Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 47
    1. #1
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,406
      Rep Power : 672
      Likes Received
      450
      Likes Given
      263

      Default Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Wakuu namuomba Dr Slaa arudi kazini na aokoe hili jahazi. gafla nahisi chama kimepoa mno. Mbowe hasikiki, Slaa nadhani mambo ya ndoa yalikuwa yanamaliza mda na sasa yameisha arudi,. Mambo ya hotuba ya Mnyika ya nishati na madini na mchango wa Selasini umetuachia maswali mengi hasa sisi ambao hatuko ndani ya ''system''. Shutuma juu ya Zitto hasa hili la Tanesco na la uraisi. Swala la Singida na mauaji baada ya mkutano. Dr Slaa nadhani ni wakati muafaka uje mbele ya hadhara na useme lolote ili watanzania tujue CHADEMA inamtizamo gani juu ya haya na mengine ambayo hatujayasikia. Ukimya wenu unafanya wengine tuhisi kuwa kuna msuguano ndani ya chama. Nawasilisha
      Superman and afrodenzi like this.
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA


    2. #2
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      652

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA nimeipenda hii
      afrodenzi likes this.

    3. #3
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 682
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Hakukuwa na ndoa wewe!

    4. #4
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Kuna mtu ameanzisha thread kuwa Slaa kashakata tamaa.
      omushaija likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    5. #5
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Quote By Free World View Post
      Hakukuwa na ndoa wewe!
      roho imekuuma utadhani kaolewa dada yako ...hakukuwa na ndoa au wewe ndo ulitaka uolewe...
      palalisote likes this.


    6. #6
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,318
      Rep Power : 618
      Likes Received
      345
      Likes Given
      59

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Quote By Free World View Post
      Hakukuwa na ndoa wewe!
      unatafuta bwana sio!!

    7. #7
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,042
      Rep Power : 2570
      Likes Received
      793
      Likes Given
      29

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Quote By Bitabo View Post
      Wakuu namuomba Dr Slaa arudi kazini na aokoe hili jahazi. gafla nahisi chama kimepoa mno. Mbowe hasikiki, Slaa nadhani mambo ya ndoa yalikuwa yanamaliza mda na sasa yameisha arudi,. Mambo ya hotuba ya Mnyika ya nishati na madini na mchango wa Selasini umetuachia maswali mengi hasa sisi ambao hatuko ndani ya ''system''. Shutuma juu ya Zitto hasa hili la Tanesco na la uraisi. Swala la Singida na mauaji baada ya mkutano. Dr Slaa nadhani ni wakati muafaka uje mbele ya hadhara na useme lolote ili watanzania tujue CHADEMA inamtizamo gani juu ya haya na mengine ambayo hatujayasikia. Ukimya wenu unafanya wengine tuhisi kuwa kuna msuguano ndani ya chama. Nawasilisha
      I believe Chadema ni imara sana na wape nafasi hawa wakuu wamalize majukumu yao wakirudi iwe ni kikamilifu .Hivi wale walio enda Mahakamani kuzuia ndoa ya Slaa na magazeti ya Mwananchi kuandika sana waliishia wapi ?
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    8. #8
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      ndoa ni majubaliano ya watu wawili,Makaratasi ni Ushahidi tuu

    9. #9
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,406
      Rep Power : 672
      Likes Received
      450
      Likes Given
      263

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Quote By Free World View Post
      Hakukuwa na ndoa wewe!
      Mkuu kama ni kweli basi naomba MOD wabadili heading kwa jinsi watakavyoona inafaa.Sikuljua hilo Pili hata kama hayuko honeymoon, ila kwenye jamii hatumsikii yeye na viongozi wenzie. hapa JF wote wamekimbia hata Tumaini Makene naye kapotea pia. Nadhani hofu hii sio ya wangu peke yangu. tafadhali waje watutoe hofu hii
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

    10. #10
      ngudzu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th September 2010
      Posts : 69
      Rep Power : 457
      Likes Received
      20
      Likes Given
      31

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Maji taka tu haya yatapita tu mvua zikikatika hivi punde

    11. #11
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,779
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1715

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Sidhani kam chama kimeteteleka!
      Chama kipo himara sana!

      Chadema si zitto.

    12. #12
      Mkulima wa Kuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 732
      Rep Power : 573
      Likes Received
      245
      Likes Given
      219

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Kitu kitakachowashangaza watanzania wengi ni pale watakapoona mfumo wa kiuongozi wa upinzani ukiwa tofauti kabisa na wa ccm....watu wengi wanataka wapinzani waige mambo ya ccm, akikosea mtu asiambiwe umekosea eti kwa kisingizio cha kulinda chama. Sisemi hakutakuwa na nidhamu bali anayepaswa kuwajibika atawajibika na hicho ndicho tunachokisubiri. Mfumo wa kulindana utaondoka na ccm

    13. #13
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,187
      Rep Power : 12766
      Likes Received
      6431
      Likes Given
      991

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Kwani wameishamlipa fidia Rose Kamil Milioni 550?

    14. #14
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,518
      Rep Power : 37787
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      2342

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Hamnaga habari nyingine tofauti na hii?
      Tuwe strategic bana

    15. #15
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 566
      Rep Power : 462
      Likes Received
      187
      Likes Given
      554

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Wivu huo!
      Ulitaka aoe vipi au amuoe nani ndo iwe ndoa?
      Quote By Free World View Post
      Hakukuwa na ndoa wewe!

    16. #16
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 566
      Rep Power : 462
      Likes Received
      187
      Likes Given
      554

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Ritz,Kesi ya madai haizuii mtu kuoa na kuwowa.

      Quote By Ritz View Post
      Kwani wameishamlipa fidia Rose Kamil Milioni 550?

    17. #17
      papillon's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 387
      Likes Received
      25
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Kigogo View Post
      roho imekuuma utadhani kaolewa dada yako ...hakukuwa na ndoa au wewe ndo ulitaka uolewe...
      Nimeipenda hii

    18. #18
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,187
      Rep Power : 12766
      Likes Received
      6431
      Likes Given
      991

      Default

      Quote By Msalagambwe View Post
      Ritz,Kesi ya madai haizuii mtu kuoa na kuwowa.
      Alifungua kesi ya kupinga ndoa isifungwe sababu kuna ndoa ipo tayari kisheria pamoja na fidia ya milioni 550 ya usumbfu na matumizi ya watoto.

    19. #19
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 566
      Rep Power : 462
      Likes Received
      187
      Likes Given
      554

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Sheria ya kuwabana watu waishio pamoja zaidi ya miezi 6 kuwa wana ndoa inawabana tu katika madai.
      haiwezi kuwa jinai ya kumzuia mtu kuachana na mwezi wake na kwenda kuoa mke mwingine.
      Pia haiwezi kumfanya mmoja kudai taraka mahakamani kwani ni ndoa iliyo na mkataba wa mazingira tu.
      Sheria hiyo inambana mwanandoa kudai nusu ya mali iliyochumwa katika kipindi chao cha ndoa,malezi ya watoto na gharama nyingine kama zipo.

      Hii ndiyo sababu mahakama iko kimya, hakuna hoja ya ndoa kisheria.

      Pius Msekwa alimwoa Anna Abdallah, ndoa ya kiserikali, wakati bado hajampa mkewe wa ndoa ya kanisani taraka.
      Nijuavyo mimi taraka hiyo haijatolewa mpaka leo hii. Kuna kundi kubwa tu la wazee wahuni wana ndoa mpya hali zile za zamani zipo legally. Sioni mtu aki quote sheria wala nini kwa Pius Msekwa.

      Issue imekaa kisiasa na immefumbia macho sheria kwa makusudi.
      ndoa hailazimishwi lakini upendo ukiisha umekwisha.
      Madai ya matunzo ni halali kabisa, na hayawezi kuipinga ndoa isfungwe.

    20. #20
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,406
      Rep Power : 672
      Likes Received
      450
      Likes Given
      263

      Default Re: Dr. Slaa maliza honeymoon urudi kazini

      Quote By Mungi View Post
      Hamnaga habari nyingine tofauti na hii? Tuwe strategic bana
      Mungi kama ujumbe huu unanihusu mimi naomba ufafanue zaidi, habari hii ina tatizo gani (strategically)?
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...