Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zantel, hata nyie!

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,256
      Rep Power : 2624
      Likes Received
      1292
      Likes Given
      834

      Default Zantel, hata nyie!

      Nimenunua line yangu ya zantel majuzi hapa baada ya kuhamasishwa na promo za nguvu. Sasa nimeweka kwenye simu yangu ya line 2 nikawa natumia. Sasa majuzi j4 nikawa nimeweka buku kisha nikatuma msg 1 tu. Keshokuwa yake nikacheki salio nikashangaa liko mia 8 hivi. Nikasema ngoja niicheki trend.

      Juzi nikacheki nikakuta 766. Jana 623. Muda huu ninaoandika ni sh. 577! Inawezekana kweli? Zantel mnatuibia? Iko wapi hiyo thamani ya promo yenu? Laini yenu nitaiweka kapuni

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Kayinga junior's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th February 2012
      Posts : 94
      Rep Power : 384
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Zantel, hata nyie!

      hapa mjini oho

    4. #3
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: Zantel, hata nyie!

      Wezi hawa Zantel, kuna siku niliweka elfu 15 kwenye modem zao, nikajiunga na Mono package ya 2 GB, huwezi kuamini nimeangalia imeil moja tuu. Ikakata na kusema recharge your account. Nilichoka, Nimehamia airtel!

    5. #4
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,944
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Zantel, hata nyie!

      Mi naipenda Customer Service yao tu...sauti nyororo kwa wadada murua inakubembeleza we...mpaka mwenyewe unaona sasa basi....ila line yao mpaka leo ipo kwenye wallet
      asigwa likes this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    6. #5
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,256
      Rep Power : 2624
      Likes Received
      1292
      Likes Given
      834

      Default Re: Zantel, hata nyie!

      Hao ndio Zantel. Ngoja nimalizie kivocha nilichoweka then nikaifiche mbali kabisa line yao. Wizi mtupu!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,620
      Rep Power : 1358
      Likes Received
      790
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By Head teacher
      Wezi hawa Zantel, kuna siku niliweka elfu 15 kwenye modem zao, nikajiunga na Mono package ya 2 GB, huwezi kuamini nimeangalia imeil moja tuu. Ikakata na kusema recharge your account. Nilichoka, Nimehamia airtel!
      Daaah ! nimepata jibu, mie nina modem zile kama disket zinaitwa CDM. hapo kama niliikuwa nikiweka buku 2, na enjoy JF hata kwa 4hr bila kudowlod au upload, sasa hivi nikiweka buku mbili mara nikifungua ukurasa wa JF, HELA IMEISHA ! kwa,sasa naenjoy Kupitia Htc !

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...