Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Meli ya MV Skagit yazama

    Report Post
    Page 7 of 17 FirstFirst ... 56789 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 338
    1. #1
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1490
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Meli ya MV Skagit yazama

      inasemekana MV seagul ikitokea Dar kuelekea zanzibar imezama. kila tupato habari tutazidi kuhabarishana

      Update:
      Ilikua na abiria 200 na juhudi za uokoaji zinaendelea na tayari baadhi ya watu wameokolewa wakiwa hai na wengine bado wanaelea wakiwa na maboya. Taarifa za vifo bado hazijathibitishwa japo ukweli ni kwamba vifo vipo. Meli hiyo imewahi kuripotiwa kuwa mbovu mara kadhaa.
      Attachment 59156
      Mkandara, BAK, Elli and 12 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #121
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mito
      Mkuu umenena vema lakini umeharibu hapo kwa red. Usiwe biased kiasi hicho, au una uhakika wanaume hawamo?
      wafao wengi ni hao nlowataja kaka hata kesho utackia

    4. #122
      Anheuser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 1,295
      Rep Power : 672
      Likes Received
      335
      Likes Given
      135

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Kazi ya Mungu haina makosa.

    5. #123
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Well - "Liwalo na Liwe" - (Kayanza Mizengo Peter Pinda)
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    6. #124
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 797
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      ndiyo maana hata ma-meli ya iran yanapewa vibali kutumia vya huku nchini kwetu

      maladministration of our government, very weak and careless government

    7. #125
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,447
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      457
      Likes Given
      923

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Mungu awaokoe katika wimbi hili la ajari tunawaombea wapate kuokolewa

    8. Study Abroad

    9. #126
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1002
      Likes Given
      128

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      serikali dhaifu waziri atasema(SERIKALI IMEJIPANGA AJALI KAMA HII ISITOKEE TENA)huku kila kukicha zinaua raia

    10. #127
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Mungu saidia!

    11. #128
      matumbo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,321
      Rep Power : 0
      Likes Received
      647
      Likes Given
      485

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      poleni sana waZNZ...ila jukumu la kuokoa inabidi muwaachie waBara,iyo shughuli inaitaji watu wakakamavu..

    12. #129
      andreakalima's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 115
      Rep Power : 374
      Likes Received
      49
      Likes Given
      1

      Default Breaking news: Meli mv. Skaget inazama zanzibar

      Hivi tunavyozungumza Meli MV. Skaget iliyokuwa inaelekea Zanzibar ikiwa imebeba abiria zaidi ya 200 inazama Zanzibar.

    13. #130
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,934
      Rep Power : 885
      Likes Received
      381
      Likes Given
      135

      Default

      Quote By Edson
      mara mv seagul mara mv karama....ni meli ipi hasa imezama?
      Mkuu Mv Seagual ndiyo imezama leo na Mv Karama ilizima juzi usiku mbona imetangazwa na ITV jana.

    14. #131
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,941
      Rep Power : 2365
      Likes Received
      950
      Likes Given
      171

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Quote By Doreen22
      Kumbe hata meli zinazidiwa na upepo, mi nilidhani mashua tu, au kulikuwa na mawimbi ya kitafranitafrani

      Yeh inawezekana .. hata hivo habari hizo nimezipata kutoka kwa mzenji flani... huko huko TZN
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    15. #132
      Yericko Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Location : Kigamboni, DSM
      Posts : 4,471
      Rep Power : 22951
      Likes Received
      2791
      Likes Given
      312

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      BBCAfricaHYS Confirmed that a ferry travelling from Dar to Zanzibar capsized. Rescue effort on-going. Reported 220 on board #zanzibar

    16. #133
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Breaking news: Meli mv. Skaget inazama zanzibar

      Hapana ni SeaGull sio hio uliyotaja, au ni jina lingine? Kuna thread inaripoti tayari

    17. #134
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      PIcha hizi zilipigwa mapema na abiria aliyekua angani kwenye ndege baada ya pilot kuspot hiyo meli

      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    18. #135
      silver25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Location : DSM
      Posts : 700
      Rep Power : 587
      Likes Received
      23
      Likes Given
      18

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Mtumeeee
      Selikali hapa inapaswa kuwajibika Kuanzia Waziri hadi Takataka nyingine zinazo husika... Sumatra nanyie Muwajibike Kwanini muache Meli mbovu ziendelee kusafirisha Abiria?

    19. #136
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Aerial pixs.. utaona bbadhi ya abiria wakiwa kwenye maboya

      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    20. #137
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 413
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By matumbo
      poleni sana waZNZ...ila jukumu la kuokoa inabidi muwaachie waBara,iyo shughuli inaitaji watu wakakamavu..
      wabara wenyewe hawana vifaa mpaka waje wasauzi.!
      matumbo likes this.

    21. #138
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      390

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Mh jana niliona taarifa ya habari kuwa ilivutwa sasa kama ilianza tena safari leo, watakuwa wamefanya makusudi kabisa .

      Tajiri na wahusika wa meli hii ni wazi watakuwa na kesi ya kujibu ya mauaji ya makusudi.

    22. #139
      silver25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Location : DSM
      Posts : 700
      Rep Power : 587
      Likes Received
      23
      Likes Given
      18

      Default re: Meli ya MV Skagit yazama

      Quote By samora10
      PIcha hizi zilipigwa mapema na abiria aliyekua angani kwenye ndege baada ya pilot kuspot hiyo meli

      Picha ziko wapi mbona hatuzioni?

    23. #140
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      Acha ujinga, nazungumzia upepo ulivyokuwa mkali kwetu, nikifananisha na huyo aliyesema kulikuwa na upepo mkali, pengine bahari ilichafuka, tibuka, so kama sikuwa karibu sana na bahari unafikiri suala la Mimi kuappriciate kulikuwa na upepo mkali ningelifananisha na niliouona wapi leo hii?!
      Quote By KALYOVATIPI
      watu wanajadili vitu vya maana kama ubovu wa meli we unatangaza eti nguo zimekauka nani ana nguo?

    24. FemaTV & Radio
    Page 7 of 17 FirstFirst ... 56789 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...