Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 113
    1. #1
      kipenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 385
      Likes Received
      23
      Likes Given
      11

      Default Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      wana jf Ni tetesi tu lakini yawezekana kusemwa.
      Hatimaye yule kijana anayesemekana ametokea nchi ya jirani (kenya) anayehusishwa na tukio la utekajinyala wa Dr.Ulimboka, ameweza kutambua alioshirikiana nao kwenye utekaji huo wakiwa wamepoteza maisha kwenye ajari ya meli ya MV STAGAT iliyotekea siku ya jumatano.
      Habari zinasema kuwa watekaji hao walikuwa wanakimbilia mafichoni Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hawakufanikiwa upepo mkali uliosababisha kuzama kwa meli, vijana hao hawakuweza kuokoka kwenye dhoruba hiyo. Aliowatambua ni vijana 7 nakukili kuwa ndio aliokuwa nao siku ya tukio.
      My take, Hizi habari hazijathibishwa lakini kwaniijuavyo Tanzania ya leo na jinsi ya hili tukio lilivyotokea yote yanawezekana, tuwe nasubira ndugu zangu, hakuna linaloshindikana.
      Nawasilisha.
      mooduke likes this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      kipenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 385
      Likes Received
      23
      Likes Given
      11

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      wakuu naomba niweke mkazo kwenye maana ya neno TETESI, yawezakana ikawa kweli au lah! ya2pasa tuwe na subira watanzania.
      Taarifa za kiintellengincia zilifika jeshi la police kwamba watuhumiwa walikuwa wanaelekea Zanzibar kwakutumia chombo hicho cha majini. ndio maana jeshi la police wakishirikiana na mshatikiwa aliyepatikana wakaamua kwenda nae ili kama ni taarifa sahii au lah baada ya kuangalia zile maiti zilizo opolewa, na mambo yakawa hivyo
      GAZETI likes this.

    4. #42
      hovyohovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 487
      Rep Power : 443
      Likes Received
      123
      Likes Given
      39

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Yaan ww na Suleiman, bakuli na mfuniko wake. Halafu meli inaitwa MV STAGAT???
      Quote By kipenga
      wana jf Ni tetesi tu lakini yawezekana kusemwa.
      Hatimaye yule kijana anayesemekana ametokea nchi ya jirani (kenya) anayehusishwa na tukio la utekajinyala wa Dr.Ulimboka, ameweza kutambua alioshirikiana nao kwenye utekaji huo wakiwa wamepoteza maisha kwenye ajari ya meli ya MV STAGAT???- iliyotekea siku ya jumatano.
      Habari zinasema kuwa watekaji hao walikuwa wanakimbilia mafichoni Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hawakufanikiwa upepo mkali uliosababisha kuzama kwa meli, vijana hao hawakuweza kuokoka kwenye dhoruba hiyo. Aliowatambua ni vijana 7 nakukili kuwa ndio aliokuwa nao siku ya tukio.
      My take, Hizi habari hazijathibishwa lakini kwaniijuavyo Tanzania ya leo na jinsi ya hili tukio lilivyotokea yote yanawezekana, tuwe nasubira ndugu zangu, hakuna linaloshindikana.
      Nawasilisha.

    5. #43
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Msameheni, inaelekea hii msg alikuwa anaandikia cho.oni akikata gogo.....
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    6. #44
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,383
      Rep Power : 12713
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By engmtolera
      ametokaje mahabusu na kwenda kuangalia maiti,je alipewa taarifa kuwa watapanda meli? na kwanini wasingewakamata kabla ya kupanda meli wakati wakiwa DSM? nani aliyemweleza kuwa ktk ile meli waliokufa mojawapo ni hao jamaa zake?

      Ukitaka kudanganya usimtumie Kova wala mleta uzi!!!

      Toka lini mahabusu akatoka gerezani kwenda kutambua waliohusika kumteka Ulimboka!!!!

    7. #45
      Yericko Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Location : Kigamboni, DSM
      Posts : 4,552
      Rep Power : 22968
      Likes Received
      2833
      Likes Given
      312

      Default

      Quote By kipenga
      wana jf Ni tetesi tu lakini yawezekana kusemwa.
      Hatimaye yule kijana anayesemekana ametokea nchi ya jirani (kenya) anayehusishwa na tukio la utekajinyala wa Dr.Ulimboka, ameweza kutambua alioshirikiana nao kwenye utekaji huo wakiwa wamepoteza maisha kwenye ajari ya meli ya MV STAGAT iliyotekea siku ya jumatano.
      Habari zinasema kuwa watekaji hao walikuwa wanakimbilia mafichoni Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hawakufanikiwa upepo mkali uliosababisha kuzama kwa meli, vijana hao hawakuweza kuokoka kwenye dhoruba hiyo. Aliowatambua ni vijana 7 nakukili kuwa ndio aliokuwa nao siku ya tukio.
      My take, Hizi habari hazijathibishwa lakini kwaniijuavyo Tanzania ya leo na jinsi ya hili tukio lilivyotokea yote yanawezekana, tuwe nasubira ndugu zangu, hakuna linaloshindikana.
      Nawasilisha.
      Hapa watu wanajadili mambo yenye maana mkuu, hizo habari mpelekee Kova au Shigongo

    8. RukaaJuu Final

    9. bdo
      #46
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      mavi ya tembo pilau..umeharibu siku

    10. #47
      Thanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Multiple Destination
      Posts : 1,891
      Rep Power : 1608
      Likes Received
      566
      Likes Given
      1523

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Jamani huyu kasema "NI TETESI TU" Lakini hata kama ingekuwa ...ok ni tetesi, hakuna hata kitu kimoja ambacho kinaweza kumuingia mwanajamii yeyote akilini. Mimi simwiti huyu jamaa mpumbavu, hata kidogo kwani ameweza ku-(create awareness) mazingira ambayo yanaweza kutumika kuficha ukweli.

      Ndio maana watu wengi hawataki kuusikia uongo wowote kuhusu hilo.

      Kwa hawa walinzi wetu wa amani (POLISI)...I have no comment!! Acha nikae kimya, Nitachangia siku nyingine.

    11. #48
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,213
      Rep Power : 5359
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      ....umesahau siku ya wajinga ni linieee!

    12. #49
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1830
      Likes Given
      3343

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Mwanangu ulifikirije hadi ukaandika kitu ambacho hata kunguru hawezi kuamini? Baba yako nasema kuwa hao waliokufa kwenye ajali 'walioshirikiana' na mkenya yasemekana wote walikuwa ni mapolisi na maafisa usalama wa taifa. Nasikia wengi wao walikuwa na umri wa miaka 2 hadi 7. Upuuzi hujibiwa kwa upuuzi.

    13. #50
      Cheche Mtungi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Location : POPOTE NIPO
      Posts : 743
      Rep Power : 922
      Likes Received
      8
      Likes Given
      15

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Quote By kipenga
      wana jf Ni tetesi tu lakini yawezekana kusemwa.
      Hatimaye yule kijana anayesemekana ametokea nchi ya jirani (kenya) anayehusishwa na tukio la utekajinyala wa Dr.Ulimboka, ameweza kutambua alioshirikiana nao kwenye utekaji huo wakiwa wamepoteza maisha kwenye ajari ya meli ya MV STAGAT iliyotekea siku ya jumatano.
      Habari zinasema kuwa watekaji hao walikuwa wanakimbilia mafichoni Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hawakufanikiwa upepo mkali uliosababisha kuzama kwa meli, vijana hao hawakuweza kuokoka kwenye dhoruba hiyo. Aliowatambua ni vijana 7 nakukili kuwa ndio aliokuwa nao siku ya tukio.
      My take, Hizi habari hazijathibishwa lakini kwaniijuavyo Tanzania ya leo na jinsi ya hili tukio lilivyotokea yote yanawezekana, tuwe nasubira ndugu zangu, hakuna linaloshindikana.
      Nawasilisha.
      Hivi watanzania mnadanganywa na KOVA?Kwa lipi hasa?Fanyeni maamuzi 2015,hao wanaomtuma watakiona cha moto!
      We can not Reverse the past,but we can learn from it!

    14. #51
      chief 1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 384
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By hetu
      kawadanganye waliolala, we nikirundu.
      Yetoo ni kweri avae ni muurushi uu!!

    15. #52
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,663
      Rep Power : 724
      Likes Received
      345
      Likes Given
      0

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Kweli bhana,kuna uongo unazungumzika lakini huu...?

    16. #53
      chomete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 1,056
      Rep Power : 637
      Likes Received
      107
      Likes Given
      0

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      hizo ni propaganda

    17. #54
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,730
      Rep Power : 714
      Likes Received
      560
      Likes Given
      265

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Aisee mambo mengine,hmm m2 unaweza kuugua ugonjwa mpya

    18. #55
      kipenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 385
      Likes Received
      23
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By MVUMBUZI
      Mkuu unatupotezea muda kama huna topic just soma za wenzako
      Mkuu sijaomba uisome, na ucomment, nadhani umepoteza mwenyewe.

    19. #56
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 490
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Mkuu nishushe posta tafadhali,naona napitishwa kituo changu,bora nitembe... Loh hupimi ndugu unaburuza tuuu?

    20. #57
      Kirode's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 1,117
      Rep Power : 637
      Likes Received
      64
      Likes Given
      38

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Quote By Mangaline
      Namwombea radhi aliyetukanwa!! Mh. pole sana kwa ghadhabu hadi kufikia kutoa maneno makali kiasi hiki. Uwe na subira kwani wapumbavu tumo wengi na tunaomba nafasi ya ku air out upumbavu wetu.
      upumbavu wako....... na walio ku like...jinga wewe

    21. #58
      Magongo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 382
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      Tunajua wazi kuwa kila mtu ana haki ya kuongea,(katiba ya sasa)
      nashawishika kusema katiba ibadilishwe ili watu kama nyie mkae kimya.

    22. #59
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,200
      Rep Power : 870
      Likes Received
      307
      Likes Given
      123

      Default Re: Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

      ujinga
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    23. #60
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,705
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1483
      Likes Given
      574

      Default

      Quote By Leonard Robert
      mambo ya facebook haya

      Hata Nami nina hofu sana ni mambo ya huko (FB)!

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...