Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nisaidieni hili kwa nini TRA wako hivi

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Nisaidieni hili kwa nini TRA wako hivi

      Ni murefu sasa naona kila nikiingia Petro station nikiomba risiti kwanza wananishangaa sana na pili wananipa za kuandika kwa mkono ambazo unaweza fanya lolote .Mie najiuliza inakuwaje TRA wawabane walala hoi na kulioa kodi lakini hawa watu wa mafuta wao hawana risiti wala machine za TRA zenye kuhakikisha kodi inalipwa ipasavyo .Kuna vituo kadhaa nimesha wahi kuhoji sana mwisho wa siku wanasema boss kasema tusitumie hizo au wanasema machine ni mbovu ukiwabana sana wanasema wenye biashara zao hawataki zitumike hizo risiti so wana hujumu .Naombeni utaratibu kwenye hili tuone ukweli wake na TRA waseme inakuwaje pamoja na utaratibu wa machine sisi tunakipa kodi lakini wenye mafuta yaani wauzaji wanakataa kutoa risiti za TRA .Ushauri unaombwa tafadhali .Na upande wa TRA majibu kamilifu tupeni sisi walipa kodi .
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,264
      Rep Power : 966
      Likes Received
      612
      Likes Given
      0

      Default Re: Nisaidieni hili kwa nini TRA wako hivi

      Hapo ulipo ni mogadishu au tz

    4. #3
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 579
      Rep Power : 484
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default Re: Nisaidieni hili kwa nini TRA wako hivi

      Haikuhusu! Hata zikienda TRA zaliwa vile vile!

    5. #4
      kilakala's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th May 2011
      Posts : 23
      Rep Power : 487
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Nisaidieni hili kwa nini TRA wako hivi

      Quote By Lunyungu
      Ni murefu sasa naona kila nikiingia Petro station nikiomba risiti kwanza wananishangaa sana na pili wananipa za kuandika kwa mkono ambazo unaweza fanya lolote .Mie najiuliza inakuwaje TRA wawabane walala hoi na kulioa kodi lakini hawa watu wa mafuta wao hawana risiti wala machine za TRA zenye kuhakikisha kodi inalipwa ipasavyo .Kuna vituo kadhaa nimesha wahi kuhoji sana mwisho wa siku wanasema boss kasema tusitumie hizo au wanasema machine ni mbovu ukiwabana sana wanasema wenye biashara zao hawataki zitumike hizo risiti so wana hujumu .Naombeni utaratibu kwenye hili tuone ukweli wake na TRA waseme inakuwaje pamoja na utaratibu wa machine sisi tunakipa kodi lakini wenye mafuta yaani wauzaji wanakataa kutoa risiti za TRA .Ushauri unaombwa tafadhali .Na upande wa TRA majibu kamilifu tupeni sisi walipa kodi .

      Hata mimi niliwahi kupata hili tatizo. Lakini nilikuja kupata risiti na nilivyokuja kuangali nikagundua kuwa risit za mafuta hazina mambo ta tax ndio maana wauza mafuta wengi awataki kuangaika nazo. inadaiwa kuwa mafuta yalishalipiwa kodi.
      Wewe jaribu kucheck risiti utaona amna mambo ya Tax

    6. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...