Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wazazi tuwaunge mkono watoto wetu na walimu kqwenye mgomo...!

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,379
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      250
      Likes Given
      1390

      Default Wazazi tuwaunge mkono watoto wetu na walimu kqwenye mgomo...!

      Mgomo wa Walimu umeanza rasmi leo. Taarifa zinasema kuwa kuna baadhi ya shule nchini ambazo wanafunzi wameingia barabarani kuandamana kudai HAKI yao ya Kupata Elimu.
      Ni kitu cha ajabu sana kama watoto wetu wanaweza kuwa na akili na UJASIRI wa kutetea kile wanachhona ni HAKI yao wakati sisi Wazazi wao tunaangalia tu kama vile Mgomo huo hautuhusu wala kutuathiri kwa namna yoyote ile.
      Ni LAZIMA tuwaunge Mkono Walimu wetu na Watoto wetu kwenye Mgomo kwa sababu Serikali hii SI-SIKIVU inaweza ikaacha Mgomo huu uendelee kwa sababu Watoto wao hawasomi kwenye shule za Serikali ambazo Walimu wake ndio Wanaogoma.

      SHIME!! TUwaunge Mkono Walimu wetu na Watoto wetu Kugoma ili Mgomo huu ushughulikiwe Haraka Iwezekanavyo na Serikali hii SI-SIKIVU.

      Tufanyeje? Kwanaza tunaweza kuwaunga mkonon watoto wetu kwa kuingia barabarani na kuitaka Serikali hii kumaliza Mgomo huu haraka Iwezekanavyo na kuacha vitisho vya kitoto vya Watawala kutembelea Shule kuangalia Walimu waliogoma Wakati wanajua kabisa mgomo huu upo Kihalali!

      Tunaweza tukaanzisha pia medani yetu ya TAHRIR pale VIwanja vya Mnazi Mmoja na tukae pale hadi Mgomo huu ushughulikiwe na Serikali na Watoto wetu warudi madarasani na kupata HAKI yao ya kupewa Elimu. Inahitajika UJASIRI tu. Kama Watoto wetu wanaweza Kwa nini sisi Wazazi wao Tushindwe???

      Lakini Wote kwa Pamoja tunaweza kuungana na Wafanyakazi na kuamua kuwa Kama Serikali hii SI-SIKIVU itashindwa kumaliza Bai Wazazi wote waamue kwamba hawatakubali kuhesabiwa siku ya Sensa. Kwa nini Watoto wetu wahesabiwe wakati hawapewi HAKI yaoa ya msingi ya Kupata ELIMU????

      Watanzania Tuamkeni na TUwaunge mkono walimu na watoto wetu kupata HAKI zao za Msingi. Hatuna cha Kupoteza zaidi ya Minyoyoro ya WOGA iliyotufunga...!!!
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 979
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Wazazi tuwaunge mkono watoto wetu na walimu kqwenye mgomo...!

      naunga mkono hoja.%
      LIMPETA

    4. #3
      Godwishes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 463
      Rep Power : 483
      Likes Received
      57
      Likes Given
      0

      Default Re: Wazazi tuwaunge mkono watoto wetu na walimu kqwenye mgomo...!

      Tunduma kumechimbika.Nataman wanaf.wote Tz wangekuwa kama wa Tunduma.Thumbs up !wanaf.WAZAZ Na Walimu.

    5. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...