Re: Tapeli wa kuogopwa hapa dar es salaam!

By
Duduwasha
Sikiaaa... Wajua Jamaa kaja kisiasa zaidi kwani Kuna Njia nyingi za Utaperi sasa yeye kaja na Kashfa tu ni bora angetaja Alichotaperiwa tukaelewa inawezekana pengine kataperiwa au kaadithiwa tu ndio kajaa JF Kumchafua Jamaa... Mimi sidhani kama kuna Deal la usd 300. kwa kutizama tu usd 300 ununua nini? au ni Consultation fees ya kitu fulani? sasa kama jamaa hajafanikiwa ndio mbio JF Kumsema jamaa kuwa ni Taperi tena ameshamtaperi jamaa flan usd 14,000 na mwingine kadhaa aaah! nini hii kitu
hata ze utamu ndio ilivyokuwa hivi hadi kashfa zikamuendea Mkuu wa Nchi ikafungwa Fasta... na Mod wakiachia hivi basi ujue kuna mtu atakuja Mtaja hadi Raisi kumuibia kitu na Wengi humu watamsapoti ... Ndibalema Stuka..
sehemu zote nilizoweka red ilitakiwa iwe 'tapeli'................ hapo kwenye green ilitakiwa uandike 'kahadithiwa' mkuu. Ni hayo tu.
'HAKIMU AKIWA FISI, HUKUMU YA MBUZI NI KIFO'
Follow Us Here