WaJF poleni kwa cinema zinazoendelea,naombeni kujulishwa labda kutoelewa kwangu
Eti viongozi wa nchi hii kuzungumzia matatizo ya wananchi kupitia CLOUDS ni sahihi??
kwa nini sio TBC/RADIO UHURU ambazo ni za serikali na zenye kundeshwa kwa kodi zetu??
au kuna posho au hisa huko clouds!! jamani naombeni maoni yenu.

Reply With Quote

Follow Us Here