Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,917
      Rep Power : 3206
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Mimi ni mmoja wa watu wengi wanaopinga mgomo 'feki' wa walimu uliofanyika wiki hii.naupinga kwa sababu naamini walimu na serikali yetu ni maswahiba wa siku nyingi na hakuna ushahidi kuwa uswahiba wao uliingia matatani.

      Mgomo huu wa walimu uliibuka ghafla hasa baada ya kushuhudia mgomo wa kweli kutoka kwa madaktari.
      Mgomo wa walimu umeletwa ili kutuaminisha kuwa utekelezaji wa madai ya madaktari unaweza kuzalisha madai mengi kutoka sekta nyingine.

      Juzi niliweka thread kuwa mkoba ambaye ni kiongozi wa CWT alisaini kitabu cha mahudhurio ili asionekane amegoma,bado naamini tukio hili ni la kweli mpaka hapo mkoba atakapolishtaki gazeti lilioandika habari hii.

      Leo hii tumeshuhudia CWT ikiwasihi walimu kuendelea na kazi bila kujua hatima ya madai yao.
      Yaani ni usanii mtupu.

      Ombi langu kwa walimu

      CWT ni chama cha kisanii na kamwe hakiwezi kutetea maslahi yenu.pia mnapotaka kudai maslahi yenu msipende kuweka mbele umuhimu wenu katika jamii na kuwafanya watu wengine hawana thamani.mgomo sio kitu cha kuiga au show ya kwasakwasa.

      Msipende kutumiwa kwenye kuiba kura au kukwamisha juhudi za makundi mengine ya kijamii kama mlivyofanya.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,917
      Rep Power : 3206
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      najua walimu wote miliomo humu jamvini mtaumizwa na msimamo wangu lakini hii ni changamoto kwenu ili msirudie usanii/ufisadi huu na kamwe msikubali kutumiwa kwa maslahi ya wanasiasa.

    4. #3
      jingalao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : kikonga
      Posts : 728
      Rep Power : 529
      Likes Received
      127
      Likes Given
      27

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      walimu wanasema mgomo umefanikiwa kwa asilimia 95


      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

    5. #4
      Nyanya mbichi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2011
      Location : libobe
      Posts : 314
      Rep Power : 442
      Likes Received
      41
      Likes Given
      3

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      jamaa katumika kutusahaulisha issue ya uncle ULIMBOKA

    6. #5
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,917
      Rep Power : 3206
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default

      Quote By Nyanya mbichi
      jamaa katumika kutusahaulisha issue ya uncle ULIMBOKA
      huu ndio ukweli.lakini ulimboka atapona na kuweka yote hadharani.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Crucifix's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 1,569
      Rep Power : 0
      Likes Received
      430
      Likes Given
      321

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Mwalimu Complex - Ilala Boma

    9. #7
      MARCKO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 1,406
      Rep Power : 683
      Likes Received
      153
      Likes Given
      0

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      'no ever knowledge is beyond the reality!'

    10. #8
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,173
      Rep Power : 5034
      Likes Received
      2412
      Likes Given
      2224

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Walimu wameonyesha mfano mzuri kuheshimu amri ya mahakama. Wameifundsha jamii umuhimu wa kuheshimu mhimili huo muhimu wa dola.
      "To greed, all nature is insufficient"

    11. #9
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,012
      Rep Power : 8379
      Likes Received
      833
      Likes Given
      695

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Quote By ZeMarcopolo
      Walimu wameonyesha mfano mzuri kuheshimu amri ya mahakama. Wameifundsha jamii umuhimu wa kuheshimu mhimili huo muhimu wa dola.
      Toa unafiki hapa
      chiborie likes this.

    12. #10
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 775
      Rep Power : 514
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Kwenye msafara wa Mambo, huwa Kenge hakosekani. Walimu kulipwa 200,000/= wewe waona inastahili? Je, ni fair ukilinganisha na watumishi wengine? Unafiki wa nini jamani? Hivi jiografia ya nchi yetu mnaifahamu lakini? Je wajua kuwa kuna walimu wanasafiri siku 2 kuufuata huo mshahara? Mungu atawalipa wanafiki na wazandiki woote wanaoshangilia Walimu kulipwa KIDUCHU, halafu wao wanamegewa likeki KUUBWA la utajiri wa nchi yetu.
      chiborie likes this.

    13. #11
      mwangalizi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 87
      Rep Power : 374
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Wakati walimu wamegoma wewe ulichukua hatua gani? Ungetoka barabarani mgomo ungekuwa KWELI. Ukalala kwako acha unafiki!

    14. #12
      Kiyoya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Location : Murutsi
      Posts : 245
      Rep Power : 408
      Likes Received
      35
      Likes Given
      25

      Default

      Quote By Havizya
      Kwenye msafara wa Mambo, huwa Kenge hakosekani. Walimu kulipwa 200,000/= wewe waona inastahili? Je, ni fair ukilinganisha na watu
      mishi wengine? Unafiki wa nini jamani? Hivi jiografia ya nchi yetu mnaifahamu lakini? Je wajua kuwa kuna walimu wanasafiri siku 2 kuufuata huo mshahara? Mungu atawalipa wanafiki na wazandiki woote wanaoshangilia Walimu kulipwa KIDUCHU, halafu wao wanamegewa likeki KUUBWA la utajiri wa nchi yetu.
      mngesubiri ya madaktar yaishe tungewaelewa-maana ingekuwa njia rahis kwa madai yenu-tumestuka kuna picha picha!

    15. #13
      African teacher's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 346
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Plse waalimu wote hapa jamvini,achaneni na hao jamaa wanafki wanaopinga kile tulichokitenda tokea 30-2 mwezi huu,naomba tusibishane nao saana kiasi tukatokwa na povu kwa mdomo,Plse let Us show them'kwani wao ndio watakao ingia darasani kufundisha?lazima waisome namba tyme hii

    16. #14
      Pangaea's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 376
      Likes Received
      36
      Likes Given
      72

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Quote By meningitis
      Mimi ni mmoja wa watu wengi wanaopinga mgomo 'feki' wa walimu uliofanyika wiki hii.naupinga kwa sababu naamini walimu na serikali yetu ni maswahiba wa siku nyingi na hakuna ushahidi kuwa uswahiba wao uliingia matatani.

      Mgomo huu wa walimu uliibuka ghafla hasa baada ya kushuhudia mgomo wa kweli kutoka kwa madaktari.
      Mgomo wa walimu umeletwa ili kutuaminisha kuwa utekelezaji wa madai ya madaktari unaweza kuzalisha madai mengi kutoka sekta nyingine.

      Juzi niliweka thread kuwa mkoba ambaye ni kiongozi wa CWT alisaini kitabu cha mahudhurio ili asionekane amegoma,bado naamini tukio hili ni la kweli mpaka hapo mkoba atakapolishtaki gazeti lilioandika habari hii.

      Leo hii tumeshuhudia CWT ikiwasihi walimu kuendelea na kazi bila kujua hatima ya madai yao.
      Yaani ni usanii mtupu.

      Ombi langu kwa walimu

      CWT ni chama cha kisanii na kamwe hakiwezi kutetea maslahi yenu.pia mnapotaka kudai maslahi yenu msipende kuweka mbele umuhimu wenu katika jamii na kuwafanya watu wengine hawana thamani.mgomo sio kitu cha kuiga au show ya kwasakwasa.

      Msipende kutumiwa kwenye kuiba kura au kukwamisha juhudi za makundi mengine ya kijamii kama mlivyofanya.
      Ungekuwa feki kama wanachodai hakipo. Je hujui mwalimu mmoja nanalipwa fedha pungufu ya posho ya mbunge ya siku kama mshahara wa mwezi? Yaani tuwahurumie.

    17. #15
      FUNGO jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 432
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      akili zilizo toboka daima huwaza fikra vuji kama za mleta mada

    18. #16
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,917
      Rep Power : 3206
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default

      Quote By ZeMarcopolo
      Walimu wameonyesha mfano mzuri kuheshimu amri ya mahakama. Wameifundsha jamii umuhimu wa kuheshimu mhimili huo muhimu wa dola.
      ndiyo picha iliyotaka kuonyeshwa na maptna hawa wawili
      ZeMarcopolo likes this.

    19. #17
      chiborie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 421
      Likes Received
      26
      Likes Given
      51

      Default Re: Walimu walitumiwa kuandaa mgomo feki.

      Tatizo walimu hawana umoja, njaa mbaya!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...