Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 31
    1. #1
      mkonomtupu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Location : Peponi
      Posts : 263
      Rep Power : 341
      Likes Received
      58
      Likes Given
      32

      Default Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      WADAU WOTE

      TAFADHALINI HUSIKENI NA KICHWA HUSIKA HAPO JUU
      KUNA HUYU JAMAA ANAITWA SHEIKMOUN HALAHALA AL-MAARUFU KAMA HALA HABIB.
      HUYU JAMAA ANAJUANA NA MIRAJI NA RIZ1 HIVYO BASI HUTUMIA MWANYA HUO KUTAPELI WATU
      HAPA MJINI. KUNA DADA MMOJA ALILIZWA USD 14,000/= KUNA MWINGINE 7,000/= NA WENGI NIKIWAMO MIMI
      DOLA MIA 3. ANAJIFANYA ANACONNECTION YA KITU CHOCHOTE UNACHOTAKA KUFANYA AMA KUNUNUA.
      MARA ANJIFANYA ANANUNUA MAGARI JAPAN, MARA CHINA, HONKONG NK. NI KWELI ZAMANI WAKATI YUKO NJEMA
      ALIKUWA ANAFANYA HAYO ANAYOYASEMA ILA KWA SASA HANA KITU NDIO KAAMUA KUWA TAPELI.
      ANAKAA KAWE NA NAMBA YAKE YA SIMU NI +255689 000222.
      TAHADHARI KABLA YA HATARI YASIJE KUKUKUTA MJINI HAPA.
      NAWASILISHA WADAU.
      'Kama vipi ipotezee'

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kamkuki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 688
      Rep Power : 557
      Likes Received
      60
      Likes Given
      458

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      aksante kwa taarifa yako mkuu, ................ ngoja nimuweke hewani nimueleze kuwa tabia yake sio nzuri!! teh teeh teh!!

    4. #3
      Kibwebwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 402
      Likes Received
      30
      Likes Given
      11

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Mkuu umelizwa pole

    5. #4
      don2011's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 23
      Rep Power : 415
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Thankx kaka, 2juzane mambo hayo.

    6. #5
      mkonomtupu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Location : Peponi
      Posts : 263
      Rep Power : 341
      Likes Received
      58
      Likes Given
      32

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      wakuu pamoja sana huyu hafai ni mjinga sana tafadhali tuwaambie na wenzetu hata nje ya Jamii Forums
      'Kama vipi ipotezee'

    7. Study Abroad

    8. #6
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,039
      Rep Power : 690
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      asante kwa tahadhari. Pia tupunguze utamaduni wa kutaka undue favours & shortcuts. Wajanja wametega nyavu.
      Ndahani and Kassim Awadh like this.

    9. #7
      Dogo1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 387
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By mkonomtupu
      WADAU WOTE

      TAFADHALINI HUSIKENI NA KICHWA HUSIKA HAPO JUU
      KUNA HUYU JAMAA ANAITWA SHEIKMOUN HALAHALA AL-MAARUFU KAMA HALA HABIB.
      HUYU JAMAA ANAJUANA NA MIRAJI NA RIZ1 HIVYO BASI HUTUMIA MWANYA HUO KUTAPELI WATU
      HAPA MJINI. KUNA DADA MMOJA ALILIZWA USD 14,000/= KUNA MWINGINE 7,000/= NA WENGI NIKIWAMO MIMI
      DOLA MIA 3. ANAJIFANYA ANACONNECTION YA KITU CHOCHOTE UNACHOTAKA KUFANYA AMA KUNUNUA.
      MARA ANJIFANYA ANANUNUA MAGARI JAPAN, MARA CHINA, HONKONG NK. NI KWELI ZAMANI WAKATI YUKO NJEMA
      ALIKUWA ANAFANYA HAYO ANAYOYASEMA ILA KWA SASA HANA KITU NDIO KAAMUA KUWA TAPELI.
      ANAKAA KAWE NA NAMBA YAKE YA SIMU NI +255689 000222.
      TAHADHARI KABLA YA HATARI YASIJE KUKUKUTA MJINI HAPA.
      NAWASILISHA WADAU.
      inasikitisha iwapo watu wazima mnatolewa upepo kwa kutajiwa jina la riz1 tu, kumbe majuha bado mpo wengi bongodarisalama. Kuna jamaa atakutajia jina la riz1 ili umpe **** na utampa!
      Kassim Awadh likes this.

    10. #8
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,958
      Rep Power : 927
      Likes Received
      461
      Likes Given
      571

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By Dogo1
      inasikitisha iwapo watu wazima mnatolewa upepo kwa kutajiwa jina la riz1 tu, kumbe majuha bado mpo wengi bongodarisalama. Kuna jamaa atakutajia jina la riz1 ili umpe **** na utampa!
      wajinga ndio waliwao,

    11. #9
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Huyu jamaa sio ndio anaitwa hilal nae anajifanya anadeal na magari kumbe tapeli tu kamdhulum rafki yangu mmoja ni dr pale kariakoo dola 66oo anaitwa hilal rashid swelum ni muunguja yupo hongkong hivi punde tuwe na ruksa ya kuanika na picha zao hawa wezi

    12. #10
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By mkonomtupu
      WADAU WOTE

      TAFADHALINI HUSIKENI NA KICHWA HUSIKA HAPO JUU
      KUNA HUYU JAMAA ANAITWA SHEIKMOUN HALAHALA AL-MAARUFU KAMA HALA HABIB.
      HUYU JAMAA ANAJUANA NA MIRAJI NA RIZ1 HIVYO BASI HUTUMIA MWANYA HUO KUTAPELI WATU
      HAPA MJINI. KUNA DADA MMOJA ALILIZWA USD 14,000/= KUNA MWINGINE 7,000/= NA WENGI NIKIWAMO MIMI
      DOLA MIA 3. ANAJIFANYA ANACONNECTION YA KITU CHOCHOTE UNACHOTAKA KUFANYA AMA KUNUNUA.
      MARA ANJIFANYA ANANUNUA MAGARI JAPAN, MARA CHINA, HONKONG NK. NI KWELI ZAMANI WAKATI YUKO NJEMA
      ALIKUWA ANAFANYA HAYO ANAYOYASEMA ILA KWA SASA HANA KITU NDIO KAAMUA KUWA TAPELI.
      ANAKAA KAWE NA NAMBA YAKE YA SIMU NI +255689 000222.
      TAHADHARI KABLA YA HATARI YASIJE KUKUKUTA MJINI HAPA.
      NAWASILISHA WADAU.
      Nenda Polisi na si kupakazia watu humu weka ushahidi wako basi na sio kupakazia watu humu JF huyo Jamaa ana heshima zake na ana familia pia kuandika jina lake na la ukoo wake hiyo haijakaa sawa kwani kila mtu atabeba msalaba wake... Wangelalamika waliotapeliwa usd 14,000.

      Hebu weka na wewe Jina lako tujue... Mlipokuwa mnapeana hizo Pesa hukuja humu kutuambia sasa unaona deal limechelewa unaanza kulia

    13. #11
      Wajad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 429
      Rep Power : 1306
      Likes Received
      113
      Likes Given
      0

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Watu kama hao ndio wanaostahili kupelekwa Mabwepande.

    14. #12
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,000
      Rep Power : 579
      Likes Received
      121
      Likes Given
      17

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Ubarikiwe

    15. #13
      amkawewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 747
      Rep Power : 525
      Likes Received
      119
      Likes Given
      534

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Asante kwa kutoa taarifa

    16. #14
      MAUBIG's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 237
      Rep Power : 406
      Likes Received
      49
      Likes Given
      30

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      pole mkuu kwa kulizwa na huyu mdanganyika

    17. #15
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,650
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Thnx kamanda ni taahadhari muhimu hii, muhimu tusifikirie mafanikia ya haraka bila kufanya kazi na kupanga mipango yetu vizuri, Mara nyingi Bure ni Ghari sana, Tuepuke Rahisi

    18. #16
      mkonomtupu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Location : Peponi
      Posts : 263
      Rep Power : 341
      Likes Received
      58
      Likes Given
      32

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      kwenye maisha nimejifunza kitu kuto urgue na mafool poleni na ujinga wenu. walioelewa lengo lango langu
      ili wasije ingia mtegoni, wameelewa wajinga bakini na ujinga wenu.
      'Kama vipi ipotezee'

    19. #17
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,536
      Rep Power : 1988
      Likes Received
      1596
      Likes Given
      1591

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By Duduwasha
      Nenda Polisi na si kupakazia watu humu weka ushahidi wako basi na sio kupakazia watu humu JF huyo Jamaa ana heshima zake na ana familia pia kuandika jina lake na la ukoo wake hiyo haijakaa sawa kwani kila mtu atabeba msalaba wake... Wangelalamika waliotapeliwa usd 14,000.

      Hebu weka na wewe Jina lako tujue... Mlipokuwa mnapeana hizo Pesa hukuja humu kutuambia sasa unaona deal limechelewa unaanza kulia
      Wewe ndiye tapeli mtajwa? au una undugu naye?
      Kama una uchungu lipa basi hizo pesa ambazo wadau wameshatapeliwa.
      maliyamungu likes this.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    20. #18
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By Ndibalema
      Wewe ndiye tapeli mtajwa? au una undugu naye?
      Kama una uchungu lipa basi hizo pesa ambazo wadau wameshatapeliwa.
      Sikiaaa... Wajua Jamaa kaja kisiasa zaidi kwani Kuna Njia nyingi za Utaperi sasa yeye kaja na Kashfa tu ni bora angetaja Alichotaperiwa tukaelewa inawezekana pengine kataperiwa au kaadithiwa tu ndio kajaa JF Kumchafua Jamaa... Mimi sidhani kama kuna Deal la usd 300. kwa kutizama tu usd 300 ununua nini? au ni Consultation fees ya kitu fulani? sasa kama jamaa hajafanikiwa ndio mbio JF Kumsema jamaa kuwa ni Taperi tena ameshamtaperi jamaa flan usd 14,000 na mwingine kadhaa aaah! nini hii kitu

      hata ze utamu ndio ilivyokuwa hivi hadi kashfa zikamuendea Mkuu wa Nchi ikafungwa Fasta... na Mod wakiachia hivi basi ujue kuna mtu atakuja Mtaja hadi Raisi kumuibia kitu na Wengi humu watamsapoti ... Ndibalema Stuka..

    21. #19
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,616
      Rep Power : 816
      Likes Received
      254
      Likes Given
      458

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By Duduwasha
      Sikiaaa... Wajua Jamaa kaja kisiasa zaidi kwani Kuna Njia nyingi za Utaperi sasa yeye kaja na Kashfa tu ni bora angetaja Alichotaperiwa tukaelewa inawezekana pengine kataperiwa au kaadithiwa tu ndio kajaa JF Kumchafua Jamaa... Mimi sidhani kama kuna Deal la usd 300. kwa kutizama tu usd 300 ununua nini? au ni Consultation fees ya kitu fulani? sasa kama jamaa hajafanikiwa ndio mbio JF Kumsema jamaa kuwa ni Taperi tena ameshamtaperi jamaa flan usd 14,000 na mwingine kadhaa aaah! nini hii kitu

      hata ze utamu ndio ilivyokuwa hivi hadi kashfa zikamuendea Mkuu wa Nchi ikafungwa Fasta... na Mod wakiachia hivi basi ujue kuna mtu atakuja Mtaja hadi Raisi kumuibia kitu na Wengi humu watamsapoti ... Ndibalema Stuka..
      Hapo kwenye red, unataka useme nini sasa! Unatutisha jf itafungwa au~!
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    22. #20
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Hapo kwenye red, unataka useme nini sasa! Unatutisha jf itafungwa au~!
      Kutisha vipi ! kwani kuna mtu alijua kuwa ze utamu ingekufa? kila kitu kina mwanzo na mwisho... sijamaanisha jf kufungwa nasema kama mambo haya yakiachiwa sana binadamu wana tabia ya kuzoea so wanaweza kuzidisha sana hadi kuharibu tujadili kiini na sio juu juu tu... Mkuu

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...