Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

    Report Post
    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 137
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,403
      Rep Power : 10870
      Likes Received
      3780
      Likes Given
      426

      Default Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      WanaJF,
      Kwa wale waliokuwa wanatilia shaka uhusiano wa Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Dr Wilbroad Slaa na mchumba wake Josephine Mushumbusi wameumbuka kwani tayari mahakama ilishatengua ndoa baina ya Josephine na aliyekuwa mume wake Aminiel Mahimbo.

      Talaka inayowatenganisha rasmi Josephine na Mahimbo, ilitolewa na Mahakama ya Mwanzo, Manzese, Dar es Salaam, Aprili 16, mwaka huu, hivyo kuthibitisha kwamba hakuna kizuizi tena upande huo.

      Kutokana na sababu hiyo hakuna kipingamizi kinachoweza kuzuia ndoa ya watu hawa mashuhuri katika anga la Tanzania.

      Dr Wilbroad Slaa anatarajiwa kufunga ndoa na Josephine Jumamosi Ijayo tarehe 21/07/2012

      Ikumbukwe pia Mbunge wa viti maalum wa CDM Rose Kamili aliwahi kuzaa na Dr Slaa lakini hawakuwahi kufunga ndoa.

      Naambatanisha Nakala ya HATI YA TALAKA.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,188
      Rep Power : 12562
      Likes Received
      5755
      Likes Given
      748

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Mkuu kama unataka kufuatilia mambo binafsi ya watu Jikite kwenye magazeti ya Udaku yote hayo utayajua
      Hayo maneno mwambie aliyeleta hii thread humu JF hivi kujua kiongozi wetu anavyoishi ni udaku...

    4. #22
      Kiboko Yenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 313
      Rep Power : 429
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      mijitu mingine kazi kushadadia mapenzi ya wenzao wakati yao yapo icu

    5. #23
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      wengi tuna furaha lakini mahimbo ameumizwa sana na Dk. Slaa. mwibie mtu fedha lakini sio mke

    6. FJM
      #24
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Natangaza 21 July kuwa siku ya pumziko ili kusheherekea ndoa ya mkombozi wa watanzania. Hutaki jinyonge!
      BJEVI, Excellent, REMSA and 3 others like this.

    7. #25
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1809
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Ndukidi
      Hawakuishi pamoja kwa sababu Slaa alikuwa bado kwenye parokia.. alikuwa anakuja tu usiku na kuondoka hakukaa nae kwenye roof moja..
      mmm unayajua eeee ulikuwa house boy wao???

    8. Miaka 50

    9. #26
      Ndukidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 372
      Rep Power : 575
      Likes Received
      141
      Likes Given
      327

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By fofofo
      mmm unayajua eeee ulikuwa house boy wao???
      Ndio ni kweli.....

    10. #27
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Ritz
      Hayo maneno mwambie aliyeleta hii thread humu JF hivi kujua kiongozi wetu anavyoishi ni udaku...
      Mkuu karibu kwenye harusi
      Amanda likes this.

    11. #28
      thereitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 237
      Rep Power : 479
      Likes Received
      24
      Likes Given
      60

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Ritz
      Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...

      Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
      Kwani thread imeanzishwa na CHADEMA?
      christine ibrahim likes this.
      "Our party CCM, eventually became complacent, bureaucratic and corrupt. We had to change" Nyerere

    12. #29
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Sherehe njema, hongereni...

    13. #30
      Mr. President's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Black House
      Posts : 1,667
      Rep Power : 765
      Likes Received
      322
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By fofofo
      wengi tuna furaha lakini mahimbo ameumizwa sana na Dk. Slaa. mwibie mtu fedha lakini sio mke
      Na yy Mahimbo akamchukue Rose Kamili, Rose bado analipa sana, akomae kiuanaume, then ngoma droo

    14. #31
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,188
      Rep Power : 12562
      Likes Received
      5755
      Likes Given
      748

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Bora Dr Slaa apate jiko la halali sijui best man wedding atakuwa nani...

    15. #32
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,701
      Rep Power : 716
      Likes Received
      288
      Likes Given
      258

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Tujiandae kula mpunga!

    16. #33
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 863
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By fofofo
      wengi tuna furaha lakini mahimbo ameumizwa sana na Dk. Slaa. mwibie mtu fedha lakini sio mke

      Mahimbo alishatengana na Josephine miaka 5 iliyopita na tayari anaishi na mwanamke mwingine na wameshazaa, alianza Mahimbo kuishi na mwanamke mwingin tena kwenye nyumba aliyoijenga Josephine!
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    17. #34
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,912
      Rep Power : 2596
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1614

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Pilau hili laliwa wapi tukazamie?
      St. Paka Mweusi likes this.

    18. #35
      Kigano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 414
      Likes Received
      130
      Likes Given
      189

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By fofofo
      kwa hiyo tunafurahia Rose kamili na watoto wake wawili kuteseka kwa sababu ya penzi la Josephine na Dk. Slaa?

      Kwani Jsephine amejuana na Dr. Slaa Mwaka gani ? Rose Kamili anasema walijuana Mwaka 1987. Kama wanateseka, alikuwa wapi siku zote hizo kusema ? Mpaka anapoona watu wanataka kufunga ndoa ? Duh, Tushabikie na Logic basi ndugu zangu. Nadhani pia ni maisha ya watu ( Ni family issues hizo zote, SIYO POLITICAL), tunajaribu kugeuzageuza tu ili tuone kama zinatusaidia kupunguza au kuongeza nguvu za kisiasa. But, Tanzanians today have big eyes and ears.

    19. #36
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 863
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By fofofo
      Ile ya kwiba mke wa mtu nayo hakuna pingamizi??????????
      hajaiba mke wa mtu, Josephine alishatengana na mahimbo na maimbo tayari alishakuwa na mwanake mwingine na tayari wamesha zaa. So Josephine yuko free kuishi na mwanaume ampendae
      Kigano likes this.
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    20. #37
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,875
      Rep Power : 7239
      Likes Received
      1281
      Likes Given
      105

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Kumbe Dk naye alikuwa kiwembeee duh!!!!
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    21. #38
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 387
      Likes Received
      61
      Likes Given
      96

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      hiyo hapo
      Attached Thumbnails  

    22. #39
      Ndakilawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Kumasi
      Posts : 470
      Rep Power : 492
      Likes Received
      53
      Likes Given
      63

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      good newz....

    23. #40
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 863
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default re: Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

      Quote By Kigano
      Kwani Jsephine amejuana na Dr. Slaa Mwaka gani ? Rose Kamili anasema walijuana Mwaka 1987. Kama wanateseka, alikuwa wapi siku zote hizo kusema ? Mpaka anapoona watu wanataka kufunga ndoa ? Duh, Tushabikie na Logic basi ndugu zangu. Nadhani pia ni maisha ya watu ( Ni family issues hizo zote, SIYO POLITICAL), tunajaribu kugeuzageuza tu ili tuone kama zinatusaidia kupunguza au kuongeza nguvu za kisiasa. But, Tanzanians today have big eyes and ears.
      Kabisa ndugu yangu tangu Josephine aanze kutambulishwa hadharani huyu mama alikuwa hazungumzi lolote, tena kipindi cha kampeni nae alikuwa akipanda jukwaani kumnadi Dr. Slaa na Josephine akiwa pembeni, leo hii anaibuka na kusema ametelekezwa!!??
      JokaKuu, Ulimakafu and Kigano like this.
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...