Nimenunua line yangu ya zantel majuzi hapa baada ya kuhamasishwa na promo za nguvu. Sasa nimeweka kwenye simu yangu ya line 2 nikawa natumia. Sasa majuzi j4 nikawa nimeweka buku kisha nikatuma msg 1 tu. Keshokuwa yake nikacheki salio nikashangaa liko mia 8 hivi. Nikasema ngoja niicheki trend.
Juzi nikacheki nikakuta 766. Jana 623. Muda huu ninaoandika ni sh. 577! Inawezekana kweli? Zantel mnatuibia? Iko wapi hiyo thamani ya promo yenu? Laini yenu nitaiweka kapuni

Reply With Quote



Follow Us Here