ccm wamekausha
ccm wamekausha
wabunge wote wa upinzani yaani wa CUF, CDM, TLP ,NCCR wametoka bungeni kupinga kitendo cha spika kukataa kuahirisha bunge kwa dharura ili kuweza kutoa nafasi kwa serikali kuchukua hatua dhidi ya meli inayozama Znz.
Alitoa hoja Hamad Rashid kuwa Bunge lipitishe bajeti kabla ya mawaziri kuhitimisha ili kutoa nafasi kwa wabunge kufuatilia na kuweza kusafiri. Spika akamjibu kuwa hoja hiyo ingefaa kama maafa yametokea karibu na Bunge kama Chamwino etc ili wabunge waende wakatoe damu .
Hali ni mbaya , Bunge linapitisha bajeti kwa suala gani?
kwa hiyo ni wapinzani tu wametoka.?
kwa hili makinda kachemka
nahisi mama makinda anaelekea kuwehuka
They wiil disqualify you for the little weaknesses you have and they will never glorify you for the great strength you have shown, Phd- Houston Texas July 23, 2012
mama mbona anashindwa kupima upepo ?
Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown
hata wambunge wa CCM hawazidi kumi ukiondoa wanao unda sirikali. Huyo naibu waziri anatoa majibu ya hoja kama hajui kusoma!
Duh, kweli busara za huyo mama ni zaidi zaidi ya tuijuavyoooooo
Hivi ingekuwa mbunge mmojawapo amepoteza maisha katika hiyo ajali, bunge lingeendelea? Au mimi ndo sielewi?Kweli wabunge wa CCM hamnazo,kesho tutasikia salam zao za kinafiki.
Wabunge ni wawakilishi wa wananachi, sasa wanaongea nini huko Dodoma wakati wananchi wenyewe ndio hao wanazama baharini? Makinda anasimia bunge la wawakilishi wa nchi ipi? Huu mchezo wa kuendesha bunge kama kikao cha CC leo umeingia sura mpya, na wabunge wa CCM wanapitisha bajeti ya kununua sanda? Watanzania wanazama as we write, wanaongoe nini hawa watu????? arrrrrggg
Hata G/mboto alidharau hivyo hivyo, lakini alipowatembelea wahanga akatoa machozi, sijui viongozi wetu wanauwezo kweli wa kufikiri au la? Si angemuuliza hata katibu wa bunge basi kama hawezi kufanya maamuzi.
"The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".
Huyo ndo bi kiroboto.
Huyu mama anaelekea pabaya kabisa? kafanya kama bunge ni NGO yake na familia yake, kazi yake ni kulazimisha hoja zake na dhaifu zikubalike. Nadhani sasa CUF wanaweza wakaanza kuona kuwa CCM sio rafiki ila ni mnyama.
"Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
"Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"
Hali hii haikubaliki kamwe kwani kama angekufa mbunge mmoja tuu Bunge lote lingeahirishwa ila wanakufa wananchi zaidi ya 200 bunge linaendelea kupitisha bajeti kwa ajili ya nani? Spika hapa kapotoka na hii ni dalili ya wazi kuwa CCM haipo kwa ajili ya maslahi ya wananchi bali wao.
....wanaweza. Asipowazingua, mtajuaje kama anaweza na ana mamlaka?????.
Huyu mama ni janga la kimataifa, anaendesha bunge kama shirika lake la misaada..sijui kama tutafika kwa mwendo huu, na wabunge wanamchekea sana huyu mama, na hawa wabunge wa vyama vingine watambue kuwa CHADEMA na wabunge wake wanapokuwa wanapigania haki pale bungeni uwa hawafanyi utani yule mama ni tatizo.
"Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
"Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"
Follow Us Here