Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tujihadhali na huu wizi

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Tujihadhali na huu wizi

      Habari za majukumu jamani kuna wizi wa kwenye mtandaoni tuwe makini tusije kumbwa na kudondokea kwenye huo mkenge uko hivi


      Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC

      Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
      Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
      Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
      Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
      SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,408
      Rep Power : 7350
      Likes Received
      1067
      Likes Given
      1098

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Babu washakupiga nini...mbona hi style ya zamani sana
      SYENDEKE likes this.
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    4. #3
      Asulo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 474
      Likes Received
      224
      Likes Given
      38

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Thanx 4 advice mkuu.

    5. #4
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,207
      Rep Power : 5102
      Likes Received
      2781
      Likes Given
      231

      Default

      Quote By Inkoskaz
      Babu washakupiga nini...mbona hi style ya zamani sana
      umeona enheee...

    6. #5
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,207
      Rep Power : 5102
      Likes Received
      2781
      Likes Given
      231

      Default

      Quote By SYENDEKE
      Habari za majukumu jamani kuna wizi wa kwenye mtandaoni tuwe makini tusije kumbwa na kudondokea kwenye huo mkenge uko hivi


      Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC

      Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
      Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
      Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
      Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
      SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck
      so ease drag them to spam

    7. Miaka 50

    8. #6
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,043
      Rep Power : 691
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
      Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' sababu kuna style kibao tu. ISHI KWA KANUNI. USIISHI KWA MATUKIO.
      Last edited by kichwat; 29th July 2012 at 22:28.
      Nivea likes this.

    9. #7
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Quote By Inkoskaz
      Babu washakupiga nini...mbona hi style ya zamani sana
      hamna hawajanipiga niko makini
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    10. #8
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 429
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Quote By kichwat
      ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
      Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' ISHI KWA KANUNI.
      ofcozi ukiwa na tamaa unakula mkenge kwa jinsi walivyo na wale ndugu zangu wakupenda vya bure
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    11. #9
      Hemed Maronda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2010
      Posts : 133
      Rep Power : 461
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kichwat
      ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
      Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' sababu kuna style kibao tu. ISHI KWA KANUNI. USIISHI KWA MATUKIO.
      Nimeipenda hii! Watanzania ni watu wa kupenda vya bwererebwerere tu hata ukiwaambia kuna bomu limeonekana sehemu badala ya kukimbia wao wanakimbilia!

    12. #10
      ngwenda ngulya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 356
      Likes Received
      4
      Likes Given
      2

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Mwenye kuelewa achukue tahadhari

    13. #11
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,052
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Quote By SYENDEKE
      Habari za majukumu jamani kuna wizi wa kwenye mtandaoni tuwe makini tusije kumbwa na kudondokea kwenye huo mkenge uko hivi


      Inatokea unakuwa na urafiki na mtu wa kawaida mnakuwa mnachati naongelea international friends baada ya kuchati naye sana anakueleza shida zake kuwa yeye anaishi uhamishoni mfano Senegal kuwa huko alipelekwa na Umoja wa Mataifa kitengo cha Wakimbizi kuwa wamehifadhli kutokana na vita iliyo tokea huko kwao mfano Liberia kipindi cha Charles Tayor wakati wa vita kali, au SUDANI, DRC

      Kutokana na hiyo vita yeye ni muanga mkubwa coz baba na familia nzima walilipuliwa nayeye akawa ndo mtu pekee aliye salimika ndo akafanikiwa kwenda huko uhamishoni.
      Baada ya hapo anakwambia baba yake au mama yake alikuwa Director katika kampuni Fulani mfano kampuni za mafuta sudani na anakwambia huyo mzazi wake aliweka hela Fulani kwenye bank moja kwa jina la lake NEXT OF KIN kwa kuwa yeye hayupo huko na sehemu alipo hawezi kutransfer that kind of money kwa kuwa yeye ni mkimbizi na sheria za Wakimbiza zinawabana kufanya.
      Sasa anakwambia kuna pastor yuko pale ndo huwa anawasaidia kupata huduma za internet na mambo mengine Baada ya hapo anakuomba uweze kumsaidia aweze kutransfer that kind of money coz amejitahidi kutransfer kwenda inchi aliko imeshindikana na ameshauliwa anatafute mtu kutoka nchi nyingine aweze kutransfer huko na akakuomba uwe mdhamini wa hiyo kazi
      Na anakueleza kwa jinsi anavyo pata tabu huko uhamishoni na anatamani kuendelea na shule cozi aliacha shule na sasa haendelei tena . Na anakutumia Death certificate ya wazazi, bank ambako hizo hela zipo na Mkurugenzi wa bank ambako hela hizo za wazazi wake zimehifadhiwa ziko na mtu anaewasiliana naye kuhusu hiyo transaction. Anafanya kila juhudi anakuunganisha na huyo mkurugenzi .
      SASA HAPO NDO WIZI UNAANZA WATATAKA PERSONAL DETAILS NA BANK DETAILS PAMOJA SWIFT CODE FOR INTERNATIONAL TRANSACTION UKIDHUBUTU KUWAPA TU NDO UMEUMIA. Wanao ongoza kwa huo wizi ni watu kutoka Nigeria na wako smart sana katika kazi zao full details katika kukushawishi kama hujui kuhusu international transaction lazima uingie mkenge. For more details nitafute ndo hayo to gud luck
      Yupo mhanga mmoja pale SUA, Morogoro- simtaji jina-pamoja na usomi wake aliingizwa mkenge hivyo hivyo- 2009. Millioni 23 ziliyeyuka hivi hivi. Ogopa matapeli.

    14. #12
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,617
      Rep Power : 2004
      Likes Received
      1644
      Likes Given
      1615

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Ukipenda shortcut katika maisha, mwisho wake ndio huishia kutapeliwa.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    15. #13
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Hakuna kuchat wanakulenga mojakwa moja kama una tama\ ya hela za bure ndio unaingia mkenge.
      Mimi alinitumia mail mdada anaitwa mercy anataka nimtumie ac aniwekee hizo hela nikamwambia mimi naitwa riz 1 aingie google atanijua kwa hiyo anitumie ac yake yeye nimpige na dola 25 elfu zimpooze machungu ya kufiwa na wazazi wake kwani alionekana tena?

    16. #14
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3141
      Likes Given
      4053

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Quote By kichwat
      ukiwa na tamaa (NGONO/PESA) halafu limbukeni, lazima uliwe. Hakuna senti 1 ya bure duniani.
      Hakuna haja ya kujìhadhari na 'huu wizi' sababu kuna style kibao tu. ISHI KWA KANUNI. USIISHI KWA MATUKIO.
      kichwat well wel welsaid mkuu .hakuna hata sent mmoja 1 ya bure duniani hii inaukweli asilimia 1000%

    17. #15
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Pole sana!

    18. #16
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,600
      Rep Power : 16769
      Likes Received
      2491
      Likes Given
      1855

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Huu mbona wizi (utapeli) wa muda mrefu??

    19. #17
      Chinga boy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 190
      Rep Power : 398
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Mm nilipata demu akanitumia picha maneno matamu ya mapz then akaniambia dingi yake alikuwa Md bank fulani Ethiopia na amekufa ktk machafuko na yy ndie mrith na yuko senegal kituo cha yatima na akaniunga na mchungaji akataka nimtumia 2000 dola aje Tz tuweze kutoa pesa.NILIMTUKANA KIMAKONDE hakurudi tena

    20. ADK
      #18
      ADK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 495
      Rep Power : 470
      Likes Received
      36
      Likes Given
      17

      Default Re: Tujihadhali na huu wizi

      Haya mwenye macho haambiwi tazama
      tumeipokea tahadhari hiyo pamoja ni ya kizamani tusikukatishe tamaa
      ili ukapata ukipata ya kisasa utujuze tena

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...