Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

    Report Post
    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 137
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,705
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3957
      Likes Given
      426

      Default Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      WanaJF,
      Kwa wale waliokuwa wanatilia shaka uhusiano wa Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Dr Wilbroad Slaa na mchumba wake Josephine Mushumbusi wameumbuka kwani tayari mahakama ilishatengua ndoa baina ya Josephine na aliyekuwa mume wake Aminiel Mahimbo.

      Talaka inayowatenganisha rasmi Josephine na Mahimbo, ilitolewa na Mahakama ya Mwanzo, Manzese, Dar es Salaam, Aprili 16, mwaka huu, hivyo kuthibitisha kwamba hakuna kizuizi tena upande huo.

      Kutokana na sababu hiyo hakuna kipingamizi kinachoweza kuzuia ndoa ya watu hawa mashuhuri katika anga la Tanzania.

      Dr Wilbroad Slaa anatarajiwa kufunga ndoa na Josephine Jumamosi Ijayo tarehe 21/07/2012

      Ikumbukwe pia Mbunge wa viti maalum wa CDM Rose Kamili aliwahi kuzaa na Dr Slaa lakini hawakuwahi kufunga ndoa.

      Naambatanisha Nakala ya HATI YA TALAKA.


    2. #41
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,143
      Rep Power : 12757
      Likes Received
      6403
      Likes Given
      980

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Mkuu karibu kwenye harusi
      Nikipata wedding invitation takuja nasika dress code ni magwanda ya khaki.

    3. #42
      MgungaMiba's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 28th August 2011
      Posts : 318
      Rep Power : 569
      Likes Received
      262
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By fofofo
      kwa hiyo tunafurahia Rose kamili na watoto wake wawili kuteseka kwa sababu ya penzi la Josephine na Dk. Slaa?
      Watoto wenyewe mbona nasikia ni watu wazima na shughuli zao? Tena wana elimu nzuri tu.

    4. #43
      Polisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,569
      Rep Power : 748
      Likes Received
      380
      Likes Given
      237

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Hivi JF siku ikikosekana mimi nitaishije hapa duniani?
      palalisote likes this.
      ''Taabu Huisha Bali Ujinga Hudumu''

    5. #44
      Mwangendage's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Posts : 54
      Rep Power : 385
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Ndukidi
      Ndio ni kweli.....
      alipoacha upadre aliishi naye karatu kwa miaka kadhaa kabla ya kumpata Josephine

    6. #45
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 942
      Rep Power : 559
      Likes Received
      329
      Likes Given
      211

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      muwamba ngoma, ngozi huvutia kwake? Chadema tunapenda sana Dr. Slaa kiasi cha kusahau mapungufu yake kama binadamu mwingine. Kitendo cha kuzaa watoto wawili na kama kweli walikuwa wanakaa pamoja zaidi ya miezi 6 chini ya paa moja na majirani wa kuprove hilo wapo Rose anakuwa mke wa Dr. Slaa by default so she is a legal wife. Hatuingilii mahakama ni maoni tu


    7. #46
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,886
      Rep Power : 946
      Likes Received
      469
      Likes Given
      440

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      ha ha ha ha ....safi sana...first lady huyooooooo mamaa mushumbuzi

    8. #47
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 3,034
      Rep Power : 1054
      Likes Received
      800
      Likes Given
      341

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      wakuu ndoa Jmosi sasa nikitaka kuchangia inakuwaje? dada Josephine usitunyime pilau tafadhali.

    9. #48
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,911
      Rep Power : 2307
      Likes Received
      639
      Likes Given
      811

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Ritz
      Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...

      Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
      Na wewe una hamu ya kuoalewa. Nenda kwenye page za mambo hayo.
      Simple life is healthier than egoism.

    10. #49
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 987
      Likes Received
      709
      Likes Given
      400

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Mnusooooo
      Ridhiwani Kikwete


      TAARIFA VUNJIKA

      Sabodo achangia harusi, fedha halali za kitanzania shilingi milioni 60. Mambo yameanza pamba moto



    11. #50
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Mpitagwa
      muwamba ngoma, ngozi huvutia kwake? Chadema tunapenda sana Dr. Slaa kiasi cha kusahau mapungufu yake kama binadamu mwingine. Kitendo cha kuzaa watoto wawili na kama kweli walikuwa wanakaa pamoja zaidi ya miezi 6 chini ya paa moja na majirani wa kuprove hilo wapo Rose anakuwa mke wa Dr. Slaa by default so she is a legal wife. Hatuingilii mahakama ni maoni tu
      Mkuu kuna mambo kadhaa kwenye post yako:-

      (i) Hapo kwenye
      green: kuzaa hata watoto mia nje ya ndoa haku-justify ndoa na yule uliyezaa naye. So, that is pointless.

      (ii) Hapo kwenye
      red: Inawezekana lakini umeangalia upande mmoja tu in favor of Rose. Hebu angalia upande wa pili wa coin, suppose Rose ndiye aliyemtelekeza Dr. Slaa? Au kwa kuwa ni yeye (Rose) ndiye anayelalamika unadhani hawezi akawa ndiye chanzo cha mgogoro?

      (iii) Hapo kwenye
      red: Umezingatia dhana iitwayo "UTORO KWENYE NDOA"? Umezingatia pia kwamba mume n mke wasipokuwa pamoja kwa muda fulani ndoa inakuwa VOID? Katika shauri hili inawezekana Rose au Dr. Slaa au wote wamekuwa watoro kwenye "ndoa" yao kwa muda unaotambulika kisheria hivyo dhana ya ndoa haipo. Usiangalie upande mmoja tu wa kuungana hata kutengana pia kunatambulikana kisheria.

      (iv) Huyu Rose kama si kutumiwa, angeibuka mapema kabla muda unaotambuliwa kisheria wa UTORO KWENYE NDOA haujakamilika. Mtu hawako pamoja kwa zaidi ya miaka sijui mingapi halafu leo unaibuka eti ni mume wangu hana hata aibu? Anachopaswa kudai ni MALI WALIYOCHUMA PAMOJA (kama ipo) na sio HAKI YA MUME.

      (v) Ndoa tarajiwa ya Dr. Slaa na Josephine: Sijui ndoa ya Dr. Slaa inatarajiwa kufungwa kwa madhehebu gani ila kama ni madhehebu ya kikristo; ndoa huwa ndoa halali pale inapofungwa kiimani. Hivyo, dhana yako uliyoitaja hapo kwenye
      red haitambuliki na kanisa hivyo Dr. Slaa hakuwahi kuwa na ndoa hapo kabla.



      Otherwise, binafsi nampongeza sana Dr. W. Slaa na Mkewe Mtarajiwa, Josephine Mushumbusi, kwa kuachana na maisha ya ukapera na kuanza maisha mapya ya ndoa. Hongereni sana Maharusi wetu. Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu yenye baraka na fanaka kwa familia yenu.
      Last edited by dudus; 17th July 2012 at 14:59.
      Utingo likes this.

    12. #51
      Alwayz on top's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 320
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      Hee..! kumbe huyu padri alikuwa anazin cku zote anaoa nin sasa wakat kashamzalisha? nchi ina vituko hii yan zee la miaka 100 ndo anaoa mwaka huu? mh.! haya ngoja tuone vioja vya mwaka.

    13. #52
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 942
      Rep Power : 559
      Likes Received
      329
      Likes Given
      211

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      dudus Mkuu kwa kiasi nakubaliana na uchambuzi wako ila hapa mwisho ni kwamba anakuwa mke wake kisheria endapo wamekaa pamoja kwa zaidi ya miezi sita. Hiyo default status inatambuliwa na sheria na sio kanisa wala msikiti. Na rose kwa hiilo hawezi kuihakikishia mahakama kuwa ilikuwa ndoa ya aina gani. Ya mke mmoja au wengi maana hawana cheti cha ndoa. Ila kuna kila dalili kuwa kuna mtu nyuma ya rose ambaye anamsukuma kufanya hivi. Kwani mara baada ya kutoka CCM na kujiunga Chadema kauli za rose huyu huyu aliyepongezwa na Sophia Simba ni tofauti na hatua aliyochukua. Lengo hapa ni kujaribu kuchafua jina la Dr. Slaa kwenye mchakato wa kwenda Ikulu
      palalisote likes this.

    14. #53
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,424
      Rep Power : 16505
      Likes Received
      4325
      Likes Given
      5510

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Hongera Dr. This time mfanye kweli ili tusipoteze muda humu kwenye mijadala isiyo na manufaa kwa Taifa.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    15. #54
      kipili.pili's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 355
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By mlanguzi
      nasikia inapigwa mchana siku ya ramadhani. Kweli bado dk slaa ni Padri. hata hangojei ramadhani ipite. halafu anataka urais wa nchi yetu
      ramadhani kwenu wewe na Hawa WA
      ghasia,

    16. #55
      kipili.pili's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 355
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Kani ramadhani hawaoi???????? Uanfiki na udini kwangu mwiko.

    17. #56
      kipili.pili's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 355
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Watanzania tuache udini,kabisaa hasa sisi waislam ni wadini sana,tuaache upumbavu huo kwasababu hata aliyeleta dini hatumjui.

    18. #57
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 4,061
      Rep Power : 1239
      Likes Received
      257
      Likes Given
      41

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Jamani wenye picha tumuone huyo bibi harusi mtarajiwa kama kitu au galasha

    19. MTK
      #58
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 4512
      Likes Received
      317
      Likes Given
      363

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      fmpiganaji Attention Sophia Simba na Ester Bulaya, in future they should do their home work first kabla ya kushangilia masahibu ya wenzao!! (front page Mwananchi julai 13, 2012; wakimpongeza Rose kamili kwa kuweka pingamizi dhidi ya wanandoa watarajiwa) Next time do not play CCM politics on matters holy!
      palalisote likes this.

    20. #59
      sammosses's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Location : Shinyanga
      Posts : 944
      Rep Power : 614
      Likes Received
      172
      Likes Given
      240

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Ritz
      Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...

      Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
      Kila jambo limekuwa siasa tu,iliwahi kutokea siku moja baba m1 alimtuma mtoto wake dukani,alipochelewa kurudi yule mzee akasema naona sasa umekuwa CHADEMA,kila nikikutuma unakuwa mbishi.Sasa leo ni suala la kijamii lakini siasa inaingizwa wapi tunaelekea?

    21. #60
      anney's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2010
      Posts : 152
      Rep Power : 484
      Likes Received
      40
      Likes Given
      27

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      JF nimewakubuli ukichoka jiburudishe kwa kusoma JF
      palalisote likes this.

    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...