Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 31 of 31
    1. #1
      mkonomtupu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Location : Peponi
      Posts : 265
      Rep Power : 347
      Likes Received
      59
      Likes Given
      35

      Default Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      WADAU WOTE

      TAFADHALINI HUSIKENI NA KICHWA HUSIKA HAPO JUU
      KUNA HUYU JAMAA ANAITWA SHEIKMOUN HALAHALA AL-MAARUFU KAMA HALA HABIB.
      HUYU JAMAA ANAJUANA NA MIRAJI NA RIZ1 HIVYO BASI HUTUMIA MWANYA HUO KUTAPELI WATU
      HAPA MJINI. KUNA DADA MMOJA ALILIZWA USD 14,000/= KUNA MWINGINE 7,000/= NA WENGI NIKIWAMO MIMI
      DOLA MIA 3. ANAJIFANYA ANACONNECTION YA KITU CHOCHOTE UNACHOTAKA KUFANYA AMA KUNUNUA.
      MARA ANJIFANYA ANANUNUA MAGARI JAPAN, MARA CHINA, HONKONG NK. NI KWELI ZAMANI WAKATI YUKO NJEMA
      ALIKUWA ANAFANYA HAYO ANAYOYASEMA ILA KWA SASA HANA KITU NDIO KAAMUA KUWA TAPELI.
      ANAKAA KAWE NA NAMBA YAKE YA SIMU NI +255689 000222.
      TAHADHARI KABLA YA HATARI YASIJE KUKUKUTA MJINI HAPA.
      NAWASILISHA WADAU.
      'Kama vipi ipotezee'


    2. #21
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      hivi kumbe miraji ama riziwani ukiwa rafiki yake umewini?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    3. #22
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,215
      Rep Power : 12282
      Likes Received
      6065
      Likes Given
      6932

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By mkonomtupu View Post
      WADAU WOTE

      TAFADHALINI HUSIKENI NA KICHWA HUSIKA HAPO JUU
      KUNA HUYU JAMAA ANAITWA SHEIKMOUN HALAHALA AL-MAARUFU KAMA HALA HABIB.
      HUYU JAMAA ANAJUANA NA MIRAJI NA RIZ1 HIVYO BASI HUTUMIA MWANYA HUO KUTAPELI WATU
      HAPA MJINI. KUNA DADA MMOJA ALILIZWA USD 14,000/= KUNA MWINGINE 7,000/= NA WENGI NIKIWAMO MIMI
      DOLA MIA 3. ANAJIFANYA ANACONNECTION YA KITU CHOCHOTE UNACHOTAKA KUFANYA AMA KUNUNUA.
      MARA ANJIFANYA ANANUNUA MAGARI JAPAN, MARA CHINA, HONKONG NK. NI KWELI ZAMANI WAKATI YUKO NJEMA
      ALIKUWA ANAFANYA HAYO ANAYOYASEMA ILA KWA SASA HANA KITU NDIO KAAMUA KUWA TAPELI.
      ANAKAA KAWE NA NAMBA YAKE YA SIMU NI +255689 000222.
      TAHADHARI KABLA YA HATARI YASIJE KUKUKUTA MJINI HAPA.
      NAWASILISHA WADAU.
      Mkuu, tatizo ni kushobokea watu wenye connection na watoto wa vigogo.... kinawazuga hapo ni ule uzoba wa kusikilizia ziri au miraji

      mtashaa
      ....Time is the wisest counselor !!!

    4. #23
      Jikombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th May 2010
      Posts : 134
      Rep Power : 488
      Likes Received
      17
      Likes Given
      6

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Ulistahili kutapeliwa. kwani nawe deal zako zinaonekana ni za kijanjajanja vile. kwani connection uliyokuwa unaitaka inaonyesha kuna kitu/ vitu ulikuwa unakwepa.

    5. #24
      maliyamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 385
      Rep Power : 474
      Likes Received
      47
      Likes Given
      4

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By Ndibalema View Post
      Wewe ndiye tapeli mtajwa? au una undugu naye?
      Kama una uchungu lipa basi hizo pesa ambazo wadau wameshatapeliwa.
      unajua watu wengine wa 0713 kama wewe unamualibia mtu jina kisa kamchukulia dem wake au dem kaliwa kwa mkopo nk issue zingine ni chuki kesho yatakukuta hata wewe unaetetea kama katapeliwa si ufala wake na kajuaje watu aliotapeli wengine mpaka kiasi cha pesa acheni utoto

    6. #25
      Dr. Wansegamila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : Kwetu pazuri
      Posts : 350
      Rep Power : 2086
      Likes Received
      145
      Likes Given
      88

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By Duduwasha View Post
      Sikiaaa... Wajua Jamaa kaja kisiasa zaidi kwani Kuna Njia nyingi za Utaperi sasa yeye kaja na Kashfa tu ni bora angetaja Alichotaperiwa tukaelewa inawezekana pengine kataperiwa au kaadithiwa tu ndio kajaa JF Kumchafua Jamaa... Mimi sidhani kama kuna Deal la usd 300. kwa kutizama tu usd 300 ununua nini? au ni Consultation fees ya kitu fulani? sasa kama jamaa hajafanikiwa ndio mbio JF Kumsema jamaa kuwa ni Taperi tena ameshamtaperi jamaa flan usd 14,000 na mwingine kadhaa aaah! nini hii kitu

      hata ze utamu ndio ilivyokuwa hivi hadi kashfa zikamuendea Mkuu wa Nchi ikafungwa Fasta... na Mod wakiachia hivi basi ujue kuna mtu atakuja Mtaja hadi Raisi kumuibia kitu na Wengi humu watamsapoti ... Ndibalema Stuka..
      sehemu zote nilizoweka red ilitakiwa iwe 'tapeli'................ hapo kwenye green ilitakiwa uandike 'kahadithiwa' mkuu. Ni hayo tu.
      'HAKIMU AKIWA FISI, HUKUMU YA MBUZI NI KIFO'


    7. #26
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,636
      Rep Power : 6256
      Likes Received
      528
      Likes Given
      422

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Quote By Dr. Wansegamila View Post
      sehemu zote nilizoweka red ilitakiwa iwe 'tapeli'................ hapo kwenye green ilitakiwa uandike 'kahadithiwa' mkuu. Ni hayo tu.
      Asante ila changia Mada halisi. Mimi kwenye Sarufi siwezi badilika kwani kiswahili ni kigumu... nadhani umenielewa Mwanzo Mwisho nina tatizo la r na l

      Na wewe Usichanganye Lugha Kiswahili na Kiingereza au Ndio Kiswaglish! Na Unapoanza kuandika Tumia Herufi Kubwa

    8. #27
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      duh asante sana mkuu..ngoja nimuwekee pin barring aka BAN asije nipigia kabisaaaaaaaa

    9. #28
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,328
      Rep Power : 3455
      Likes Received
      1339
      Likes Given
      864

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      pole wewe unaempa pole asietakiwa kupewa pole wala kuhurumiwa kama unalizwa kwa jina la riz 1 je freemassons si wanakumaliza kabisa loh

    10. #29
      mkupuo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 171
      Rep Power : 397
      Likes Received
      25
      Likes Given
      4

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      shida yenu wabongo ni kuwa mtu akijinasibu kujuana na mtu fulani anayehisiwa kuwa mkuu ndani ya kaya hii mnamshobokea sana ndiyo mana mnalizwa kiulaiiiiiiiini. Mimi nasema hivi halizwi mtu hapa.........................!

    11. #30
      Elungata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 3,850
      Rep Power : 1281
      Likes Received
      447
      Likes Given
      0

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      Mh..huyu dr alifaa kuwa teacher wa swahili

    12. #31
      siralola's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 40
      Rep Power : 369
      Likes Received
      5
      Likes Given
      16

      Default Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

      pole sana kwa kutapeliwa lakini kwa mimi nijuavyo siku zote matapeli huwafata watu wenye tamaa sana anakutamanisha na wewe kwa ujinga unatoa kama ni pesa au chochote kile anachokitaka na ndomaana kuna matapeli hadi wa mapenzi punguza tamaa hauta tapeliwa maisha yako yote.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...