Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NMB - Hii si sawa

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Crucifix's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 1,569
      Rep Power : 0
      Likes Received
      430
      Likes Given
      321

      Default NMB - Hii si sawa

      Nimepeleka cheki yangu NMB, aliyenilipa ana akaunti Barclays. Zimepita wiki 2 salio halisomeki. Haimaye nimeenda kuulizia wakabofya kompyuta na kuniambia kuwa nina elfu kumi tu kwenye akaunti. Nikauliza sasa elfu kumi na cheki yangu vina uhusiano gani? Wakanijibu lazima niwe na zaidi ya elfu kumi na tano kwa sababu gharama ya kuingiza cheki toka benki nyingine ni 15,000. Nikauliza mbona hawakuniambia jambo hilo wakati ninawakabidhi, wakaniambia 'pole'. Nikawajulisha kuwa, mbona CRDB huwa napeleka cheki ya benki nyingine na kupata kiasi kamili cha pesa, wakasema kama vipi wanirudishie cheki yangu. Nikakubali. Kuipokea ina mihuri yao nyuma na mbele - HII SI SAWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Kibwebwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 403
      Likes Received
      30
      Likes Given
      11

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      Ngoja waje wajuzi

    4. #3
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      umekomoa kweli kweli.....

    5. #4
      manushichini's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 349
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      Kaka pole,hapo kuna tatizo ila siku izi Bank charges ziko juu kila sehemu.Unapopeleka Check Bank Outward clearing ina gharama baina ya bank na bank na ni sehemu zote.ilitakiwa waangalie kwanza balance vinginevyo wakipiga tuu itakataa.Kupigwa mihuri kwe check ni sawa ikipokelewa lazima iwe na mhuhuri wa recieved.na inapotoka inakuwa na muhuri wa kurudishwa.na hapo teller naye anakuwa na muhuri wake wa kwamba kaicheki.hivyo lazima uone ni mihuri mingi,hali kama hii hutokea pia kwa aliepewa check ila akaunt ya check haina pesa.Sema wamekuchelewesha hivyo wanatakiwa kukuomba radhi.

    6. #5
      Maga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 481
      Likes Received
      29
      Likes Given
      24

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      Kaka hata hiyo CRDB wanakata hela nenda kachunguze tena account yako utagundua. Ila pole sana

    7. Miaka 50

    8. #6
      angedizzle's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th August 2011
      Posts : 104
      Rep Power : 414
      Likes Received
      26
      Likes Given
      25

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      Quote By Crucifix
      Nimepeleka cheki yangu NMB, aliyenilipa ana akaunti Barclays. Zimepita wiki 2 salio halisomeki. Haimaye nimeenda kuulizia wakabofya kompyuta na kuniambia kuwa nina elfu kumi tu kwenye akaunti. Nikauliza sasa elfu kumi na cheki yangu vina uhusiano gani? Wakanijibu lazima niwe na zaidi ya elfu kumi na tano kwa sababu gharama ya kuingiza cheki toka benki nyingine ni 15,000. Nikauliza mbona hawakuniambia jambo hilo wakati ninawakabidhi, wakaniambia 'pole'. Nikawajulisha kuwa, mbona CRDB huwa napeleka cheki ya benki nyingine na kupata kiasi kamili cha pesa, wakasema kama vipi wanirudishie cheki yangu. Nikakubali. Kuipokea ina mihuri yao nyuma na mbele - HII SI SAWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      kwa hiyo akaunti haina hata 15000?..........pole squared

    9. #7
      mzawahalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2010
      Posts : 419
      Rep Power : 559
      Likes Received
      50
      Likes Given
      15

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      hawa jamaa wezi, mimi nina akaunti yangu ya kawaida lakini hawa jamaa wameigeuzkuwa a biashara ivyo wnanla 10000 kila mwezi, nimewalalaikia kila siku jibu lao ni lile lile tunashughulikia na ukifika mwisho wa mwezi panga kama kawaida. Miezi imekatika lakini bado wanaendelea na uhuni wao. Nawatafutia siku niwafungie kazi nifunge branch saa mbili asubuhi naona ndio tutaelewana.

    10. #8
      Crucifix's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 1,569
      Rep Power : 0
      Likes Received
      430
      Likes Given
      321

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      Quote By angedizzle
      kwa hiyo akaunti haina hata 15000?..........pole squared
      pole jipe mwenyewe, unataka akaunti zote ziwe na milioni?

    11. #9
      Crucifix's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 1,569
      Rep Power : 0
      Likes Received
      430
      Likes Given
      321

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      Quote By angedizzle
      kwa hiyo akaunti haina hata 15000?..........pole squared
      fisadi we, 15,000 ndogo? niletee basi kwa tigo

    12. #10
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 465
      Likes Received
      99
      Likes Given
      278

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      Quote By mzawahalisi
      hawa jamaa wezi, mimi nina akaunti yangu ya kawaida lakini hawa jamaa wameigeuzkuwa a biashara ivyo wnanla 10000 kila mwezi, nimewalalaikia kila siku jibu lao ni lile lile tunashughulikia na ukifika mwisho wa mwezi panga kama kawaida. Miezi imekatika lakini bado wanaendelea na uhuni wao. Nawatafutia siku niwafungie kazi nifunge branch saa mbili asubuhi naona ndio tutaelewana.
      Bank nyingi sasa hivi zina matatizo ya kubalance statement zao shauri ya matatizo ya kiuchumi yaliyoikumba Tanzania. Watu walikopa mabilioni na wakawa defaulters shauri ya hali mbaya. Na asset walizotumia kama collateral nyingi valuation zilikuwa za uongo. Hivyo bank charges zitakuwa kila mahali na pia wanachukuwa pesa kidogokidogo kama elfu 1,2 au 10 kutoka kila account, kama hujastuka wataendelea hadi utakapostuka halafu wanarudisha na kuomba samahani. Ila ni intentional

    13. #11
      mzawahalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2010
      Posts : 419
      Rep Power : 559
      Likes Received
      50
      Likes Given
      15

      Default Re: NMB - Hii si sawa

      wezi sanaaa naomba habari ziwafikie NMB kuwa kunasiku nitafunga branch asubuhi asubuhi, nimeziesabu ten ten zangu sasa zinakaribia Laki! Watanikoma siku hiyo, sijui niwatafute alishababu nivae mabomuuu! Wananikeraaaa!
      Wezi haooooooooooo weziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ii.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...