ATM za NBC ni kero kwa wateja! - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st June 2009, 10:40 AM  
ATM za NBC ni kero kwa wateja!
Nguli Nguli is offline 1st June 2009, 10:40 AM

Hivi kuna tatizo gani na ATM za NBC

1. Hazifanyagi kazi wk end kbs kuanzia jumamosi utazunguka mji mzima na bado hazifanyi kazi ukienda makao makuu ndio utakuta ATM 1 inafanya kazi na haichelewi kuisha fedha muda wowote.

2. Ukitaka kudeposit ni balaa kabisa wakati muingine ukifika banh hall/branch wanakwambia network hatuna IT wanashugulikia je wakikosa wateja bado watalaumu watu wa sales hawafanyi kazi zao?

3. ATM zao ni za VISA-unaweza mteja kutoka bank ingine anaweza kuwithdraw hela kwa ATM CARD ya bank ingine ila mteja wa NBC hawezi kutumia ATM card yake kwenye ATM machine za mabenki mengine kama CRDB etc.

Je hii ni haki-unahela kwenye a/c lakini huna access nayo hata kama una emergence ya mgonjwa? NBC BANK LTD-BADILIKINI. Slogani yenu inasema the Bank that is conviniently every where....is it true???
__________________
Women will never be as successful as men because they have no wives to advise them. Dick Van Dyke

 
Nguli's Avatar
Nguli
JF Premium Member
Points: 810,874, Level: 100 Points: 810,874, Level: 100 Points: 810,874, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
Join Date: Mon Mar 2008
Location: HOME
Posts: 2,506
Thanks: 599
Thanked 1,011 Times in 539 Posts
Views: 707
Reply With Quote
  #21  
Old 2nd July 2009, 12:50 PM
GP's Avatar
GP GP is offline
GP Danger de Mort!
JF Senior Expert Member
Points: 241,544, Level: 100 Points: 241,544, Level: 100 Points: 241,544, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Location: every where
Posts: 1,646
Thanks: 270
Thanked 416 Times in 237 Posts
Rep Power: 25
GP will become famous soon enoughGP will become famous soon enoughGP will become famous soon enoughGP will become famous soon enoughGP will become famous soon enoughGP will become famous soon enoughGP will become famous soon enoughGP will become famous soon enough
Send a message via AIM to GP Send a message via MSN to GP Send a message via Yahoo to GP
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post
Mimi nimekuwa nikitumia NMB huwa inakera sana siku za mwisho na mwanzo wa mwezi. Kama unaweza kuji-control ukawa huendi tarehe hizo kuna unafuu fulani ukilinganisha na NBC. NBC huwa haina cha mwanzo wala mwisho wa mwezi ni kero siku zote.
mtumeeeeeeee mayo weeee!
mi nimetoka kufungua akaunti juzi tuu, imekula kwangu duuh
__________________
Full Option: j'ai un rêve- i have a dream!

.....MWAGA MBOGA NIMWAGE UGALI....
live for today,
learn from yesterday,
look for tomorrow.

george_porjie@jamiiforums.com
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
atm, kero, nbc, wateja, za


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Budget Mbadala 2008/09 Kahangwa Jukwaa la Siasa 1 18th June 2009 03:09 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 03:10 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com