma fasihi nikiwa o'level ndo nilifundishwa Fasihi simulizi na andishi huko Lute camp-Tukuyu zote zikiwa na fani na maudhui ila baadaye nili-opt PCM.
      Salosalo,
      Habari...!
      Kama umesoma Lutengano,then you MUST know the meaning of my NAME!!!
      Kwa kutumia uhalisia wa jina langu nimeamua kumpa LIKE mtoa mada...ujumbe wake ni murua sana.

    10. #8
      Gwamahala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 501
      Rep Power : 599
      Likes Received
      102
      Likes Given
      124

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By salosalo
      Serikali ya CCM unajiua na kuua chama bila kujitambua. Naonmba nianze na swali hili: Hivi washauri wa serikali na chama cha CCM mko wapi? Nani kawaloga hata mkaamua kujichimbia kaburi wenyewe ?

      Ushauri wangu wa bure:
      Kama hamjui mmevunja kioo chenu cha kujitazamia,matokeo yake mnatoka nje mkiwa hamjachana nywele, matongotongo usoni, lip-stick hadi puani, sura na nguo vinafanana kwa jinsi vilivyokunjamana. Hamuwezi kujua haya mpaka mrudishe kioo cha kujitazamia kabla hamjatoka nje, ndipo mtaweza kujisafisha mungali ndani kabla ya kuja kupata aibu huku nje.

      Matusi
      Najua utahisi nimekutukana, ila ni kweli nimekutukana. Wewe unamatongotongo machoni, tena nilishau kukwambia kinywa na kwapa vimejaa harufu mbaya na rangi za ajabuajabu. Nywele vururu-vururu. Fanya hima rudi ndani karekebishe haya yote maana ni matusi haya yanayotaja uhalisia wa jinsi ulivyo. Leo nakwambia kwa mara ya mwisho, nenda karudishe kioo chako ili uyaone mauchafu kama haya kabla ya kuja uraiani.

      Safari
      Mimi ninasafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka miwili, ntarudi mwaka 2015. Usiporudisha kile kioo chako utakosa hata wa kukusalimia sababu ya uchafu. Maana ni mimi na kioo tu tunaoweza kukwambia ukweli ili urekebishe na kuondoa uozo mwilini mwako, wenzangu na marafiki zako wote hawakwambii badala yake wanakuchekea kinafiki, eti wanakuogopa wakikwambia ukweli utawachukia na kuwaadhibu kama ulivyofanya kwa kioo. Hivi kumbe kioo umekiondoa ukidhani unakiadhibu ee? Ha ha haaaaa!!!(nacheka kidogo), kama ni hivyo umejiadhibu mwenyewe.

      Cha kuanya
      Rudisha kile kioo ili kikuonyeshe uchafu wote ulonao. Utaumia sana kwa kuonyeshwa huo uchafu lakini kwa kadiri utavyokuwa ukiumia ndivyo utakavyokuwa ukijipanga kupambana na matongotongo ili kesho kioo asikuonyeshe tena.
      Kumbuka mimi sirudi hapa mpaka 2015, kama na kioo hutamrudisha nadhani hata mimi nikirudi safarini, ntakukataa maana utakuwa mchafu wakupindukia

      Anayekukamua jipu hadi damu nyekundu , ndiye akutibuye kwelikweli pamoja na kwamba utaumia sana. Mwogope sana yule anayepulizapuliza jibu lako na kukupa pole nyingi bila kukukamua.

      Dedication
      Huu ni ujumbe wako wewe rafiki yangu (SERIKALI) na nashukuru kwa kunisikiliza (MPIGA KURA) ila kama ukiona vema Mshirikishe Baba yako(CCM) maana naambiwa ndiye mshauri wako wa karibu ambaye UKIJAMBA anacheka na UKIJINYEA anacheka na kupiga makofi. Kioo(MWANAHALISI) hakunituma niyaseme haya, ila imenibidi nimshukuru kwa jinsi alivyokutunza bila kumuomba kmbe wewe hujapenda. Nikirudi (MPIGA KURA) toka nje mwaka 2015(UCHAGUZI) tafadhali nikukute safi vinginevyo urafiki wetu basi(SICHAGUI WATOTO WA BABA YAKO WALA BABA MWENYEWE). Kioo, tafadhali nakusihi kama rafiki yangu akikuhitaji tena usiache kukubali kufanya ile kazi ya mwanzo. Nadhani ni ujinga wake unamsumbua.
      Mkuu,
      Wasipofuata huu ushauri,come 2015 hawatakuwa na wa KUMLAUMU!
      Umenena yaliyo KWELI tupu.

    11. #9
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By Gwamahala
      Mkuu,
      Wasipofuata huu ushauri,come 2015 hawatakuwa na wa KUMLAUMU!
      Umenena yaliyo KWELI tupu.
      Umeona ee!!
      Huku nilipo ili watu wapate ushauri kama huu ni lazima walipie kuonana na mimi ndipo walipie ushauri nitakao wapa lakini hawa nimewapa bure bila kujali

    12. #10
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By Gwamahala
      Salosalo,
      Habari...!
      Kama umesoma Lutengano,then you MUST know the meaning of my NAME!!!
      Kwa kutumia uhalisia wa jina langu nimeamua kumpa LIKE mtoa mada...ujumbe wake ni murua sana.
      Ni kweli nilishakuwepo Lute, Jina lako lina maana zifuatazo:- Gwamahala au Gifted au Mwenye akili au Bright au kwa wenye taaluma ya ualimu kama mimi basi ktk yale makundi ya Gold, Silver na Iron kwa wanafunzi, basi Gwamahala maana yake ni Gold. Hapo je umeamini?

    13. #11
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1828
      Likes Given
      3343

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Heri Mwanahalisi na CCM yake wafe pamoja ili tuokoe Tanzania kuliko wote kuishi ingawa ndoa yao ya siri haijajulikana.

    14. #12
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By Father of All
      Heri Mwanahalisi na CCM yake wafe pamoja ili tuokoe Tanzania kuliko wote kuishi ingawa ndoa yao ya siri haijajulikana.
      Bora kuteseka kwa kuujua ukweli kuliko kufurahi huku ukidhihakiwa

    15. #13
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,087
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3980
      Likes Given
      3246

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      CCM ni sikio la kufa...

    16. #14
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,364
      Rep Power : 13046
      Likes Received
      1553
      Likes Given
      1137

      Default re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Wow! Mtiririko umetulia,ni wao tu kukubaliana na ukweli!

    17. #15
      Wamunzengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 500
      Rep Power : 442
      Likes Received
      126
      Likes Given
      4

      Default Re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By singo
      nimependa hiyo fani na maudhui, ujumbe umefika.
      Salosalo yupo wima kabisa, tatizo ni hawa wanaoambiwa. wametia pamba masikio hawasikii na hawaoneshi dalili za kutaka kusikia. hawa dawa yao ni kuwalazimisha wasikie, halafu wawajibike, vinginevyo tuwatoeni hawa. inatia hasira nchi za wenzetu ambao hata rasilimali tunawazidi halafu, wao wana nafuu ya maisha kimaendeleo kuliko sisi. lazima tupate mbadala wa hii serikali, ili mambo yaende sawa.

    18. #16
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,317
      Rep Power : 5534
      Likes Received
      575
      Likes Given
      259

      Default Re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      atendaye makusudi hata umwambie vp ataendelea kufanya makusudi tu. ccm wanafanya makusudi hawataki kubadilika si kwamba hawajui wanachofanya

    19. #17
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By Crashwise
      CCM ni sikio la kufa...
      Ningekuwa karibu na nao ningewazibua vibao vya sikio kila mmoja ili wazibuke. Maana tumewapa kutuendesha wanalala kabla hatujafika, wanatutafutia kifo hawa

    20. #18
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By marejesho
      Wow! Mtiririko umetulia,ni wao tu kukubaliana na ukweli!
      Kabisa mkuu, wanatakiwa wafanye kama jina lako linavyosomeka
      marejesho likes this.

    21. #19
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By Wamunzengo
      Salosalo yupo wima kabisa, tatizo ni hawa wanaoambiwa. wametia pamba masikio hawasikii na hawaoneshi dalili za kutaka kusikia. hawa dawa yao ni kuwalazimisha wasikie, halafu wawajibike, vinginevyo tuwatoeni hawa. inatia hasira nchi za wenzetu ambao hata rasilimali tunawazidi halafu, wao wana nafuu ya maisha kimaendeleo kuliko sisi. lazima tupate mbadala wa hii serikali, ili mambo yaende sawa.
      Basi mimi hunishindi kwa jinsi ninavyopata kichwa moto kwa jinsi mambo yanavyoendeshwa. Ila nakusihi twende wote Ughaibuni ili turudi wote 2015

    22. #20
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 537
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Mwanahalisi akifa anakufa na CCM - okoa mwanahalisi ili CCM idumu

      Quote By Iron Lady
      atendaye makusudi hata umwambie vp ataendelea kufanya makusudi tu. ccm wanafanya makusudi hawataki kubadilika si kwamba hawajui wanachofanya
      Si ndio maana wanasema ni upepo wa kisiasa. Mbinu walizokuwa wakizitumia kutudanganya zimepitwa na wakati mkuu. Wanatakiwa wabadilike sana. Si kwamba tunaichukia CCM bali tunachukia namna yao ya utendaji na hapo ndipo tutakapotafuta utendaji mpya popote pale

    23. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...