Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jahazi limezama huko tanga kafa mtoto na watu saba waofiwa kufa maji

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Kamuzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : Vigwaza
      Posts : 716
      Rep Power : 684
      Likes Received
      122
      Likes Given
      48

      Default Jahazi limezama huko tanga kafa mtoto na watu saba waofiwa kufa maji

      Wanajamnvi nimesikia Breaking news kuwa jahazi limezama hapo Nungwi na huenda maisha ya watu yamepotea tena,
      mwenye habari kamili naomba aje nazo.
      Historia haiishiwi wino!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      KASHOROBANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,470
      Rep Power : 689
      Likes Received
      234
      Likes Given
      86

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Eh mungu tuepushe na mabalaha aya waja wako, jamani mbona kuzaliwa bongo sasa inaelekea kuwa soo??

    4. #3
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,127
      Rep Power : 14289
      Likes Received
      4015
      Likes Given
      3273

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Quote By jakibinda
      Breaking new JAHAZI IMEZAMA TANGA MTOTO MMOJA AFARIKI NA WATU SABA WAMEJERUIWa
      Juu umesema wanahofiwa kufa kwenye thread wamejeruhiwa....kipi ni kipi...
      ITEGAMATWI likes this.
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    5. #4
      jakibinda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 609
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      sos ni redio one

    6. #5
      stambuli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 14
      Rep Power : 425
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Mungu Tunusuru ,ilikuwa bora kuzuiwa usafiri yako wa lazima mpaka upepo upungue,hali ya hewa wapo wapi !.

    7. Miaka 50

    8. #6
      KASHOROBANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,470
      Rep Power : 689
      Likes Received
      234
      Likes Given
      86

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Quote By masopakyindi
      wacha uongo jahazi kuzama na watu kujeruhiwa?
      Hata sosi huna!
      bongo hii, natumai mshikaji wala hajadanganya, isijekuwa ili kuamini wewe lazima uguse

    9. #7
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,637
      Rep Power : 2008
      Likes Received
      1653
      Likes Given
      1633

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Sisi hatupo serious Period.
      Kama mabomu yalilipuka Mbagala, baada ya miezi michache yakalipuka tena Gongo la Mboto na watu bado tumo tuu tunawakenulia waliopewa mamlaka.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    10. #8
      ITEGAMATWI's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,672
      Rep Power : 0
      Likes Received
      424
      Likes Given
      828

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Haueleweki mtoa hoja?wangapi wamekufa,wangapi wanahofiwa kufa na wangapi wamejeruhiwa?

    11. #9
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,748
      Rep Power : 4197
      Likes Received
      1011
      Likes Given
      416

      Default Re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Quote By KASHOROBANA
      bongo hii, natumai mshikaji wala hajadanganya, isijekuwa ili kuamini wewe lazima uguse
      Ni kweli mkuu, sijawahi kusikia mtu kajeruhiwa kwa kuzama maji, pengine mimi mshamba!!!!
      lusubilo lucas likes this.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    12. #10
      jakibinda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 609
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      na wewe tafuta sos nyingine kama una mtu tanga muhulize

    13. #11
      babukijana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2009
      Posts : 2,887
      Rep Power : 1080
      Likes Received
      310
      Likes Given
      152

      Default re: JAHAZI LIMEZAMA HUKO TANGA KAFA MTOTO NA WATU SABA WAOFIWA KUFA MAJI

      Quote By jakibinda
      na wewe tafuta sos nyingine kama una mtu tanga muhulize
      mkuu hii lugha gani unaandika?kibondei au?
      In all african country they show nature,trees and animals because they are the only good ,Healthy and looking things. HUMANS have no value.neglected by corrupt states.

    14. #12
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,639
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2516
      Likes Given
      1938

      Default Re: Jahazi limezama huko tanga kafa mtoto na watu saba waofiwa kufa maji

      Kweli kuzaliwa bongo imekuwa ni mkosi sasa.

    15. #13
      LOVI MEMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 514
      Rep Power : 465
      Likes Received
      79
      Likes Given
      5

      Default Re: Jahazi limezama huko tanga kafa mtoto na watu saba waofiwa kufa maji

      Quote By kamuzu
      wanajamnvi nimesikia breaking news kuwa jahazi limezama hapo nungwi na huenda maisha ya watu yamepotea tena,
      mwenye habari kamili naomba aje nazo.
      jamani wale wote waliounga mkono 100% kwa 100% hoja ya kupitisha ununuzi wa vitu vilivyotumika aka vitu chavu au scrapper, skilepa waende kituo cha polisi kujibu mashtaka ya mauaji kwa kuruhusu ununuzi wa meli mbovu nchini. Nchi hii inaendesha umafia kwa kunyonga watu mchana kweupe hatuwezi kuvumilia tena kikwete jiuzulu mara moja umeshindwa kazi ., huwezi kuendela kuangalia damu za watu zikiteketea bila hatia yoyote

    16. #14
      de concious one's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th July 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 348
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Jahazi limezama huko tanga kafa mtoto na watu saba waofiwa kufa maji

      mmh! kweli inatsha sana watnzania tumemkosea nin mungu kila siku majanga!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...