ATM za NBC ni kero kwa wateja! - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st June 2009, 10:40 AM  
ATM za NBC ni kero kwa wateja!
Nguli Nguli is offline 1st June 2009, 10:40 AM

Hivi kuna tatizo gani na ATM za NBC

1. Hazifanyagi kazi wk end kbs kuanzia jumamosi utazunguka mji mzima na bado hazifanyi kazi ukienda makao makuu ndio utakuta ATM 1 inafanya kazi na haichelewi kuisha fedha muda wowote.

2. Ukitaka kudeposit ni balaa kabisa wakati muingine ukifika banh hall/branch wanakwambia network hatuna IT wanashugulikia je wakikosa wateja bado watalaumu watu wa sales hawafanyi kazi zao?

3. ATM zao ni za VISA-unaweza mteja kutoka bank ingine anaweza kuwithdraw hela kwa ATM CARD ya bank ingine ila mteja wa NBC hawezi kutumia ATM card yake kwenye ATM machine za mabenki mengine kama CRDB etc.

Je hii ni haki-unahela kwenye a/c lakini huna access nayo hata kama una emergence ya mgonjwa? NBC BANK LTD-BADILIKINI. Slogani yenu inasema the Bank that is conviniently every where....is it true???
__________________
Women will never be as successful as men because they have no wives to advise them. Dick Van Dyke

 
Nguli's Avatar
Nguli
JF Premium Member
Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100
Activity: 22% Activity: 22% Activity: 22%
Join Date: Mon Mar 2008
Location: HOME
Posts: 2,520
Thanks: 601
Thanked 1,026 Times in 541 Posts
Views: 708
Reply With Quote
  #11  
Old 1st June 2009, 12:40 PM
Nguli's Avatar
Nguli Nguli is offline
Nguli is a God fearing Man
JF Premium Member
Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100
Activity: 22% Activity: 22% Activity: 22%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Location: HOME
Posts: 2,520
Thanks: 601
Thanked 1,026 Times in 541 Posts
Rep Power: 27
Nguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Tungeomba watu walioko huko mikoani watoe taarifa/kero yao kuhusu tatizo hili hapa DSM ni hivi je huko mikoani?? nimesikia anayeshugulikia customer compalain ni mama DOGANI tafadhali mwambie asome malalamiko ya wateja
__________________
Women will never be as successful as men because they have no wives to advise them. Dick Van Dyke
Reply With Quote
  #12  
Old 2nd July 2009, 08:05 AM
Nguli's Avatar
Nguli Nguli is offline
Nguli is a God fearing Man
JF Premium Member
Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100
Activity: 22% Activity: 22% Activity: 22%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Location: HOME
Posts: 2,520
Thanks: 601
Thanked 1,026 Times in 541 Posts
Rep Power: 27
Nguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post
Yaani na zile foleni zina kera sana unakuta Bank kuna madirisha 7 tellers lakini wanao fanya kazi ni 2 au 3 tu watu mnasimama mpaka mnachoka
waajiri tellers ambao ni washapu ni wazee wengi wao, wanajibu kwa ukali sana......
__________________
Women will never be as successful as men because they have no wives to advise them. Dick Van Dyke
Reply With Quote
  #13  
Old 2nd July 2009, 09:01 AM
Mkereme Mkereme is offline
Mkereme has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 68,417, Level: 100 Points: 68,417, Level: 100 Points: 68,417, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Mar 2009
Posts: 252
Thanks: 12
Thanked 41 Times in 23 Posts
Rep Power: 22
Mkereme will become famous soon enoughMkereme will become famous soon enoughMkereme will become famous soon enoughMkereme will become famous soon enoughMkereme will become famous soon enoughMkereme will become famous soon enoughMkereme will become famous soon enoughMkereme will become famous soon enough
Thumbs down Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post
Tungeomba watu walioko huko mikoani watoe taarifa/kero yao kuhusu tatizo hili hapa DSM ni hivi je huko mikoani?? nimesikia anayeshugulikia customer compalain ni mama DOGANI tafadhali mwambie asome malalamiko ya wateja


Nguli

Tatizo kubwa la ABSA ni overcontrol kwenye NBC! Kwa kuchelea kuingizwa mjini all transactions are controlled from RSA via a satellite uplink. The breakdown of communications is linked with the positioning of the satellite . This is been observed hata kwa watu wanaotumia DSTV. Let ABSA allow NBC to operate at arms length! HATA cheque books wanaprint RSA hii ni aibu where is BOT au wanalala as usual. Pesa kuisha hilo linahusu ATM zote do you know why waliziweka bila kuwa na control kwa hiyo waweka pesa kidogo ili wajanja wasizilambe especially on week ends. Hawa jamaa wanaibiwa sana ila hawasemi hadharani!!! yap!!!!!
Ushauri wa bure hata kwa hao CRDB and the rest waingie kwenye investment ya kutumia fibre optic connection kwa kuanzia na jiji la Dar and then roll out in the regions. They should also update the customer ID ili mtu akikukaba hata kama ni my wife wako akijua password asiweze kuchukua hela!!! I don't know if the little camera iliyopo inafanya kazi ya ku validate immage ya mchukua pesa na the ID ya Card owner. In principle that should be the case.

The ATM should be able to match the bearer with the owner!!!! Vinginevyo kadi imezwe na huyo mtu achukuliwe picha na aitwe intruder au mwizi na atafutwe!!!

Tatizo la ques kwenye mabenki yetu linakubalika si walizoea watu kulala kwenye foleni za maji na mikate enzi za kaya!! Hakuna Benki inayoweza kumcheka mwenzake just go to NMB kule nyoka ni warefu hata hujui pa kuanzia.
Reply With Quote
  #14  
Old 2nd July 2009, 09:27 AM
Jafar's Avatar
Jafar Jafar is online now
Jafar a believer in creativity
JF Senior Expert Member
Points: 250,471, Level: 100 Points: 250,471, Level: 100 Points: 250,471, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Fri Nov 2006
Posts: 512
Thanks: 1
Thanked 15 Times in 9 Posts
Rep Power: 25
Jafar will become famous soon enoughJafar will become famous soon enoughJafar will become famous soon enoughJafar will become famous soon enoughJafar will become famous soon enoughJafar will become famous soon enoughJafar will become famous soon enoughJafar will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Mi nakwambia hiyo NBC ni afadhali 1000% times, nenda NMB mtu wangu utajuta mara mbili ya hayo.
__________________
Tanzania Bila Ya CCM Inawezekana
Reply With Quote
  #15  
Old 2nd July 2009, 09:28 AM
Nguli's Avatar
Nguli Nguli is offline
Nguli is a God fearing Man
JF Premium Member
Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100
Activity: 22% Activity: 22% Activity: 22%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Location: HOME
Posts: 2,520
Thanks: 601
Thanked 1,026 Times in 541 Posts
Rep Power: 27
Nguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post

nguli

tatizo kubwa la absa ni overcontrol kwenye nbc! Kwa kuchelea kuingizwa mjini all transactions are controlled from rsa via a satellite uplink. The breakdown of communications is linked with the positioning of the satellite . This is been observed hata kwa watu wanaotumia dstv. Let absa allow nbc to operate at arms length! Hata cheque books wanaprint rsa hii ni aibu where is bot au wanalala as usual. Pesa kuisha hilo linahusu atm zote do you know why waliziweka bila kuwa na control kwa hiyo waweka pesa kidogo ili wajanja wasizilambe especially on week ends. Hawa jamaa wanaibiwa sana ila hawasemi hadharani!!! Yap!!!!!
ushauri wa bure hata kwa hao crdb and the rest waingie kwenye investment ya kutumia fibre optic connection kwa kuanzia na jiji la dar and then roll out in the regions. They should also update the customer id ili mtu akikukaba hata kama ni my wife wako akijua password asiweze kuchukua hela!!! I don't know if the little camera iliyopo inafanya kazi ya ku validate immage ya mchukua pesa na the id ya card owner. In principle that should be the case.

the atm should be able to match the bearer with the owner!!!! Vinginevyo kadi imezwe na huyo mtu achukuliwe picha na aitwe intruder au mwizi na atafutwe!!!

tatizo la ques kwenye mabenki yetu linakubalika si walizoea watu kulala kwenye foleni za maji na mikate enzi za kaya!! Hakuna benki inayoweza kumcheka mwenzake just go to nmb kule nyoka ni warefu hata hujui pa kuanzia.
thanks-this is professional reply nimeridhika na jibu lako mkuu.
__________________
Women will never be as successful as men because they have no wives to advise them. Dick Van Dyke
Reply With Quote
  #16  
Old 2nd July 2009, 11:14 AM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is online now
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 126,016, Level: 100 Points: 126,016, Level: 100 Points: 126,016, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,357
Thanks: 950
Thanked 1,287 Times in 787 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post
Mi nakwambia hiyo NBC ni afadhali 1000% times, nenda NMB mtu wangu utajuta mara mbili ya hayo.
Mimi nimekuwa nikitumia NMB huwa inakera sana siku za mwisho na mwanzo wa mwezi. Kama unaweza kuji-control ukawa huendi tarehe hizo kuna unafuu fulani ukilinganisha na NBC. NBC huwa haina cha mwanzo wala mwisho wa mwezi ni kero siku zote.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
  #17  
Old 2nd July 2009, 11:28 AM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is online now
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 126,016, Level: 100 Points: 126,016, Level: 100 Points: 126,016, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,357
Thanks: 950
Thanked 1,287 Times in 787 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post
Ulisha jiuliza gharama za kuendesha/kumiliki a/c nyingi kwa mtu mwenye kipato cha chini?
Yeah,
Kwa mtu ambaye anaishi kwa "hand to mouth" (e.g mfanyakazi ambaye anasubiri mshahara huku tayari akiwa na madeni) si rahisi kuwa na zaidi ya akaunti moja. Ila kama kipato chako kinaruhusu kuwa na surplus kidogo mwisho wa mwezi ni vizuri ukawa na akaunti zaidi ya moja inasaidia sana. Kuna Benki ambazo hazina gharama sana ya uendeshaji kama Exim (hakuna withdraw fee wala monthly charges kwenye akaunti za T.Shs), NMB na CRBD somehow ila Baclays usiende wanakata pesa hamna mfano.
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
  #18  
Old 2nd July 2009, 11:33 AM
Nguli's Avatar
Nguli Nguli is offline
Nguli is a God fearing Man
JF Premium Member
Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100 Points: 817,313, Level: 100
Activity: 22% Activity: 22% Activity: 22%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Location: HOME
Posts: 2,520
Thanks: 601
Thanked 1,026 Times in 541 Posts
Rep Power: 27
Nguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post
yeah,
(hakuna withdraw fee wala monthly charges kwenye akaunti za t.shs), .
mkuu ni kweli no charges???
__________________
Women will never be as successful as men because they have no wives to advise them. Dick Van Dyke
Reply With Quote
  #19  
Old 2nd July 2009, 11:50 AM
rmashauri's Avatar
rmashauri rmashauri is online now
rmashauri Christ's Ambassador
JF Premium Member
Points: 126,016, Level: 100 Points: 126,016, Level: 100 Points: 126,016, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 1,357
Thanks: 950
Thanked 1,287 Times in 787 Posts
Rep Power: 24
rmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enoughrmashauri will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Quote:
View Post
mkuu ni kweli no charges???
Labda kama wamebadilika hivi karibuni lakini ndo ilikuwa hivyo. Jaribu kupitia tawi lolote uulize. Tembelea pia website yao hii hapa http://www.eximfinancialservices.com/index.php?main_page=page&id=6&chapter=0&zenid=cr4k gfra6a172215r51nr15un4
__________________
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Reply With Quote
  #20  
Old 2nd July 2009, 12:11 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 806,424, Level: 100 Points: 806,424, Level: 100 Points: 806,424, Level: 100
Activity: 79% Activity: 79% Activity: 79%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,391
Thanks: 513
Thanked 981 Times in 682 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: ATM za NBC ni kero kwa wateja!

Nimeenda kuchukua pesa NBC muda si mrefu hapo tawi la Kichwele nimeambiwa pesa hakuna yaani zimeisha duh yaani bank inaishiwa pesa nimesubili kama masaa 2 hivi hakuna pesa hawa jamaa wanatutania sana dawa hapa nikuhama tu bank zipo nyingi wanajiona wanawateja wengi.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
atm, kero, nbc, wateja, za


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Budget Mbadala 2008/09 Kahangwa Jukwaa la Siasa 1 18th June 2009 03:09 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:47 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com